< Mathayo 25 >
1 Ndipo ufalme wa mbinguni utafananishwa na wanawali kumi waliochukua taa zao na kuondoka kwenda kumpokea bwana harusi.
“Amo esoga, Gode Ea Hinadafa Hou da a: fini dunuga hame dawa: digi nabuane gala ilia hou agoane ba: mu. Ilia da gamali lale, uda lamu dunu fidimusa: asi.
2 Watano miongoni mwao walikuwa wapumbavu na watano wengine walikuwa werevu.
A: fini biyale da gagaoui agoane, be biyale eno da bagade dawa: lai galu.
3 Wanawali wapumbavu walipochukua taa zao, hawakuchukua mafuta yoyote.
Gagaoui a: fini biyale, ilia da gamali hano eno mae lale, gamali gaguli asi.
4 Bali wanawali welevu walichukua vyombo vyenye mafuta pamoja na taa zao.
Be bagade dawa: su a: fini biyale, ilia da gamali hano eno dili salawane, gamali gaguli asi.
5 Sasa wakati bwana harusi amechelewa kufika, wote walishikwa usingizi na wakalala.
Uda lamu dunu da hedolo hame doaga: beba: le, ilia da golaiwane dialu.
6 Lakini wakati wa usiku wa manane kulikuwa na yowe, 'Tazama, bwana harusi! Tokeni nje mkampokee.'
Amalalu, gasimogoa, ilia da wele sia: be bagade nabi. ‘Dawa: ma! Uda lamu dunu da manebe! E yosia: musa: masa!’
7 Ndipo hao wanawali waliamka wote na kuwasha taa zao.
Amalalu, a:fini huluane da wa: legadole, ilia gamali ulagimusa: , wigi hahamoi.
8 Wale wapumbavu waliwaambia wale welevu, 'Mtupatie sehemu ya mafuta yenu kwa sababu taa zetu zinazimika.'
Gagaoui a: fini biyale, ilia bagade dawa: su a: fini biyale ilima amane sia: i, ‘Dilia gamali hano galea ninima ima. Ninia gamali da usimu galebe!’
9 Lakini wale welevu waliwajibu na kuwaambia, 'Kwa kuwa hayatatutosha sisi na ninyi, badala yake nendeni kwa wanaouza mjinunulie kiasi kwa ajili yenu.'
Be bagade dawa: su a: fini da bu adole i, ‘Hame mabu! Ninia gamali hano ebelesa: besa: le hame imunu. Dilia bidi lasu diasuga bidi lamusa: masa!’
10 Wakati wameenda huko kununua, Bwana harusi alifika, na wote waliokuwa tayari walienda naye kwenye sherehe ya harusi, na mlango ulifungwa.
Gagaoui a: fini da bidi lamusa: ahoananoba, uda lamu dunu da doaga: i dagoi. Amalalu, bagade dawa: su a: fini amola uda lamu dunu, ilia diasu ganodini lolo manusa: asi. Amalalu, logo da ga: si dagoi ba: i.
11 Baadaye wale wanawali wengine pia walifika na kusema, 'Bwana, bwana, tufungulie.'
Fa: nowane, bidilai dagobeba: le, gagaoui a: fini da doaga: le, logoga lulufigili, amane sia: i, ‘Hina! Hina! Ninia golili misa: ne, logo doasima!’
12 Lakini alijibu na kusema, 'Kweli nawaambia, Mimi siwajui.'
Be e da bu adole i, ‘Hame mabu! Na da dafawane dilima sia: sa! Na da dili hame dawa: !’
13 Kwa hiyo angalieni, kwa kuwa hamjui siku au saa.
Dilia huluane dawa: iwane ha: esaloma! Bai dilia Na bu misunu eso ilegesu hame dawa: !”
