< Mathayo 4 >

1 Kisha Yesu aliongozwa na Roho mpaka jangwani ili ajaribiwe na ibilisi.
Kangi Mpungu Msopi wamlongwisi Yesu mbaka kulugangatu muni alingiwa na Setani.
2 Alipokuwa amefunga kwa siku arobaini mchana na usiku alipata njaa.
Ajihinisi chakulya lukumbi lwa magono alobaini kilu na muhi pamwishu njala yamvinili.
3 Mjarabu akaja na akamwambia, “Kama wewe ni Mwana wa Mungu, amuru mawe haya yawe mkate.”
Hinu Setani akabwela na kumjovela, “Ngati veve wa Mwana wa Chapanga amula aga maganga gavyai libumunda.”
4 Lakini Yesu alimjibu na kumwambia, “Imeandikwa, 'Mtu hataishi kwa mkate peke yake, bali kwa kila neno litokalo kinywani mwa Mungu.'''
Nambu Yesu akayangula, “Yiyandikwi mu Mayandiku Gamsopi, ‘Mundu itama lepi ndava ya libumunda lene, nambu kwa kulanda kila lilovi leijova Chapanga.’”
5 Kisha ibilisi akampeleka katika mji mtakatifu na kumweka mahali pa juu sana pa jengo la hekalu,
Kangi Setani akamtola Yesu mbaka Yelusalemu weuvi muji wa msopi, akamkita ayima panani pa chituvilu cha Nyumba ya Chapanga,
6 na kumwambia,'' kama wewe ni Mwana wa Mungu, jirushe chini, kwa maana imeandikwa, 'Ataamuru malaika wake waje wakudake,' na, 'watakuinua kwa mikono yao, ili usijikwae mguu wako katika jiwe.”
akamjovela, “Ngati veve mwana wa Chapanga ujitagayi pahi, ndava vayandiki, ‘Chapanga akuvalagazila vamitumu va kunani kwa Chapanga ndava yaku, Yati vakukuyanga mu mawoko gavi, ukotoka kujikuvala chigendelu chaku paliganga.’”
7 Yesu akamwambia, ''Tena imeandikwa, 'Usimjaribu Bwana Mungu wako.'''
Yesu akamyangula, mewawa “Mayandiku Gamsopi gijova, ‘Kotoka kumlinga Bambu Chapanga waku.’”
8 Kisha, ibilisi akamchukua na kumpeleka sehemu ya juu zaidi akamwonyesha falme zote za ulimwengu na fahari ya hizo zote.
Kangi Setani akamtola na kuhamba nayu panani pachitumbi chitali, na kumlangisa unkosi woha wa pamulima na ukulu waki,
9 Akamwambia, “Nitakupa vitu vyote hivi ukunisujudia na kuniabudu.”
akamjovela, “Goha aga yati nikupela, ngati ukunigundamila na kunifugamila.”
10 Kisha Yesu akamwambia, “Nenda zako utoke hapa, Shetani! Kwa maana imeandikwa, 'Yakupasa kumwabudu Bwana Mungu wako, na umtumikie yeye peke yake.'”
Penapo, Yesu akayangula, “Wuka Setani! Vayandiki, mu Mayandiku Gamsopi yati ‘Umgundamila Bambu Chapanga waku, na kumhengela mwene ndu!’”
11 Kisha ibilisi akamwacha, na tazama, malaika wakaja wakamtumikia.
Hinu Setani, akamleka Yesu na vamitumu va kunani kwa Chapanga vakabwela vakamhengela.
12 Basi Yesu aliposikia kuwa Yohana amekamatwa, aliondoka mpaka Galilaya.
Yesu peayuwini kuvya Yohani vamkungili muchifungu akahamba ku Galilaya.
13 Aliondoka Nazareti alienda na kuishi Kaperanaumu, iliyoko kandokando na Bahari ya Galilaya, mipakani mwa majimbo ya Zabuloni na Naftali.
Akawuka ku Nazaleti akahamba ku Kapelanaumu, muji wa kumwambu ya nyanja Galilaya mumilima ya Zebuloni na Nafutali, akatama kwenuko.
