< Mika 3 >

1 Nimesema'”Sasa sikilizeni, ninyi viongozi wa Yakobo na kutawala nyumba ya Israeli: Je siyo sahihi kwenu kuielewa haki?
Le hoe iraho: Ehe, mijanjiña ry roandria’ Iakobe, naho o lohà’ i anjomba’ Israeleio, tsy inahareo hao ty hahafohiñe ty hatò?
2 Ninyi manaochukia mazuri na kupenda uovu, ninyi mnaoambua ngozi yao, miili yao kutoka kwenye mifupa yao-
Ry mpalain-ty soa, naho mpitea haratiañeo; ry mampikorendake ty holi’ iareo, naho ty nofotse boak’an-taola’ iareo.
3 ninyi mnaokula pia miili ya watu wangu, na kuambua ngozi yao, kuvunja mifupa yao, na kuwakatakata katika vipande vipande, kama nyama kwenye chungu, kama nyama kwenye sufuria kubwa.
Ry mpampibotseke ty nofo’ ondatikoo, mpañolitse iareo, mpampipozake o taola’eo, naho manoritory iareo ho am-balàñeo, hoe hena an-tsajoa.
4 Kisha ninyi watawala mtalia kwa Yahwe, lakini hatawajibu. Atauficha uso wake kutoka kwenu kipindi hicho, kwasababu mmefanya matendo maovu.”
Hitoreo am’ Iehovà iereo henane zay, f’ie tsy hanoiñe; eka, haeta’e am’ iereo ty lahara’e amy andro zay, ty amy haloloan-tsata’ iareoy.
5 Yahwe asema hivi kuhusu manabii ambao wawafanyao watu wangu kushindwa, “Kwa wale wawalishao wanatangaza, 'Kutakuwa na ustawi.' Lakini kwa wale wasioweka kitu kwenye vinywa vyao, wanaanzisha vita dhidi yake.
Hoe ty nafè’ Iehovà ty amo mpitoky mampandilatse ondatikoo; mikoike ty hoe: Fierañerañañe, kanao ahazoa’e ty ho tifarem-pamotsi’e; fe hentseñe’e aly ty tsy mampijon-draha am-palie’e ao.
6 Kwa hiyo, itakuwa usiku kwenu usiokuwa na maono juu yenu; itakuwa giza ili kwamba msiweze kubashiri. Jua litakwenda chini juu ya manabii, na siku itakuwa giza juu yao.
Aa le ho haleñe ama’ areo izay, tsy amañ’aroñaroñe, naho ho ieñe ama’ areo, tsy hisikiliañe; ho tsofots’ andro amo mpitokio, himoromoroñe am’ iereo te handro.
7 Waonaji watawekwa kwenye aibu, waaguzi wa watachanganyikiwa. Wote watafunga midomo yao, kwa kuwa hakuna jibu kutoka kwangu.”
Ho salatse o mpioniñeo, vaho ho tangòke o mpisikilio; eka, hanakom-palie iereo, amy te tsy manoiñe t’i Andrianañahare.
8 Lakini kwangu, nimejazwa nguvu kutoka kwa Roho wa Yahwe, na nimejaa haki na uweza, kumwambia Yakobo kosa lake, na Israeli dhambi yake.
Fe mañatsak’ ahy ty haozaran’ Arofo’ Iehovà, naho ty hatò, vaho ty hafatrarañe, hitsey am’ Iakobe i fiolà’ey, naho am’ Israele i hakeo’ey.
9 Sasa sikieni hii, ninyi viongozi wa nyumba ya Yakobo, na watawala wa nyumba ya Israeli, ninyi ambao mnaochukia haki, na kupotosha kila haki.
Ehe, janjiño zao, ry talen’ akiba’ Iakobeo, naho ry talèn’ anjomba’ Israeleo, ry mpalain-kavantañañeo, vaho mpañamengoke ze atao zaka-to;
10 Mnaijenga Sayuni kwa damu na Yerusalemu kwa uovu.
Ie mamboatse i Tsione an-dio, naho Ierosalaime an-katsivokarañe.
11 Viongozi wenu huhukumu kwa rushwa, makuhani wenu hufundisha kwa hijara, na manabii wenu hufanya utabiri kwa ajili ya pesa. Hata hivyo bado mtamtegemea Yahwe na kusema, “Je hayupo Yahwe pamoja nasi? Hakuna uovu utakaokuja juu yetu.”
Mpizaka mipay tambe o mpiaolo’eo; mipay karama te mañòke o mpisoro’eo, naho mpitoky mpangala falitse o mpitoki’eo; inao, miato am’ Iehovà iereo, manao ty hoe: Tsy añivon-tika hao t’Iehovà? Toe tsy hifetsahan-kankàñe!
12 Kwa hiyo, kwasababu yenu, Sayuni italimwa kama shamba, Yerusalemu itakuwa rundo la kifusi, na mwinuko wa hekalu utakuwa kama mwinuko wa msituni.
Aa le inahareo ro itrabahañe i Tsione hoe tonda, naho Ierosalaime ho votrim-porompotse, vaho ty an-tamboho’ i vohi’ i anjombaiy ho ala.

< Mika 3 >