14 Kwa kuwa ni sawa na mtu alipotaka kusafiri kwenda nchi nyingine. Aliwaita watumwa wake na kuwakabidhi utajiri wake.
Dunu Egefe Ea bu misunu eso doaga: sea, Gode Ea Hinadafa hou da agoane ba: mu. Dunu afadafa, soge sedagaga masunuba: le, ea hawa: hamosu dunu gilisili, ilima ea liligi noga: le ouligima: ne sia: i. 5000
15 Mmoja wao alimpatia talanta tano, mwingine alimpa mbili, na yule mwingine alimpa talanta moja. Kila mmoja alipokea kiasi kulingana na uwezo wake, na yule mtu alisafari kwenda zake.
E da hawa: hamosu dunu afadafa ema K5000 agoane i. Enoma e da K2000 agoane i. Enoma e da K1000 agoane i. Ilia gasa hou defele ilima ia dagoiba: le, e soge sedagaga doaga: musa: asi. 5000
16 Mapema yule aliyepokea talanta tano alienda kuziwekeza, na kuzalisha talanta zingine tano.
Gina5000 lai dunu da asili, bidi lale, hawa: hamone, K5000 eno lai dagoi.
17 Vilevile yule aliyepokea talanta mbili, alizalisha zingine mbili.
Gina 2000 lai amola, e da eno K2000 lai dagoi.
18 Lakini mtumwa aliyepokea talanta moja, alienda zake, akachimba shimo ardhini, na kuificha fedha ya bwana wake.
Be K1000 lai dunu da asili, osobo ulidogone, ea hina ea muni wamolegei dagoi.
19 Na baada ya muda mrefu, bwana wa watumwa hao alirudi na kutengeneza mahesabu nao.
Eso bagohame asili, ilia hina da ea bidi lamusa: bu misi.
20 Yule mtumwa aliyepokea talanta tano alikuja na kuleta talanta zingine tano, akasema, 'Bwana, ulinipa talanta tano. Tazama, nimepata faida ya talanta zingine tano.'
Dunu da K5000 lai amola eno K5000 lai da misini, amane sia: i, ‘Hina! Di da nama K5000 i. Ba: ma! Na da dima imunusa: , K5000 eno lai dagoi,’
21 Bwana wake alimwambia, 'Hongera, mtumwa mzuri na mwaminifu! Umekuwa mwaminifu kwa vitu vidogo. Nitakupa madaraka juu ya vitu vingi. Ingia katika furaha ya bwana wako.'
Hina da bu adole i, ‘Defea mabu! Dia hou da ida: iwane amola nabawane hamoi. Di da fonobahadi liligi noga: le ouligibiba: le, wali liligi bagade ouligima: ne na dima olemu. Misa! Di ani da hahawane gilisili esalumu.’
22 Mtumwa aliyepokea talanta mbili alikuja na kusema, 'Bwana, ulinipa talanta mbili. Tazama, nimepata faida ya talanta zingine mbili,'
Gina 2000 lai dunu da ema misini, amane sia: i, ‘Hina! Di da K2000 nama i. Ba: ma! Na da K2000 eno lai dagoi,’
23 Bwana wake alimwambia, 'Hongera, mtumwa mzuri na mwaminifu! Umekuwa mwaminifu kwa vitu vichache. Nitakupa madaraka juu ya vitu vingi. Ingia katika furaha ya bwana wako.'
Hina da bu adole i, ‘Defea mabu! Dia hou da ida: iwane amola nabawane. Di da fonobahadi liligi noga: le ouligibiba: le, wali di da liligi bagade ouligimu. Misa! Di da ani hahawane gilisili esalumu,’
24 Baadaye mtumwa aliyepokea talanta moja alikuja na kusema, 'Bwana, najua kuwa wewe ni mtu mkali. Unachuma mahali ambapo hukupanda, na unavuna mahali ambapo hukusia.
Be K1000 fawane lai dunu, ema misini, amane sia: i, ‘Hina! Dia hou na dawa: i galu. Di da gasa bagade fi dunu. Di da ifabi dia hame bugi amogawane faisa.
