< Mathayo 24 >

1 Yesu alitoka hekaluni na kwenda zake. Wanafunzi wake walimwendea na kumuonesha majengo ya hekalu.
Yeso masuri u denge Asere, mara anyimo atanu anu tarsa umeme awa e innu be zizzi ume bibara-bara biti denge tuta sa Asere.
2 Laikni aliwajibu na kuwaambia, “Je, hamuyaoni mambo haya yote? Kweli nawaambia, hakuna jiwe litalobaki juu ya lingine bila kubomolewa.”
Bama kabirkawe magu, “Vat ya ira tinii? ka dundure kani in bosh, adi samariri ka apo age me ada cekime nire a sesser anire ba.”
3 Na alipokaa katika Mlima wa Mizeituni, wanafunzi wake walimwendea kwa faragha na kusema, “Tuambie, mambo haya yatatokea lini? Kitu gani kitakuwa dalili ya kuja kwako na mwisho wa ulimwengu?” (aiōn g165)
Ma ciki ani po nu zaitun anu tarsa ume me wa e ahira ame wagu, “Bukam duru, uya uwui uni adi wuzi anime? nyani idi bezi uguna u ye uwome? nan nu mra unee?” (aiōn g165)
4 Yesu aliwajibu na kuwaambia, “Iweni makini kwamba asije mtu akawapotosha.
Ba yeso makabirka magu, wuzani seeke katti uye ma witi shi.
5 Kwa kuwa wengi watakuja kwa jina langu. Watasema, 'Mimi ndiye Kristo', na watawapotosha wengi.
Barki anu wadi e gbardang anyimo ani za num, wagu we wani Asere, wadi witti anu gbardang.
6 Mtasikia vita na taarifa za vita. Angalieni msije mkawa na wasiwasi, kwa kuwa mambo haya hayabudi kutokea; lakini ule mwisho utakuwa bado.
I di kunna tizee tini kono nan bi bobo binin, kati muraba mushime muhiri ba, uwuna anime wacukuno a wuzi daa umara wa aye ba.
7 Kwa kuwa taifa litainuka dhidi ya taifa jingine, na ufalme dhidi ya ufalme. Kutakuwa na njaa na matetemeko ya ardhi katika sehemu mbalimbali.
Anabu wadi hirza anabu, tigomo tidi hirza tgomo. Adi uzi ikomo nan uzuruzuno adi zii ati hira sassas.
8 Lakini mambo haya yote ni mwanzo tu wa uchungu wa kujifungua.
Ani vat utuba u zitto uni.
9 Ndipo watawatoa kwa ajili ya mateso na kuwaua. Mtachukiwa na mataifa yote kwa sababu ya jina langu.
A' anime wadi witi shi, apatti shi wakuri wa huzzi shi anu vat wadi nyaree shi barki in za num.
10 Ndipo wengi watajikwaa na kusalitiana na watachukiana wenyewe kwa wenyewe.
A' anime anu wadi pilizo abardang, wari inama ya ce'ce wa nyarime ace'ce.
11 Manabii wengi wa uongo watatokea na kuwadanganya wengi.
Anu kurzuzzo utize tima cuco wadi suri, warangizi anu gbardang.
12 Kwa sababu uovu utaongezeka, upendo wa wengi utapoa.
Katuma kaburu kadu wu gben u hem umaro manu uduwu seeke.
13 Lakini atakaye vumilia mpaka mwisho, ataokolewa.
Adi buri desa ma tonno.
14 Hii Injili ya ufalme itahubiriwa katika ulimwengu mzima kama ushuhuda kwa mataifa yote. Na ndipo ule mwisho utafika.
Adi wuzi tize titi gomo tazeesere vat anyimo unee ugeme abuki anabu, unee wa aye umara.
15 Kwa hiyo, mtakapoona chukizo la uharibifu, lililosemwa na nabii Danieli limesimama mahali patakatifu [asomaye na afahamu],
A' anime inki ya ira kattuma ka zenzen fai kaso, ka gebe sa daniyel unu kurzo uti mabuka, atura me ahira a lau (u nu hira me rusi).
16 ndipo walioko Yuda wakimbilie milimani.
Tu, ande sa wa ra ama canga mayahudiyawa sumi uribe anyimo apo.
