< Mathayo 8 >
1 Wakati Yesu aliposhuka chini kutoka mlimani, umati mkubwa ulimfuata.
Suured rahvahulgad järgisid Jeesust, kui ta mäelt alla tuli.
2 Tazama, mkoma alikuja na kusujudu mbele yake, akasema, “Bwana, ikiwa uko tayari, unaweza kunifanya niwe safi”.
Üks pidalitõbine lähenes talle, tuli ja kummardas teda ning ütles: „Issand, kui sa tahad, palun tervenda mind!“
3 Yesu akanyoosha mkono wake na kumgusa, akasema, “Niko tayari. Uwe msafi.” Hapo hapo alitakaswa ukoma wake.
Jeesus sirutas käe ja puudutas teda sellega. „Ma tahan, “ütles ta. „Saa terveks!“Mees sai kohe pidalitõvest terveks.
4 Yesu akamwambia, “Angalia kwamba usiseme kwa mtu yeyote. Shika njia yako, na jioneshe mwenyewe kwa kuhani na utoe zawadi ambayo Musa aliagiza, kwa ajili ya ushuhuda kwao”
„Vaata, et sa kellelegi ei räägi, “ütles Jeesus talle. „Mine ja näita ennast preestrile ning vii avalikuks tõenduseks ohver, mida Mooses käskis.“
5 Wakati Yesu alipofika Kapernaumu, Jemedari akaja kwake akamuuliza
Kui Jeesus jõudis Kapernauma, tuli tema juurde sadakonnaülem ja palus abi:
6 akisema, “Bwana, mtumishi wangu amelala nyumbani amepooza na ana maumivu ya kutisha.”
„Issand, mu sulane on kodus pikali ega suuda liigutada. Ta on kohutavas piinas.“
7 Yesu akamwambia, “Nitakuja na kumponya”.
„Ma tulen ja teen ta terveks, “vastas Jeesus.
8 Jemedari akajibu na kumwambia, “Bwana, mimi si wathamani hata uje na kuingia ndani ya dari yangu, sema neno tu na mtumishi wangu ataponywa.
Sadakonnaülem lausus: „Issand, ma ei ole ära teeninud, et sa mu kodu külastaksid. Ütle lihtsalt sõna ja mu sulane saab terveks.
9 Kwa kuwa mimi pia ni mtu niliye na mamlaka, na ninao askari walio chini yangu. Nikisema kwa huyu “Nenda' na huenda, na kwa mwingine 'Njoo' na yeye huja, na kwa mtumishi wangu, 'Fanya hivi,' na yeye anafanya hivyo”
Sest ma ise olen ülemate võimu all, kuigi ka minu käsutuses on sõdureid. Kui ma käsin üht: „Mine!“, siis ta läheb. Kui käsin teist: „Tule!“, siis ta tuleb. Ma ütlen oma sulasele: „Tee seda!“, ja ta teeb seda.“
10 Wakati Yesu aliposikia haya, alishangazwa na kuwaambia wale waliokuwa wakimfuata, “Kweli ninawaambia, Sijapata kuona mtu mwenye imani kama huyu katika Israel.
Kui Jeesus kuulis tema sõnu, oli ta jahmunud. Ta ütles neile, kes teda järgisid: „Ma ütlen teile tõtt: ma pole sellist kindlat usku leidnud kusagil Iisraelis.
11 Ninawambieni, wengi watakuja kutoka mashariki na magharibi, wataketi katika meza pamoja na Abrahimu, Isaka, na Yakobo, katika ufame wa mbinguni.
Ma ütlen teile, et palju tulevad idast ja läänest ning istuvad taevariigis koos Aabrahami, Iisaki ja Jaakobiga.
12 Lakini watoto wa ufalme watatupwa katika giza la nje, ambapo kutakuwa na kilio na kusaga meno.”
Aga kuningriigi pärijad heidetakse välja äärmisesse pimedusse, kus on nutmine ja hammaste kiristamine.“
13 Yesu akamwambia Jemadari, “Nenda! Kama ulivyokwisha amini, na itendeke hivyo kwako”. Na mtumishi aliponywa katika saa hiyo.
Siis ütles Jeesus sadakonnaülemale: „Mine koju. Kuna sa uskusid, et see võib toimuda, siis on sinu palutu täide läinud.“Sulane sai terveks selsamal hetkel.
14 Wakati Yesu alipofika kwenye nyumba ya Petro, alimwona mama mkwe wake na Petro amelala akiwa mgonjwa wa homa.
Kui Jeesus jõudis Peetruse koju, nägi ta, et Peetruse ämm oli kõrge palavikuga voodis haige.
15 Yesu akamgusa mkono wake, na homa yake ikamwacha. kisha akaamka akaanza kumhudumia.
Jeesus puudutas naise kätt ja palavik lahkus temast. Naine tõusis üles ja hakkas talle toitu valmistama.
16 Na ilipofika jioni, watu wakamletea Yesu wengi waliotawaliwa na pepo. Akawafukuza pepo na wale walio wagonjwa akawaponya.
Kui saabus õhtu, tõid paljud Jeesuse juurde neid, kes olid kurjadest vaimudest vaevatud. Jeesus käskis vaime ja sundis nad lahkuma ning tegi terveks kõik, kes olid haiged.
