< Mika 2 >

1 Ole wao wale wanao wanaokusudia mabaya, kwa wale wanaokusudia kwenye vitanda vyao kufanya maovu. Katika asubuhi wanayafanya kwa sababu wana nguvu.
Ajalkhun chunga alupna muna, ajan jan a thilse bolding ngaitoa gel gelho ada ahiuve, ijeh-inem itileh athodoh teng abol nathei tha aneiyu ahi.
2 Wanatamani mashamba na kuyapunguza; wanazitamani nyumba na kuzichukua. Wanadhulumu mtu na nyumba yake, mtu na urithi wake.
Gam phabep na deichat jong chu nakilah jengin ahi, mi koitobang ham insah na deichat jong chu nakilah jengin ahi.
3 Kwa hiyo Yahwe asema hivi, “Tazama, nakaribia kuleta janga dhidi ya huu ukoo, ambalo hamtazitoa shingo zenu. Hamtatembea kwa kiburi, kwa kuwa itakuwa wakati wa uovu.
Hiche hi Pakaiyin asei ahi, “Thilse naboljeha thilse kapeh ding; nanah homma kona na lolchang na bodoh jou lou ding, Chuleh kiletsah tahin lam jot hih'in, phat khohtah hung ding ahi.
4 Katika siku hiyo maadui zako wataimba wimbo kuhusu wewe, na kuomboleza kwa maombolezo ya huzuni. Wataimba, 'Sisi Waisraeli tumeangamizwa kabisa; Yahwe hubadilisha eneo la watu wangu. Je ataliondoaje kutoka kwangu? Huwagawia mshamba yetu kusaliti.”'
Hiche nikho teng chule nagal miten totnop na-a na nei ding, nang douna-a kiletsahna la asah ding, keiho amongthah kahi tauve, Pakaiyin kamite chanding akheltan, kakoma konin kachanding akilah dohtan ahi.
5 Kwa hiyo, ninyi watu matajiri hamtakuwa uzao kugawanya eneo kwa kupiga kura katika mkutano wa Yahwe.
Pakai miten nagamgi iti kisekhen ham tia aei sangun, michom dangin nagamgi asekhen ding ahitai.
6 “Msitabiri,” wanasema. “Hawatayatabiri haya mambo; lawama hazitakuja.”
Hitobang chu seitahih in, mipiten adonbutuve. Hitobng chun gaothu seidan.
7 Je litasemwa kweli, nyumba ya Yakobo, “je Roho ya Yahwe? Je haya ni matendo yake kweli?” Maneno yangu hayafai kwa kila mmoja atembeaye kwa unyoofu?
O Israel insung mite, hitobanga hi thu kiseimong mong ding hinam? Pakai lhagao chu thohhat taha um mong hinam? Adih chu nabol nom leh, kilhamonna thu keija kona najah ding ahiye.
8 Hivi karibuni watu wangu wameinuka kama adui. Mmelivua joho, nguo, kutoka wale wapitao wasioshutumiwa, kama maaskari kurudi kutoka kwenye vita kwa kile wakifikiriacho ni salama.
Tutahin kamite eidoudin akipanun, galmite bangin, mi lungmonga umjong anung lamah asangkhol na holhah pehun, kiphatlam taha umho jong gal nabol khumuve.
9 Mnawaendesha wanawake wangu kwa watu wangu kutoka kwenye nyumba nzuri; mnachukua baraka kutoka kwa watoto wao wadogo daima.
Kamite numeiho, nomtah a achennaova konin anodoh un, achateo asenhoa konin jong Pathen loupina alamang tauve.
10 Inukeni na muondoke, kwa kuwa hii sio sehemu ambayo mnaweza kuishi, kwa sababu ya unajisi wake; imeangamizwa kwa maangamizo kabisa.
Kipatdoh un! Chetauvin! Hikom mun hi na gamule na in-u ahipoi, nangho dinga chonsetna dimset mun ahi, chule themmona jeh'a kichai deh jeng nahiuve.
11 Kama mtu akija kwenu katika roho ya uongo na kudanganya na kusema, “Nitatabiri kwenu kuhusu mvinyo na kilevi kikali,” angeweza kufikiriwa kuwa nabii kwa ajili ya hawa watu.
Avetkah nan Themgao tamtah laha jousei themgao khat in, na kom ah, “Keiman tunia ju leh khamna theija Kipana Thupha kasei ding ahi!” ati.
12 Nitawaleta pamoja wote hakika, Yakobo. Hakika nitawakusanya mabaki ya Israeli. Nitawaleta pamoja kama kondoo katika zizi, kama kundi la wanyama katika malisho. Kutakuwa na kelele kwasababu ya wingi wa watu.
“Nikhat leh O Israel keiman kahin khop ding nahiuve, keiman akidalha amoh chengse kahin khop ding nahiuve, kelngoihonte banga hamhing laha kahin lonkhom kit ding nahiuve. Heng’e, na gamuva mi hung tam kit ding ahi.
13 Mtu avunjaye hufungua njia zao kwa ajili yao kwenda mbele yao. Wamebomoa kupitia lango na kutoka nje; mfalme wao atapita mbele yao. Yahwe atakuwa mbele yao.
Na lamkaiteuvin nakikai mong naova kona nasuhtup kitdiu ahi, chule nagalmiteu kelkot phunga kona na hong sunga nahung kile kit dingu ahi, na Lengpaovin na lamkai untin na Pakaiyu mong mongin na ventup jing dingu ahi”.

< Mika 2 >