< Mathayo 8 >
1 Wakati Yesu aliposhuka chini kutoka mlimani, umati mkubwa ulimfuata.
Jisua hah tâng renga a juong chum lehan chu mipui tamtakin an jûia.
2 Tazama, mkoma alikuja na kusujudu mbele yake, akasema, “Bwana, ikiwa uko tayari, unaweza kunifanya niwe safi”.
Hanchu a kôm mi phâr inkhat a honga, a makunga khûkinbilin, “Pu, nu nuomin chu, mi ni minthieng thei,” a tia.
3 Yesu akanyoosha mkono wake na kumgusa, akasema, “Niko tayari. Uwe msafi.” Hapo hapo alitakaswa ukoma wake.
Jisua'n a kut a hongsôna, a tôna, “Ku nuom, Inthieng ta roh!” tiin a thuona. Harenghan a phâr hah ahon thieng kelena.
4 Yesu akamwambia, “Angalia kwamba usiseme kwa mtu yeyote. Shika njia yako, na jioneshe mwenyewe kwa kuhani na utoe zawadi ambayo Musa aliagiza, kwa ajili ya ushuhuda kwao”
Male Jisua'n a kôm han, “Rangâi roh! Tute ril no roh, hannirese, Ochai kôm thengpat inla, va min en roh; hanchu mi murdîn na damzoi, ti an rietna rangin Moses'n inbôlna pêk ranga a lei khâmsai hah va pêk roh a tipea.”
5 Wakati Yesu alipofika Kapernaumu, Jemedari akaja kwake akamuuliza
Jisua capernaum khuoa a hong lûtin chu, Rom râlmi ruoipu ahon tongpuia san rangin ânvûia:
6 akisema, “Bwana, mtumishi wangu amelala nyumbani amepooza na ana maumivu ya kutisha.”
“Pu, ki tîrlâm damloiin insûnga jâlmuna sînginsa theiloiin ana sabakin aom,” a tia.
7 Yesu akamwambia, “Nitakuja na kumponya”.
Jisua'n, “Hong ka ta mindam ki tih,” a tia.
8 Jemedari akajibu na kumwambia, “Bwana, mimi si wathamani hata uje na kuingia ndani ya dari yangu, sema neno tu na mtumishi wangu ataponywa.
Ruoipu han a kôm, “O Pu, ma anghan nimak,” tiin a thuona. “Ki ina chu nu lûtna ngâi jât nimak. Chongbâi korongin tiin la ki tîrlâm dam kelen a tih.
9 Kwa kuwa mimi pia ni mtu niliye na mamlaka, na ninao askari walio chini yangu. Nikisema kwa huyu “Nenda' na huenda, na kwa mwingine 'Njoo' na yeye huja, na kwa mtumishi wangu, 'Fanya hivi,' na yeye anafanya hivyo”
Kei khom ruoipu inchungtak rachamneina nuoia om ki nia, male ku nuoia khom râlmingei an oma. Mi inkhat kôm, ‘Se roh!’ tiin chong ke pêkin chu a se ngâia, midang inkhat kôm ‘Hong roh!’ tiin chong ke pêkin chu a hong ngâi; male ki tîrlâm kôm khom, ‘Mahi sin roh!’ ki tiin chu a sin ngâi.”
10 Wakati Yesu aliposikia haya, alishangazwa na kuwaambia wale waliokuwa wakimfuata, “Kweli ninawaambia, Sijapata kuona mtu mwenye imani kama huyu katika Israel.
Jisua'n ma chong hah a rietin chu a kamâm sabaka, loko a jûingei kôm han, “Nangni ki ril, Israelngei lâia khom tute hima dôra taksônna dôn hi chu la mu tet ngâi mu-ung.
11 Ninawambieni, wengi watakuja kutoka mashariki na magharibi, wataketi katika meza pamoja na Abrahimu, Isaka, na Yakobo, katika ufame wa mbinguni.
