< Mathayo 27 >

1 Muda wa asubuhi ulipofika, wakuu wote wa makuhani na wazee wa watu walikula njama dhidi ya Yesu wapate kumuua.
Guur datsgatson kahni naashwotsnat dats eenash jametswots Iyesus ats b́k'iritwok'o angshosh boshiyeyi.
2 Walimfunga, walimwongoza, na kumfikisha kwa Liwali Pilato.
Maniyak Iyesusi tipdek' amt dats k'eezirwo P'ilat'ossh beshidek't boími.
3 Kisha wakati Yuda, ambaye alikuwa amemsaliti, aliona kwamba Yesu amekwisha kuhukumiwa, alijuta na kurudisha vipande thelathini vya fedha kwa mkuu wa makuhani na wazee,
Iyesusats angshetsok'o b́ bek'tsok'on bín beshi dek't imtso Yhud b́goyni, shaash t'agoronowere kahni naashwotsnat eenashwotssh hank'o ett aani b́k'ri,
4 na akasema, “Nimefanya dhambi kwa kuisaliti damu isiyo na hatia.” Lakini wakajibu, “Inatuhusu nini sisi? Yaangalie hayo mwenyewe.”
«Ash s'ayino k'irosh beshidek'at t imtsotse morro finere.» Boomó «Eshe noon eege giri! man n took kis'e!» boet.
5 Kisha alivirusha chini vile vipande vya fedha katika hekalu, na kuondoka zake na kujinyonga mwenyewe.
Bíwere shaash t'agarman Ik' moots bad'ik'rat, bowoke k'az b́keshi, amtnwe guuk'at k'ir b́úwts.
6 Mkuu wa makuhani alivichukua vile vipande vya fedha na kusema, “Si halali kuiweka fedha hii katika hazina, kwa sababu ni gharama ya damu.”
Kahani naashwotswere shaash t'agar man k'aaúdek't «Ambaran s'atsi giz b́wottsotse Ik' mootse ko'íyeyiru gizots eeko nemon baziyeke» boet.
7 Walijadiliana kwa pamoja na fedha ikatumika kununulia shamba la mfinyazi la kuzika wageni.
Mansh bo shiyeyakon ibwotsi dukosh b́ wotisha ett shal wozirwooke datso bokeewi.
8 Kwa sababu hii shamba hilo limekuwa likiitwa, “Shamba la damu” hadi leo hii.
Manatse tuutson datsman andish bodt «S'ats datsa» ett b́s'egeyiri.
9 Kisha lile neno lililokuwa limenenwa na nabii Yeremia lilitimia, kusema, “Walitwaa vipande thelathini vya fedha, gharama iliyopangwa na watu wa Israel kwa ajili yake,
Han jangatse tuutson «Esra'el nanaúwots bo k'oortsok'on bísh wotitwo shaash t'agaro bodek',
10 na waliitumia kwa shamba la mfinyanzi, kama Bwana alivyokuwa amenielekeza.”
Doonzonwe taan bíazaztsok'on shal wozet datsi k'awntso dashbok'ri» ett nebiyo Ermiyas bek'on b́keewtso b́s'eeni.
11 Sasa Yesu alisimama mbele ya liwali, na liwali akamwuliza, “Je! Wewe ni mfalme wa Wayahudi?” Yesu alimjibu, “Wewe wasema hivyo.”
Manoor Iyesus dats k'eeziru P'ilat'os shinats b́t'iini, dats k'ezirwonwere «Nee ayhudiyots naasho neeneya?» Ett bíaati, Iyesuswere «Nee ni'ettsok'oyiye» ett bí aani.
12 Lakini wakati aliposhitakiwa na wakuu wa makuhani na wazee, hakujibu chochote.
Ernmó kahni naashwotsnat eenashwotsn bín s'amiyosh bo etor eegor aaniratse.
13 Kisha Pilato alimwambia, “Hujayasikia mashitaka yote dhidi yako?”
Maniyak P'ilat'os «Ay keewon neen bos'amirúwan shiyatsneya?» bí eti.
