< Mika 1 >

1 Hili ni neno la Yahwe ambalo lilikuja kwa Mika Mmorashti katika siku za Yotahamu, Ahazi, na Hezekeia, mfalme wa Yuda, lile neno aliloliona kuhusiana na Samaria na Yerusalemu.
Et la parole de Dieu vint à Michée, fils de Morasthi, aux jours de Joatham, Achaz et Ézéchias, rois de Juda, sur les choses qu'il vit concernant Samarie et Jérusalem.
2 Sikilizeni, ninyi watu wote. Sikilizeni, dunia, na vyote vilivyomo kwenye dunia. Acheni Yahwe ashuhudiwe dhidi yenu, Bwana kutoka kwenye hekalu lake takatifu.
Écoutez, peuples, ces paroles; que toute la terre soit attentive, et tous ceux qu'elle contient. Et le Seigneur Maître sera parmi nous comme un témoignage, le Seigneur du haut de Sa maison sainte.
3 Tazama, Yahwe anakuja kutoka mahali pake; atashuka chini na kupakanyaga mahali pa juu katika dunia.
Car voilà que le Seigneur sortira du lieu où Il réside, et Il descendra, et Il marchera sur les hauteurs de la terre.
4 Milima itayeyuka chini yake; mabonde yatapasuka vipande vipande kama mshumaa mbele ya moto, kama maji ambayo yamemwagika chini ya mteremko mkali.
Et sous Lui les montagnes seront émues, et les vallées fondront comme la cire devant le feu, et comme les eaux d'une cataracte.
5 Haya yote ni kwasababu ya uasi wa Yakobo, na kwasababu ya dhambi za nyumba ya Israeli. Je sababu ilikuwa nini kwa uasi wa Yakobo? Je ilikuwa Samaria? Je sababu ilikuwa nini kwa mahali pa juu pa Yuda? Je haiukuwa Yerusalemu?
Et tout cela arrivera à cause de l'impiété de Jacob et des péchés de la maison d'Israël. Quelle est l'impiété de Jacob? n'est-ce pas Samarie? Quel est le péché de Juda? n'est-ce pas Jérusalem?
6 “Nitaifanya Samaria rundo la uharibifu katika shamba, kama eneo la kupandia mizabibu. Nitayavuta mawe ya jengo lake kwenda kwenye bonde; Nitaifunua misingi yake.
Je rendrai Samarie comme la cabane d'un garde de vergers dans les champs, comme un plant de vigne; et J'arracherai ses pierres pour les jeter dans le ravin, et Je mettrai à découvert ses fondations.
7 Sanamu zake zote za kuchonga zitapondwa vipande vipande; na zawadi zake zote zitachomwa moto. Kwa kuwa zawadi zake za ukahaba amezikusanya, na kama malipo ya ukahaba yatarudi.”
Et toutes ses statues tomberont; et tous ses salaires qu'elle a reçus seront livrés aux flammes; et J'anéantirai toutes ses idoles; car elle a amassé des salaires de prostitution; et de ces salaires de prostitution elle s'est enrichie.
8 Kwa sababu hii nitalia na kuomboleza; nitaenda peku peku na uchi; Nitaomboleza kama mbeha na kuomboleza kama bundi.
À cause de cela, elle se frappera la poitrine et se lamentera; elle ira nue et déchaussée; ses lamentations seront comme les sifflements du dragon, et ses plaintes comme celles des filles des Sirènes.
9 Kwa kuwa jeraha lake haliponi, kwa kuwa imefika kwa Yuda. Imefikia lango la watu wangu, hadi Yerusalemu.
Car la plaie l'accable; sa plaie s'est étendue jusqu'en Juda, et touche aux portes de Mon peuple, à Jérusalem.
10 Msiache kuwambia kuhusu katika Gathi; msilie tena. Katika Bethi Leafra nabiringisha mwenyewe kwenye mavumbi.
Ô vous, gens de Geth, ne vous glorifiez pas; vous, gens d'Énacim, n'édifiez pas avec les ruines du temple par dérision; mais répandez de la poussière sur vos têtes par dérision de vous-mêmes!
11 Piteni karibu na, makao ya Shafiri, katika uchi na aibu. Makazi ya Zaanani hayatatoka nje. Maombolezo ya Beth Ezeli, kwa ajili ya ulinzi yamechukuliwa.
La populeuse Sennaar, qui habite en joie ses villes, n'en est point sortie pour pleurer une maison voisine; elle entendra votre plainte douloureuse.
12 Kwa kuwa wakaaji wa Marothi hungoja habari njema, kwa sababu hofu, kwa sababu msiba umetoka kwa Yahwe hadi kwenye malango ya Yerusalemu.
Qui a commencé à faire du bien à celle qui habitait dans la douleur? Car les maux sont aussi descendus, par le Seigneur, jusqu'aux portes de Jérusalem,
13 Wfuungeni lijamu farasi wakokote gari la farasi, makazi ya Lakishi. Wewe Lakishi, ulikuwa mwanzo wa dhambi kwa binti Sayuni, kwa kuwa makosa ya Israeli yalionekana kwako.
avec le tumulte des chars et des cavaliers. Celle qui demeure en Lachis est pour le fille de Sion le principe de son péché; car en toi se sont trouvés les impiétés d'Israël.
14 Hivyo utaipa zawadi ya kuagia Moreshethi Gathi; mji wa Akzibu utawavunja moyo wafalme wa Israeli.
À cause de cela, le Seigneur enverra des vengeurs jusqu'aux héritages de Geth, et jusqu'aux maisons vaines qui ont été vanités pour les rois d'Israël.
15 Tena nitaleta ushindi kwako, makazi ya Maresha; uzuri wa Israeli utakuja Adulamu.
Et ils emmèneront tes héritiers, ô toi qui demeures en Lachis! L'héritage de gloire de la fille d'Israël ne subsistera pas au delà d'Odollam.
16 Kata kipara chako na kata nywele zako kwa ajili ya watoto ambao unaowafurahisha. Fanya kipara chako mwenyewe kama tai, kwa ajili ya watoto wako watakao kwenda utumwani kutoka kwako
Rase-toi, coupe ta chevelure à cause de tes enfants, qui font tes délices; dilate ton veuvage comme un aigle; car on les a emmenés en captivité hors de toi.

< Mika 1 >