< Mathayo 9 >
1 Yesu akaingia kwenye boti, akavuka na akafika kwenye mji alipokuwa anaishi.
Ele entrou em um barco e fez a travessia, e entrou em sua própria cidade.
2 Tazama, wakamletea mtu aliyepooza amelazwa kwenye godoro. alipooiona imani yao, Yesu akamwambia mtu aliyepooza, “Mwanangu, uwe na furaha, Dhambi zako zimesamehewa”
Eis que lhe trouxeram um homem que estava paralisado, deitado numa cama. Jesus, vendo a fé deles, disse ao paralítico: “Filho, anima-te! Teus pecados te são perdoados”.
3 Tazama, Baadhi ya walimu wa sheria wakasemezana wao kwa wao, “Huyu mtu anakufuru”
Eis que alguns dos escribas disseram para si mesmos: “Este homem blasfema”.
4 Yesu akatambua mawazo yao na kusema, “Kwa nini mnawaza maovu moyoni mwenu?
Jesus, conhecendo seus pensamentos, disse: “Por que vocês pensam o mal em seus corações?
5 Kipi kilicho rahisi kusema, 'Dhambi zako zimesamehewa' au kusema, 'Simama na utembee?'
Para o que é mais fácil, dizer: 'Seus pecados são perdoados'; ou dizer: 'Levante-se e caminhe'
6 Lakini mtambue ya kwamba Mwana wa Adamu anao uwezo wa kusamehe dhambi...” aliyasema haya kwa yule aliyepooza, “Simama, chukua godoro lako, na uende nyumbani kwako”
Mas para que saibam que o Filho do Homem tem autoridade na terra para perdoar pecados -” (então ele disse ao paralítico), “Levante-se, pegue sua esteira e vá para sua casa”.
7 Ndipo yule mtu akasimama na kuondoka kwenda nyumbani kwake.
Ele se levantou e partiu para sua casa.
8 Makutano walipoona hayo, walishangaa na kumsifu Mungu, ambaye amewapa uwezo huo watu.
Mas quando as multidões o viram, maravilharam-se e glorificaram a Deus, que tinha dado tal autoridade aos homens.
9 Na Yesu alipokuwa akipita kutoka hapo, alimwona mtu ambaye aliitwa kwa jina la Mathayo, ambaye alikuwa amekaa sehemu ya watoza ushuru. Naye akamwambia, “Nifuate mimi” Naye akasimama na kumfuata.
Ao passar dali, Jesus viu um homem chamado Mateus sentado no escritório de cobrança de impostos. Ele disse a ele: “Siga-me”. Ele se levantou e o seguiu.
10 Na Yesu alipoketi ili ale chakula ndani ya nyumba, wakaja watoza ushuru wengi na watu waovu wakashiriki chakula pamoja na Yesu na wanafunzi wake.
Enquanto ele se sentava em casa, eis que muitos cobradores de impostos e pecadores vieram e sentaram-se com Jesus e seus discípulos.
11 Ndipo Mafarisayo walipoona hayo, wakawaambia wanafunzi “Kwa nini mwalimu wenu anakula chakula pamoja na watoza ushuru na watu waovu?”
Quando os fariseus o viram, disseram a seus discípulos: “Por que seu professor come com cobradores de impostos e pecadores?”.
12 Yesu aliposikia hayo, naye alisema “Watu walio na afya nzuri hawahitaji mganga, isipokuwa wale walio wagonjwa.
Quando Jesus ouviu isso, disse-lhes: “Aqueles que são saudáveis não têm necessidade de um médico, mas aqueles que estão doentes têm.
13 Inawapasa muende mkajifunze maana yake, “Ninapenda rehema na siyo dhabihu” Kwa kuwa nilikuja, si kwa wenye haki kutubu, lakini kwa wenye dhambi.
Mas vão e aprendam o que isto significa: 'Desejo misericórdia e não sacrifício', pois não vim para chamar os justos, mas os pecadores ao arrependimento”.
14 Ndipo wanafunzi wa Yohana wakaja kwake na kusema, “Kwa nini sisi na mafarisayo tunafunga, lakini wanafunzi wako hawafungi?”
Então os discípulos de João vieram até ele, dizendo: “Por que nós e os fariseus jejuamos com freqüência, mas seus discípulos não jejuam”?
15 Yesu akawaambia, Je wasindikizaji wa arusi wanaweza kuwa na huzuni pindi Bwana arusi anapokuwa pamoja nao? Lakini siku zinakuja ambapo Bwana arusi atachukuliwa kutoka kwao, na ndipo watakapofunga.
Jesus disse-lhes: “Podem os amigos do noivo lamentar enquanto o noivo estiver com eles? Mas chegarão os dias em que o noivo lhes será tirado, e então eles jejuarão.
16 Hakuna mtu anayeweka kipande cha nguo mpya kwenye nguo ya zamani, kiraka kitatatuliwa kutoka kwenye nguo na mpasuko mkubwa utatokea.
Ninguém coloca um pedaço de pano não encolhido sobre uma peça de roupa velha; pois o remendo seria arrancado da peça de roupa, e um buraco pior é feito.
17 Hakuna watu wanaoweka mvinyo mpya katika chombo cha mvinyo wa zamani, ikiwa watafanya, ngozi itachanika, mvinyo utatoweka na ngozi itaharibika. Badala yake, huweka mvinyo mpya katika ngozi mpya na vyote vitakuwa salama.
Nem as pessoas colocam vinho novo em peles de vinho velhas, senão as peles estourariam, o vinho seria derramado, e as peles arruinadas. Não, eles põem vinho novo em peles de vinho fresco, e ambas são preservadas”.
