< Mathayo 9 >
1 Yesu akaingia kwenye boti, akavuka na akafika kwenye mji alipokuwa anaishi.
Hahoi, Jisuh ni long dawk a kâcui teh, a ma onae kho tui namran lah a pha navah,
2 Tazama, wakamletea mtu aliyepooza amelazwa kwenye godoro. alipooiona imani yao, Yesu akamwambia mtu aliyepooza, “Mwanangu, uwe na furaha, Dhambi zako zimesamehewa”
a kutkhok kamkhuen e tami buet touh ikhun dawk sut ka yan e hah ama koe a thokhai awh. Jisuh ni hotnaw e yuemnae hah a hmu navah, ka kamkhuen e tami hanelah, ka capa, kângai hanh. Na yon ngaithoum lah ao toe.
3 Tazama, Baadhi ya walimu wa sheria wakasemezana wao kwa wao, “Huyu mtu anakufuru”
Cakathutkungnaw tangawn ni teh Cathut ka tapuet lah lawk a dei telah a pouk awh.
4 Yesu akatambua mawazo yao na kusema, “Kwa nini mnawaza maovu moyoni mwenu?
Jisuh ni hotnaw e lungpouk hah a hmu navah, nangmouh ni bangkongmaw utsinnae lung na tawn awh.
5 Kipi kilicho rahisi kusema, 'Dhambi zako zimesamehewa' au kusema, 'Simama na utembee?'
Bang lawk maw dei bet ka yawihnawn. Na yon ngaithoum lah ao toe tie maw bet ka yawihnawn, nahoeh teh thaw nateh cet leih tie maw bet ka yawihnawn.
6 Lakini mtambue ya kwamba Mwana wa Adamu anao uwezo wa kusamehe dhambi...” aliyasema haya kwa yule aliyepooza, “Simama, chukua godoro lako, na uende nyumbani kwako”
Tami Capa teh talaivan vah yon ngaithoum thainae kâtawnnae ka tawn tie nangmouh ni na panue awh nahanelah, thaw leih. Na phailei hah sin nateh nama im vah cet leih, telah ka kamkhuen e tami hah atipouh.
7 Ndipo yule mtu akasimama na kuondoka kwenda nyumbani kwake.
Ahni ni a thaw teh a ma im vah a cei.
8 Makutano walipoona hayo, walishangaa na kumsifu Mungu, ambaye amewapa uwezo huo watu.
Tami kamkhuengnaw ni a hmu awh navah a kângairu awh teh, taminaw koevah hettelah sak thainae kapoekung kahring Cathut hah a pholen awh.
9 Na Yesu alipokuwa akipita kutoka hapo, alimwona mtu ambaye aliitwa kwa jina la Mathayo, ambaye alikuwa amekaa sehemu ya watoza ushuru. Naye akamwambia, “Nifuate mimi” Naye akasimama na kumfuata.
Hote hmuen koehoi Jisuh a cei navah, tamuk cawngnae im dawk ka tahung e Matthai hah a hmu navah, ka hnuk kâbang haw atipouh. Ahni hai a thaw teh, a hnuk a kâbang.
10 Na Yesu alipoketi ili ale chakula ndani ya nyumba, wakaja watoza ushuru wengi na watu waovu wakashiriki chakula pamoja na Yesu na wanafunzi wake.
Hathnukkhu imthung bu ca hanlah a tahung navah, tamuk kacawngnaw hoi tamikathoutnaw a tho awh teh, a hnukkâbangnaw hoi rawca reirei a ven awh.
11 Ndipo Mafarisayo walipoona hayo, wakawaambia wanafunzi “Kwa nini mwalimu wenu anakula chakula pamoja na watoza ushuru na watu waovu?”
Farasinaw ni a hmu awh toteh, a hnukkâbangnaw koe, nangmae Bawipa teh bangkongmaw tamuk kacawngnaw, tamikathoutnaw hoi cungtalah reirei a canei vaw, atipouh awh.
12 Yesu aliposikia hayo, naye alisema “Watu walio na afya nzuri hawahitaji mganga, isipokuwa wale walio wagonjwa.
Jisuh ni a thai navah, a tak kadamnaw ni tâsibawi panki awh hoeh. Kapatawnaw ni doeh a panki awh.
13 Inawapasa muende mkajifunze maana yake, “Ninapenda rehema na siyo dhabihu” Kwa kuwa nilikuja, si kwa wenye haki kutubu, lakini kwa wenye dhambi.
