< Mathayo 22 >
1 Yesu alisema nao tena katika mifano, akisema,
I odpovídaje Ježíš, mluvil jim opět v podobenstvích, řka:
2 “Ufalme wa mbinguni unafanana na mfalme aliyeandaa sherehe ya harusi ya mwanawe.
Podobno jest království nebeské člověku králi, kterýž učinil svadbu synu svému.
3 Akawatuma watumishi wake kuwakaribisha waliokuwa wamealikwa kuja katika sherehe ya harusi, lakini hawakufika.
I poslal služebníky své, aby povolali pozvaných na svadbu; a oni nechtěli přijíti.
4 Mfalme aliwatuma tena watumishi wengine, akisema. “Waambieni wote walioalikwa, Angalieni, nimeandaa chakula. Fahali na ndama wangu wanono wamechinjwa, na mambo yote yako tayari, Njoni katika sherehe ya harusi.”
Opět poslal jiné služebníky, řka: Povězte pozvaným: Aj, oběd můj připravil jsem, volové moji a krmný dobytek zbit jest, a všecko hotovo. Pojďtež na svadbu.
5 Lakini watu hao hawakuzingatia kwa dhati mwaliko wake. Baadhi walirejea katika mashamba yao, na wengine walirudi katika sehemu zao za biashara.
Ale oni nedbavše na to, odešli, jiný do vsi své a jiný po kupectví svém.
6 Wengine waliwainukia watumishi wa mfalme na kuwadharirisha na kuwaua.
Jiní pak zjímavše služebníky jeho a posměch jim učinivše, zmordovali.
7 Lakini mfalme alikasirika. Alituma jeshi lake, akawaua wale wauaji na kuuteketeza mji wao kwa moto.
A uslyšav to král, rozhněval se; a poslav vojska svá, zhubil vražedníky ty a město jejich zapálil.
8 Kisha aliwaambia watumishi wake, “Harusi iko tayari, lakini walioalikwa hawakustahili.
Tedy řekl služebníkům svým: Svadba zajisté hotova jest, ale ti, kteříž pozváni byli, nebyli hodni.
9 Kwa hiyo nendeni kwenye makutano ya njia kuu, waalikeni watu wengi kadri iwezekanavyo waje kwenye sherehe ya harusi.”
Protož jděte na rozcestí, a kteréžkoli naleznete, zovtež na svadbu.
10 Watumishi walienda njia kuu na kuwakaribisha watu wowote waliowaona, wema na wabaya. Hivyo ukumbi wa harusi ulijaa wageni.
I vyšedše služebníci ti na cesty, shromáždili všecky, kteréžkoli nalezli, zlé i dobré. A naplněna jest svadba hodovníky.
11 Lakini mfalme alipoingia kuwatazama wageni, alimuona mtu mmoja ambaye hakuvaa vazi rasmi la harusi!
Tedy všed král, aby pohleděl na hodovníky, uzřel tam člověka neoděného rouchem svadebním.
12 Mfalme alimwuliza, 'Rafiki, ulipataje kufika hapa ndani bila vazi la harusi?' Na mtu huyo hakujibu chochote.
I řekl jemu: Příteli, kteraks ty sem všel, nemaje roucha svadebního? A on oněměl.
13 Ndipo mfalme alipowaambia watumishi wake, “Mfungeni mtu huyu mikono na miguu na mtupeni nje katika giza, huko ambako kutakuwa na kilio na kusaga meno.
Tedy řekl král služebníkům: Svížíce ruce jeho i nohy, vezměte ho, a uvrztež jej do temností zevnitřních. Tamť bude pláč a škřipení zubů.
14 Kwa kuwa watu wengi wanaitwa, lakini wateule ni wachache.”
Nebo mnoho jest povolaných, ale málo vyvolených.
15 Ndipo Mafarisayo waliondoka na kupanga jinsi ya kumkamata Yesu katika maneno yake mwenyewe.
Tedy odšedše farizeové, radili se, jak by polapili jej v řeči.
16 Ndipo walipowatuma wanafunzi wao pamoja na Maherode. Na walimwambia Yesu, “Mwalimu, tunajua kuwa wewe ni mtu wa kweli, na kwamba unafundisha matakwa ya Mungu katika ukweli. Haujali maoni ya mtu mwingine na hauoneshi upendeleo kwa watu.
I poslali k němu učedlníky své s herodiány, řkouce: Mistře, víme, že pravdomluvný jsi a cestě Boží v pravdě učíš a nedbáš na žádného; nebo nepatříš na osobu lidskou.
17 Kwa hiyo tuambie, unafikiri nini? Je, ni sahihi kisheria kulipa kodi kwa Kaisari au hapana?”
Protož pověz nám, co se tobě zdá: Sluší-li daň dáti císaři, čili nic?
18 Yesu alifahamu uovu wao na akasema, “Kwa nini mnanijaribu, enyi wanafiki?
Znaje pak Ježíš zlost jejich, řekl: Co mne pokoušíte, pokrytci?
19 Nionesheni pesa itumikayo kulipia kodi.” Ndipo wakamletea dinari.
Ukažte mi peníz daně. A oni podali mu peníze.
20 Yesu akawauliza, “Sura na jina hili ni vya nani?”
I řekl jim: Èí jest tento obraz a svrchu napsání?
21 Wakamjibu, “Vya Kaisari.” Ndipo Yesu akawaambia, “Mpeni Kaisari vitu vilivyo vyake na vya Mungu mpeni Mungu.”
Řekli mu: Císařův. Tedy dí jim: Dejtež, co jest císařova, císaři, a co jest Božího, Bohu.
