< Mathayo 3 >

1 Katika siku zile Yohana Mbatizaji alikuja akihubiri katika nyika ya Yuda akisema,
Palyo machiba ago Yohana mbatizaji atiisa kuhubiri kupongoti ya Yuda kakoya,
2 “Tubuni kwa maana ufalme wa mbinguni u karibu.”
“Mulobe samaha mana utawala wa Nnongo ubi karibu.”
3 Kwa maana huyu ndiye aliyenenwa na nabii Isaya akisema, “sauti ya mtu aitaye kutoka jangwani; 'wekeni tayari njia ya Bwana, yanyoosheni mapito yake.”'
Maana ayoo nga mmaite manabii Isay kakoya, “Lilobe lyamundu buka kupongoti, mwibika tayari ndela ya Ngwana, mumugoloye mwalowa peta.
4 Sasa Yohana alivaa manyoya ya ngamia na mkanda wa ngozi kiunoni mwake. Chakula chake kilikuwa nzige na asali ya mwituni.
Nambeambe Yohana aweti manyoya ga ngamia ni nkanda wa likenga nkibuno chake chakulya chake chaimapai nni busi wa mmwitu.
5 Kisha Yerusalemu, Yuda yote, na eneo lote linalozunguka mto Yorodani wakaenda kwake.
Boka po Yerusalemu, Yuda yote, ni lieneo lyoti lyalitindiyete libendo lya Yordani bayei kachake.
6 Walikuwa wakibatizwa naye katika mto Yorodani huku wakitubu dhambi zao.
Bayendage batizilwa mulibende lya Yordani kuno bakitubu sambi zabe.
7 Lakini alipowaona wengi wa mafarisayo na masadukayo wakija kwake kubatizwa, akawaambia, ''Enyi uzao wa nyoka wenye sumu nani aliye waonya kuikimbia ghadhabu inayokuja?
Ila paabweni mafarisayo ni Masadukayo banyansima kabankengama kwabe kupala batizwa, kabakokiya, “Mwenga mwa lukolo lya nng'ambo ywabile sumu nyai nyai ywakwelike mwitile gadhabu yaisa?
8 Zaeni matunda yaipasayo toba.
Mupambike matunda gagalendine ni toba.
9 Na msifikiri na kusemezana miongoni mwenu, 'Tunaye Ibrahimu kama baba yetu.' Kwa kuwa nawaambieni Mungu anaweza kumwinulia Ibrahimu watoto hata kutoka katika mawe haya.
Kana muwaze ni longela nkati yinu,'Tubile ni Ibrahimu kati tate bitu.' Kwa kuwa nenda kuwakokiya Nnongo awesa kutondobekeya Ibrahimu bana kuoma mu'maliwe aga.
10 Tayari shoka limekwisha kuwekwa kwenye mzizi wa miti. Kwahiyo kila mti usiozaa matunda mazuri hukatwa na kutupwa kwenye moto.
Libengo tayari liyomwike bekelwa mu, mikega ya mikongo. Ni nkongo wawakotoka kwaa pambika matunda ganoike kutema ni kuteikuliwa pa mwoto.
11 Ninawabatiza kwa maji kwa ajili ya toba. Lakini yeye ajaye baada yangu ni mkuu kuliko mimi nami sistahili hata kubeba viatu vyake. Yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa moto.
Nindakuwabatiza mu'mache kwaajili ya tubu, Lakini ywembe ywaicha nchogo yangu kulo nenga ni nchene ni nenga ngwesa kwaa hata kwipotwa ilatu yake, ywembe alowa kwabatiza kwa Roho Mtakatifu ni kwa mwoto.
12 Na pepeto lake li mkononi mwake kusafisha kabisa uwanda wake na kuikusanya ngano yake ghalani. Lakini atayachoma makapi kwa moto ambao hauwezi kuzimika.
Ni kipepeto sake kibii muluboko lwake pwaya sana lubanja lyake ni kumba ngano yake muligala. Lakini atinie makapi mo mwoto wainika kwaa.
13 Kisha Yesu akaja kutoka Galilaya mpaka mto Yorodani kubatizwa na Yohana.
Yesu kaisa kuoma Galilaya mpaka lubendo Yordani abatizwile ni Yohana.
14 Lakini Yohana alitaka kumzuia akisema, “Mimi nahitaji kubatizwa na wewe, nawe waja kwangu?''
Lakini Yohana apalage kana kakoya, “Nenga nipalikwa nibatizilwe ni wenga, ni wenga kaicha kachango?”
15 Yesu akajibu akasema, ''Ruhusu iwe hivi sasa, kwa kuwa ndivyo itupasavyo kuitimiza haki yote.'' Kisha Yohana akamruhusu.
Yesu kayangwa ni kukoya, Uyeketi ibe nyonyo saa yeno, kwa sababu ipalikwa timiza haki yoti.”kisha Yohana atiyeketya.
16 Baada ya kuwa amebatizwa, mara Yesu alitoka kwenye maji, na tazama, Mbingu zikafunguka kwake. Na alimuona Roho wa Mungu akishuka kwa mfano wa njiwa na kutulia juu yake.
Baada yabatizilya, mara Yesu apitike mmache, linga, kunani kwatiyogopa kayake ni amweni Roho ya Nnongo kuuluka kwa mfano wa nngunda ngaloa pantwe wake.
17 Tazama, sauti ilitoka mbinguni ikisema, “Huyu ni mwanangu mpendwa. Ninaye pendezwa sana naye.''
Lola, lilobe latiboka kumaunde ni kukoya, “Ayo nga mwana wango nimpendile muno.”

< Mathayo 3 >