< Mika 4 >
1 Lakini katika siku za mwisho itakuja kuhusu kwamba mlima wa nyumba ya Yahwe utawekwa imare juu ya milima mingine. Utainuliwa juu ya milima, na watu watautakabisha.
Yahweh [says that] some day his temple will be on top of a mountain, and that mountain will be the most important [MET] one on the earth; it will be [as though it is] higher than all the hills, and huge groups of people from all over the world will come there [to worship].
2 Mataifa mengi yataenda na kusema, “Njoni, twendeni juu kwenye mlima wa Yahwe, kwenye nyumba ya Mungu wa Yakobo. Atatufundisha njia zake, na tutembea katika njia zake.” Kwa kuwa kutoka Sayuni sheria itatoka, na neno la Yahwe kutoka Yerusalemu.
[People from] many nations will say [to each other], “Let’s go to the mountain where Yahweh is, to the temple where we can worship the God whom Jacob [worshiped]. There God will teach us how he wants us to conduct our lives, and we will do what he wants us to do.” Zion [Hill] is the place where he will teach [people]; and [people will go] out from Jerusalem [to tell others] his messages.
3 Atahukumu miongoni mwa watu na kuamua kuhusiana na mataifa mengi ya mbali. Watapoga mapanga yao kuwa plau na mikuki yao kuwa miuundu ya kupogolea. Taifa halitainua upanga dhidi ya taifa, wala kutawala kwa vita tena.
Yahweh will settle disputes between many people, and he will [also] settle disputes between powerful nations that are far away. Then people will hammer their swords to cause them to become plow blades, and [hammer] their spears to cause them to become pruning knives. [Armies of] nations will no [longer] fight against [armies of other] nations, and they will no longer train [men how to fight] in wars.
4 Badala yake, wataketi kila mtu chini ya mzabibu wake na chini ya mtini wake. Hakuna mtu atakayewafanya waogope, kwa kuwa mdomo wa Yahwe wa majeshi umesema.
Everyone will sit [peacefully] under his own grapevines, and under his own fig trees; no one will cause them to be afraid. [That is what will surely happen] because the Commander of the armies of angels has said it.
5 Kwa kuwa watu wote wataenenda, kila mmoja, katika jina la mungu wake. Lakini sisi tutaenenda katika jina la Yahwe Mungu wetu milele na milele.
Many [HYP] [of the people of other] nations will worship [IDM] their own gods, but we will worship Yahweh our God always, forever.
6 “Katika siku hiyo,” aseme Yahwe, “Nitamkusanya achechemeaye na kumkusanya aliyefukuzwa, wale ambao nimewatesa.
Yahweh says, “There will soon be a time when I will gather the people whom I have punished, who have been (exiled/forced to go to other countries), all those whom [I have caused to] suffer much.
7 Nitamrudisha aliyechechemea kwenye mabaki, na yeye aliyetupwa kwenye taifa imara, na mimi, Yahwe, nitatawala juu yao katika Milima Sayuni, sasa na milele.
My people who did not die while they were exiled will become a strong nation [again]. Then [I], Yahweh, will be their king, and I will rule from Jerusalem forever.
8 Kama kwako, mnara wa saa kwa ajili ya kundi, mlima wa binti wa Sayuni-utakuja kwenu, utawala wenu wa zamani utarudishwa, ufalme ambao unaomilikiwa na binti wa Yerusalemu.
As for you people of Jerusalem [MET], you who [guard all of my people] like [MET] [a shepherd guards his sheep] from a tower, you [who live on] Zion [Hill], will have great power again. You people who live in Jerusalem will again rule like you did previously.
9 Sasa, kwa nini unapiga kelele kwa sauti kuu? Je hakuna mfalme miongoni mwenu? Je mshauri wako amekufa? Kwa nini uchungu umekushika kama yule mwanamke akiwa anazaa?
[So] why [RHQ] are you wailing now? Is it because you have no king? Have all your wise people died? You are groaning loudly like [SIM] a woman who is giving birth to a baby.
10 Kuwa katika uchungu wa kuzaa ili uzae, binti Sayuni, kama mwanamke mwenye uchungu. Kwa sasa utatoka nje ya mji, kuishi kwenye shamba, na kwenda Babeli. Huko utaokolewa. Huko Yahwe atakuokoa kutoka kwenye mikono ya maadui.
[Well], you people of Jerusalem should writhe and groan like [SIM] a woman who is having birth pains, because now you must leave this city, and [while you are traveling], you will set up tents in open fields [at night]; you will go to [live in] Babylon. [But while you are] there, [I], Yahweh, will rescue you; I will free you from the power/control [MTY] of your enemies.
11 Sasa mataifa mengi yamekusanyika juu yako; wakisema; 'Atiwe unajisi; macho yenu yaangalie Sayuni.”'
Now [the armies of] many nations have gathered to attack you. They are saying, ‘Jerusalem must be destroyed! We want to see this city [when it becomes ruins]!’
12 Nabii asema, “Hawayajui mawazo ya Yahwe, wala hawaelewi mpango wake, kwa kuwa wamewakusanaya kama miganda kupura sakafuni.”
But they do not know what [I], Yahweh, think, and they do not understand what I plan: I will gather them [and punish them] like [SIM] [farmers] thresh grain on the ground.
13 Yahwe asema, “siamama na upure, binti Sayuni, kwa kuwa nitaifanya pembe yako kuwa chuma, na nitazifanya kwato zako kuwa shaba. Utaponda watu wengi. Nitaweka wakfu udhalimu wao kwangu mwenyewe, Yahwe, miliki zao kwangu, Bwana wa dunia nzima.”
So, you people of Jerusalem, rise up and punish [MET] [the nations who oppose you]. I will cause you [to be very strong], [as if] [MET] you had horns made of iron, [as if] [MET] you had hoofs made of bronze; and you will crush many nations. And [then you will take] from your enemies the valuable things that they have taken [from other countries], and you will dedicate those things to [me, the one who is] the Lord of all [the people on] the earth.”