< Mika 3 >

1 Nimesema'”Sasa sikilizeni, ninyi viongozi wa Yakobo na kutawala nyumba ya Israeli: Je siyo sahihi kwenu kuielewa haki?
Je dis encore: "Ecoutez donc, chefs de Jacob et vous, seigneurs de la maison d’Israël! N’Est-ce pas à vous à reconnaître le droit?
2 Ninyi manaochukia mazuri na kupenda uovu, ninyi mnaoambua ngozi yao, miili yao kutoka kwenye mifupa yao-
Mais ils haïssent le bien, ils aiment le mal, ils enlèvent aux gens la peau et la chair de dessus leurs os.
3 ninyi mnaokula pia miili ya watu wangu, na kuambua ngozi yao, kuvunja mifupa yao, na kuwakatakata katika vipande vipande, kama nyama kwenye chungu, kama nyama kwenye sufuria kubwa.
Ils se nourrissent de la substance de mon peuple, le dépouillent de sa peau, lui brisent les os, le mettent en pièces comme pour la marmite, comme la viande qu’on cuit dans une chaudière.
4 Kisha ninyi watawala mtalia kwa Yahwe, lakini hatawajibu. Atauficha uso wake kutoka kwenu kipindi hicho, kwasababu mmefanya matendo maovu.”
Ensuite ils crieront vers l’Eternel, mais il ne les écoutera point; il détournera la face d’eux à ce moment, à cause des méfaits qu’ils ont commis."
5 Yahwe asema hivi kuhusu manabii ambao wawafanyao watu wangu kushindwa, “Kwa wale wawalishao wanatangaza, 'Kutakuwa na ustawi.' Lakini kwa wale wasioweka kitu kwenye vinywa vyao, wanaanzisha vita dhidi yake.
Ainsi parle l’Eternel contre les prophètes qui égarent mon peuple, qui proclament la paix quand ils ont de quoi se mettre sous la dent, mais appellent la guerre contre quiconque n’emplit pas leur bouche:
6 Kwa hiyo, itakuwa usiku kwenu usiokuwa na maono juu yenu; itakuwa giza ili kwamba msiweze kubashiri. Jua litakwenda chini juu ya manabii, na siku itakuwa giza juu yao.
Eh bien! ce sera pour vous la nuit sans vision, les ténèbres sans oracles; le soleil se couchera pour les prophètes, pour eux le jour sera plongé dans l’obscurité.
7 Waonaji watawekwa kwenye aibu, waaguzi wa watachanganyikiwa. Wote watafunga midomo yao, kwa kuwa hakuna jibu kutoka kwangu.”
Alors les voyants seront confus, les diseurs d’oracles couverts de honte; ils s’envelopperont tous la barbe, car aucune réponse ne leur viendra de Dieu.
8 Lakini kwangu, nimejazwa nguvu kutoka kwa Roho wa Yahwe, na nimejaa haki na uweza, kumwambia Yakobo kosa lake, na Israeli dhambi yake.
Mais, en revanche, je me sens, moi, plein de force, due à l’inspiration de l’Eternel, de justice et de courage, pour exposer à Jacob son infidélité et à Israël son péché.
9 Sasa sikieni hii, ninyi viongozi wa nyumba ya Yakobo, na watawala wa nyumba ya Israeli, ninyi ambao mnaochukia haki, na kupotosha kila haki.
Ecoutez donc ceci, chefs de la maison de Jacob et seigneurs de la maison d’Israël, qui détestez la justice et pervertissez tout ce qui est droit!
10 Mnaijenga Sayuni kwa damu na Yerusalemu kwa uovu.
Ils bâtissent Sion au moyen de meurtres et Jérusalem au moyen d’iniquités.
11 Viongozi wenu huhukumu kwa rushwa, makuhani wenu hufundisha kwa hijara, na manabii wenu hufanya utabiri kwa ajili ya pesa. Hata hivyo bado mtamtegemea Yahwe na kusema, “Je hayupo Yahwe pamoja nasi? Hakuna uovu utakaokuja juu yetu.”
Ses chefs rendent la justice pour des présents, ses prêtres donnent leur enseignement pour un salaire, ses prophètes prononcent des oracles à prix d’argent, et ils osent s’appuyer sur l’Eternel et dire: "Certes l’Eternel est au milieu de nous, aucun mal ne nous atteindra!"
12 Kwa hiyo, kwasababu yenu, Sayuni italimwa kama shamba, Yerusalemu itakuwa rundo la kifusi, na mwinuko wa hekalu utakuwa kama mwinuko wa msituni.
Eh bien! à cause de vous Sion sera labourée comme un champ, Jérusalem deviendra un monceau de ruines, et la montagne du temple une hauteur boisée.

< Mika 3 >