14 Hii ilitokea kutimiza kile kilichonenwa na nabii Isaya,
Ndi gatimili gala geajovili Isaya, mweavi mlota wa Chapanga,
15 “Katika mji wa Zabuloni na mji wa Naftali, kuelekea Baharini, ng'ambo ya Yorodani, Galilaya ya wamataifa!
“Mulima wa Zebuloni na mulima wa Nafutali, njila ya kuhamba kunyanja mwambu ya mumfuleni Yoludani, Galilaya muji wa vandu vangali Vayawudi!
16 Watu walio kaa gizani wameuona mwanga mkuu, na wale waliokuwa wameketi katika maeneo na kivuli cha mauti, juu yao nuru imewaangazia.''
Vandu vevatami kuchitita. Vauweni lumuli luvaha. Vene vitama mumuji wa chitita na chimuwili cha lifwa, lumuli luvalangasili.”
17 Tokea wakati huo Yesu alianza kuhubiri na kusema, “Tubuni, kwa maana ufalme wa mbinguni umekaribia.''
Kuhumila lukumbi lwenulo Yesu atumbwili kukokosa, “Mumuwuyila Chapanga, muni Unkosi wa kunani kwa Chapanga uvi papipi!”
18 Alipokuwa akitembea kandokando ya Bahari ya Galilaya, aliwaona ndugu wawili, Simoni aliyekuwa akiitwa Petro, na Andrea kaka yake, wakitega nyavu baharini, kwa kuwa walikuwa wavuvi wa samaki.
Yesu peagendayi mumhana wa nyanja Galilaya, avaweni valongo vavili vevilova somba Simoni, mweikemiwa Petili na Andelea mlongo waki, valova somba na ngwanda munyanja ndava vavi valova.
19 Yesu akawaambia, “Njooni mnifuate, nitawafanya kuwa wavuvi wa watu.”
Yesu akavajovela, ngati chamwilova somba, “Munilandayi, nene yati nikuvakita nyenye kuvya vakuvaleta vandu kwa Bambu.”
20 Mara moja waliziacha nyavu na walimfuata.
Bahapo vazilekili ngwanda zavi, vakamlanda.
21 Na Yesu alipokuwa akiendelea kutoka hapo aliwaona ndugu wawili wengine, Yakobo mwana wa Zebedayo, na Yohana kaka yake. Walikuwa katika mtumbwi pamoja na Zebedayo baba yao wakishona nyavu zao. Akawaita,
Peahegalili kulongolo, avaweni valongo vangi vavili, Yakobo na Yohani, vana va Zebedayo. Vene vavi mugati ya watu pamonga na dadi wavi Zebedayo, vatengenezayi ngwanda za kulovela somba. Yesu akavakemela,
22 na mara moja wakaacha mtumbwi na baba yao nao wakamfuata.
navene kanyata vakauleka watu pamonga na dadi wavi, vakamlanda Yesu.
23 Yesu alienda karibia Galilaya yote, akifundisha katika Masinagogi yao, akihubiri injili ya ufalme, na akiponya kila aina ya maradhi na magonjwa miongoni mwa watu.
Yesu ahambili kila pandu ku Galilaya, iwula munyumba za kukonganekela Vayawudi na kuvakokosela Lilovi la Bwina la Unkosi wa Chapanga. Akavalamisa matamu ndalindali gevavi nagu vandu.
24 Habari zake zilienea Siria yote, na watu wakawaleta kwake wale wote waliokuwa wakiugua, wakiwa na maradhi mbalimbali na maumivu, waliokuwa na mapepo, na wenye kifafa na waliopooza. Yesu aliwaponya.
Malovi gaki gadandasiki pandi zoha za ku Silia. Vandu voha vevavi na matamu na mang'ahiso, mewa vevatalaliwi na mizuka na vevihinduka na vevagogodili higa vavapeliki kwaki na mwene akavalamisa.
25 Umati mkubwa wa watu ulimfuata kutoka Galilaya, na Dekapoli, na Yerusalemu na Uyahuda na kutoka ng'ambo ya Yorodani.
Msambi wa vandu kuhuma ku Galilaya na Dekapoli ndi miji kumi, mewa Yelusalemu na Yudea na kumwambu ya mfuleni Yoludani vakamlanda.

< Mathayo 4 >