< Mika 1 >

1 Hili ni neno la Yahwe ambalo lilikuja kwa Mika Mmorashti katika siku za Yotahamu, Ahazi, na Hezekeia, mfalme wa Yuda, lile neno aliloliona kuhusiana na Samaria na Yerusalemu.
Parole de Dieu qui fut adressée, du temps de Jotham, Achaz, Ezéchias, rois de Juda, à Michée de Moréchet, lequel prophétisa au sujet de Samarie et de Jérusalem:
2 Sikilizeni, ninyi watu wote. Sikilizeni, dunia, na vyote vilivyomo kwenye dunia. Acheni Yahwe ashuhudiwe dhidi yenu, Bwana kutoka kwenye hekalu lake takatifu.
"Ecoutez, peuples, écoutez tous! Prête ton attention, ô terre, toi et ce que tu renfermes! Que le Seigneur Dieu serve de témoin contre vous, le Seigneur du fond de sa sainte résidence!
3 Tazama, Yahwe anakuja kutoka mahali pake; atashuka chini na kupakanyaga mahali pa juu katika dunia.
Oui, voici l’Eternel qui sort de sa demeure, qui descend et foule les hauteurs de la terre.
4 Milima itayeyuka chini yake; mabonde yatapasuka vipande vipande kama mshumaa mbele ya moto, kama maji ambayo yamemwagika chini ya mteremko mkali.
Sous ses pas, les montagnes se liquéfient, lés vallées se crevassent: ainsi la cire fond sous l’action du feu et les eaux se précipitent sur une pente.
5 Haya yote ni kwasababu ya uasi wa Yakobo, na kwasababu ya dhambi za nyumba ya Israeli. Je sababu ilikuwa nini kwa uasi wa Yakobo? Je ilikuwa Samaria? Je sababu ilikuwa nini kwa mahali pa juu pa Yuda? Je haiukuwa Yerusalemu?
Tout cela à cause de l’infidélité de Jacob et des prévarications de la maison d’Israël. A qui imputer l’infidélité de Jacob? N’Est-ce point à Samarie? A qui les hauts-lieux de Juda? N’Est-ce point à Jérusalem?
6 “Nitaifanya Samaria rundo la uharibifu katika shamba, kama eneo la kupandia mizabibu. Nitayavuta mawe ya jengo lake kwenda kwenye bonde; Nitaifunua misingi yake.
Aussi ferai-je de Samarie un champ de décombres, un terrain de plantation pour des vignes. Je lancerai ses pierres dans la vallée et mettrai à nu ses fondations.
7 Sanamu zake zote za kuchonga zitapondwa vipande vipande; na zawadi zake zote zitachomwa moto. Kwa kuwa zawadi zake za ukahaba amezikusanya, na kama malipo ya ukahaba yatarudi.”
Toutes ses images sculptées seront fracassées, ses présents d’amour consumés par le feu; toutes ses statues, je les réduirai en ruines; car les ayant amassées avec le salaire de la prostitution, elle les verra s’en aller en salaire de prostitution.
8 Kwa sababu hii nitalia na kuomboleza; nitaenda peku peku na uchi; Nitaomboleza kama mbeha na kuomboleza kama bundi.
C’Est pour cela que je veux donner cours à mes plaintes, à mes lamentations, circuler pieds-nus et sans vêtements, poussant des hurlements lugubres comme les chacals et des cris plaintifs comme les autruches.
9 Kwa kuwa jeraha lake haliponi, kwa kuwa imefika kwa Yuda. Imefikia lango la watu wangu, hadi Yerusalemu.
Car cuisants sont les maux qui l’ont frappée, ils atteignent même Juda, s’étendent jusqu’à la porte de mon peuple, jusqu’à Jérusalem.
10 Msiache kuwambia kuhusu katika Gathi; msilie tena. Katika Bethi Leafra nabiringisha mwenyewe kwenye mavumbi.
Ne le racontez pas à Gath! Evitez de pousser des sanglots! Dans les maisons de Afra, roulez-vous dans la poussière!
11 Piteni karibu na, makao ya Shafiri, katika uchi na aibu. Makazi ya Zaanani hayatatoka nje. Maombolezo ya Beth Ezeli, kwa ajili ya ulinzi yamechukuliwa.
Suivez votre chemin, habitants de Chafir, dans une nudité honteuse! Les habitants de Caanân, eux, n’osent pas sortir; le deuil de Bethaêcel vous ôte l’envie d’y séjourner.
12 Kwa kuwa wakaaji wa Marothi hungoja habari njema, kwa sababu hofu, kwa sababu msiba umetoka kwa Yahwe hadi kwenye malango ya Yerusalemu.
Les habitants de Maroth tremblent pour leur bien-être, puisque déjà, de par l’Eternel, le malheur a fondu sur les portes de Jérusalem.
13 Wfuungeni lijamu farasi wakokote gari la farasi, makazi ya Lakishi. Wewe Lakishi, ulikuwa mwanzo wa dhambi kwa binti Sayuni, kwa kuwa makosa ya Israeli yalionekana kwako.
Attachez les chars aux coursiers, habitants de Lakhich! Tu fus une source de péché pour la fille de Sion, car c’est bien chez toi que se trouvent les crimes d’Israël.
14 Hivyo utaipa zawadi ya kuagia Moreshethi Gathi; mji wa Akzibu utawavunja moyo wafalme wa Israeli.
C’Est pourquoi tu diras adieu à Moréchet-Gath; les maisons d’Akhzib sont une déception pour les rois d’Israël.
15 Tena nitaleta ushindi kwako, makazi ya Maresha; uzuri wa Israeli utakuja Adulamu.
Une fois de plus, habitants de Marêcha, j’amènerai un conquérant contre toi; jusqu’à Adoullam parvient l’élite d’Israël.
16 Kata kipara chako na kata nywele zako kwa ajili ya watoto ambao unaowafurahisha. Fanya kipara chako mwenyewe kama tai, kwa ajili ya watoto wako watakao kwenda utumwani kutoka kwako
Coupe-toi les cheveux, rase-toi à cause des enfants qui sont tes délices. Rends ta calvitie large comme les ailes de l’aigle, puisqu’ils te quittent pour aller en exil.

< Mika 1 >