< Mika 4 >

1 Lakini katika siku za mwisho itakuja kuhusu kwamba mlima wa nyumba ya Yahwe utawekwa imare juu ya milima mingine. Utainuliwa juu ya milima, na watu watautakabisha.
And it will be - at [the] end of the days it will be [the] mountain of [the] house of Yahweh established at [the] head of the mountains and it will be lifted up it more than [the] hills and they will stream to it peoples.
2 Mataifa mengi yataenda na kusema, “Njoni, twendeni juu kwenye mlima wa Yahwe, kwenye nyumba ya Mungu wa Yakobo. Atatufundisha njia zake, na tutembea katika njia zake.” Kwa kuwa kutoka Sayuni sheria itatoka, na neno la Yahwe kutoka Yerusalemu.
And they will come nations many and they will say come - so we may go up to [the] mountain of Yahweh and to [the] house of [the] God of Jacob so he may teach us from ways his so we may walk in paths his for from Zion it will go out instruction and [the] word of Yahweh from Jerusalem.
3 Atahukumu miongoni mwa watu na kuamua kuhusiana na mataifa mengi ya mbali. Watapoga mapanga yao kuwa plau na mikuki yao kuwa miuundu ya kupogolea. Taifa halitainua upanga dhidi ya taifa, wala kutawala kwa vita tena.
And he will judge between peoples many and he will decide for nations mighty to far away and they will beat swords their into plowshares and spears their into pruning knives not they will lift up nation against nation a sword and not they will learn! again warfare.
4 Badala yake, wataketi kila mtu chini ya mzabibu wake na chini ya mtini wake. Hakuna mtu atakayewafanya waogope, kwa kuwa mdomo wa Yahwe wa majeshi umesema.
And they will dwell everyone under own vine his and under own fig tree his and there not [will be one who] terrifies for [the] mouth of Yahweh of hosts it has spoken.
5 Kwa kuwa watu wote wataenenda, kila mmoja, katika jina la mungu wake. Lakini sisi tutaenenda katika jina la Yahwe Mungu wetu milele na milele.
For all the peoples they walk everyone in [the] name of own god his and we we will walk in [the] name of Yahweh God our for ever and ever.
6 “Katika siku hiyo,” aseme Yahwe, “Nitamkusanya achechemeaye na kumkusanya aliyefukuzwa, wale ambao nimewatesa.
In the day that [the] utterance of Yahweh I will gather the [one who is] lame and the [one who is] outcast I will assemble and [those] whom I have done harm to.
7 Nitamrudisha aliyechechemea kwenye mabaki, na yeye aliyetupwa kwenye taifa imara, na mimi, Yahwe, nitatawala juu yao katika Milima Sayuni, sasa na milele.
And I will make the [one who was] lame into a remnant and the [one who was] straying into a nation mighty and he will reign Yahweh over them in [the] mountain of Zion from now and until perpetuity.
8 Kama kwako, mnara wa saa kwa ajili ya kundi, mlima wa binti wa Sayuni-utakuja kwenu, utawala wenu wa zamani utarudishwa, ufalme ambao unaomilikiwa na binti wa Yerusalemu.
And you O Migdal Eder O hill of [the] daughter of Zion to you it will come and it will come the dominion former a kingdom to [the] daughter of Jerusalem.
9 Sasa, kwa nini unapiga kelele kwa sauti kuu? Je hakuna mfalme miongoni mwenu? Je mshauri wako amekufa? Kwa nini uchungu umekushika kama yule mwanamke akiwa anazaa?
Now why? do you shout shouting ¿ a king [is] there not in you or? counselor your has he perished that it has taken hold of you anguish like [woman] giving birth.
10 Kuwa katika uchungu wa kuzaa ili uzae, binti Sayuni, kama mwanamke mwenye uchungu. Kwa sasa utatoka nje ya mji, kuishi kwenye shamba, na kwenda Babeli. Huko utaokolewa. Huko Yahwe atakuokoa kutoka kwenye mikono ya maadui.
Writhe in pain and burst forth O daughter of Zion like [woman] giving birth for now you will go out from [the] town and you will dwell in the open country and you will go to Babylon there you will be delivered there he will redeem you Yahweh from [the] hand of enemies your.
11 Sasa mataifa mengi yamekusanyika juu yako; wakisema; 'Atiwe unajisi; macho yenu yaangalie Sayuni.”'
And now they have gathered on you nations many that are saying let her be polluted and let it look on Zion eyes our.
12 Nabii asema, “Hawayajui mawazo ya Yahwe, wala hawaelewi mpango wake, kwa kuwa wamewakusanaya kama miganda kupura sakafuni.”
And they not they know [the] thoughts of Yahweh and not they understand counsel his that he has gathered them like cut grain [the] threshing floor towards.
13 Yahwe asema, “siamama na upure, binti Sayuni, kwa kuwa nitaifanya pembe yako kuwa chuma, na nitazifanya kwato zako kuwa shaba. Utaponda watu wengi. Nitaweka wakfu udhalimu wao kwangu mwenyewe, Yahwe, miliki zao kwangu, Bwana wa dunia nzima.”
Arise and thresh O daughter of Zion for horn your I will make iron and hooves your I will make bronze and you will crush peoples many and I will dedicate to destruction to Yahweh unjust gain their and wealth their to [the] lord of all the earth.

< Mika 4 >