Thuengnae hlak hai pahrennae doeh ka ngai tie na thai panuek awh nahanlah cet a nateh kamtu awh. Tami kalannaw kaw hanlah ka tho hoeh, tamikayonnaw hanelah doeh ka tho, atipouh.
14 Ndipo wanafunzi wa Yohana wakaja kwake na kusema, “Kwa nini sisi na mafarisayo tunafunga, lakini wanafunzi wako hawafungi?”
Hatnavah Jawhan e a hnukkâbangnaw ni ahni koe a hnai awh teh, kaimouh hoi Farasinaw ni rawca ka hai awh. Bangkongmaw na hnukkâbangnaw ni rawca a hai awh hoeh vaw, atipouh awh.
15 Yesu akawaambia, Je wasindikizaji wa arusi wanaweza kuwa na huzuni pindi Bwana arusi anapokuwa pamoja nao? Lakini siku zinakuja ambapo Bwana arusi atachukuliwa kutoka kwao, na ndipo watakapofunga.
Jisuh ni, yupaluenkung teh amae a huikonaw hoi rei ao navah, ahnimouh teh a lungmathoe a maw. Yupaluenkung hah a huikonaw hoi kapek teh alouklah ceitakhainae tue ka phat han. Hattoteh ahnimouh ni rawca a hai awh han.
16 Hakuna mtu anayeweka kipande cha nguo mpya kwenye nguo ya zamani, kiraka kitatatuliwa kutoka kwenye nguo na mpasuko mkubwa utatokea.
Khohna a kapawn e hah a katha e hoi ouk bo awh hoeh. Hottelah bo pawiteh bonae ni bo e hah vak sawn vaiteh hoe kâphi han.
17 Hakuna watu wanaoweka mvinyo mpya katika chombo cha mvinyo wa zamani, ikiwa watafanya, ngozi itachanika, mvinyo utatoweka na ngozi itaharibika. Badala yake, huweka mvinyo mpya katika ngozi mpya na vyote vitakuwa salama.
Hot patetvanlah, phaivuen um karuem dawk misurtui katha e hlun boihoeh. Hottelah hlun pawiteh, phaivuen um karuem tangpawk vaiteh, misurtui a yu han, phaivuen um hai karawk han. Ahruem e misurtui teh a katha e phaivuen um dawk doeh ouk hlun. Hottelah hlun to doeh kahni touh hoi a cuem han, atipouh.
18 Wakati Yesu alipokuwa akiwaambia mambo hayo, tazama, afisa akaja akasujudu mbele yake, Naye akasema, “Binti yangu amefariki punde, lakini njoo na uweke mkono wako juu yake na yeye ataishi tena.
Hete lawknaw a dei lahun nah, bawi buet touh a tho teh, a tabo laihoi Bawipa, ka canu teh atuhlangca a due toe. Hatei, na tho teh, a van vah na kut na toung sin pawiteh bout a hring han atipouh.
19 Ndipo Yesu akasimama na kumfuata na wanafunzi wake pia.
Jisuh ni a thaw teh a hnukkâbangnaw hoi ahnie a hnuk a kâbang awh.
20 Tazama, mwanamke ambaye alikuwa anatokwa damu kwa muda wa miaka kumi na miwili, akaja karibu na Yesu na akagusa sehemu ya pindo la vazi lake.
Hatnavah, kum hlaikahni touh thung thikui patawnae ka tawn e napui buet touh ni,
21 Kwa kuwa alisema, “Endapo nitagusa vazi lake, nami nitapata uponyaji.”
a kâkhu e hni pawi ma hah dek ka tek pawiteh ka dam han telah a pouk dawkvah, rek a hnai teh hni pawi hah dek a tek.
22 Yesu akageuka na kumtazama na kumwambia. “Binti, jipe moyo, imani yako imekufanya upone,” Na muda huo huo mwanamke akapata uponyaji muda huo.
Jisuh ni a kamlang teh hote napui hah a hmu navah, ka canu, kângai hanh. Na yuemnae ni na patawnae a dam sak toe, atipouh. Hat nah hote napui teh a patawnae a dam pouh.
23 Na Yesu alipofika kwenye nyumba ya afisa, naye aliwaona wapiga tarumbeta na umati wa watu ulikuwa ukipiga kelele.
Bawi im a pha awh toteh, tapueng longpan kakhawngnaw hoi taminaw teh ruengrueng ati awh e a hmu navah,
24 Naye akasema, “Tokeni hapa, kwa kuwa binti hajafa, bali amelala. Lakini wao walicheka na kumkebehi.
na phoun awh haw, napui ca teh kadout e nahoeh, ka ip e doeh, atipouh. Hahoi ahnimanaw ni a panuikhai awh.
