< Mathayo 6 >

1 Zingatia kutotenda matendo ya haki mbele ya watu ili kujionyesha, vinginevyo hutapata thawabu kutoka kwa Baba aliye mbinguni.
Amuchenjele kuti mutachiti milimo yanu iluleme kumeso abantu kuti mwebelwe ambabo. Mwachita obo, tamukwe bulumbu kuli Uuso wanu uulikujulu.
2 Hivyo basi unapotoa usipige tarumbeta na kujisifu mwenyewe kama wanafiki wanavyofanya katika masinagogi na katika mitaa, ili kwamba watu wawasifu. Kweli nawaambia, wamekwisha kupokea thawabu yao.
Nkambo kaako chindi nchowabila bantu izipo utasibi imwembo kubusyu bwabo mbuli mbubachita basikuupawupa ameso muzikombelo amumigwagwa, kuti batembawulwe kubantu. Nchobeni ndamwambila kuti balijene kale bulumbu bwabo.
3 Lakini wewe unapotoa, mkono wako wa kushoto usijue kinachofanywa na mkono wa kulia,
Pesi webo, ichindi nchowabila bantu zipo ijanza lyako lyakululyo litazibi mbulichita lyakuchimwensi.
4 ili kwamba zawadi yako itolewe kwa siri. Ndipo Baba yako aonaye sirini atakupatia thawabu yako.
Kuti zipo zyako zibe kumbali, lino Uuso ubonena kumbali uzokulumbula.
5 Na unapokuwa ukiomba, usiwe kama wanafiki, kwa kuwa wanapenda kusimama na kuomba kwenye masinagogi na kwenye kona za mitaani, ili kwamba watu wawatazame. Kweli nawaambia, wamekwishapokea thawabu yao.
Alimwi chindi nchomukomba mutabi mbuli basikupawupa amenso nkambo balayanda kukomba bwimvwi muzikombelo amuzyooko zyamigwagwa mipati kuti babonwe kubantu. Nchobeni ndamwambila kuti balijene kale bulumbu bwabo.
6 Lakini wewe, unapo omba, ingia chumbani. Funga mlango, na uombe kwa kwa Baba yako aliye sirini. Ndipo Baba yako aonaye sirini atakupatia thawabu yako.
Iwebo chindi nchokomba njila muchimpetu chako ulijalile kumulyango ukkombe kuli Uuso uubonena kumbali uzokulumbula.
7 Na unapokuwa ukiomba, usirudie rudie maneno yasiyo na maana kama mataifa wanavyofanya, kwa kuwa wanafikiri kwamba watasikiwa kwa sababu ya maneno mengi wanayosema.
Alimwi mukukomba kwenu mutayindululi mbuli mbubachita bamaasi, nkambo balayeya kuti balaswililwa kukubwanta kwabo.
8 Kwa hiyo, usiwe kama wao, kwa kuwa Baba yako anatambua mahitaji yako hata kabla hujaomba kwake.
Nkinkaako, mutakozyani abo nkambo Uuso wanu ulikujulu ulizi zintu zyonse nzimubula kamutana kumubuzya
9 Hivyo basi omba hivi: Baba yetu uliye mbinguni, ulitukuze jina lako.
mbuboobu mbumwelede kukomba: 'Taata wesu ooli kujulu, alilemekwe izina lyako, abuze bwami bwako.
10 Ufalme wako uje, mapenzi yako yafanyike hapa duniani kama huko mbinguni.
Aluchitwe luyando lwako, ansi aano mbubonya mbuli kujulu.
11 Utupatiye leo mkate wetu wa kila siku.
Utupe sunu zilyo zitwelede.
12 utusamehe deni zetu, kama nasi tunavyowasamehe wadeni wetu.
Utulekelele milandu yesu, mbubonya mbuli mbutu balakelela aswe bali amilandu kuli ndiswe.
13 Na usitulete katika majaribu, lakini utuepushe kutoka kwa yule mwovu.'
Utatwenzyi mukutempawulwa. Utuvune kumubi, nkambo bwami mbubwako anguzu, abulemu, mane kukabe kutamani. Ameni.
14 Ikiwa mtawasemehe watu makosa yao, Baba yako aliye mbinguni pia atawasamehe ninyi.
Nkambo mwalekelela bantu milandu yabo alakwe Uusowanu ulikujulu ulamulekelela anywebo.
15 Lakini ikiwa hamtawasamehe makosa yao, wala Baba yenu hatawasamehe makosa yenu.
Pele mwatabalekelela bantu milandu yabo anywebo tamukoyolekelelwa.
16 Zaidi ya yote, unapokuwa umefunga, usioneshe sura ya huzuni kama wanafiki wanavyofanya, kwa kuwa wanakunja sura zao ili kwamba watu wawatambue wamefunga. Kweli ninakuambia, wamekwisha kupokea thawabu yao.
Alimwi chindi nchomulyiimya kulya mutabi mbuli basikuwupawupa amenso, nkambo balo balawungumana, balabisya masyu aabo, kuti baboneke kubantu mbubalyimya kulya. Nchobeni ndamwambila kuti balijene kale bulumbu bwabo.
17 Lakini wewe, unapokuwa umefunga, paka mafuta kichwa chako na uoshe uso wako.
Pele chiindi ncholyimya kulya webo, ubotye mutwe wako akusamba kumenso aako.
18 Hivyo haitakuonesha mbele ya watu kuwa umefunga, lakini tu itakuwa kwa Baba yako aliye sirini. Na Baba yako aonaye sirini, atakupa thawabu yako.
Kuti kulyiimya kwako kutaboneki kubantu pele kuli Uuso uuli kumbali lino Uuso uubonena kumbali uzokulumbula.
