< Mathayo 23 >
1 Baadaye aliongea na umati wa watu na wanafunzi wake. Akasema,
Tedy Jezus rzekł do ludu i do uczniów swoich, mówiąc:
2 “Waandishi na Mafarisayo wanakalia kiti cha Musa.
Na stolicy Mojżeszowej usiedli nauczeni w Piśmie i Faryzeuszowie.
3 Kwa hiyo chochote wanacho waamuru kufanya, fanyeni huku mkiwachunguza. Lakini msije mkaiga matendo yao, kwa sababu wao hutamka mambo wasiyoyafanya.
Przetoż wszystkiego, czegokolwiek by wam rozkazali przestrzegać, przestrzegajcie i czyńcie, ale według uczynków ich nie czyńcie; albowiem oni mówią, ale nie czynią.
4 Kweli, wao hufunga mizigo mizito ambayo ni vigumu kuibeba, na kisha huwabebesha watu mabegani mwao. Lakini wao wenyewe hawasogezi hata kidole kuibeba.
Bo wiążą brzemiona ciężkie i nieznośne, i kładą je na ramiona ludzkie, lecz palcem swoim nie chcą ich ruszyć.
5 Matendo yao yote, huyafanya ili watazamwe na watu. Kwa sababu wao hupanua masanduku yao na huongeza ukubwa wa mapindo ya mavazi yao.
A wszystkie uczynki swoje czynią, aby byli widziani od ludzi, i rozszerzają bramy swoje, i rozpuszczają podołki płaszczów swoich.
6 Wao hupendelea kukaa maeneo ya kifahari katika sherehe na katika viti vya heshima ndani ya masinagogi,
Nadto miłują pierwsze miejsca na wieczerzach, i pierwsze stołki w bóżnicach.
7 na kusalimiwa kwa heshima maeneo ya sokoni, na kuitwa “Walimu” na watu.
I pozdrawiania na rynkach, i aby je nazywali ludzie: Mistrzu, mistrzu!
8 Lakini ninyi hampaswi kuitwa “Walimu,” Kwa kuwa mnaye Mwalimu mmoja, na ninyi wote ni ndugu.
Ale wy nie nazywajcie się mistrzami; albowiem jeden jest mistrz wasz, Chrystus; ale wy jesteście wszyscy braćmi.
9 Msimuite mtu yeyote hapa duniani kuwa baba yenu, kwa kuwa mnaye Baba mmoja tu, naye yuko mbinguni.
I nikogo nie zówcie ojcem waszym na ziemi; albowiem jeden jest Ojciec wasz, który jest w niebiesiech.
10 Wala msije kuitwa 'walimu,' kwa kuwa mnaye Mwalimu mmoja tu, yaani Kristo.
A niechaj was nie zowią mistrzami, gdyż jeden jest mistrz wasz, Chrystus.
11 Bali aliye mkubwa miongoni mwenu atakuwa mtumishi wenu.
Ale kto z was największy jest, będzie sługą waszym.
12 Yeyote ajiinuae atashushwa. Na yeyote anaye jishusha atainuliwa.
A kto by się wywyższał, będzie poniżony; a kto by się poniżał, będzie wywyższony.
13 Lakini ole wenu waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Mnawafungia watu ufalme wa mbinguni. Nanyi hamwezi kuuingia, na hamwaruhusu wanaoingia kufanya hivyo.
Lecz biada wam, nauczeni w Piśmie i Faryzeuszowie obłudni! iż zamykacie królestwo niebieskie przed ludźmi; albowiem tam sami nie wchodzicie, ani tym, którzy by wnijść chcieli, wchodzić nie dopuszczacie.
14 (Zingatia: Msitari wa 14 hauonekani katika nakala bora za kale. Baadhi ya nakala huongeza msitari huu baada ya msitari wa 12. Msitari wa 14 “Ole wenu wandishi na Mafarisayo wanafiki! Kwa kuwa mnawameza wajane”).
Biada wam, nauczeni w Piśmie i Faryzeuszowie obłudni! iż pożeracie domy wdów, a to pod pokrywką długich modlitw, dlatego cięższy sąd odniesiecie.