14 Lakini hakumjibu hata neno moja, hivyo liwali alijawa na mshangao.
Iyesusmó dats k'eezirwo ayidek't bí adfetsosh bín bos'aamiru keewosh eegoru aaniratse.
15 Sasa katika sikukuu ilikuwa desturi ya liwali kumfungua mfungwa mmoja anayechaguliwa na umati.
Dats k'eezirwo woriwot woriwoton ayhudiyots fazigi worwot baloyon tipetswotsitse noosh bishowe err boaatfwotsitse iko b́shde'e faksho bo nema b́tesh.
16 Wakati huo walikuwa na mfungwa sugu jina lake Baraba.
Manoor «Barbani» eteets gond finon daneets tipetso fa'e b́ tesh.
17 Hivyo wakati walipokuwa wamekusanyika pamoja, Pilato aliwauliza, “Ni nani mnataka tumfungue kwa ajili yenu?” Baraba au Yesu anayeitwa Kristo?”
Manoor ashuwots ko'ebowtsere P'ilat'os, «Koni itsh t biitse it geyi? Berbannemó Krstosi eteyrwo Iyesusne?» ett boon bí aati.
18 Kwa sababu alijua kwamba wamekwisha kumkamata kwa sababu ya chuki.
Hank'o b́ etts jangonwee okooron bín beshidek't boimirwok'o b́ dantsosha b́ teshi.
19 Wakati alipokuwa akiketi kwenye kiti chake cha hukumu, mke wake alimtumia neno na kusema, “Usitende jambo lolote kwa mtu huyo asiye na hatia. Kwani nimeteswa mno hata leo katika ndoto kwa sababu yake.”
Manoor P'ilat'os b́ angshi jooratse b́ befere b́ moo gen, «B́ jangosh hmbets t'ú taa gúmotse aydek'at tikic'tsotse ash s'aynmanats eegoru nk'alrawok'owa» etaat bwoshi.
20 Ndipo wakuu wa makuhani na wazee waliwashawishi makutano wamwombe Baraba, na Yesu auawe.
Manoor kahani naashwotsnat eenash eenashwotsn «Barban bishowe! Iyesus úd'ewe!» err bo aatitwok'o ashuwotssh boizi.
21 Liwali aliwauliza, “Ni yupi kati ya wawili mnataka mimi nimwachie kwenu?” Walisema, “Baraba.”
Dats k'ezirwonu, «Gitetswotsitse aawi itsh t bitsishe itgeyri?» ett ashuwotsi b́ aati. «Bowere Berbani noosh bíshe» bo eti.
22 Pilato akawaambia, “Nimtendee nini Yesu anayeitwa Kristo?” Wote wakajibu, “Msulibishe”
P'lat'oswere «Eshe Krstosi eteetso Iyesusi aak'owe nok'aliti?» bíet. Jamwotswere «Jitewe!» ett boaani.
23 Naye akasema, “Kwa nini, ni kosa gani ametenda?” Lakini walizidi kupaza sauti hata juu mno, “Msulibishe.”
Dats k'ezirwonu eegishe? «Bí b́ t'afitso eebi?» bíet. Boomó «Jitewe!» ett aydek't bokuhi.
24 Hivyo wakati Pilato alipoona hawezi kufanya lolote, lakini badala yake vurugu zilikuwa zimeanza, alitwaa maji akanawa mikono yake mbele ya umati, na kusema, “Mimi sina hatia juu ya damu ya mtu huyu asiye na hatia. Yaangalieni haya wenyewe.”
Hansh P'ilat'os keewan faye b́tiziti bako egoshoru b́ k'alrawok'o b́ bek'tsotse, manoor aatso de'eweetwok'o k'alt «Taa ashaan s'atsotse s'ayn taane, b́ s'atso it tokatse?» ett ashuwots shinatse b́kisho b́mashi.
25 Watu wote wakasema, “Damu yake iwe juu yetu na watoto wetu.”
Ash jamwotswere «B́ s'atso noonat nona'ats wotowe» boet.
26 Kisha akamfungulia Baraba kwao, lakini alimpiga mijeredi Yesu na kumkabidhi kwao kwenda kusulibiwa.
Manoor P'lat'os Barbani bitsdek't faksh b́k'r, Iyesusnmó b́ jot'iyakon b́ jiteyish beshidek't boosh b́ ími.
