< Mathayo 3 >

1 Katika siku zile Yohana Mbatizaji alikuja akihubiri katika nyika ya Yuda akisema,
A ni ran pukat Ioanej jaun paptaij pwarado, padapadahk nan jap en Iudaa,
2 “Tubuni kwa maana ufalme wa mbinguni u karibu.”
Majani: Komail kalula, pwe wein nanlan korendor.
3 Kwa maana huyu ndiye aliyenenwa na nabii Isaya akisema, “sauti ya mtu aitaye kutoka jangwani; 'wekeni tayari njia ya Bwana, yanyoosheni mapito yake.”'
Pwe iei i, me jaukop Iejaia katitiki, majani: Nil en jaunkair amen nan jap tan: Komail kaonopada al en Kaun o, kainenela al a!
4 Sasa Yohana alivaa manyoya ya ngamia na mkanda wa ngozi kiunoni mwake. Chakula chake kilikuwa nzige na asali ya mwituni.
A i Ioanej me a likau wun en kamel o a pirapireki kil in man, a jak a manjiek o oni en nan wel.
5 Kisha Yerusalemu, Yuda yote, na eneo lote linalozunguka mto Yorodani wakaenda kwake.
Toun lerujalem, o toun Iudaa, o toun jap akan liman Iordan ap koieila re a;
6 Walikuwa wakibatizwa naye katika mto Yorodani huku wakitubu dhambi zao.
O irail paptaijela re a nan Iordan, ni ar weokada dip arail akan.
7 Lakini alipowaona wengi wa mafarisayo na masadukayo wakija kwake kubatizwa, akawaambia, ''Enyi uzao wa nyoka wenye sumu nani aliye waonya kuikimbia ghadhabu inayokuja?
A lao majanier Parijar o Jadu jar me toto ko don a paptaij, ap majani on irail: Dakot wan oter komail! Ij me padaki on komailer, en piti jan ni kamekam me kokodo?
8 Zaeni matunda yaipasayo toba.
Ari, komail kapwareda wan kalula mau!
9 Na msifikiri na kusemezana miongoni mwenu, 'Tunaye Ibrahimu kama baba yetu.' Kwa kuwa nawaambieni Mungu anaweza kumwinulia Ibrahimu watoto hata kutoka katika mawe haya.
A komail depa lamelame, me komail pan indan pein komail: Nan Apraam jam atail. Pwe i indai on komail, me Kot kotin kak on wiaki on Apraam na jeri kai takai pukat.
10 Tayari shoka limekwisha kuwekwa kwenye mzizi wa miti. Kwahiyo kila mti usiozaa matunda mazuri hukatwa na kutupwa kwenye moto.
Jile o mier ni tapin tuka kan; a tuka karoj me jo wa mau, pan paledi o lokidokila nani iai.
11 Ninawabatiza kwa maji kwa ajili ya toba. Lakini yeye ajaye baada yangu ni mkuu kuliko mimi nami sistahili hata kubeba viatu vyake. Yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa moto.
Melel, i paptaij kin komail pil on kalula, a me kotido muri, nan me laude jan ia, nai jowar on, en wa japwilim a jut; i me pan paptaij kin komail Nen jaraui o kijiniai.
12 Na pepeto lake li mkononi mwake kusafisha kabisa uwanda wake na kuikusanya ngano yake ghalani. Lakini atayachoma makapi kwa moto ambao hauwezi kuzimika.
Japwilim a tanir mi ni lim a; a pan kotin koko melel japwilim a pera, ap nekid pena japwilim a wan korn nan im en nak, a dip akan a pan kotin karon kila kijiniai joutuk.
13 Kisha Yesu akaja kutoka Galilaya mpaka mto Yorodani kubatizwa na Yohana.
Iejuj ap kotido jan Kalilaa, koti don Iordan ren Ioanej, pwen paptaijela re a.
14 Lakini Yohana alitaka kumzuia akisema, “Mimi nahitaji kubatizwa na wewe, nawe waja kwangu?''
A Ioanej kotin kan, ap potoan on: Mak eta i en paptaijela re ir, a iaduen ir me kotido re i?
15 Yesu akajibu akasema, ''Ruhusu iwe hivi sasa, kwa kuwa ndivyo itupasavyo kuitimiza haki yote.'' Kisha Yohana akamruhusu.
A Iejuj kotin japen majani on i: Wiada maj, pwe me kon on kita, kapwuiada pun kan karoj; a ah duki on i.
16 Baada ya kuwa amebatizwa, mara Yesu alitoka kwenye maji, na tazama, Mbingu zikafunguka kwake. Na alimuona Roho wa Mungu akishuka kwa mfano wa njiwa na kutulia juu yake.
Iejuj Iao paptaijelar, ap kotin madanada jan nan pil o. A kilan, nanlan ap ritidan i, I ari kotin majani Nen en Kot kotidido ni mom en mwuroi men a kaipokedi po a.
17 Tazama, sauti ilitoka mbinguni ikisema, “Huyu ni mwanangu mpendwa. Ninaye pendezwa sana naye.''
O kilan, nil eu jan nanlan majani: Iet nai nl kompok, me I kin polaule kida!

< Mathayo 3 >