15 Ole wenu Waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Mnavuka ngambo ya bahari na kufika kumfanya mtu mmoja aamini yale mnayoyafundisha, na anapokuwa kama ninyi, mnamfanya mara mbili mwana wa jehanamu kama ninyi wenyewe mlivyo. (Geenna )
Biada wam, nauczeni w Piśmie i Faryzeuszowie obłudni! iż obchodzicie morze i ziemię, abyście uczynili jednego nowego Żyda; a gdy się stanie, czynicie go synem zatracenia, dwakroć więcej niżeliście sami. (Geenna )
16 Ole wenu viongozi vipofu, ninyi msemao, Yeyote aapaye kwa hekalu, si kitu. Lakini anayeapa kwa dhahabu ya hekalu, amefungwa na kiapo chake.
Biada wam, wodzowie ślepi! którzy powiadacie: kto by przysiągł na kościół, nic nie jest: ale kto by przysiągł na złoto kościelne, winien jest.
17 Enyi vipofu wapumbavu, kipi ni kikubwa kuliko kingine, dhahabu au hekalu ambalo limeweka wakfu dhahabu kwa Mungu?
Głupi i ślepi! albowiem cóż jest większego, złoto czy kościół, który poświęca złoto?
18 Na, yeyote aapaye kwa madhabahu, si kitu. Bali anayeapa kwa sadaka iliyo juu yake, amefungwa na kiapo chake.
A kto by przysiągł na ołtarz, nic nie jest; lecz kto by przysiągł na dar, który jest na nim, winien jest.
19 Enyi watu vipofu, kipi ni kikubwa kuliko kingine, sadaka au madhabahu ambayo huweka wakfu sadaka zinazotolewa kwa Mungu?
Głupi i ślepi! albowiem cóż większego jest? dar, czyli ołtarz, który poświęca dar?
20 Kwa hiyo, yeye aapaye kwa madhabahu huapa kwa hiyo na kwa vitu vyote vilivyo juu yake.
Kto tedy przysięga na ołtarz, przysięga na niego, i na to wszystko, co na nim jest;
21 Naye aapaye kwa hekalu, huapa kwa hilo na kwa yeye akaaye ndani yake.
A kto przysięga na kościół, przysięga na niego, i na tego, który w nim mieszka;
22 Na yeye aapaye kwa mbingu, huapa kwa kiti cha enzi cha Mungu na kwa yeye aketie juu yake.
I kto przysięga na niebo, przysięga na stolicę Bożą, i na tego, który siedzi na niej.
23 Ole wenu, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnalipa zaka kwa bizali, mnaanaa na mchicha, lakini mnaacha mambo mazito ya sheria- haki, rehema, na imani. Lakini haya mnapaswa kuwa mmeyafanya, na siyo kuacha mengine bila kuyatekeleza.
Biada wam, nauczeni w Piśmie i Faryzeuszowie obłudni! iż dawacie dziesięcinę z miętki i z anyżu i z kminu, a opuszczacie poważniejsze rzeczy w zakonie, sąd i miłosierdzie i wiarę; te rzeczy mieliście czynić, a onych nie opuszczać.
24 Enyi viongozi vipofu, ninyi ambao mnachuja mdudu mdogo lakini mnameza ngamia!
Wodzowie ślepi! którzy przecedzacie komara, i wielbłąda połykacie.
25 Ole wenu, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnasafisha nje ya vikombe na nje ya sahani, lakini ndani pamejaa dhuluma na kutokuwa na kiasi.
Biada wam, nauczeni w Piśmie i Faryzeuszowie obłudni! iż oczyszczacie kubek z wierzchu i misę, a wewnątrz pełne są drapiestwa i zbytku.
26 Enyi Mafarisayo vipofu, safisheni kwanza ndani ya kikombe na ndani ya sahani, ili upande wa nje nao pia uwe safi.
Faryzeuszu ślepy! oczyść pierwej to, co jest wewnątrz w kubku i w misie, aby i to, co jest z wierzchu, czystem było.
27 Ole wenu, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnafanana na makaburi yaliyopakwa chokaa, ambayo kwa nje huonekana mazuri, lakini kwa ndani yamejaa mifupa ya wafu na kila kitu kilicho kichafu.
