< Mathayo 23 >
1 Baadaye aliongea na umati wa watu na wanafunzi wake. Akasema,
Kangi Yesu akaujovela msambi wa vandu pamonga na vawuliwa vaki,
2 “Waandishi na Mafarisayo wanakalia kiti cha Musa.
“Vawula va malagizu na Vafalisayu ndi vevavi na uhotola wa kudandaula malagizu ga Musa.
3 Kwa hiyo chochote wanacho waamuru kufanya, fanyeni huku mkiwachunguza. Lakini msije mkaiga matendo yao, kwa sababu wao hutamka mambo wasiyoyafanya.
Hinu mugakamula na kugalanda malovi goha gevakuvajovela, nambu mkoto kuyigila matendu gavi, muni vene vihenga lepi gala gevikokosa.
4 Kweli, wao hufunga mizigo mizito ambayo ni vigumu kuibeba, na kisha huwabebesha watu mabegani mwao. Lakini wao wenyewe hawasogezi hata kidole kuibeba.
Vene vikunga ndwika yeyitopa na kuvagegesa vandu mumavega gavi, kuni vene vaganili lepi hati kutalambula lungonji kutangatila kugega.
5 Matendo yao yote, huyafanya ili watazamwe na watu. Kwa sababu wao hupanua masanduku yao na huongeza ukubwa wa mapindo ya mavazi yao.
Vene vihenga kila chindu, ndava kulolekana na vandu, viwala vindu vivaha vyeviyandikiwi malagizu pamihu gavi na mumawoko na kutalambula lugunyilu lwa nyula zavi.
6 Wao hupendelea kukaa maeneo ya kifahari katika sherehe na katika viti vya heshima ndani ya masinagogi,
Vigana kutama muvigoda vya palongolo pa mselebuko, na muvigoda vya kulongolo munyumba za kukonganekela Vayawudi,
7 na kusalimiwa kwa heshima maeneo ya sokoni, na kuitwa “Walimu” na watu.
mewawa vigana kujambuswa cha kutopeswa pandu pa kugulisila na kugula vindu na kukemelewa, ‘Muwula.’
8 Lakini ninyi hampaswi kuitwa “Walimu,” Kwa kuwa mnaye Mwalimu mmoja, na ninyi wote ni ndugu.
Nambu nyenye mkoto kuyidakila kukemelewa ‘Muwula,’ Ndava muni mwavoha nyenye mwavalukolo na Muwula winu ndi mmonga.
9 Msimuite mtu yeyote hapa duniani kuwa baba yenu, kwa kuwa mnaye Baba mmoja tu, naye yuko mbinguni.
Mewa mkoto kumkemela mundu yeyoha pamulima apa dadi, muni Dadi winu ndi mmonga ndu mweavi kunani.
10 Wala msije kuitwa 'walimu,' kwa kuwa mnaye Mwalimu mmoja tu, yaani Kristo.
Mkoto kuyidakila kukemelewa vachilongosi, muni chilongosi winu ndi mmonga ndu, ndi Kilisitu Msangula.
11 Bali aliye mkubwa miongoni mwenu atakuwa mtumishi wenu.
Mweavi mvaha pagati yinu yikumgana avyai muhengaji winu.
12 Yeyote ajiinuae atashushwa. Na yeyote anaye jishusha atainuliwa.
Na yeyoha mweakujikwiha yati iheleswa, na mweakujihelesa yati ikwihiwa.”
13 Lakini ole wenu waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Mnawafungia watu ufalme wa mbinguni. Nanyi hamwezi kuuingia, na hamwaruhusu wanaoingia kufanya hivyo.
“Mwalachikolela nyenye vawula va malagizu ga Chapanga geampeli Musa na Vafalisayu! Mukujikita vabwina! Mwidinda mlyangu wa unkosi wa kunani kwa Chapanga palongolo ya mihu ga vandu, mwavene mwiyingila lepi mugati na kuni mukuvayidakila lepi vevigana kuyingila vayingila.
14 (Zingatia: Msitari wa 14 hauonekani katika nakala bora za kale. Baadhi ya nakala huongeza msitari huu baada ya msitari wa 12. Msitari wa 14 “Ole wenu wandishi na Mafarisayo wanafiki! Kwa kuwa mnawameza wajane”).
Mwalachikolela nyenye, vawula va malagizu na Vafalisayu, mukujikita vabwina! Ndava muni mwinyaga vindu vya valipwela na kujilangisa kuvya vandu mwemkumganisa Chapanga, kwa kumuyupa Chapanga mulukumbi lutali, ndava yeniyo uhamula winu yati yivya yivaha neju.”