Adiktakin nangni ki ril, nisuo tieng le nitâk tieng renga mi tamtak hong an ta, Abraham, Isaac, Jacob ngei kôm invân Rêngrama ruolhoia insung an tih.
12 Lakini watoto wa ufalme watatupwa katika giza la nje, ambapo kutakuwa na kilio na kusaga meno.”
Aniatachu Rêngram nâingei hah chu pêntieng ijînga paiin om an ta, male mahan chap le hâ rielin om an tih.”
13 Yesu akamwambia Jemadari, “Nenda! Kama ulivyokwisha amini, na itendeke hivyo kwako”. Na mtumishi aliponywa katika saa hiyo.
Male Jisua'n râlmi ruoipu tîrlâm kôm han, “Ni ina se ta roh, ni iem angin nata rangin sin nîng atih,” a tia. Hanchu ma mit misim kongkâr han râlmi ruoipu tîrlâm hah a dam zoi.
14 Wakati Yesu alipofika kwenye nyumba ya Petro, alimwona mama mkwe wake na Petro amelala akiwa mgonjwa wa homa.
Jisua hah Peter ina a sea, Peter tarpi jâlmuna jâlin ritun damloiin a juong mua.
15 Yesu akamgusa mkono wake, na homa yake ikamwacha. kisha akaamka akaanza kumhudumia.
Amanu kut hah a tôn pea, a mintun hah a mathâna, male ânthoia a sin a tho pe zoi ani.
16 Na ilipofika jioni, watu wakamletea Yesu wengi waliotawaliwa na pepo. Akawafukuza pepo na wale walio wagonjwa akawaponya.
Kholoi ahong nînchu, mipui ngeiin, Jisua kôm ramkhori sûr mi tamtak an hong tuonga. Jisua'n chongbâiin ratha saloi ngei hah a notpaia, male damloi murdi khom an dam sa zoi.
17 Kwa jinsi hii yalitimia yale yaliyo kwisha kunenwa na Isaya nabii, “Yeye mwenyewe alichukua magonjwa yetu na alibeba maradhi yetu”
Dêipu Isaiah'n, “Ama lelên ei natna ngei a lâk paia, ei damloina ngei a pêl zoi,” tia alei misîr hah ahong tung adik theina rangin maha a tho ani.
18 Kisha Yesu alipoliona kusanyiko limemzunguka, alitoa maelekezo ya kwenda upande mwingine wa Bahari ya Galilaya.
Jisua'n mipui ngei an hong ûm a mûn chu, dîl râl tienga inkân rangin a ruoisingei chong a pêk ngeia.
19 Kisha mwandishi akaja kwake na kumwambia, “Mwalimu, nitakufuata popote utakapoenda.”
Balam minchupu a kôm ahonga. “Minchupu,” “Ne sena muntina nangma leh se rangin inthoksai ki ni zoi,” a tia.
20 Yesu akamwambia, “Mbweha wana mashimo, na ndege wa angani wana viota, lakini mwana wa Adamu hana sehemu ya kulaza kichwa chake.”
Jisua'n a kôm han, “Sialngei kuo an dôna, vangei khomin rubu an dôna, aniatachu Miriem Nâipasal chu a lu minngamna rang luo dôn mak,” tiin a thuona.
21 Mwanafunzi mwingine akamwambia, “Bwana, niruhusu kwanza niende kumzika baba yangu.”
Midang inkhat, ruoisi lâia mi han a kôm, “Pu, insûnga mi min se nôk inla, ka pa la vaphûm bak hi rong,” a tia.
22 Lakini Yesu akamwambia, “Nifuate, na uwaache wafu wazike wafu wao.”
Jisua'n a kôm han, “Ni jûi roh, mithi ngeiin an mithi champui chu phûm rese ngei,” tiin a thuona.
23 Yesu alipoingia kwenye mtumbwi, wanafunzi wake wakamfuata mtumbwini.
Jisua rukuong chunga a chuonga, a ruoisingei khom ama leh an se sa.