19 Usijitunzie hazina yako mwenyewe hapa duniani, ambapo nondo na kutu huharibu, ambapo wezi huvunja na kuiba.
Mutaliyobwedi lubono aansi ano mpaabisya mapempe ankalaya ababbi mpobatulula kuti babbe.
20 Badala yake, jitunzie hazina yako mwenyewe mbinguni, ambapo wala nondo wala kutu hawezi kuharibu, na ambapo wezi hawawezi kuvunja na kuiba.
Amuliyobwede lubono lwakujulu nkwatabisyi mapempe ankalaya, ababbi nkubatatululi kuti babbe.
21 Kwa kuwa hazina yako ilipo, ndipo na moyo wako utakapokuwepo pia.
Nkambo lubono lwako nkulubede nkukonya oko nkubede moyo wako.
22 Jicho ni taa ya mwili. Kwa hiyo, ikiwa jicho lako ni zima, mwili wote utajazwa na nuru.
Ilampi lyamubili ndinso nkambo kaako linso lyako kuti kalili sibuuya mubili wako woonse ulazula mumuni.
23 Lakini ikiwa jicho lako ni bovu, mwili wako wote umejaa giza totoro. Kwahiyo, ikiwa nuru ambayo imo ndani yako ni giza hasa, ni giza kubwa kiasi gani!
Anukuti linso lyako kalili abutavu mubili wako woonse lino mumuni mulinduwe wakali mudima. Mudima wayo ulasiya mbi.
24 Hakuna hata mmoja anayeweza kuwatumikia mabwana wawili, kwa kuwa atamchukia mmoja na kumpenda mwingine, au la sivyo atajitoa kwa mmoja na kumdharau mwingine. Hamuwezi kumtumikia Mungu na mali.
Takwe muntu ukonzya kumanina baami bobile milimo nkambo ulasula umwi ulayanda umwi na ulakakilila umwi akusampawula umwi. Tamukonzyi kubelekela Leza antomwe alubono.
25 Kwa hiyo nakuambia, usiwe na mashaka kuhusu maisha yako, kuwa utakula nini au utakunywa nini, au kuhusu mwili wako, utavaa nini. Je! Maisha si zaidi ya chakula na mwili zaidi ya mavazi?
Nkambo kaako ndamwambila kuti, mutalibilikili kubuumi bwanu kuti tukalyeenzi? Nikuba kumibili yenu kuti, tukasamenzi? Buumi bwenu tabwiindi zilyo awalo mubili sa tuyindi zyakusama?
26 Tazama ndege walioko angani. Hawapandi na hawavuni na hawakusanyi na kutunza ghalani, lakini Baba yenu wa mbinguni huwalisha wao. Je ninyi si wa thamani zaidi kuliko wao?
Amulange bayuni bakujulu nkambo tababyali tabatebuli, tabayoboli mumatala, nekuba boobo Uusowanu ulikujulu ulabasanina. Sa inywe tamuyandiki kwinda mbabo?
27 Na ni nani miongoni mwenu kwa kujihangaisha anaweza kuongeza dhiraa moja kwenye uhai wa maisha yake?
Ngwani akati kenu ulibilika ukonzya kukomezya chiimo chakwe nikuba kakokola komwe?
28 Na kwa nini mna kuwa na wasiwasi kuhusu mavazi? Fikiria kuhusu maua kwenye mashamba, jinsi yanavyokua. Hayafanyi kazi na hayawezi kujivisha.
Alimwi nkamboonzi mulalibilikila zyakusama? Amuyeye masamu amusokwe mbwamena, tabeleki, takonzyi kuluka,
29 Bado ninawaambia, hata Sulemani katika utukufu wake wote hakuvikwa kama mojawapo ya haya.
pele ndamwambila kuti naba Solomoni mubulemu bwakwe boonse takakonzya kusama mbuli limwi akati kanzizyo.
30 Ikiwa Mungu anayavalisha majani katika mashamba, ambayo yadumu siku moja na kesho yanatupwa katika moto, je ni kwa kiasi gani atawavalisha ninyi, ninyi wenye imani ndogo?
Lino kuti Leza kasamika boobo maani amusokwe, aaliko sunu pele ijunza alasowelwa muchikko, sa takayindi loko kumusamika anywebo nobasilusyomo lunini.
31 Kwa hiyo msiwe na wasiwasi nakusema, 'Je tutakula nini?' au “Je tutakunywa nini?” au “Je tutavaa nguo gani?”
Nkambo kaako mutalibiliki akaamba kuti tukalyeenzi? Tukanyweenzi? Tukasamenzi?'
32 Kwa kuwa mataifa wanatafuta mambo haya, na Baba yenu wa mbinguni anajua kuwa mnahitaji hayo.
Nkambo kazeezi zyoonseni nzibayandula bamaasi, alimwi Uusowanu ulikujulu ulizi kuti eezi zyonse zilayandwa kulindinywe.
33 Lakini kwanza tafuteni ufalme wake na haki yake na haya yote yatakabidhiwa kwako.
Pele amusangune kuyandula bwami bwa Leza abululami bwakwe eelyo zintu ezi zyoonse mulaziyungizizigwa azyalo.
34 Kwa hiyo, usione shaka kwa ajili ya kesho, kwa kuwa kesho itajishughulikia yenyewe. Kila siku inatosha kuwa na tatizo lake yenyewe.
Nkambo kaako mutalibilikili zyejunza, nkambo bwejunza bula lilibilikila bwini. Buzuba bwasunu bulizulide mapenzi abo bwalo.

< Mathayo 6 >