< Mathayo 1 >

1 Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo mwana wa Daudi, mwana wa Ibrahimu.
Ikhitabu eikya khikolo eikya Yeisu Klisiti mwana va Ibrahimu.
2 Ibrahimu alikuwa baba wa Isaka, na Isaka baba wa Yakobo, na Yakobo baba wa Yuda na ndugu zake.
U Ibrahimu ale vise va Isakha, nu Isakha ale vise va Yakobo, nu Yakobo ale vise va Yuda nu vukolo vake.
3 Yuda alikuwa baba wa Peresi na Sera kwa Tamari, Peresi baba wa Hezeroni, na Hezeroni baba wa Ramu.
UYuta ale vise va Pelesi nu Sera khwa Tamali, uPelesi vise va Hezeloni, nu Hezeloni vise va Ramu.
4 Ramu alikuwa baba wa Aminadabu, Aminadabu baba wa Nashoni, na Nashoni baba wa Salimoni.
U Ramu ale vise va Aminadabu, Aminadabu vise va Nashoni, nu Nashoni vise va Salimoni.
5 Salimoni alikuwa baba wa Boazi kwa Rahabu, Boazi baba wa Obedi kwa Ruth, Obedi baba wa Yese,
U Salimoni vise va Boazi khwa Rahabu, u Boazi vise va Obedi khwa Luti, u Obedi vise va Yese,
6 Yese alikuwa baba wa mfalme Daudi. Daudi alikuwa baba wa Sulemani kwa mke wa Uria.
u Yese ale vise vantwa u Daudi. U Daudi ale vise va Sulemani khu dala va Uria.
7 Sulemani alikuwa baba wa Rehoboamu, Rehoboamu baba wa Abiya, Abiya baba wa Asa.
U Sulemani ale vise va Rehoboamu, Rehoboamu vise va Abiya, Abiya vise va Asa.
8 Asa alikuwa baba wa Yehoshafati, Yehoshafati baba wa Yoramu, na Yoramu baba wa Uzia.
U Asa ale vise va Yehoshafati, Yehoshafati vise va Yoramu, nu Yoramu vise va Uzia.
9 Uzia alikuwa baba wa Yothamu, Yothamu baba wa Ahazi, Ahazi baba wa Hezekia.
U Uzia ale vise va Yothamu, u Yothamu vise va Ahazi, Ahazi vise va Hezekia.
10 Hezekia alikuwa baba wa Manase, Manase baba wa Amoni na Amoni baba wa Yosia.
U Hezekia ale vise va Manase, u Manase vise va Amoni nu Amoni vise va Yosia.
11 Yosia alikuwa baba wa Yekonia na kaka zake wakati wa kuchukuliwa kwenda Babeli.
U Yosia vise va Yekonia na vavahave useikhi ugwa khutoliwa ukhuluta khu Babeli.
12 Na baada ya kuchukuliwa kwenda Babeli, Yekonia alikuwa baba wa Shatieli, Shatieli alikuwa babu yake na Zerubabeli.
Va vile vatoliwe ukhuluta khu Babeli, u Yekonia ale visa va Shatieli, Shatieli ale khukhuye va Zerubabeli.
13 Zerubabeli alikuwa baba wa Abiudi, Abiudi baba wa Eliakimu, na Eliakimu baba wa Azori.
U Zerubabeli ale vise va Abiudi, Abiudi u vise va Eliakimu, u Eliakimu vise va Azori.
14 Azori alikuwa baba wa Zadoki, Zadoki baba wa Akimu, na Akimu baba wa Eliudi.
Azori vise va Zadoki, nu Zadoki vise va Akimu, nu Akimu vise va Eliudi.
15 Eliudi alikuwa baba wa Elieza, Elieza baba wa Matani na Matani baba wa Yakobo.
U Eliudi ale vise va Elieza, nu Elieza vise va Matani nu Matani vise va Yakobo.