17 Na yule aliyeko juu ya paa la nyumba asiweze kuteremka chini kuchukua kitu chochote kutoka ndani ya nyumba yake,
Desa makunna biyau, kati matu u ka ziki udee sa mara akura amme.
18 naye aliyeko shambani asirudi kuchukua vazi lake.
Dee sa mara uruu cangi ugebtu umee ba.
19 Lakini ole wao ambao wana mtoto na wale ambao wananyonyesha katika siku hizo!
Udee ana tipuru nan nanu cira a hanna uganiya uginome.
20 Ombeni kwamba kukimbia kwenu kusiwe wakati wa baridi, wala siku ya sabato.
Wuzani bi ringara kati usum ushime u wui uvenke inni kuzi.
21 Kwa kuwa kutakuwa na dhiki kuu, ambayo haijawahi kuwapo tangu kuumbwa kwa ulimwengu hadi sasa, na wala haitakuwapo tena.
Uganiya uginome adi wuzzi i jassi kan, usassana igibe sa nu mansa u wuzame daati utubbu nee u aye ukani me, adaa akuri a wuzi me ba.
22 Kama siku hizo zisingefupishwa, hakuna ambaye angeokoka. Lakini kwa sababu ya wateule, siku hizo zitafupishwa.
Bansa a kaska tiye tigino ba, ada'daa kemme de sama game ba. Barki anu zau ka uginome a kaska tiye me.
23 Kisha ikiwa mtu yeyote atawaambia 'Tazama, Kristo yuko hapa! au, 'Kristo yuko kule' msiamini maneno hayo.
A' anime desa ma gunna shi, ya ira ugomo Asere monno! nani, monno abirko! katti ihemba.
24 Kwa kuwa Makristo wa uongo na manabii wa uongo watakuja na kuonesha ishara kubwa na maajabu, kwa kusudi la kupotosha, kama ingewezekana hata na wateule.
Barki ugomo Asere nan nanu kurzuzzo utizee tina cuco wadi suri, wabezi katuma ka dandang ku bari, barki wa hunze ande a zauka inki yawuna.
25 Tazameni, nimewatahadharisha kabla ya mambo hayo kutokea.
Ta, mabuka shi dibe.
26 Kwa hiyo, ikiwa watawaambia, ''Kristo yuko jangwani,' msiende huko jangwani. Au, 'Tazameni, yuko ndani ya nyumba,' msiamini maneno hayo.
A' anime inki wagunan shi, “monno ani ja” katii suriba inka nain waguna, monno anyimo ati hira ti gunzine, kati ihem ba.
27 Kama vile radi inavyomulika kutokea mashariki na kuangaza hadi magharibi, ndivyo itakavyokuwa kuja kwa Mwana wa Adamu.
Gussi umelme azeesere, mel mel ane ani u aye uvana unu udi zi.
28 Popote ulipo mzoga, huko ndiko tai wakusanyikapo.
A hira me sa aush araa ni abmee ani magulluk marsa maka orzino a hira me.
29 Lakini mara baada ya dhiki kuu ya siku zile, Jua litatiwa giza, mwezi hautatoa mwanga wake, nyota zitaanguka kutoka angani, na nguvu za mbinguni zitatikisika.
Ussuro ijassi ginome, a inpi u wui upeu udaa nya masba. Iwiran ya sesere idi rizizzi, adi zaa rika imumbe sa ira azesere
30 Ndipo ishara ya Mwana wa Adamu itaonekana angani, na makabila yote ya dunia wataomboleza. Watamwona Mwana wa Adamu akija katika mawingu ya angani kwa nguvu na utukufu mkuu.
Uganiya uginome uni u' aye uvana unu udi cukkuno, vat alem unee adi shi, wadi iri vana unu ma ezze aniyimo a tiwiri, innu bari nan ni nonzo gbem.
31 Atawatuma malaika wake kwa sauti kuu ya tarumbeta, nao watawakusanya pamoja wateule wake kutoka pande nne za dunia, kutoka mwisho mmoja wa mbingu hadi mwingine.
Madi tumi ibe ikadura kameme wa hure nihure na so kan, wakuri wa orso me anu ati kira ti nazi nyimo unee.
32 Jifunzeni somo kutokana na mti mtini. Mara tu tawi linapochipuka na kutoa majani, mnajua kwamba kiangazi kinakaribia.
Manzani ahira utiti upuom, ukee u zarika inki nikuzi na aye mamu u tiro.
