< Mathayo 21 >

1 Yesu na wanafunzi wake wakafika karibu na Jerusalemu na wakaenda mpaka Bethfage, katika mlima mizeituni, kisha Yesu akawatuma wanafunzi wawili,
Isti Yerusalame matan Debirezayte zuma bolla diza Betefage getetizaso gakidamala Yesusay bena kalizaytappe nam7ata kitidees.
2 akiwaambia, “Nendeni katika kijiji kinachofuata, na mara moja mtamkuta punda amefungwa pale, na mwanapunda pamoja naye. wafungueni na kuwaleta kwangu.
Hano inte matan diza mandarayo bidi inte he gakida mala issi hare dizara ba guteyra qachista dishin inte demana. Birshidi ha taakko ekki yite.
3 Ikiwa mtu yeyote akiwaambia chochote kuhusu hilo, mtasema, `Bwana anawahitaji, ` na mtu huyo mara moja atawaruhusu mje pamoja nao”
Onikka intena aysi hayssatho otheti gikko Goday ista koyes gite, intena oychizadey herakka yedana.
4 Jambo hili lilitokea ni lile lililosemwa kupitia kwa nabii lazima litimizwe. Akawaambia,
Haysikka hanizay kase naben na Xiyonis hizgite “Hekko ne kawoy ashikke gididi hareyone hareyo guteyo togidi neekko yana getetidaysi polistanasa” gidees.
5 Waambie binti Sayuni, tazama, mfalme wako anakuja kwenu, mnyenyekevu na akiwa amempanda punda, na mwana punda mme, mwana punda mchanga.
6 Kisha wanafunzi waliondoka na kufanya kama Yesu alivyowaagiza.
Iza kalizayti Yesusay istas yotida mala othida.
7 Wakamleta punda na mwanapunda, na kuweka nguo zao juu yao, naye Yesu akakaa pale.
Hareyo izi guteyra ehidi ba mayo ista bolla wothin izikka harista togidees.
8 Wengi katika mkusanyiko walitandaza nguo zao njiani, na wengine walikata matawi kutoka kwenye miti na kutandaza barabarani.
Derappe dariza bagay ba mayo ogge bolla micidees, baga asay miththa bonco duthi duthi ogge bolla athi athi yegidees.
9 Umati uliomtangulia Yesu na wale waliomfuata walipaza sauti, wakisema,”Hosana kwa mwana wa Daudi! Ni mbarikiwa ajaye kwa jina la Bwana. Hosana juu zaidi!”
Izappe sinthara biza dereyne guyera kaliza dereykka ba qaala dhuqu histidi Dawite nay galateto! Goda sunthan yiday anjetidade! Xoossi galateto! gida.
10 Yesu alipofika Yerusalemu, mji mzima ulishtuka na kusema, “Huyu ni nani?
Izi Yerusalame gelida wode katama asay wuri haysi oone? gidi yark yarkidees.
11 “Umati ulijibu, “Huyu ni Yesu Nabii, kutoka Nazareti ya Galilaya.”
Iza kalidi yida dereykka hasi Galila garsan diza Nazireteppe yida Nabe Yesusa gidene gidees.
12 Kisha Yesu akaingia katika hekalu la Mungu. akawafukuza nje wote waliokuwa wakinunua na kuuza hekaluni. Pia alipindua meza za wabadilishaji wa fedha na viti vya wauza njiwa.
Hessappe Yesusay maqidasse gelidi maqidasse lasah gathan bayzizaytane shamizayta godidees. Misha lamizayta xaraphezaka haraphe bayzizayta oyde shiri shiri yegidi ta kethay wosa keth getetes getetidi xafetidees inte qas bonqizayta aqoso histidista gidees.
13 Akawaambia, “Imeandikwa, `'Nyumba yangu itaitwa nyumba ya maombi, `lakini ninyi mmeifanya pango la wanyang`anyi.”
14 kisha vipofu na vilema wakamjia hekaluni, naye akawaponya.
Ayfe qoqistane toy silida asata Yesusakko maqidase ehida. Izikka ista pathidees.
15 Lakini wakati wakuu wa makuhani na waandishi walipoona maajabu aliyoyatenda, na waliposikia watoto wakipiga kelele hekaluni na kusema, “Hosana kwa Mwana wa Daudi,” walishikwa na hasira.
Gido atin qesista halaqatine Muse woga tamarsizayti izi othida malalatane woze kawo galatay dawute nas giddo gidi wasiza gutha nayta beyidi daro hanqetidees.
16 Wakamwambia, “Umesikia kile kinachosemwa na hawa watu?” Yesu akawaambia, “Ndiyo! Lakini hamjawahi kusoma, 'Kutoka kwa midomo ya watoto na watoto wachanga wanyonyao mna sifa kamili?''
Istika Yesusa hayti nayti gizaysa siyay? gida Yesusaykka istas E siyadis, Nayta dunappene dhamiza qeri nayta dunan ta galata gigisadis gizaso mulerakka nababi ereketi? gidees.