24 Tazama, ikainuka dhoruba kuu juu ya bahari, kiasi kwamba mtumbwi ulifunikwa na mawimbi. Lakini Yesu alikuwa amelala.
Inningloiin phâivuopui râttak hah dîl ahong dea, male rukuong hah ngîm rang dôrin tuidâr ânsoka. Aniatachu Jisua chu a lei inphara.
25 Wanafunzi wakaja kwake na kumwamsha wakisema, “Bwana, tuokoe sisi, tunaelekea kufa!”
Ruoisingei hah a kôm an sea, an va kaithoia. “Pumapa, mi sanmojôk ta roh! kin thi rang kêng ani zoi!” an tia.
26 Yesu akawaambia, “kwa nini mnaogopa, ninyi wenye imani ndogo?” Ndipo akaamka na kuukemea upepo na bahari. Kisha kukawa na utulivu mkuu,
Jisua'n an kôm han, “Ithomo nin chi bâka?” “Nin taksôna dôn khom hi idôrtaka chîn mo ani zoi!” tiin a thuona. Hanchu ânthoia, phâivuopui le tuidârinsok hah mong rangin chong a pêka, male chu ânthim ngung zoi.
27 wanaume wakashikwa na mshangao wakasema, “Huyu mtu niwa namna gani, kwamba hata pepo na bahari vinamtii yeye?”
Mi murdi'n an kamâm sabaka, “Hi mi hih kho anga miriem mo ani hi? Phâivuopui le tuidârinsok ten khom a chong an jôm hi!” an tia.
28 Wakati Yesu alipokuwa amekuja upande mwingine wa nchi ya Magadala, wanaume wawili waliotawaliwa na pepo walikutana naye. Walikuwa wakitokea makaburini na walikuwa wakifanya vurugu sana, kiasi kwamba hakuna msafiri angeweza kupita njia ile.
Dîl râl tieng Gadara rama Jisua a hongtung lehan, ramkhori sûr mi inik thân renga hongsuok ngeiin an intongpuia, Ma ngei hah chi an om sikin ma lampuia han tute se ngam ngâi mak ngeia.
29 Tazama, walipaza sauti na kusema, “Tuna nini cha kufanya kwako, mwana wa Mungu? Umekuja hapa kututesa kabla ya wakati kufika?”
Harenghan anni hah an in-ieka, “Pathien Nâipasal, imo mi lo rang ni ti? Zora khâm atung mân dûk mi tho ranga juong mo ni ni?” an tia.
30 Sasa kundi kubwa la nguruwe lilikuwa likichunga, hapakuwa mbali sana walipokuwa,
Ala bâkloina han vok pâlpa sâk rok an oma.
31 pepo waliendelea kulalamika kwa Yesu na kusema. “Ikiwa utatuamuru kutoka, tupeleke kwenye kundi la nguruwe.”
Masikin ramkhoringei han, “Mi ni rujûl rangin chu vok pâlngei sûnga son mi min se roh,” tiin Jisua an ngêna.
32 Yesu akawaambia, “Nendeni!” Pepo wakawatoka na kwenda kwa nguruwe. Na tazama, kundi lote likashuka kutoka mlimani kuteremkia baharini na lote likafia majini.
Jisua'n, “Se roi,” a tipe ngeia; hanchu an jôka, vokngei sûnga an va lûta. Vok pâl murdi hah dîl rakham rôlsora an tânna, dîla an tâkriei zoi ani.
33 Wanaume waliokuwa wakichunga nguruwe walikimbia. Na walipoenda mjini wakaelezea kila kitu, hususani kilichotokea kwa wanaume waliotawaliwa na mapepo.
Vok donsûi mingei hah an tânna, khopui sûnga an sea, a thurchi anrêngin an va misîra, ramkhori sûrngei chunga neinun omtie ngei murdi khom hah an va misîr zoia.
34 Tazama, mji mzima ukaja kukutana na Yesu. Walipomwona, walimsihi aondoke kwenye mkoa wao.
Masikin khopui renga mi murdi Jisua intongpui rangin an suoka; male an va mua anin chu, an ram renga jôkpai rangin an ngên zoi.