< Mathayo 23 >

1 Baadaye aliongea na umati wa watu na wanafunzi wake. Akasema,
Pu leino u Yeisu akhavavula eikhipungha khya vanu na vakongi akhata,
2 “Waandishi na Mafarisayo wanakalia kiti cha Musa.
“Pu avamanyi va kalata nava Farisai puvatamile eikhinghoda khya Mose.
3 Kwa hiyo chochote wanacho waamuru kufanya, fanyeni huku mkiwachunguza. Lakini msije mkaiga matendo yao, kwa sababu wao hutamka mambo wasiyoyafanya.
Pu nchoni inchuvikhuvavula muvombange nukhukonga, punchila inchuvivomba avene mulekhe ukhunchikonga pakhuva avene einchuvi nchova nchu savivomba.
4 Kweli, wao hufunga mizigo mizito ambayo ni vigumu kuibeba, na kisha huwabebesha watu mabegani mwao. Lakini wao wenyewe hawasogezi hata kidole kuibeba.
Avene, puvinkunga eiminchingho eiminehitu khuvanu einghidenya, puvikhuvatweikha avanu mumave ngha, na hali avene savinghela na padebe ukhunghipeimba.
5 Matendo yao yote, huyafanya ili watazamwe na watu. Kwa sababu wao hupanua masanduku yao na huongeza ukubwa wa mapindo ya mavazi yao.
Imbombo nchovo nchoni vivuvomba ukhuta veivonie khuvanu, pu nnghama sandukha nghavo melefu, navuvudeikha vwa fihunilwa fyalo khumalunde vutale fincho.
6 Wao hupendelea kukaa maeneo ya kifahari katika sherehe na katika viti vya heshima ndani ya masinagogi,
Pu avene valeineikhihelehele munyumba ncha khisayila vilonda ukhutama mbutamo uvwa mufinghoda ifya vuvaha,
7 na kusalimiwa kwa heshima maeneo ya sokoni, na kuitwa “Walimu” na watu.
Pu vanave musokhoni puvilonda ukhuta avanu vavapembenchanghe pu vinongwa ukhuta, veilangiwanghwe “Vamanyisi”khuvanu.
8 Lakini ninyi hampaswi kuitwa “Walimu,” Kwa kuwa mnaye Mwalimu mmoja, na ninyi wote ni ndugu.
Pu leino umwe samnonghile ukhwilangwa“Vamanyisi,”Pakhuva u Manyisi veinyo alei umo, numwe muleivana munu.
9 Msimuite mtu yeyote hapa duniani kuwa baba yenu, kwa kuwa mnaye Baba mmoja tu, naye yuko mbinguni.
Pu mwekhe ukhumwimeikha umunu nukhuta Daada pakhilunga, apa ulwakhuva u Dadayeito alei umo, avakhukyanya.
10 Wala msije kuitwa 'walimu,' kwa kuwa mnaye Mwalimu mmoja tu, yaani Kristo.
Hange mulekhe ukhwilangiwa 'Vamanyisi, 'Pakhuva muleinumanyisi umo vope, vei keileisite.
11 Bali aliye mkubwa miongoni mwenu atakuwa mtumishi wenu.
Pu leino umbaha mundwamwe veiva mbombi veinyo uvakhuvavombela.
12 Yeyote ajiinuae atashushwa. Na yeyote anaye jishusha atainuliwa.
Pu leino uveikheiyeimikha veiikhwisiwanghwa. Nuveiikheiyisya vei ikhweimekhiwanghwa.
13 Lakini ole wenu waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Mnawafungia watu ufalme wa mbinguni. Nanyi hamwezi kuuingia, na hamwaruhusu wanaoingia kufanya hivyo.
Pu lweinyo umwe mweiva Farisai, a mweivamanya kalata! Muleivangalufu mukhuvandeindeila avanu umwumi vwa vwa ludeva lwa khukyanya, pu na yumwe samukhwinghila hange avilonda ukhwinghila samukhuvalavuleila veingheilanghe.
14 (Zingatia: Msitari wa 14 hauonekani katika nakala bora za kale. Baadhi ya nakala huongeza msitari huu baada ya msitari wa 12. Msitari wa 14 “Ole wenu wandishi na Mafarisayo wanafiki! Kwa kuwa mnawameza wajane”).
(Lweinyo mweivanyakalata na Farisai mwevanghalufu, pakhuva mwilya khuva fweile, nukhwisaya einyeisayo inali puleino puyamuheinghiwangwa uvuheinghi uvuvucha ukhuluteila”).