17 Kwa jinsi hii yalitimia yale yaliyo kwisha kunenwa na Isaya nabii, “Yeye mwenyewe alichukua magonjwa yetu na alibeba maradhi yetu”
Nii täitus see, mida prohvet Jesaja ütles: „Ta tervendas meie vaevused ja vabastas meid meie haigustest.“
18 Kisha Yesu alipoliona kusanyiko limemzunguka, alitoa maelekezo ya kwenda upande mwingine wa Bahari ya Galilaya.
Kui Jeesus nägi enda ümber kogunenud rahvahulka, andis ta korralduse, et nad läheksid järve teisele kaldale.
19 Kisha mwandishi akaja kwake na kumwambia, “Mwalimu, nitakufuata popote utakapoenda.”
Üks vaimulikest õpetajatest lähenes talle ja ütles: „Õpetaja, ma tahan järgida sind kõikjale, kuhu sa lähed!“
20 Yesu akamwambia, “Mbweha wana mashimo, na ndege wa angani wana viota, lakini mwana wa Adamu hana sehemu ya kulaza kichwa chake.”
„Rebastel on urud ja metslindudel pesad, kuid inimese Pojal ei ole kohta, kus ta saaks pikali heita ja puhata, “lausus Jeesus talle.
21 Mwanafunzi mwingine akamwambia, “Bwana, niruhusu kwanza niende kumzika baba yangu.”
Üks teine jünger ütles Jeesusele: „Issand, las ma lähen kõigepealt ja matan oma isa.“
22 Lakini Yesu akamwambia, “Nifuate, na uwaache wafu wazike wafu wao.”
„Järgi mind! Jäta surnud oma surnuid matma, “vastas Jeesus.
23 Yesu alipoingia kwenye mtumbwi, wanafunzi wake wakamfuata mtumbwini.
Siis astus Jeesus paati ja tema jüngrid läksid temaga koos.
24 Tazama, ikainuka dhoruba kuu juu ya bahari, kiasi kwamba mtumbwi ulifunikwa na mawimbi. Lakini Yesu alikuwa amelala.
Äkitselt puhkes äge torm ja lained lõid üle paadi, kuid Jeesus magas edasi.
25 Wanafunzi wakaja kwake na kumwamsha wakisema, “Bwana, tuokoe sisi, tunaelekea kufa!”
Jüngrid läksid tema juurde ja äratasid ta üles. „Päästa meid, Issand! Me upume!“karjusid nad.
26 Yesu akawaambia, “kwa nini mnaogopa, ninyi wenye imani ndogo?” Ndipo akaamka na kuukemea upepo na bahari. Kisha kukawa na utulivu mkuu,
„Miks te nii hirmul olete? Miks on teil nii vähe usku?“küsis ta neilt. Seejärel tõusis ta püsti ning käskis tuulel ja lainetel vait jääda. Kõik jäi täiesti rahulikuks.
27 wanaume wakashikwa na mshangao wakasema, “Huyu mtu niwa namna gani, kwamba hata pepo na bahari vinamtii yeye?”
Jüngrid olid hämmastunud ja ütlesid: „Kes ta küll on? Isegi tuul ja lained kuulavad tema sõna!“
28 Wakati Yesu alipokuwa amekuja upande mwingine wa nchi ya Magadala, wanaume wawili waliotawaliwa na pepo walikutana naye. Walikuwa wakitokea makaburini na walikuwa wakifanya vurugu sana, kiasi kwamba hakuna msafiri angeweza kupita njia ile.
Kui ta jõudis teisele kaldale, gadaralaste piirkonda, tulid talle surnuaia poolt vastu kaks kurjadest vaimudest vaevatud meest. Nad olid nii ohtlikud, et keegi ei julgenud seda teed käia.
29 Tazama, walipaza sauti na kusema, “Tuna nini cha kufanya kwako, mwana wa Mungu? Umekuja hapa kututesa kabla ya wakati kufika?”
Nad karjusid: „Mis on sul meiega tegemist, Jumala Poeg? Kas tulid meid enneaegu vaevama?“
30 Sasa kundi kubwa la nguruwe lilikuwa likichunga, hapakuwa mbali sana walipokuwa,
Eemal oli söömas suur seakari.
31 pepo waliendelea kulalamika kwa Yesu na kusema. “Ikiwa utatuamuru kutoka, tupeleke kwenye kundi la nguruwe.”
Kurjad vaimud anusid teda: „Kui sa ajad meid välja, saada meid seakarja sisse.“
32 Yesu akawaambia, “Nendeni!” Pepo wakawatoka na kwenda kwa nguruwe. Na tazama, kundi lote likashuka kutoka mlimani kuteremkia baharini na lote likafia majini.
„Minge!“käskis Jeesus. Kurjad vaimud lahkusid meestest ja läksid sigade sisse. Kogu kari jooksis järsust mäenõlvast alla merre ja uppus.
33 Wanaume waliokuwa wakichunga nguruwe walikimbia. Na walipoenda mjini wakaelezea kila kitu, hususani kilichotokea kwa wanaume waliotawaliwa na mapepo.
Seakarjased jooksid minema. Nad läksid linna ja rääkisid seal rahvale kõigest, mis oli toimunud, ja sellest, mis oli juhtunud kurjadest vaimudest vaevatud meestega.
34 Tazama, mji mzima ukaja kukutana na Yesu. Walipomwona, walimsihi aondoke kwenye mkoa wao.
Kogu linn tuli välja Jeesusele vastu. Kui nad ta leidsid, palusid nad tal nende piirkonnast lahkuda.