27 Kisha askari wa liwali wakamchukua Yesu mpaka Praitorio na kundi kubwa la maaskari wote wakamkusanyika.
Manoor dats k'eezirwo kes'fwots Iyesusi dats k'eziruman múlo maantsan dek't boami, kes'f jamwots Iyesusi gúrdek't ko'eebowtsi.
28 Wakamvua nguo zake na kumvika kanzu ya rangi nyekundu.
B́ tahono kishbazt tah bíro takbok'ri.
29 Kisha wakatengeneza taji ya miiba na kuiweka juu ya kichwa chake, na walimwekea mwanzi katika mkono wake wa kuume. Walipiga magoti mbele yake na kumkejeri, wakisema, “Salamu, Mfalme wa Wayahudi?”
Angitson shordek't dozets akliliya eteetso b́ tookats jip'ii bok'ri, b́ k'ani kishats gumbo detsik'rat, b́shinats tuk'mal dek't «Ayhudiyotsko nugusono! jeeno neesh wotowe!» ett bí ats nic'o bokaashi.
30 Na walimtemea mate, na walitwaa mwanzi na kumpiga kichwani.
Bos'udono bíats bos'udfera boteshi, b́ kishatsenowere gumbo k'aaúdek't b́ took tookats bojot'fera botesh.
31 Wakati walipokuwa wakimkejeri, walimvua ile kanzu na kumvika nguo zake, na kumwongoza kwenda kumsulibisha.
Bíats tirgic'o bo kaashiyakono tah biro kishbazt b́took taho takdek't, jitosh dek't bo ami.
32 Walipotoka nje, walimwona mtu kutoka Krene jina lake Simeoni, ambaye walimlazimisha kwenda nao ili apate kuubeba msalaba wake.
Dats keewirwo múúlotse keshoke bobefere Simoni eteefo K'erena eteets dats asho daatsdek't Iyesus mask'aliyo shefdek't b́kuritwok'o bowshi.
33 Walipofika mahali paitwapo Galigotha, maana yake, “Eneo la fuvu la Kichwa.”
Maniyere il b́bitsonwere «Took k'oola» eteef beyokok bobodi.
34 Walimpa siki iliyochanganywa na nyongo anywe. Lakini alipoionja, hakuweza kuinywa.
Maniyeokon úmonton eekets weyni biro b́ úshetwok'o Iyesussh t'ints bok'ri, ernmó bí fadbek't úsho geeratse b́tesh.
35 Wakati walipokuwa wamemsulibisha, waligawana mavazi yake kwa kupiga kura.
Iyesusi bojitiyakon b́ tahats it'o shap't kaybodek'i.
36 Na waliketi na kumwangalia.
Manoknowere bedek'tni bín bokotfere botesh.
37 Juu ya kichwa chake waliweka mashitaka dhidi yake yakisomeka, “Huyu ni Yesu, mfalme wa Wayahudi.”
Bín s'amiyetsok'o kitsitwo, «Han ayhdiwots nugúso Iyesusiye?» Etirwo guut'etso b́ mask'aliy k'oyok gedbok'ri.
38 Wanyang'anyi wawili walisulibiwa pamoja naye, mmoja upande wa kulia wake na mwingine wa kushoto.
Manoor Iyesusnton git wonbedewotsi iko k'ano maants iko giro maants jit bok'ri.
39 Wale waliokuwa wakipita walimdhihaki, wakitikisa vichwa vyao
B́ ganoke beshefts teshts ashuwotswere gac'on botoko shek'efetst
40 na kusema, “Wewe uliyekuwa unataka kuliharibu hekalu na kulijenga katika siku tatu, jiokoe mwenyewe! Kama ni Mwana wa Mungu, shuka chini utoke msalabani!”
«Nee Ik' k'oni moo gaahr keez aawotse agetuwonoo! aab n tooko kashiwe! Ik'o naayi n wotiyal aab mask'aliyatse ood'e!» eton bíats bokashfera botesh.