25 Na wale watu walipotolewa nje, naye akaingia chumbani na kumshika mkono na msichana akaamka.
Haw e taminaw hah koung a tâco sak teh, imthungkhu a kâen, napui ca e a kut dawk a tek pouh tahma vah, napui ca teh hluet a thaw.
26 Na habari hizi zikaenea katika mji mzima.
Hote kamthang teh khoram pueng dawk a kamthang.
27 Ndipo Yesu alipokuwa akipita kutoka pale, wanaume wawili vipofu wakamfuata. Waliendelea kupaza sauti wakisema, “Tunaomba uturehemu, Mwana wa Daudi.”
Jisuh ni hote hmuen koehoi a tâco navah, a mit ka dawn e tami kahni touh ni a hnuk a kâbang roi teh, Devit capa, kaimouh roi heh na pahren haw, telah a hramki roi.
28 Pindi Yesu apokuwa amefika kwenye nyumba, wale vipofu wakaja kwake. Yesu akawaambia, “Mnaamini kwamba ninaweza kutenda?” Nao wakamwambia “Ndiyo, Bwana”
Imthung a kâen navah a mit ka dawn e roi ni rek a hnai roi. Bawipa ni hete heh kai ni ka coung sak thai tie hah na yuem roi maw telah a pacei. Ahnimouh roi ni, ka yuem Bawipa ati roi.
29 Ndipo Yesu akagusa macho yao na kusema “Na ifanyike hivyo kwenu kama imani yenu ilivyo”
Ahnimouh roi e a mit dawk a tek pouh teh, na yuemnae patetlah nangmouh roi koe awmseh, atipouh navah ahnimouh roi e mit teh a ang.
30 Na macho yao yakafumbuka. Ndipo Yesu akasisitiza akawaamuru na kusema “Angalieni mtu yeyote asifahamu kuhusu jambo hili.”
Jisuh ni, apihai panuek sak roi hanh lah a, telah kâhruetcuetnae a poe.
31 Lakini watu hawa wawili wakaondoka na kutangaza habari hizi sehemu zote za mji.
Hatei, ahnimouh roi ni a cei roi teh, hote kamthang hah ram thung pueng a pathang roi.
32 Ndipo wale wanaume wawili walipokuwa wakienda zao, Tazama, mtu mmoja bubu aliyepagawa na pepo akaletwa kwa Yesu.
Ahnimanaw a cei a hnukkhu, kahrai ni a man e tamipathu buet touh ama koe a hrawi awh.
33 Na pepo walipomtoka, yule mtu bubu akaanza kuongea. Umati ukashangazwa na kusema “Hii haijawahi kutokea katika Israel.
A thung e kahrai a pâlei pouh toteh, hote ka pathu e ni lawk a dei. Ka kamkhueng e pueng teh a kângai lah a ru awh teh, Isarel miphun dawk het patetlah e hmawt boihoeh rah ati awh.
34 Lakini mafarisayo walikuwa wakisema “Kwa wakuu wa pepo, anawafukuza mapepo”
Farasinaw ni kahraituilinaw e bawi a kâuep laihoi doeh kahraituilinaw a pâlei ati awh.
35 Yesu akaenda kwenye miji yote na vijiji. Naye akaendelea kufundisha katika masinagogi, akihubiri injili ya ufalme, na kuponya magonjwa ya kila aina na udhaifu wa aina zote.
Jisuh ni khopui khote pueng dawk a cei teh, sinakoknaw dawkvah uknaeram kamthang kahawi hah a cangkhai. Patawnae a cawngca hoi kapatawnaw a dam sak.
36 Wakati alipotazama umati, naye aliwaonea huruma, kwa sababu walisumbuka na kuvunjika moyo. Walikuwa kama kondoo wasio na mchungaji.
Ahnimanaw teh ngawt a tawn awh toung dawkvah, tukhoumkung kaawm hoeh e, pahnawt e tunaw patetlah a hmu.
37 Naye akawaambia wanafunzi wake. “Mavuno ni mengi, lakini wafanya kazi ni wachache.
Hatnavah, Jisuh ni, canga hane moi ao. Ka tawk e naw teh a younca.
38 Hivyo basi upesi mwombeni Bwana wa mavuno, ili kwamba atume wafanya kazi katika mavuno yake.”
Hatdawkvah, law katawnkung koe ratoum awh, canga sak hanelah thawtawkkung a patoun thai nahanlah atipouh.