17 Kisha Yesu akawaacha na kwenda nje ya mji katika Bethania na kulala huko.
Ista yegi agidi he katamappe kezidi bitanya gizaso bidi hen eqidees.
18 Asubuhi alipokuwa anarudi mjini, alikuwa na njaa.
Yesusay wontetha galas malado guye katama simishin iza gafisidees.
19 Aliona mtini kandokando ya barabara. Akauendea, lakini hakupata kitu juu yake isipokuwa majani. Aliuambia, “Kusiwe na matunda kwako daima tena.” Na mara hiyo mtini ule ukanyauka. (aiōn g165)
Oge matan issi balase giza mith beydi gede izikko shiqishin haythe xalafe atin ayfey bayndaysa beydi “Hi7appe ne bolla ayfey doppo gin balase miththay herakka meladus. (aiōn g165)
20 Wanafunzi walipoona, wakastaajabu na kusema, “Imekuwaje mtini umenyauka mara moja?”
Yesusa kalizayti hessa byidine malaletidi hana balaseya wanada heraka melade gida.
21 Yesu akajibu na kuwaambia, “Kweli nawaambieni, kama mkiwa na imani na bila wasiwasi, hamtafanya kile kilichofanyika kwa huo mtini tu, lakini mtauambia hata huo mlima, ` uchukuliwe na ukatupwe baharini, `na itafanyika.
Yesusaykka ista ta intes tumu gays intes amanoy dikone inte sidhonta agikko balase miththay bolla hanidaysa mala xala gidonta hayssa zumma hayssafe dhoqalistada duge aban gela inte gidakoka izi gelana gidees.
22 Chochote mtakachoomba kwa sala, huku mkiamini, mtapokea.”
intess amanoy dikko inte wosan oychida miish wursikka ekana.
23 Yesu alipofika hekaluni, wakuu wa makuhani na wazee wa watu wakamjia wakati alipokuwa akifundisha na kumwuliza, “Ni kwa mamlaka gani unafanya mambo haya? Na ni nani aliyekupa mamlaka haya?”
Yesusay maqidasse gelidi tamarsishin qesista halaqatine dere cimati izako shiqidi hayssa wursi ona shenen otahzi? hayssa otahanas shene ness oni imide? gidi iza oychida.
24 Yesu akajibu na kuwaambia, “Nami tena nitawauliza swali moja. kama mkiniambia, nami vilevile nitawaambia ni kwa mamlaka gani ninafanya mambo haya.
Yesusaykka istas zaridi takka intena issino oychays inte tass zariko takka ha ta othizayta ona shenen othizakone takka intess yotana
25 Ubatizo wa Yohana- ulitoka wapi, mbinguni au kwa wanadamu?” Wakahojiana wenyewe, wakisema, tukisema, ulitoka mbinguni, `atatuambia, kwa nini hamkumwamini? `
Yanisa xinqatey awappe yide? Saloppe yideye asappe? gidees. Istika nu saloppe yidees gikko histin aazas amanibeyketi? gana gidi ba garsan issay issara zoretida.
26 Lakini tukisema, `ulitoka kwa wanadamu, `tunawaogopa makutano, kwa sababu wote wanamwona Yohana kama nabii.”
Qasse nu asappe gikko asay wurikka Yanisa nabe gidi amaniza gish nu babos.
27 Kisha wakamjibu Yesu na kusema, “Hatujui” Akawaambia pia, “Wala mimi sitawaambia ni kwa mamlaka gani nafanya mambo haya.
Hessa gish Yesusas nu eroko gidi zarida izikka istas hayta ta othizata onna shenen othizakone takka intes yotikke gidees.
28 Lakini mnafikiri nini? Mtu mwenye wana wawili. Akaenda kwa moja na kumwambia, `Mwanangu, nenda ukafanye kazi katika shamba la mizabibu
Yesusay ista hiz gidees intes ay milatiz namm7u atumma nay diza issadey des izikka koyro nazakko bidi ta nazo hach gede woyne miththaso bada otha gidees.
29 leo. `Mwana akajibu na kusema, `sitakwenda, ' Lakini baadaye akabadilisha mawazo yake na akaenda.
Nazi qasse bikke gidine guyeppe muzetidi bidees.
30 Na Mtu yule akaenda kwa mwana wa pili na kusema kitu kilekile. Mwana huyu akajibu na kusema, `nitakwenda, bwana', lakini hakwenda.
Namm7antho nazakka kaseysathokka ba gin nazi ero gidi bonta aga gidees.
31 Yupi kati ya wana wawili aliyefanya matakwa ya baba yake? Wakasema, “Mwana wa kwanza.” Yesu akawaambia, “Kweli nawaambieni, wakusanya ushuru na makahaba wataingia kwenye ufalme wa Mungu kabla yenu kuingia.
Hayta namm7atappe awwa shene poliday awaysse? Isstikka koyro naza gida. Yesusaykka istass ta intess tummu gays qaraxa shishizaytane laymatizayti salo kawotethi intefe sinte gelana.