41 Katika hali ile ile wakuu wa makuhani walikuwa wakimkashifu, pamoja na waandishi na wazee, na kusema,
Mank'o kahniy naashwots nemo danifwotsntoonat eenashwotsnton hank'o ett bíats bokaashfere botesh.
42 “Aliokoa wengine, lakini hawezi kujiokoa mwenyewe. Yeye ni Mfalme wa Wayahudi. Na ashuke chini toka msalabani, ndipo tutakapomwamini.
«K'oshwotsi kashire, b́tooknmó kashiyo falratse! bí Israe'el nugúsoni wotiyal aab mask'aliyatse ood'e, noowere bín amanone!
43 Alimtumaini Mungu. Acha Mungu amwokoe sasa kama anataka, kwa sababu alisema, 'Mimi ni Mwana wa Mungu.'”
Bí Ik'ats amanere, ‹Ik'o naay taane› etre, eshe Ik'o bín shunfee wotiyal and aab bín fariwe!»
44 Na wale wanyang'anyi waliokuwa wamesulibiwa pamoja naye pia walisema maneno ya kumdhihaki.
Ando mank'o bínton jitets wombediwots bín boc'ashfera botesh.
45 Sasa kutoka saa sita kulikuwa na giza katika nchi yote hadi saa tisa.
Shirt sa'aton b́tuutso jed'isa'ato b́ borfetso dats jamatse t'alu wotb́gutsi.
46 Ilipofika saa tisa, Yesu akalia kwa sauti kuu, “Eloi, Eloi, lama thabakithan?” akimaanisha, “Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?”
Jed'i sa'at b́ wottsok'oon Iyesus, «Elohe! elohe! lama sebek'tani?» eton k'aari eenon b́ kuhi, b́bitsonwere «T Ik'ono! t Ik'ono! eegishe taan k'aznk'ri?» eta.
47 Wakati huo baadhi yao waliokuwa wamesimama pale walisikia, wakasema, “Anamwita Eliya.”
Manoke need'dek't teshts ashuwotsitse man shisht «Hanwo Eliyasiye b́ s'eegiri!» boet.
48 Mara moja mmoja wao alikimbia kuchukua sifongo na kuijaza kinywaji kichungu, akaiweka juu ya mti na kumpa apate kunywa.
Manoor boyitsi iko sefnegiya eteetso dek'wat shash keewo bíts s'eentsdek't gumbats geddek't Iyesus b́úshetwok'o t'intsb́k'ri.
49 Nao waliosalia wakasema, “Mwacheni peke yake, acheni tuone kama Eliya atakuja kumwokoa.”
K'oshwotsmó «Need'owe aab́ Eliyas waar bín kashitwe wotiyal be'one!» boet.
50 Kisha Yesu akalia tena kwa sauti kuu na akaitoa roho yake.
Iyesus aaniy een k'ááron kuhat b́ kasho b́ ími.
51 Tazama, Pazia la hekalu lilipasuka sehemu mbili kutokea juu hadi chini. Na ardhi ikatetemeka na miamba ikapasuka vipande.
Manoor Ik'i meyitsi magarajiwo dambe dek't dash b́ borfetso gaad'at gitoko kayb́wts, datsonwere shek'eb́wtsi, shúts s'aalwotswere kap'ebowtsi,
52 Makaburi yalifunguka, na miili ya watakatifu wengi waliokuwa wamelala usingizi walifufuliwa.
Dowwotswere bok'eshere k'irt teshts S'ayin ash aywots k'irotse botuwi.
53 Walitoka kwenye makaburi baada ya ufufuo wake, waliingia mji mtakatifu, na wakaonekana na wengi.
Dowootse keshtnwere Iyesus k'irotse b́ tuwiyakon S'ayn kitu Iyerusalemits bokindi, manokno ay ashuwotsats bobe'eyi.
54 Basi yule akida na wale ambao walikuwa wakimtazama Yesu waliona tetemeko na mambo yaliyokuwa yakitokea, walijawa na woga sana na kusema, “Kweli huyu alikuwa Mwana wa Mungu.”