15 Ole wenu Waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Mnavuka ngambo ya bahari na kufika kumfanya mtu mmoja aamini yale mnayoyafundisha, na anapokuwa kama ninyi, mnamfanya mara mbili mwana wa jehanamu kama ninyi wenyewe mlivyo. (Geenna g1067)
Lweinyo umwe mweivanya vakalala na mwei va Farisai, mweivanghalufu! Mlovukha inyanja mweiluta khumwambo nukhupeila umunu umo akave avupo khi nukhuva mwosivwa, puyakhiva eideikhe pu mukhupela ave vakhuheingeiwa mumwoto unghwa sikhu nchoni. (Geenna g1067)
16 Ole wenu viongozi vipofu, ninyi msemao, Yeyote aapaye kwa hekalu, si kitu. Lakini anayeapa kwa dhahabu ya hekalu, amefungwa na kiapo chake.
Lweinyo mweivalonghonchi mweimu bofwile, umwe mweimwita, Umunu uveikheijyinghila mwatepeli sakhinangikhe khinu.
17 Enyi vipofu wapumbavu, kipi ni kikubwa kuliko kingine, dhahabu au hekalu ambalo limeweka wakfu dhahabu kwa Mungu?
Pu leino umunu uveijyeinghila mulutalama lwa tembile, uywa einkungile nu khwijyeingha kwa mwene. Umwe mweimubofwile hange muleivakonyofu, kheileikhu eikhivaha ulutalama ewo eitembile eiyivalancha ulutalama?
18 Na, yeyote aapaye kwa madhabahu, si kitu. Bali anayeapa kwa sadaka iliyo juu yake, amefungwa na kiapo chake.
Hange, umunu uveikhijyeinghila panekhelo sa khinangheikha khinu. Pu ula uveikhejyeinghila pafinu ufiveikhivwe pa neikhelolei sadakha uywa veinkungile mwene.
19 Enyi watu vipofu, kipi ni kikubwa kuliko kingine, sadaka au madhabahu ambayo huweka wakfu sadaka zinazotolewa kwa Mungu?
Umwe mwei bofwile, khileikhu khivaha eisadakha eiyapanekhelo, ewo einekhelo yeila eiyivalancha eisadakha?
20 Kwa hiyo, yeye aapaye kwa madhabahu huapa kwa hiyo na kwa vitu vyote vilivyo juu yake.
Pu leino, ula uveikhijyeinghila panekhelo, eikhijyeinghila pa eiyo hange na khufila ifilipakyanya pa nekhelo.
21 Naye aapaye kwa hekalu, huapa kwa hilo na kwa yeye akaaye ndani yake.
Pu na yu ula uveijyeinghila mutembile, eijyeinghila mweiyo na khwa ula uveitama munghati muyene.
22 Na yeye aapaye kwa mbingu, huapa kwa kiti cha enzi cha Mungu na kwa yeye aketie juu yake.
Ula uveijyeinghila khukyanya, ejyeingeila mukhinghoda eikhinyalwangula eikhya Nguluve na khyula uveiitama pa kyanya pakhiene.
23 Ole wenu, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnalipa zaka kwa bizali, mnaanaa na mchicha, lakini mnaacha mambo mazito ya sheria- haki, rehema, na imani. Lakini haya mnapaswa kuwa mmeyafanya, na siyo kuacha mengine bila kuyatekeleza.
Lweinyo, mweiva manyi vakalata na mweiva Farisai, mweivangalufu! Pakhuva muhomba ifya ndevulu, nifyambilipili ni fya nbwingha napa nungu puleino munchilekhile eindangeilo eimbaha eincha ungendo ulunonu - neikhisa, nulweideikho, angho ngumunonghile ukhunghavomba pu nanghala anganghe mlukhe ukhunghalekha.
24 Enyi viongozi vipofu, ninyi ambao mnachuja mdudu mdogo lakini mnameza ngamia!
Mweivalongonchi mweimubofwile, umwe muhuncha eimbwele pu mwimila eingameila!
25 Ole wenu, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnasafisha nje ya vikombe na nje ya sahani, lakini ndani pamejaa dhuluma na kutokuwa na kiasi.
Lweinyo, mweivanyi vakalata na mwei va Farisai, mweivanghalufu! Ulwakhuva mwisukha nukhuvalancha khunji, eikhinywelo vu munghati fimonghalile, pufidenghile uvusyovi uvwakhupokha ifyuma fya vanghe.
26 Enyi Mafarisayo vipofu, safisheni kwanza ndani ya kikombe na ndani ya sahani, ili upande wa nje nao pia uwe safi.
Umwe mweiva Farisai mweimubofwile, muvalanchanghe tasi munghati mukhinywelo na mundelema, pu nakhukhunji khwope khuvenchanghe khuvalile.