32 Kwa maana Yohana alikuja kwenu kwa njia iliyo nyoofu, lakini hamkumwamini, wakati wakusanya ushuru na makahaba walimwamini. Na ninyi, mlipoona hilo likitendeka, hamkuweza kutubu ili baadaye mumwamini.
Xamaqiza Yanisay intena xilotetha ogge besanas intekko yidess shin inte izi giza amanibeykkista gido attin qaraxa shishizaytine layamatizati gidikko amanida izi hanidazi inte beyi simidikka marotethan gelidi amanibeykkista.
33 Sikilizeni mfano mwingine. Kulikuwa na mtu, mtu mwenye eneo kubwa la ardh. Alipanda mizabibu, akaiwekea uzio, akatengeneza na chombo cha kukamlia divai, akajenga na mnara wa walinzi, na akalikodisha kwa watunza zabibu. Kisha akaenda katika nchi nyingine.
Hara lemusokka siyitte woyne mith tokizasoy dizadey he woynezas birda yushi athidi woyneza ayfe gum7anas olla bokkidees. Woyneza naganas miththa bolla shakko gigisidees. Hessappe guye bita woyne miththara goyzaytas kira immidi hara dere bidees.
34 Wakati wa mavuno ya mizabibu ulipokaribia, aliwatuma baadhi ya watumishi kwa wakulima wa mizabibu kuchukua mizabibu yake.
Boney gakishin woyneza ayfe ekanas ba ashikarata bitta goyzaytakko yedidees.
35 Lakini wakulima wa zabibu wakawachukua watumishi wake, wakampiga mmoja, wakamwua mwingine, na wakampiga mmoja kwa mawe.
Bitta goyzayti ashikarata oykidi issa wodhida issa qasse shuchan cadida.
36 Kwa mara nyingine, Mmiliki aliwatuma watumishi wengine, wengi zaidi ya wale wa kwanza, lakini wakulima wa mizabibu waliwatendea vilevile.
Gada goday kaseytappe adhiza hara ashikarata yedidees. Goyzayti ha7ikka kaseyta bolla othidaysamalakka ista bollakka polida.
37 Baada ya hapo bwana yule akamtuma kwao mwana wake, akisema, `'Watamheshimu mwanangu.'`
Wursethan oni eri isti izas babanakone gidi ba na athi yedidees.
38 Lakini wakulima wa mizabibu walipomwona kijana yule, wakaambizana, `'Huyu ni mrithi, Njooni, tumuue na tumiliki urithi.'
Gido atin bita goyzayti naza be7idamala “Haysi iza latanaysakko, ane ha yite iza wodhidi bitta latos gida.
39 `Hivyo wakamchukua, wakamtupa nje ya shamba la mizabibu na kumwua.
Naza oykidi woyney toketidasoppe gede kare kessidi wodhida.
40 Je mmliki wa shamba la mizabibu atakapokuja, atawafanya nini wakulima wa mizabibu?”
Ero woyneza goday yiza wode he bitta goyiza asata itess wositana milati?
41 Wakamwambia, “Atawaharibu hao watu waovu katika njia ya ukali zaidi, na kisha atalikodisha shamba la mizabibu kwa wakulima wengine wa mizabibu, watu ambao watalipa kwa ajili ya mizabibu itakapoiva.”
Istika heytanta itata daro waysi wodhidi woyney toketiza gadappe besiza woyne ayfe wodera izas immiza hara gade goyzaytass kirasana gidi izas zarida.
42 Yesu akawaambia, “Hamkusoma katika maandiko, 'Jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe kuu la msingi. Hili lilitoka kwa Bwana, na inashangaza machoni petu?'
Yesusaykka istas “Gesha maxafan gimbe kexizayti iita gidi wora yegida shuchay kethas wana hu7e gidees, Xoossi hayssa othidees, iza othoykka nu ayfes malalisizaz, geteti xafetidaysa nababibeyketi? gidees.
43 Hivyo nawaambieni, Ufalme wa Mungu utatwaliwa kutoka kwenu na kupewa taifa linalojali matunda yake.
Hessa gish ta intess Xoossa kawotethi intefe ekistada ayfe ayfiza deretass immistana gidees.
44 Yeyote atakayeanguka juu ya jiwe hilo atavunjwa vipandevipande. Lakini kwa yeyote litakayemwangukia, litamsaga.”
Haysa shucha bolla kundizay meqana shuchaykka iza bolla wodhizadeykka liqana.
45 Wakuu wa makuhani na mafarisayo waliposikia mifano yake, wakaona kuwa anawazungumzia wao.
Qessista halaqatine Parisaweti iza lemuso lemusoy ista gish gididaysa erida.
46 Lakini kila walipotaka kunyosha mikono juu yake, waliogopa makutano, kwa sababu watu walimtazama kama nabii.
Gido atin isti iza oyki qaphonta mala asay Yesusa nabe mala xelizagish babidees.

< Mathayo 21 >