< Mika 4 >
1 Lakini katika siku za mwisho itakuja kuhusu kwamba mlima wa nyumba ya Yahwe utawekwa imare juu ya milima mingine. Utainuliwa juu ya milima, na watu watautakabisha.
And it shall come to pass in the last days, that the mountain of the house of the Lord shall be prepared in the top of mountains, and high above the hills: and people shall flow to it.
2 Mataifa mengi yataenda na kusema, “Njoni, twendeni juu kwenye mlima wa Yahwe, kwenye nyumba ya Mungu wa Yakobo. Atatufundisha njia zake, na tutembea katika njia zake.” Kwa kuwa kutoka Sayuni sheria itatoka, na neno la Yahwe kutoka Yerusalemu.
And many nations shall come in haste, and say: Come, let us go up to the mountain of the Lord, and to the house of the God of Jacob: and he will teach us of his ways, and we will walk in his paths: for the law shall go forth out of Sion, and the word of the Lord out of Jerusalem.
3 Atahukumu miongoni mwa watu na kuamua kuhusiana na mataifa mengi ya mbali. Watapoga mapanga yao kuwa plau na mikuki yao kuwa miuundu ya kupogolea. Taifa halitainua upanga dhidi ya taifa, wala kutawala kwa vita tena.
And he shall judge among many people, and rebuke strong nations afar off: and they shall beat their swords into ploughshares, and their spears into spades: nation shall not take sword against nation: neither shall they learn war any more.
4 Badala yake, wataketi kila mtu chini ya mzabibu wake na chini ya mtini wake. Hakuna mtu atakayewafanya waogope, kwa kuwa mdomo wa Yahwe wa majeshi umesema.
And every man shall sit under his vine, and under his fig tree, and there shall be none to make them afraid: for the mouth of the Lord of hosts hath spoken.
5 Kwa kuwa watu wote wataenenda, kila mmoja, katika jina la mungu wake. Lakini sisi tutaenenda katika jina la Yahwe Mungu wetu milele na milele.
For all people will walk every one in the name of his god: but we will walk in the name of the Lord our God for ever and ever.
6 “Katika siku hiyo,” aseme Yahwe, “Nitamkusanya achechemeaye na kumkusanya aliyefukuzwa, wale ambao nimewatesa.
In that day, saith the Lord, I will gather up her that halteth: and her that I had cast out, I will gather up: and her whom I had afflicted.
7 Nitamrudisha aliyechechemea kwenye mabaki, na yeye aliyetupwa kwenye taifa imara, na mimi, Yahwe, nitatawala juu yao katika Milima Sayuni, sasa na milele.
And I will make her that halted, a remnant: and her that hath been afflicted, a mighty nation: and the Lord will reign over them in mount Sion, from this time now and for ever.
8 Kama kwako, mnara wa saa kwa ajili ya kundi, mlima wa binti wa Sayuni-utakuja kwenu, utawala wenu wa zamani utarudishwa, ufalme ambao unaomilikiwa na binti wa Yerusalemu.
And thou, O cloudy tower of the flock, of the daughter of Sion, unto thee shall it come: yea the first power shall come, the kingdom to the daughter of Jerusalem.
9 Sasa, kwa nini unapiga kelele kwa sauti kuu? Je hakuna mfalme miongoni mwenu? Je mshauri wako amekufa? Kwa nini uchungu umekushika kama yule mwanamke akiwa anazaa?
Now, why art thou drawn together with grief? Hast thou no king in thee, or is thy counsellor perished, because sorrow hath taken thee as a woman in labour?
10 Kuwa katika uchungu wa kuzaa ili uzae, binti Sayuni, kama mwanamke mwenye uchungu. Kwa sasa utatoka nje ya mji, kuishi kwenye shamba, na kwenda Babeli. Huko utaokolewa. Huko Yahwe atakuokoa kutoka kwenye mikono ya maadui.
Be in pain and labour, O daughter of Sion, as a woman that bringeth forth: for now shalt thou go out of the city, and shalt dwell in the country, and shalt come even to Babylon, there thou shalt be delivered: there the Lord will redeem thee out of the hand of thy enemies.
11 Sasa mataifa mengi yamekusanyika juu yako; wakisema; 'Atiwe unajisi; macho yenu yaangalie Sayuni.”'
And now many nations are gathered together against thee, and they say: Let her be stoned: and let our eye look upon Sion.
12 Nabii asema, “Hawayajui mawazo ya Yahwe, wala hawaelewi mpango wake, kwa kuwa wamewakusanaya kama miganda kupura sakafuni.”
But they have not known the thoughts of the Lord, and have not understood his counsel: because he hath gathered them together as the hay of the floor.
13 Yahwe asema, “siamama na upure, binti Sayuni, kwa kuwa nitaifanya pembe yako kuwa chuma, na nitazifanya kwato zako kuwa shaba. Utaponda watu wengi. Nitaweka wakfu udhalimu wao kwangu mwenyewe, Yahwe, miliki zao kwangu, Bwana wa dunia nzima.”
Arise, and tread, O daughter of Sion: for I will make thy horn iron, and thy hoofs I will make brass: and thou shalt beat in pieces many peoples, and shalt immolate the spoils of them to the Lord, and their strength to the Lord of the whole earth.