27 Ole wenu, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnafanana na makaburi yaliyopakwa chokaa, ambayo kwa nje huonekana mazuri, lakini kwa ndani yamejaa mifupa ya wafu na kila kitu kilicho kichafu.
Lweinyo umwe, mweivamanyi vakalata na mweiva Farisai, mweivanghalafu! ulwakhuva muhwanine nuvunghuli uvuvaniasinche vononu khunji puvuvonekha vunonu munghati nghadeinghile manchenghe nghene nu vuvili.
28 Vivyo hivyo, nanyi kwa nje mwaonekana wenye haki mbele ya watu, lakini kwa ndani mmejaa unafiki na udhalimu.
Pu vuvuvwa, na yumwe khunji muvonekha muleivangolofu pamiho ngha vanu, pu leino munghati mudeinghile uvunghalufu nuvutula nongwa.
29 Ole wenu, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mwajenga makaburi ya manabii na kuyapamba makaburi ya wenye haki.
Lweinyo umwe, mweivanya kalata na mweiva Farisai, mweivangalufu! Pakhuva munjengela uvunghuli vwa vanyamalangho nukhunoncha uvunghuli vwa vangholofu.
30 Ninyi mwasema, kama tungeishi siku za baba zetu, tusingekuwa tumeshiriki pamoja nao kumwaga damu za manabii.
Pu mwita, tunghale tuvenhange khyutule ifinghono fya vankhukhu yeito satwale tuve paninie pakhududa unkisa ngwavanyamalangho.
31 Kwa hiyo mwajishuhudia wenyewe kwamba ninyi ni watoto wa hao waliowaua manabii.
Pumu leino mukhinchova yumwe ukhuta muleivana vavanu vavo vabudangha khuvanyamalangho.
32 Pia ninyi mnakamilisha kujaza sehemu inayostahili dhambi ya baba zenu.
Pu leino umwe mudeinche eikhingelelo khya va vise veinyo.
33 Enyi nyoka, wana wa vipiribao, kwa namna gani mtaikwepa hukumu ya jehanamu? (Geenna g1067)
Umwe mwe nyandalwe mweikhivumbukhu khya nyato umwe pumwipona ndakheikhi khumwoto nghwa sukhunchoni? (Geenna g1067)
34 Kwahiyo, tazama, nawatuma kwenu manabii, watu wenye hekima, na waandishi. Baadhi yao mtawaua na kuwasulibisha. Na baadhi yao mtawachapa ndani ya masinagogi yenu na kuwafukuza kutoka mji mmoja hadi mwingine.
Puleino, mulole, nikhuvasuha khulyumwe avanyamalangho avalei nuluhala navasimbi. Pu avange muovo umwe pumukhava budangha nukhuvatovelela pa khidameileihanie. Puavange mulavatovangha mutumbile ncheinyo nukhuvusweima punchenghe nuvunchenghe.
35 Matokeo ni kwamba juu yenu patatokea damu zote za wenye haki zilizomwagwa duniani, kuanzia damu ya Habili mwenye haki hadi kwa damu ya Zakaria mwana wa Barakia, mliye muua kati ya patakatifu na madhabahu.
Puleino palyumwe ngulavahumeila unkisa nghwoni ungwavangholofu unghwa Hebeli nughwa sakhaliya unya velekiya uvaimwabudeile panghati pavungholofu napanekhelo.
36 Kweli, nawaambieni, mambo haya yote yatakipata kizazi hiki.
Pu leino, nchayeilweli, einchi nchoni nchiva neikhivumbukhu eikhi.
37 Yerusalemu, Yerusalemu, wewe unayewaua manabii na kuwapiga mawe wale ambao wanatumwa kwako! mara ngapi nimewakusanya watoto wako pamoja kama vile kuku awakusanyavyo vifaranga wake chini ya mbawa zake, lakini haukukubali!
Yerusalemu, Yerusalemu, uve weivwibuda avanyamalangho nukhuvatova namangangavala avansuhiwe khulyuve, khaleingi neinonghilwe ukhuvalundamania pupaninia avana vakho nduvu eihukhu yeilundania paupa ninie ifinkukhu fy ayene mumapapateilo ngha yene, pu umwe samuleikhunonghwa.
38 Tazama, nyumba yako imebaki ukiwa.
Lola, einyumba yeinyo yeivile meenakhivula munu unynsinghile.
39 Nami nakuambia, Kuanzia sasa na kuendelea hautaniona, hadi utakaposema, 'Amebarikiwa yeye ajaye kwa jina la Bwana.”'
Pu leino nikhuvavula, samulambone khange ukhuhumangha leino nukhufikha upuya khiva mwita mwaleimi asayiwe uveikhwinchila munchitawa lya Ntwa.'”

< Mathayo 23 >