25 Mimi niliogopa, nikaenda zangu na kuificha talanta yako katika udongo. Tazama, unayo hapa ile iliyo yako.'
Na beda: iba: le, dia K1000 osoboga wamolegei. Ba: ma! Dia K1000 da goea,’
26 Lakini bwana wake alijibu na kusema, 'Wewe mtumwa mwovu na mzembe, ulijua kwamba ninachuma mahali ambapo sijapanda na kuvuna mahali ambapo sikusia.
Ea hina da ema ougili amane adole i, ‘Di da wadela: i amola hihini hawa: hamosu dunu. Na da hame bugi liligi faisa, di dawa: bela: ?
27 Kwahiyo ulipaswa kuwapa fedha yangu watu wa benki, na wakati wa kurudi kwangu ningeipokea ile yangu pamoja na faida.
Amaiba: le na K1000 dia da abuliga muni salasu diasu ganodini muni eno lama: ne hame salibala: ?’
28 Kwa hiyo mnyang'anyeni hiyo talanta na mpeni yule mtumwa aliye na talanta kumi.
E da ea fidisu dunuma amane sia: i, ‘Amo ea K1000 lale, K5000 gagui dunu ema ima.
29 Kila mtu aliye nacho, ataongezewa zaidi-hata kwa kuzidishiwa sana. Lakini kwa yeyote asiye na kitu, hata alicho nacho atanyang'anywa.
Nowa dunu da lai galea, na da ema bu imunu galebe. E da baligili gagumu. Be hame lai dunuma, ea fonobahadi gagui amo huluane na da bu samogemu.
30 Mtupeni nje gizani huyo mtumwa asiyefaa, ambako kutakuwa na kilio na kusaga meno.'
Be wadela: i hawa: hamosu dunu gaguli, gadili gasiga ha: digima. E da bese ini dinanebe ba: mu,’
31 Wakati Mwana wa Adamu atakapokuja katika utukufu wake, na malaika wote pamoja naye, ndipo atakapokaa juu ya kiti chake cha utukufu.
“Dunu Egefe E da Hina Bagadedafa hamoiwane, Ea a: igele dunu oule masea, E da Ea hadigi fisuga fimu.
32 Mataifa yote yatakusanyika mbele zake, naye atawatenganisha watu, kama vile mchungaji anavyowatenganisha kondoo na mbuzi.
Dunu fifi asi gala huluane da Ema gilisibiba: le, E da ili afafamu. Sibi ouligisu dunu da sibi amola goudi afafasa, amo defele E da dunu afafamu.
33 Atawaweka kondoo mkono wake wa kuume, bali mbuzi atawaweka mkono wa kushoto.
Sibi da Ea lobo dafadili amola goudi da Ea lobo fofadidili masa: ne, E da sia: mu.
34 Kisha mfalme atawaambia wale walio mkono wake wa kulia, 'Njoni, mliobarikiwa na Baba yangu, urithini ufalme ulioandaliwa kwa ajili yenu tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu.
Amasea, dunu ea lobo dafadili asi ilima Hina Bagadedafa da amane sia: mu, ‘Na Ada Ea hahawane fidisu lai mano. Dilia misa! Gode Ea Hinadafa Hou, Gode da osobo bagade muni hemosu esoga hamoi, amo dilia hahawane lama.
35 Kwa kuwa nilikuwa na njaa na mlinipa chakula; Nilikuwa mgeni na mlinikaribisha;
Na da ha: i nababeba: le, dilia ha: i manu Nama i. Na da hano hanaiba: le, dilia da Nama hano dili i. Na da ga fi defele dilia diasuga doaga: loba, dilia da Nama yosia: nanu aowasu.
36 Nilikuwa uchi, na mlinivika nguo; Nilikuwa mgonjwa na mkanitunza; Nilikuwa kifungoni na mkaniijia.'
Na da da: i nabadoba: le, dilia da abula Nama idiniginisima: ne i. Na da olo madelaiba: le, dilia da Nama asigiba: le, Nama ouligimusa: doaga: i. Na da se iasu diasu ganodini sali dagoiba: beba: le, dilia da Na ba: la misi.’
37 Ndipo wenye haki watamjibu na kumwambia, 'Bwana, lini tulikuona ukiwa na njaa, na kukulisha? Au una kiu na tukakupa maji?