Biada wam, nauczeni w Piśmie i Faryzeuszowie obłudni! iżeście podobni grobom pobielanym, które się zdadzą z wierzchu być cudne, ale wewnątrz pełne są kości umarłych i wszelakiej nieczystości.
28 Vivyo hivyo, nanyi kwa nje mwaonekana wenye haki mbele ya watu, lakini kwa ndani mmejaa unafiki na udhalimu.
Także i wy z wierzchu zdacie się być ludziom sprawiedliwi; ale wewnątrz jesteście pełni obłudy i nieprawości.
29 Ole wenu, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mwajenga makaburi ya manabii na kuyapamba makaburi ya wenye haki.
Biada wam, nauczeni w Piśmie i Faryzeuszowie obłudni! iż budujecie groby proroków, i zdobicie nagrobki sprawiedliwych,
30 Ninyi mwasema, kama tungeishi siku za baba zetu, tusingekuwa tumeshiriki pamoja nao kumwaga damu za manabii.
I mówicie: Byśmy byli za dni ojców naszych, nie bylibyśmy uczestnikami ich we krwi proroków.
31 Kwa hiyo mwajishuhudia wenyewe kwamba ninyi ni watoto wa hao waliowaua manabii.
A tak świadczycie sami przeciwko sobie, że jesteście synowie tych, którzy proroki pozabijali.
32 Pia ninyi mnakamilisha kujaza sehemu inayostahili dhambi ya baba zenu.
I wy też dopełniacie miary ojców waszych.
33 Enyi nyoka, wana wa vipiribao, kwa namna gani mtaikwepa hukumu ya jehanamu? (Geenna )
Wężowie! rodzaju jaszczurczy! i jakoż będziecie mogli ujść przed sądem ognia piekielnego? (Geenna )
34 Kwahiyo, tazama, nawatuma kwenu manabii, watu wenye hekima, na waandishi. Baadhi yao mtawaua na kuwasulibisha. Na baadhi yao mtawachapa ndani ya masinagogi yenu na kuwafukuza kutoka mji mmoja hadi mwingine.
Przetoż oto ja posyłam do was proroki, i mędrce, i nauczone w Piśmie, a z nich niektóre zabijecie i ukrzyżujecie, a niektóre z nich ubiczujecie w bóżnicach waszych, i będziecie je prześladować od miasta do miasta;
35 Matokeo ni kwamba juu yenu patatokea damu zote za wenye haki zilizomwagwa duniani, kuanzia damu ya Habili mwenye haki hadi kwa damu ya Zakaria mwana wa Barakia, mliye muua kati ya patakatifu na madhabahu.
Aby przyszła na was wszystka krew sprawiedliwa, wylana na ziemi, ode krwi Abla sprawiedliwego aż do krwi Zacharyjasza, syna Barachyjaszowego, któregoście zabili między kościołem i ołtarzem.
36 Kweli, nawaambieni, mambo haya yote yatakipata kizazi hiki.
Zaprawdę powiadam wam: Przyjdzie to wszystko na ten naród.
37 Yerusalemu, Yerusalemu, wewe unayewaua manabii na kuwapiga mawe wale ambao wanatumwa kwako! mara ngapi nimewakusanya watoto wako pamoja kama vile kuku awakusanyavyo vifaranga wake chini ya mbawa zake, lakini haukukubali!
Jeruzalem! Jeruzalem! które zabijasz proroki, i które kamionujesz te, którzy do ciebie byli posyłani: ilekroć chciałem zgromadzić dzieci twoje, tak jako zgromadza kokosz kurczęta swoje pod skrzydła, a nie chcieliście?
38 Tazama, nyumba yako imebaki ukiwa.
Oto wam dom wasz pusty zostanie.
39 Nami nakuambia, Kuanzia sasa na kuendelea hautaniona, hadi utakaposema, 'Amebarikiwa yeye ajaye kwa jina la Bwana.”'
Albowiem powiadam wam, że mię nie ujrzycie od tego czasu, aż rzeczecie: Błogosławiony, który idzie w imieniu Pańskiem.