Balatsi naashonat bínton beyirwotsn Iyesusi kotirowots dats giwonat manoke wotts jamman bobek'tsok'on aydek't shatt «Arikon han Ik'o naayiye b́ teshi!» boet.
55 Wanawake wengi waliokuwa wakimfuata Yesu kutoka Galilaya ili kumhudumia walikuwa pale wakitazama kutoka kwa mbali.
Wokoon wotdek't man s'iliru ay máátswots manoke fa'ano botesh, boowere Geliln tuut Iyesussh finefetst b́ shutsats bosha'efera boteshi.
56 Miongini mwao walikuwa Mariamu Magdarena, Mariamu mama yake Yakobo na Joseph, na mama wa watoto wa Zebedayo
Boyitsnowere megdelawiti eteetsu Mariyamna Yak'obnat Yosef ind mariymna Zebdiyos nanaúwots indna manoke fa'úwotsi.
57 Ilipofika jioni, alikuja mtu tajiri kutoka Arimathayo, aliyeitwa Yusufu, ambaye pia alikuwa mwanafunzi wa Yesu.
Datso b́ iliyakono Yosefi eteets asho Armatiyas eteets kitutse gaalets ash iko manok b́weyi, bíwere Iyesus danifwotsitska b́ tesh.
58 Alimwendea Pilato na kuuomba mwili wa Yesu. Kisha Pilato aliagiza apate kupewa.
Ashmanwere, P'ilat'os maantsan amt Iyesus duuno b́ k'oni, P'ilat'oswere duunman bísh imetwok'o b́azazi.
59 Yusufu aliuchukua mwili akaufunga na nguo ya sufi safi,
Manoor Yosef duunman orshdekt shemi s'aynon k'odb́k'r.
60 na akaulaza katika kaburi jipya lake alilokuwa amelichonga mwambani. Kisha akavingirisha jiwe kubwa likafunika mlango wa kaburi na akaenda zake.
B́ tookish shúts s'alotse k'ewdek't b́dozts doowi handrots duukb́k'r, shúts eeno kukulshdek't doowi fengeshats is'k'rat kazbíami.
61 Mariamu Magdalena na Mariamu mwingine walikuwa pale, wamekaa kuelekea kaburi.
Megdelawi dats ashu Mariyamnat k'oshu Mariyamn, manoke doowi shinatse bobefere boteshi.
62 Siku iliyofuata ambayo ilikuwa siku baada ya maandalio, wakuu wa makuhani na Mafarisayo walikusanyika pamoja kwa Pilato.
K'andek'i aawoniyere yaatsok'o guur, kahni naashwotsnat feresawiyotsn ik wotdek' P'ilat'os maantsan amt hank'o boeti,
63 Wakamwambia, “Bwana, tunakumbuka kuwa wakati yule mdanganyifu alipokuwa hai, alisema, 'Baada ya siku tatu atafufuka tena.'
«Doonzono! dariifmań kashon befetst ‹Keez aawoniye okoon k'irotse tuwitwe› bíettso gawdek'rone.
64 Kwahiyo, agiza kwamba kaburi lilindwe salama mpaka siku ya tatu. Vinginevyo, wanafunzi wake wanaweza kuja kumwiba na kusema kwa watu, 'Amefufuka kutoka wafu.' Na udanganyifu wa mwisho utakuwa mbaya kuliko ule wa kwanza.”
Mansh b́ danifuwots amr úmp'de ashuwotssh ‹Hamb k'irotse tuure› boerawok'o doowman keez aawo b́ borfetso kotetwok'o azazowe, man wotob́k'azal ili b́dariytwo shintsoniyere ayide gonde b́ wotiti.»
65 Pilato akawaambia, “Chukueni walinzi. Nendeni mkafanye hali ya usalama kama muwezavyo.”
P'ilat'oswer «Hambe, kotet kes'fwots fa'ane, de'amr it dantsok'on kotiwere» bíet.
66 Hivyo walikwenda na kufanya kaburi kuwa salama, jiwe liligongwa mhuri na kuweka walinzi.
Mansh amt shútsmanats matabon togk'rat doowman kes'fuwotsn bokoti.

< Mathayo 27 >