< Mika 3 >

1 Nimesema'”Sasa sikilizeni, ninyi viongozi wa Yakobo na kutawala nyumba ya Israeli: Je siyo sahihi kwenu kuielewa haki?
Et Il dira: Écoutez maintenant ces paroles, princes de la maison de Jacob, restes de la maison d'Israël; n'est-ce pas à vous de connaître le jugement?
2 Ninyi manaochukia mazuri na kupenda uovu, ninyi mnaoambua ngozi yao, miili yao kutoka kwenye mifupa yao-
Ceux qui haïssent le bien et cherchent le mal, arrachent eux-mêmes la peau de leur corps et la chair de leurs os.
3 ninyi mnaokula pia miili ya watu wangu, na kuambua ngozi yao, kuvunja mifupa yao, na kuwakatakata katika vipande vipande, kama nyama kwenye chungu, kama nyama kwenye sufuria kubwa.
De même qu'ils ont mangé mes chairs de Mon peuple, qu'ils l'ont écorché pour lui enlever la peau, qu'ils ont rompu ses os, qu'ils l'ont dépecé, comme les viandes qu'on fait cuire dans une marmite ou une chaudière
4 Kisha ninyi watawala mtalia kwa Yahwe, lakini hatawajibu. Atauficha uso wake kutoka kwenu kipindi hicho, kwasababu mmefanya matendo maovu.”
de même ils crieront au Seigneur, et Il ne les écoutera pas; et en ce temps-là Il détournera d'eux sa face, parce qu'ils ont fait le mal en leurs pratiques contre le peuple.
5 Yahwe asema hivi kuhusu manabii ambao wawafanyao watu wangu kushindwa, “Kwa wale wawalishao wanatangaza, 'Kutakuwa na ustawi.' Lakini kwa wale wasioweka kitu kwenye vinywa vyao, wanaanzisha vita dhidi yake.
Voici ce que dit le Seigneur contre les prophètes qui égarent Mon peuple, qui mordent à pleines dents, qui lui annoncent la paix, et qui, si rien n'est donné à leur bouche, excitent la guerre contre lui:
6 Kwa hiyo, itakuwa usiku kwenu usiokuwa na maono juu yenu; itakuwa giza ili kwamba msiweze kubashiri. Jua litakwenda chini juu ya manabii, na siku itakuwa giza juu yao.
à cause de cela, la nuit sera pour vous sans visons, il y aura pour vous ténèbres sans prophéties; et le soleil se couchera sur les prophètes, et pour eux le jour sera obscurci.
7 Waonaji watawekwa kwenye aibu, waaguzi wa watachanganyikiwa. Wote watafunga midomo yao, kwa kuwa hakuna jibu kutoka kwangu.”
Et les voyants qui devinent les songes seront confondus, et les devins seront moqués, et tout le monde parlera contre eux, parce qu'il n'y aura personne pour les écouter.
8 Lakini kwangu, nimejazwa nguvu kutoka kwa Roho wa Yahwe, na nimejaa haki na uweza, kumwambia Yakobo kosa lake, na Israeli dhambi yake.
Pour moi, je me remplirai de force, inspiré par le Seigneur, par le jugement et l'autorité, pour faire connaître ses impiétés à Jacob et ses péchés à Israël.
9 Sasa sikieni hii, ninyi viongozi wa nyumba ya Yakobo, na watawala wa nyumba ya Israeli, ninyi ambao mnaochukia haki, na kupotosha kila haki.
Écoutez donc ces paroles, chefs de la maison de Jacob, restes de la maison d'Israël, vous qui haïssez la justice et pervertissez toute droiture,
10 Mnaijenga Sayuni kwa damu na Yerusalemu kwa uovu.
qui bâtissez Sion dans le sang et Jérusalem dans l'iniquité.
11 Viongozi wenu huhukumu kwa rushwa, makuhani wenu hufundisha kwa hijara, na manabii wenu hufanya utabiri kwa ajili ya pesa. Hata hivyo bado mtamtegemea Yahwe na kusema, “Je hayupo Yahwe pamoja nasi? Hakuna uovu utakaokuja juu yetu.”
Les princes de Jérusalem ont jugé pour des présents; ses prêtres ont parlé pour un salaire; ses prophètes ont prédit pour de l'argent, et ils se sont reposés sur le Seigneur, disant: Est-ce que le Seigneur n'est pas avec nous? Jamais il ne nous arrivera malheur.
12 Kwa hiyo, kwasababu yenu, Sayuni italimwa kama shamba, Yerusalemu itakuwa rundo la kifusi, na mwinuko wa hekalu utakuwa kama mwinuko wa msituni.
À cause de cela, à cause de vous, la charrue passera sur Sion comme sur un champ; Jérusalem ressemblera à la cabane d'un garde de vergers, et la montagne du temple sera une forêt de chênes.

< Mika 3 >