22 Waliposikia hivyo walishangaa. Kisha walimwacha na kwenda zao.
To uslyšavše, divili se, a opustivše jej, odešli.
23 Siku hiyo baadhi ya Masadukayo walikuja kwa Yesu, wale wasemao kuwa hakuna ufufuo wa wafu. Wakamwuliza,
V ten den přišli k němu saduceové, kteříž praví, že není z mrtvých vstání. I otázali se ho,
24 wakisema, “Mwalimu, Musa alisema, Ikiwa mtu amefariki bila kuzaa watoto, ndugu yake na amrithi huyo mwanamke na ampatie mtoto kwa ajili ya ndugu yake.
Řkouce: Mistře, Mojžíš pověděl: Umřel-li by kdo, nemaje dětí, aby bratr jeho právem švagrovství pojal ženu jeho a vzbudil símě bratru svému.
25 Walikuwapo ndugu saba. Wa kwanza alioa na kisha akafariki bila kuzaa watoto. Akamwachia mke nduguye.
I bylo u nás sedm bratrů. První pojav ženu, umřel, a nemaje semene, zůstavil ženu svou bratru svému.
26 Kisha ndugu yake wa pili naye akafanya vivyo hivyo, kisha yule wa tatu, ikawa hivyo hadi kwa yule wa saba.
Takž podobně i druhý, i třetí, až do sedmého.
27 Baada ya kufanya hivyo wote, yule mwanamke naye alifariki.
Nejposléze pak po všech umřela i žena.
28 Sasa katika ufufuo huyo mwanamke atakuwa mke wa nani katika ndugu hao saba? Kwa sababu wote walimuoa.”
Protož při vzkříšení kterého z těch sedmi bude žena? Nebo všickni ji měli.
29 Lakina Yesu aliwajibu na kuwaambia, “Mnakosea, kwa sababu hamjui Maandiko wala nguvu za Mungu.
I odpověděv Ježíš, řekl jim: Bloudíte, neznajíce Písem ani moci Boží.
30 Kwa kuwa katika ufufuo, watu hawaoi wala kuolewa. Badala yake watu huwa kama malaika huko mbinguni.
Však při vzkříšení ani se nebudou ženiti ani vdávati, ale budou jako andělé Boží v nebi.
31 Lakini kuhusu ufufuo wa wafu, hamjawahi kusoma kile ambacho Mungu alikisema kwenu, akisema,
O vzkříšení pak mrtvých zdaliž jste nečtli, co jest vám povědíno od Boha, kterýž takto dí:
32 Mimi ni Mungu wa Ibrahimu, Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo? Mungu si Mungu wa wafu, bali ni Mungu wa walio hai.”
Já jsem Bůh Abrahamův a Bůh Izákův a Bůh Jákobův; a Bůhť není Bůh mrtvých, ale živých.
33 Wakati kusanyiko waliposikia hili, waliyashangaa mafundisho yake.
A slyševše to zástupové, divili se učení jeho.
34 Lakini Mafarisayo waliposikia kuwa Yesu amewanyamazisha Masadukayo, walijikusanya wao wenyewe kwa pamoja.
Farizeové pak uslyšavše, že by k mlčení přivedl saducejské, sešli se v jedno.
35 Mmoja wao, akiwa mwana sheria, alimwuliza swali kwa kumjaribu.
I otázal se ho jeden z nich zákoník nějaký, pokoušeje ho, a řka:
36 “Mwalimu, ni amri ipi iliyo kuu kuliko zote katika sheria?”
Mistře, které jest přikázání veliké v Zákoně?
37 Yesu akamjibu, “Lazima umpende Bwana kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote.
I řekl mu Ježíš: Milovati budeš Pána Boha svého z celého srdce svého a ze vší duše své a ze vší mysli své.
38 Hii ndiyo amri iliyo kuu na ya kwanza.
To jest přední a veliké přikázání.
39 Na ya pili inafanana na hiyo- Ni lazima kumpenda jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.
Druhé pak jest podobné tomu: Milovati budeš bližního svého jako sebe samého.
40 Sheria zote na Manabii hutegemea amri hizi mbili.”
Na těch dvou přikázáních všecken Zákon záleží i Proroci.
41 Na Mafarisayo walipokuwa bado wamejikusanya pamoja, Yesu aliwauliza swali.
A když se sešli farizeové, otázal se jich Ježíš,
42 Akisema, “J! e, Mwafikiri nini juu ya Kristo? Yeye ni Mwana wa nani?” Nao wakamjibu, “Ni mwana wa Daudi.”
Řka: Co se vám zdá o Kristu? Èí jest syn? Řkou jemu: Davidův.
43 Yesu akawajibu, “Ni kwa namna gani Daudi katika Roho anamwita Bwana, akisema,
Dí jim: Kterakž pak David v Duchu nazývá ho Pánem, řka:
44 'Bwana alimwambia Bwana wangu, “Kaa mkono wangu wa kuume, hadi nitakapowafanya maadui zako wawekwe chini ya miguu yako.”'?”
Řekl Pán Pánu mému: Seď na pravici mé, dokavadž nepodložím nepřátel tvých, aby byli za podnože noh tvých?
45 Kama Daudi anamwita Kristo “Bwana,” jinsi gani atakuwa mtoto wake?”
Poněvadž tedy David Pánem ho nazývá, i kterakž syn jeho jest?
46 Hakuna aliyeweza kumjibu neno tena, na hakuna aliyethubutu tena kumwuliza maswali zaidi tangu siku hiyo na kuendelea.
A nižádný nemohl jemu odpovědíti slova, aniž se odvážil kdo více od toho dne jeho se nač tázati.