15 Ole wenu Waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Mnavuka ngambo ya bahari na kufika kumfanya mtu mmoja aamini yale mnayoyafundisha, na anapokuwa kama ninyi, mnamfanya mara mbili mwana wa jehanamu kama ninyi wenyewe mlivyo. (Geenna )
Mwalachikolela nyenye vawula va malagizu ga Bambu geampeli Musa na Vafalisayu, mukujikita vabwina! Muvi mulugendu munyanja na mundumba, muni mwilonda mundu mmonga alanda njila yinu ya kumuyupa Chapanga. Pemukumpata mukumkita iganikiwa neju kuhamba mumotu wa magono goha wangajimika kuliku mwavene. (Geenna )
16 Ole wenu viongozi vipofu, ninyi msemao, Yeyote aapaye kwa hekalu, si kitu. Lakini anayeapa kwa dhahabu ya hekalu, amefungwa na kiapo chake.
Mwalachikolela nyenye vilongosi vangalola! Mwemwijova ngati mundu alapili mu Nyumba ya Chapanga chindu lepi, nambu mundu akalapa kwa zahabu yeyivii mu Nyumba ya Chapanga, ndi chilapu chenicho chikumukamula.
17 Enyi vipofu wapumbavu, kipi ni kikubwa kuliko kingine, dhahabu au hekalu ambalo limeweka wakfu dhahabu kwa Mungu?
Nyenye mwangalola vayimu! Choki chivaha neju, zahabu amala Nyumba ya Chapanga yeyikuinyambisa zahabu kuvya msopi?
18 Na, yeyote aapaye kwa madhabahu, si kitu. Bali anayeapa kwa sadaka iliyo juu yake, amefungwa na kiapo chake.
Mwijova kavili mewawa kuvya mundu akalapa pa lusanja lwa luteta ndi chindu lepi, nambu mundu akalapai na luteta lweluvikiwi panani ya lusanja lwenulo ndi chilapu chenicho chikumukamula.
19 Enyi watu vipofu, kipi ni kikubwa kuliko kingine, sadaka au madhabahu ambayo huweka wakfu sadaka zinazotolewa kwa Mungu?
Mwangalola nyenye! Choki chivaha neju luteta amala lusanja lwa luteta yeyikita njombi kuvya ya msopi?
20 Kwa hiyo, yeye aapaye kwa madhabahu huapa kwa hiyo na kwa vitu vyote vilivyo juu yake.
Hinu, mundu mweilapa mulusanja lwa luteta, alapili pa lusanja lwa luteta na vindu vyoha vyevivi panani yaki.
21 Naye aapaye kwa hekalu, huapa kwa hilo na kwa yeye akaaye ndani yake.
Mewawa na mweilapa kwa Nyumba ya Chapanga alapili kwa yeniyo na mwenuyo mwaitama mugati yaki.
22 Na yeye aapaye kwa mbingu, huapa kwa kiti cha enzi cha Mungu na kwa yeye aketie juu yake.
Na mweilapa kwa liina la kunani kwa Chapanga, alapili pachigoda cha unkosi wa Chapanga, na kwa mwene mweitama pachigoda chenicho.
23 Ole wenu, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnalipa zaka kwa bizali, mnaanaa na mchicha, lakini mnaacha mambo mazito ya sheria- haki, rehema, na imani. Lakini haya mnapaswa kuwa mmeyafanya, na siyo kuacha mengine bila kuyatekeleza.
Mwalachikolela nyenye vawula va Malagizu na Vafalisayu. Mwavahomela! Mukuvawusa vandu lilundu limonga pagati ya kumi hati panani ya manyahi geginungalila bwina, bizali na ndimbililu, kuni mwileka mambu gavaha ga malagizu ngati kumganisa Chapanga lipyana na sadika. Genago ndi ngamlongolili kuhenga changali kuleka gangi gala.
24 Enyi viongozi vipofu, ninyi ambao mnachuja mdudu mdogo lakini mnameza ngamia!
Vachilongosi ngalola mwiwusa livembe muminyweso, kuni mwimila hinyama yeyikemelewa ngamiya!
25 Ole wenu, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnasafisha nje ya vikombe na nje ya sahani, lakini ndani pamejaa dhuluma na kutokuwa na kiasi.
“Mwalachikolela nyenye vawula va malagizu na Vafalisayu, mwavahomela! Mwisanja chikombi na nkeve cha kuvala, kuni muleka mugati mumemili vindu vyemupatili kwa uhiji na kunota.
26 Enyi Mafarisayo vipofu, safisheni kwanza ndani ya kikombe na ndani ya sahani, ili upande wa nje nao pia uwe safi.
Veve Mfalisayu ngalola! Tumbula hoti kusanja chikombi na nkele mugati na kuvala yati kwinyamba mewa.
27 Ole wenu, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnafanana na makaburi yaliyopakwa chokaa, ambayo kwa nje huonekana mazuri, lakini kwa ndani yamejaa mifupa ya wafu na kila kitu kilicho kichafu.
