< Mika 2 >
1 Ole wao wale wanao wanaokusudia mabaya, kwa wale wanaokusudia kwenye vitanda vyao kufanya maovu. Katika asubuhi wanayafanya kwa sababu wana nguvu.
»Gorje tistim, ki snujejo krivičnost in na svojih posteljah počnejo zlo! Ko je jutro svetlo, to izvajajo, ker je to v moči njihove roke.
2 Wanatamani mashamba na kuyapunguza; wanazitamani nyumba na kuzichukua. Wanadhulumu mtu na nyumba yake, mtu na urithi wake.
Poželijo si polja in jih zavzamejo z nasiljem, hiše in si jih vzamejo. Tako zatirajo moža, njegovo hišo in njegovo dediščino, celo moža in njegovo dediščino.«
3 Kwa hiyo Yahwe asema hivi, “Tazama, nakaribia kuleta janga dhidi ya huu ukoo, ambalo hamtazitoa shingo zenu. Hamtatembea kwa kiburi, kwa kuwa itakuwa wakati wa uovu.
Zato tako govori Gospod: »Glej, zoper to družino snujem zlo, od katerega svojih vratov ne boste odstranili niti ne boste hodili ošabno, kajti ta čas je hud.
4 Katika siku hiyo maadui zako wataimba wimbo kuhusu wewe, na kuomboleza kwa maombolezo ya huzuni. Wataimba, 'Sisi Waisraeli tumeangamizwa kabisa; Yahwe hubadilisha eneo la watu wangu. Je ataliondoaje kutoka kwangu? Huwagawia mshamba yetu kusaliti.”'
Na tisti dan bo nekdo vzel prispodobo zoper vas in žaloval z otožnim žalovanjem in rekel: ›Popolnoma bomo oplenjeni. Spremenil je delež mojega ljudstva. Kako je to odstranjeno od mene! Obračajoč se stran je razdelil naša polja.‹
5 Kwa hiyo, ninyi watu matajiri hamtakuwa uzao kugawanya eneo kwa kupiga kura katika mkutano wa Yahwe.
Zato ne boš imel nobenega, ki bi z žrebom vrgel vrvico v Gospodovi skupnosti.
6 “Msitabiri,” wanasema. “Hawatayatabiri haya mambo; lawama hazitakuja.”
»Ne prerokujte, « pravijo tistim, ki prerokujejo. Naj jim ne prerokujejo, da oni ne bi odvrnili sramote.
7 Je litasemwa kweli, nyumba ya Yakobo, “je Roho ya Yahwe? Je haya ni matendo yake kweli?” Maneno yangu hayafai kwa kila mmoja atembeaye kwa unyoofu?
Oh ti, ki si poimenovan Jakobova hiša, mar je Gospodov duh omejen? Mar so to njegova dejanja? Ali moje besede ne delajo dobro tistemu, ki hodi pošteno?
8 Hivi karibuni watu wangu wameinuka kama adui. Mmelivua joho, nguo, kutoka wale wapitao wasioshutumiwa, kama maaskari kurudi kutoka kwenye vita kwa kile wakifikiriacho ni salama.
Celo od davnine je moje ljudstvo vstalo kakor sovražnik. Ogrinjalo z oblačilom vlečete s tistih, ki varno hodijo mimo, kakor ljudje, ki so nasprotni vojni.
9 Mnawaendesha wanawake wangu kwa watu wangu kutoka kwenye nyumba nzuri; mnachukua baraka kutoka kwa watoto wao wadogo daima.
Ženske mojega ljudstva ste metali iz njihovih prijetnih hiš; njihovim otrokom ste mojo slavo vzeli na veke.
10 Inukeni na muondoke, kwa kuwa hii sio sehemu ambayo mnaweza kuishi, kwa sababu ya unajisi wake; imeangamizwa kwa maangamizo kabisa.
Vstanite in odidite, kajti to ni vaš počitek. Ker je ta [dežela] omadeževana, vas bo uničila, celo z bolečim uničenjem.
11 Kama mtu akija kwenu katika roho ya uongo na kudanganya na kusema, “Nitatabiri kwenu kuhusu mvinyo na kilevi kikali,” angeweza kufikiriwa kuwa nabii kwa ajili ya hawa watu.
Če človek, ki hodi v duhu in neresnici, laže, rekoč: ›Prerokoval ti bom o vinu in o močni pijači, ‹ bo ta torej prerok temu ljudstvu.
12 Nitawaleta pamoja wote hakika, Yakobo. Hakika nitawakusanya mabaki ya Israeli. Nitawaleta pamoja kama kondoo katika zizi, kama kundi la wanyama katika malisho. Kutakuwa na kelele kwasababu ya wingi wa watu.
Zagotovo te bom vsega združil, oh Jakob, zagotovo bom zbral Izraelov preostanek. Skupaj jih bom postavil kakor ovce iz Bocre, kakor trop v sredi njihove staje. Naredili bodo velik hrup zaradi razloga množice ljudi.
13 Mtu avunjaye hufungua njia zao kwa ajili yao kwenda mbele yao. Wamebomoa kupitia lango na kutoka nje; mfalme wao atapita mbele yao. Yahwe atakuwa mbele yao.
Lomilec je prišel gor prednje. Vlomili so in prešli skozi velika vrata in pri njih odšli ven, in njihov kralj bo šel pred njimi in Gospod jim bo na čelu.«