< Mathayo 28 >
1 Baadaye jioni siku ya Sabato, jua lilipokuwa likichwa kuelekea siku ya kwanza ya juma, Mariamu magadalena, na yule Mariam mwingine walikuja kuliona kaburi.
Ligono la Kupumulila palamaliki, lukela hamba kucha ligono la Dominika, Maliya mkolonjinji wa Magidala na muyaki Maliya yungi yula vahambili kulola litinda lila.
2 Tazama kulikuwa na tetemeko kubwa, kwa sababu malaika wa Bwana alishuka na kulivingirisha lile jiwe, kisha akalikalia.
Bahapo mulima woha wandendimi neju, mtumu wa kunani kwa Bambu ahelili kuhumila kunani kwa Chapanga, alibilingisi liganga la pamlyangu na kutamila.
3 Sura yake ilikuwa kama ya umeme, na mavazi yake yalikuwa meupe kama theluji.
Awonikini ngati lumwetumwetu lwa mbamba na nyula zaki zavi za msopi pehe.
4 Wale walinzi walijawa na hofu na kuwa kama wafu.
Valonda vevalindalila litinda vala vakavagaya neju ndava ya wogohi vavi ngati vamali kufwa.
5 Yule malaika akawafafanulia wale wananawake akisema, “msiogope kwa maana najua kuwa mnamtafuta Yesu, aliyesulibiwa.
Nambu mtumu wa kunani kwa Chapanga akavajovela vadala vala, “Nyenye mkoto kuyogopa! Muni nimannyili kuvya mukumulonda Yesu mweavambiwi pamsalaba.
6 Hayupo hapa, lakini amefufuka kama alivyowaambia. Njooni muone mahali ambapo Bwana alilala.
Avi lepi apa muni amali kuyuka ngati cheajovili. Mbwela mlola pandu pevamgonisi.
7 Nendeni haraka mkawaambie wanafunzi wake, 'Amefufuka toka wafu, tazama amewatangulia Galilaya. Huko ndiko mtamwona.' Tazama mimi nimewaambia.”
Hinu mhamba kanyata mkavajovela vawuliwa vaki kuvya amali kuyuka, na hinu akuvalongololela ku Galilaya yati mumkolela kwenuko. Yuwanila, nene nimali kuvajovela.”
8 Wale wanawake waliondoka pale kaburini haraka wakiwa na hofu na furaha kubwa, na wakakimbia kuwaambia wanafunzi wake.
Hinu vadala vala kuni viyogopa na kuni viheka neju, vakawuka kanyata palitinda na kujumba kuhamba kuvajovela vawuliwa vaki.
9 Tazama Yesu akakutana nao na kusema, “Salamu.”wale wanawake walikuja na kushika miguu yake, na kisha wakamwabudu.
Bahapo Yesu akakonganeka nawu, akavajambusa, “Nivawoni.” Vadala vala vakamhegelela na vakamkamula magendelu gaki na kumgundamila.
10 Kisha Yesu akawaambia, “msiogope, nendeni mkawaambie ndugu zangu watangulie Galilaya. Huko wataniona.
Kangi Yesu akavajovela, “Mkoto kuyogopa,” “Mhamba mkavajovela valongo vangu vahamba ku Galilaya kwenuko ndi yati vakunilola.”
11 Wakati wale wanawake walipokuwa wakienda, tazama baadhi ya walinzi walienda mjini na kuwaambia wakuu wa makuhani mambo yote yaliyokuwa yametokea.
Pevawukili vadala vala, ndi pagati ya valonda va litinda, vakahamba kumuji kuvadandaulila vateta vakulu mambu goha gevagawene.
12 Nao makuhani walipokuwa wamekutana na wazee na kulijadili jambo hilo pamoja nao, walitoa kiasi kikubwa cha pesa kwa wale askari
Hinu vakakonganeka pamonga na vagogo, na kuvika mpangu, vakavapela mashonga gamahele manjolinjoli vala,
13 na kuwaambia, “Waambieni wengine kuwa, 'wanafunzi wa Yesu walikuja usiku wakauiba mwili wa Yesu wakati sisi tulipokuwa tumelala.'
vakajova, nyenye mjova kuvya, “Vawuliwa vaki vabweli kilu, vakamuyiva tete petatitili lugono.
14 Kama taarifa hii itamfikia liwali, sisi tutamshawishi na kuwaondoleeni ninyi mashaka yote.”
Ngati mkulu wa Loma akayuwana lijambu lenili tete yati tikuvatangatila tikumkulukisa, muni nyenye mkoto kuvya na mhalu.”
15 Kwa hiyo wale askari wakazichukua zile pesa na kufanya kama walivyokuwa wameelekezwa. Habari hii ikaenea sana kwa Wayahudi na imekuwa hivyo hadi leo.
Hinu manjolinjoli vala vakatola mashonga gala, vakahenga ngati chavawuliwi, malovi ago gadandasiki kwa Vayawudi mbaka lelu.
16 Lakini wale mitume kumi na mmoja walienda Galilaya, kwenye ule mlima aliokuwa amewaelekeza.
Kangi vawuliwa kumi na mmonga vala vakahamba kuchitumbi chechivii ku Galilaya cheavalagazili Yesu.
17 Nao walipomwona, walimwabudu. lakini baadhi yao waliona shaka.
Pavamuwene, vakagundama, nambu vangi vavi na mtahu.
18 Yesu akaja kwao akawambia akisema, “Nimepewa mamlaka yote duniani na mbinguni.
Yesu avahegalili, akavajovela, “Nipewili uhotola woha kunani kwa Chapanga na pamulima.
19 Kwa hiyo enendeni mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi. Wabatizeni katika jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtatkatifu.
Hinu mhamba mkavakita vandu va milima yoha kuvya vawuliwa vangu. Kuni mvabatiza kwa liina la Dadi na la Mwana na la Mpungu Msopi.
20 Wafundisheni kuyatii mambo yote niliyowaamuru, Na tazama, mimi niko pamoja nanyi daima, hata mpaka mwisho wa dunia. (aiōn )
Muvawula kukamula malovi gangu goha ngati chenivalagizi nyenye, nene nivii pamonga na nyenye magono goha, hati pamwishu wa lusenje.” (aiōn )