18 Wakati Yesu alipokuwa akiwaambia mambo hayo, tazama, afisa akaja akasujudu mbele yake, Naye akasema, “Binti yangu amefariki punde, lakini njoo na uweke mkono wako juu yake na yeye ataishi tena.
Enquanto ele lhes dizia estas coisas, eis que um governante veio e o adorou, dizendo: “Minha filha acabou de morrer, mas venha e ponha sua mão sobre ela, e ela viverá”.
19 Ndipo Yesu akasimama na kumfuata na wanafunzi wake pia.
Jesus se levantou e o seguiu, assim como seus discípulos.
20 Tazama, mwanamke ambaye alikuwa anatokwa damu kwa muda wa miaka kumi na miwili, akaja karibu na Yesu na akagusa sehemu ya pindo la vazi lake.
Eis que uma mulher que teve uma descarga de sangue durante doze anos veio atrás dele, e tocou a franja de sua roupa;
21 Kwa kuwa alisema, “Endapo nitagusa vazi lake, nami nitapata uponyaji.”
pois ela disse dentro de si mesma: “Se eu apenas tocar sua roupa, eu ficarei bem”.
22 Yesu akageuka na kumtazama na kumwambia. “Binti, jipe moyo, imani yako imekufanya upone,” Na muda huo huo mwanamke akapata uponyaji muda huo.
Mas Jesus, voltando-se e vendo-a, disse: “Filha, anima-te! Tua fé te fez bem”. E a mulher ficou bem a partir daquela hora.
23 Na Yesu alipofika kwenye nyumba ya afisa, naye aliwaona wapiga tarumbeta na umati wa watu ulikuwa ukipiga kelele.
Quando Jesus entrou na casa do governante e viu os flautistas e a multidão em desordem barulhenta,
24 Naye akasema, “Tokeni hapa, kwa kuwa binti hajafa, bali amelala. Lakini wao walicheka na kumkebehi.
ele lhes disse: “Abram espaço, porque a menina não está morta, mas dormindo”. Eles estavam ridicularizando-o.
25 Na wale watu walipotolewa nje, naye akaingia chumbani na kumshika mkono na msichana akaamka.
Mas quando a multidão foi enviada, ele entrou, pegou-a pela mão e a garota se levantou.
26 Na habari hizi zikaenea katika mji mzima.
O relatório disto saiu por toda aquela terra.
27 Ndipo Yesu alipokuwa akipita kutoka pale, wanaume wawili vipofu wakamfuata. Waliendelea kupaza sauti wakisema, “Tunaomba uturehemu, Mwana wa Daudi.”
Quando Jesus passou dali, dois homens cegos o seguiram, chamando e dizendo: “Tem piedade de nós, filho de Davi”!
28 Pindi Yesu apokuwa amefika kwenye nyumba, wale vipofu wakaja kwake. Yesu akawaambia, “Mnaamini kwamba ninaweza kutenda?” Nao wakamwambia “Ndiyo, Bwana”
Quando ele entrou na casa, os cegos vieram até ele. Jesus lhes disse: “Você acredita que eu sou capaz de fazer isto?” Eles lhe disseram: “Sim, Senhor”.
29 Ndipo Yesu akagusa macho yao na kusema “Na ifanyike hivyo kwenu kama imani yenu ilivyo”
Então ele tocou os olhos deles, dizendo: “De acordo com sua fé seja feita a você”.
30 Na macho yao yakafumbuka. Ndipo Yesu akasisitiza akawaamuru na kusema “Angalieni mtu yeyote asifahamu kuhusu jambo hili.”
Então os olhos deles foram abertos. Jesus lhes ordenou estritamente, dizendo: “Vede que ninguém saiba disto”.
31 Lakini watu hawa wawili wakaondoka na kutangaza habari hizi sehemu zote za mji.
Mas eles saíram e espalharam a sua fama por toda aquela terra.
32 Ndipo wale wanaume wawili walipokuwa wakienda zao, Tazama, mtu mmoja bubu aliyepagawa na pepo akaletwa kwa Yesu.
Ao saírem, eis que um homem mudo que estava possuído por um demônio foi levado até ele.
33 Na pepo walipomtoka, yule mtu bubu akaanza kuongea. Umati ukashangazwa na kusema “Hii haijawahi kutokea katika Israel.
Quando o demônio foi expulso, o homem mudo falou. As multidões se maravilharam, dizendo: “Nada como isto jamais foi visto em Israel!
34 Lakini mafarisayo walikuwa wakisema “Kwa wakuu wa pepo, anawafukuza mapepo”
Mas os fariseus disseram: “Pelo príncipe dos demônios, ele expulsa os demônios”.
35 Yesu akaenda kwenye miji yote na vijiji. Naye akaendelea kufundisha katika masinagogi, akihubiri injili ya ufalme, na kuponya magonjwa ya kila aina na udhaifu wa aina zote.
Jesus percorreu todas as cidades e as aldeias, ensinando em suas sinagogas e pregando a Boa Nova do Reino, e curando todas as doenças e enfermidades entre o povo.
36 Wakati alipotazama umati, naye aliwaonea huruma, kwa sababu walisumbuka na kuvunjika moyo. Walikuwa kama kondoo wasio na mchungaji.
Mas quando ele viu as multidões, ficou comovido com compaixão por elas porque eram assediadas e dispersas, como ovelhas sem pastor.
37 Naye akawaambia wanafunzi wake. “Mavuno ni mengi, lakini wafanya kazi ni wachache.
Então ele disse a seus discípulos: “A colheita é realmente abundante, mas os operários são poucos.
38 Hivyo basi upesi mwombeni Bwana wa mavuno, ili kwamba atume wafanya kazi katika mavuno yake.”
Reze, portanto, para que o Senhor da colheita envie operários para sua colheita”.