Amasea, hou ida: iwane hamosu dunu da Dunu Egefema amane adole ba: mu, ‘Hina Gode! Ninia habogala Di ha: i nababeba: le, ha: i manu ibela: ? Ninia habogala Di hano hanaiba: le, Dima hano dili ibela: ?
38 Na lini tulikuona ukiwa mgeni, na tukakukaribisha? Au ukiwa uchi na tukakuvisha nguo?
Ninia habogala Di ninia diasuga golama: ne sia: bela: ? Ninia habogala Di da: i nabado ba: beba: le, abula Dima ibala: ?
39 Na lini tulikuona ukiwa mgonjwa, au katika kifungo, na tukakujia?
Ninia habogala Di oloiba: le o se iasu diasuga saliba: le, ninia habogala Dima asigiba: le, ba: la misibala: ?’
40 Na mfalme atawajibu na kuwaambia, 'Kweli nawaambia, mlichotenda hapa kwa mmoja wa ndugu zangu wadogo, mlinitendea mimi.'
Amasea Hina Bagadedafa da ilima amane bu adole imunu, ‘Na dafawane sia: sa! Dilia da adi hou amo Na fi dunu mimogo hamedei gala, ilima fidimusa: hamoi galea, dilia da amo hou Nama hamoi dagoi.’
41 Ndipo atawaambia hao walio mkono wake wa kushoto, 'Ondokeni kwangu, mliolaaniwa, nendeni katika moto wa milele ulioandaliwa kwa ajili ya shetani na malaika zake, (aiōnios )
Amasea dunu Ea lobo fofadidili esala, ilima E da amane sia: mu, ‘Dilia Gode Ea gagabusu aligima: ne lai dunu! Masa! Eso huluane nenanumu lalu, Sa: ida: ne amola ea a: igele dunu se iasu ima: ne Gode hamoi, amoga masa! (aiōnios )
42 kwa sababu nilikuwa na njaa lakini hamkunipa chakula; Nilikuwa na kiu lakini hamkunipa maji;
Na da ha: iba: le, dilia da Nama ha: i manu hame i. Na da hano hanaiba: le, dilia da hano Nama hame dili i.
43 Nilikuwa mgeni lakini hamkunikaribisha; nikiwa uchi lakini hamkunipa mavazi; nikiwa mgonjwa na nikiwa kifungoni, lakini hamkunitunza.'
Na da ga fi agoane dilima doaga: loba, dilia da golasu Nama hame olelei. Na da: i nabadoba: le, dilia da Nama abula idiniginisima: ne hame i. Na da oloiwane se iasu diasuga sali dagoi ba: loba, dilia da Na hame ba: la misi.’
44 Ndipo wao pia watamjibu na kusema, 'Bwana, lini tulikuona ukiwa na njaa, au una kiu, au u mgeni, au ukiwa uchi, au ukiwa mgonjwa, au ukiwa mfungwa, na hatukukuhudumia?
Amalalu, ilia da bu adole ba: mu, ‘Hina Gode! Ninia habogala Di ha: i nabawane, o hano hanai o hame gaguiwane, o da: i nabado o olo o se iasu ganodini sali, ninia habogala amo ba: loba, Di hame fidibela: ?’
45 Kisha atawajibu na kusema, 'Kweli nawaambia, kile ambacho hamkutenda kwa mmoja wa hawa wadogo, hamkunitendea mimi.'
Amalalu, Hina Bagadedafa da ilima amane bu adole imunu, ‘Na dafawane sia: sa! Dilia da adi hame fidisu hou amo Na fi dunu hamedei gala, ilima hamoi galea, dilia da amo hou Nama hamoi dagoi.’
46 Hawa watakwenda katika adhabu ya milele bali wenye haki katika uzima wa milele.” (aiōnios )
Amalalu, ilia da eso huluane mae dagole se iasu ba: lalumu. Be hou ida: iwane dunu da eso huluane mae bogole Fifi Ahoanusu lamu.” (aiōnios )