33 Hivyo pia, mtakapoona mambo haya yote, mnapaswa kujua kwamba amekaribia, karibu na malango.
Rusani vat inki ya ira adodu aginome ma aye mamu ini.
34 Kweli nawaambia, kizazi hiki hakitapita, hadi mambo yote haya yatakuwa yametokea.
Ka dundure kani, inboshi uganiya akame sarki uguna imumu igino idi kem.
35 Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.
A zesere nan na dizii adi mari, atize tum ni.
36 Lakini kuhusu siku ile na saa hakuna mtu ajuaye, hata malaika wa mbinguni, wala Mwana, bali Baba peke yake.
Baa dee sa marusa u wui nan nu ganiya uginome, nani ibe ikkadure kasere, nani vana senke acoo mani cass.
37 Kama vile ilivyokuwa katika siku za Nuhu, ndivyo itakavyokuwa kuja kwa Mwana wa Adamu.
Kasi uwuza uganiya u Nuhu, anee ani idi cukuno u' aye uvana unu udi zi.
38 Kwa kuwa katika siku hizo kabla ya gharika watu walikuwa wakila na kunywa, wakioa na kuolewa hadi siku ile ambayo Nuhu aliingia katika safina,
Waazin nare, innu siza nan tinya, uhana umara ubara uzirigi u Nuhu.
39 na hawakujua kitu chochote hadi gharika ilipokuja na kuwasomba wote - ndivyo itakavyokuwa kuja kwa Mwana wa Adamu.
Ure uganiya u Nuhu u' e umukkur kawe, anee ani u zee uvana unu udi cukuno.
40 Ndipo watu wawili watakuwa shambani- mmoja atachukuliwa, na mmoja ataachwa nyuma.
A' anime adi iri ana ware u ruu, azikki unu indai acekki unu indai.
41 Wanawake wawili watakuwa wanasaga pamoja - mmoja atachukuliwa, na mmoja atabaki.
Adi iri anu ware intinanzu, azikki u' indai aceki u indai.
42 Kwa hiyo, kuweni macho kwa sababu hamjui ni siku gani ambayo atakuja Bwana wenu.
Ta' cukunoni innu russa, iti shi u wuibe sa ugomo Asere madi e, ba.
43 Lakini mjue kwamba, ikiwa bwana mwenye nyumba angejua ni saa ipi ambayo mwizi angekuja, angekesha na asingeruhusu nyumba yake kuvamiwa.
Agu una kura marusa uganiya sa ukari madi e, madada wuzame moro pit ba.
44 Kwa hiyo, pia mnapaswa kuwa tayari, kwa kuwa Mwana wa Adamu atakuja katika saa msiyoitarajia.
A' anime cukuno ni innu rusa uganiya sa ita shi ba vana unumadi e.
45 Hivyo ni nani aliye mwaminifu, mtumwa mwenye akili, ambaye bwana wake amempa madaraka juu ya walio katika nyumba yake, ili awape chakula kwa wakati unaofaa?
A veni unu huma uni riba ubenki, sa una kura ameme manyin zame unnu mare ka re-re.
46 Amebarikiwa mtumishi huyo, ambaye bwana wake atamkuta akifanya hivyo wakati ajapo.
Kadundure, inboshi madi tari me imumbe sama zini.
47 Kweli nawaambia kwamba bwana atamweka juu ya kila kitu kilicho chake.
Kadundure, kani inboshi madi tarme imumbe sama zini.
48 Lakini kama mtumwa mwovu akisema moyoni mwake, 'Bwana wangu amekawia,'
Inki urere uginome unu buru mani, maguna iruba ine una kura am maga me u aye dibe.
49 na akaanza kuwapiga watumishi wake, na akala na kulewa vileo,
Ba' ma tubi atira aroni ani nonzo umeme, mazin na are in bi sizza sizza.
50 Bwana wa mtumwa huyo atakuja katika siku ambayo haitarajii, na katika saa ambayo haijui.
Una kura urere ugino me madi e u wui me sa ma tā meba.
51 Bwana wake atamkata vipande viwili na kumweka katika nafasi moja sawa na wanafiki, ambako kutakuwa na kilio na kusaga meno.
Ma warime nipum in nu cobo, ma uyame ukālu ume nan nanu aburu. Madi shi marumazi a nyo.

< Mathayo 24 >