Mwalachikolela nyenye, Vawula va malagizu na Vafalisayu, mwemukujikita vabwina! Mwiwanangana ngati matinda gevabakili chokaa gegiloleka kuvala ganyambili, nambu mugati gamemili majege ga mituhi ya vandu vevafwili kwa uhakasa ndalindali.
28 Vivyo hivyo, nanyi kwa nje mwaonekana wenye haki mbele ya watu, lakini kwa ndani mmejaa unafiki na udhalimu.
Mewawa nyenye chakuvala mwiloleka ngati vandu vevakumganisa Chapanga, nambu mugati mumemili uhomela na uhakau.”
29 Ole wenu, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mwajenga makaburi ya manabii na kuyapamba makaburi ya wenye haki.
“Mwalachikolela nyenye vawula va malagizu na Vafalisayu, mwavahomela! Mwijenga matinda ga vamlota va Chapanga na kunyambisa matinda ga vandu vevamganisi Chapanga.
30 Ninyi mwasema, kama tungeishi siku za baba zetu, tusingekuwa tumeshiriki pamoja nao kumwaga damu za manabii.
Ndi mwijova, ‘Kuvya mutama lusenje lwa vagogo vinu tihanganili lepi nawu, kuvakoma vamlota va Chapanga!’
31 Kwa hiyo mwajishuhudia wenyewe kwamba ninyi ni watoto wa hao waliowaua manabii.
Hinu, mwavene mukujilangisa kuvya nyenye ndi vana va vandu vala, vevavakomili vamlota va Chapanga.
32 Pia ninyi mnakamilisha kujaza sehemu inayostahili dhambi ya baba zenu.
Hinu mumalakisa lihengu levatumbwili vagogo vinu!
33 Enyi nyoka, wana wa vipiribao, kwa namna gani mtaikwepa hukumu ya jehanamu? (Geenna )
Nyenye mayoka chiveleku cha mayoka! Yani mweakuvajovela muhotola kutila ligono la uhamula wa Chapanga? (Geenna )
34 Kwahiyo, tazama, nawatuma kwenu manabii, watu wenye hekima, na waandishi. Baadhi yao mtawaua na kuwasulibisha. Na baadhi yao mtawachapa ndani ya masinagogi yenu na kuwafukuza kutoka mji mmoja hadi mwingine.
Ndava yeniyo nikuvapelekela vamlota va Chapanga, na vandu vevana luhala na vawula va malagizu, vangi pagati yavi yati mukuvakoma na kuvavamba mu msalaba na vangi yati mukuvatova ndonga munyumba zinu za kukonganekela Vayawudi, na vangi yati mukuvajumbisa kuhuma muji umonga mbaka muji wungi.
35 Matokeo ni kwamba juu yenu patatokea damu zote za wenye haki zilizomwagwa duniani, kuanzia damu ya Habili mwenye haki hadi kwa damu ya Zakaria mwana wa Barakia, mliye muua kati ya patakatifu na madhabahu.
Ndi panani yinu mwigega ngasi ya vandu voha vevamganisi Chapanga yeyiyitiki pamulima. Kutumbula kukomiwa kwa Abeli mweangabuda mbaka Zakalia, mwana wa Balakia, mwemwamkomili mu Nyumba ya Chapanga pagati ya pandu pamsopi pa lusanja lwa luteta.
36 Kweli, nawaambieni, mambo haya yote yatakipata kizazi hiki.
Nikuvajovela chakaka, chiveleku ichi yati chihamuliwa ndava ya mambu genago.”
37 Yerusalemu, Yerusalemu, wewe unayewaua manabii na kuwapiga mawe wale ambao wanatumwa kwako! mara ngapi nimewakusanya watoto wako pamoja kama vile kuku awakusanyavyo vifaranga wake chini ya mbawa zake, lakini haukukubali!
“Yelusalemu! Veve Yelusalemu ukuvakoma vamlota va Chapanga na kuvatova maganga vala venivatumili kwa veve! Mala yilinga niganilli kuvavika pamonga vana vaku, ngati ng'uku cheyikuvayuvatila vana mumagwaba gaki, nambu mwaganili lepi!
38 Tazama, nyumba yako imebaki ukiwa.
Lola, Nyumba ya Chapanga waku yati yisigalila mang'ova.
39 Nami nakuambia, Kuanzia sasa na kuendelea hautaniona, hadi utakaposema, 'Amebarikiwa yeye ajaye kwa jina la Bwana.”'
Muni nikuvajovela kutumbula hinu yati nakunilola kavili mbaka mulukumbi pemwijova, ‘Amotisiwa mwenuyo mweibwela kwa liina la Bambu.’”