16 Yakobo alikuwa baba wa Yusufu mume wa Mariamu, ambaye kwa yeye Yesu alizaliwa, aitwaye Kristo.
UYakobo vise va Yosefu ugosi va Maliya uvi umwene UYesu aholiwe, uveikhilangiwa vei Kilisite.
17 Vizazi vyote tangu Ibrahimu hadi Daudi vilikuwa vizazi kumi na vinne, kutoka Daudi hadi kuchukuliwa kwenda Babeli vizazi kumi na vinne, na kutoka kuchukuliwa kwenda Babeli hadi Kristo vizazi kumi na vinne.
Ifivumbukhu fyooni ukhuhuma khwa Ibrahimu impakha khwa Daudi fyale ifivumbukhu kumi ni fine, ukihuhuma khwa Davidi impakha ukhutoliwa ukhuluta khu Babeli ifivu mbukhu kumi ni fine nu khutoliwa ukhuhuma khu Bababeli impakha kwa kilisite ifivumbukhu kumi ni fine.
18 Kuzaliwa kwa Yesu Kristo kulikuwa kwa namna hii. Mama yake, Mariamu, alichumbiwa na Yusufu, lakini kabla hawajakutana, alionekana kuwa na mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu.
Ukhuholiwa khwa Yeisu khwale nde. Umamaye, UMaliya, UYosefu, vu ahilikhe eindanda sakha, vuva khamale ukhutolana pu UMaliya akhavonekha ukhuta aleinonehigo mumakha ga mepo umbalanche.
19 Mume wake Yusufu, alikuwa mtu mwenye haki hakutaka kumwaibisha hadharani. Aliamua kusitisha uchumba wake naye kwa siri.
Ugosi va mwene u Yosefu ale munu golofu sanogwe ukhukoncha isoni pa vanu. Pu akhalamula ukhundekha u ng'eincha va mwene khuvutitu avanu khitaluanya.
20 Alipokuwa akifikiri juu ya mambo haya, Malaika wa Bwana alimtokea katika ndoto, akisema,'' Yusufu mwana wa Daudi, usiogope kumchukua Mariamu kama mkeo, kwa sababu mimba aliyonayo ni kwa uweza wa Roho Mtakatifu.
Pu avile isaga ndavule usuhwa Vantwa akhambonekhela mu njosi, akhata, “Yosefu mwana va Daudi, ulekhe ukhudwaada ukhutola uMaliyamu ndu dala vakho, ulwa khuva unchigo ugwaleinagwo gwa makha gamepo umbalanche.
21 Atajifungua mtoto wa kiume na utamwita jina lake Yesu, kwa maana atawaokoa watu wake na dhambi zao.''
Puyaihola umwana udeemi puyavukhupa eitawa lya mwene vei Yesu, ulwa khuva ayikuvapo kha avanu va mwene.”
22 Yote haya yalitokea kutimizwa kile kilichonenwa na Bwana kwa njia ya nabii, akisema,
Aga gooni gahumile ukhuvonesya khila eikhikhyanchoviwe nu Ntwa ukhugendela munya malago vuita,
23 “Tazama, bikira atachukua mimba na kuzaa mtoto wa kiume, na watamwita jina lake Imanueli”— maana yake, “Mungu pamoja nasi.”
“Lola, ung'enja uvisagonile nu gosi lusikhu pu iva nu chigo nu khuhola umwana udeemi, puvikhumwilangaga eilitawa lya mwene Imanueli”— khukhuta uNguluve paninie nufwe.”
24 Yusufu aliamka kutoka usingizini na kufanya kama malaika wa Bwana alivyomwamuru na alimchukua kama mkewe.
U Yosefu akhasisimukha mutulu nukhugaha nduvu usuhwa va Nguluve ambulile ukhuta atole ave idala va mwene.
25 Hata hivyo, hakulala naye mpaka alipojifungua mtoto wa kiume na alimwita jina lake Yesu.
Pu leino sa gone nave impakha avile aholile umwana udeemi pu akhamwilanga eitawa lya mwene vei Yesu.

< Mathayo 1 >