< Mathayo 20 >
1 Kwa maana ufalme wa mbinguni unafanana na mmliki wa shamba, aliyeamka asubuhi na mapema ili kuajiri wafanyakazi katika shamba lake la mizabibu.
Kakuti muuso wa kuwulu uswana sina mwine webu yaba zwiili kuhanze kamapakela kukahira ba beleki ba muluwa lwakwe lwa muwomba.
2 Baada ya kuwa amekubaliana na wafanyakazi dinari moja kwa kutwa, aliwatuma kwenda katika shamba lake la mizabibu.
Kuzaho cha zuminzana ni ba beleki kaku sebeleza i sheleni lyonke mwi zuba, chaba tumina mwiwa lyakwe lya muwomba.
3 Alienda tena baada ya masaa matatu hivi na aliona wafanyakazi wengine wakiwa wamesimama bila kazi katika eneo la soko.
Cho yenda hanze hape munako ilikana ihola zotatwe mi cha bona bamwi ba beleki bauzimene ni kusena ziba bali kutende mu chibaka cha musika.
4 Akawaambia, 'Ninyi pia, nendeni katika shamba la mizabibu, na chochote kilicho halali nitawapa.' Hivyo wakaenda kufanya kazi.
Kubali na bacho, 'Inwe nanwe mu yende mwiwa lya muwomba, kanimihe chi lukite'. Haho chi ba yenda kuku vereka.
5 Akaenda tena baada ya masaa sita na tena katika saa ya tisa, na alifanya hivyo hivyo.
Hape cho yende kuhanze mwi ihola zibali kukwana iyanza lyonke ni iimwina, mi hape zimwi zibali kupanga iyanza ni zone ni kupanga kakuswana.
6 Mara nyingine tena mnamo saa kumi na moja, alienda na kuwakuta watu wengine wamesimama bila kazi. Aliwaambia, 'kwanini mmesimama hapa bila kazi yoyote kwa siku nzima?
Hape ni hape mwihola yekumi ni yonke cha yenda hanze cha kawana bamwi niba zimene ni basena zi ba bali kutende. Cho ba wambila kuti, 'Chinzi hamu zimena bolyo hanu ni kusena zimutende mane izuba lyonse?'
7 Wakamwambia, kwasababu hakuna mtu yeyote aliyetuajiri. Akawaambia, 'Nanyi ninyi pia nendeni katika shamba la mizabibu.'
Chi ba mwitaba kuti, 'kakuti ka kwina wa tuhira.' 'Linu cho wamba kubali nati, 'Nanwe muyende mwiwalya muwomba'.
8 Wakati wa jioni ulipofika, mwenye shamba la mizabibu alimwambia msimamizi wake, 'Waite wafanyakazi na uwalipe mishahara, kwa kuanza na wa mwisho hadi wa kwanza.'
Linu chitengwena, nfumwe wewa lya mawomba cho supa muhikana wakwe. 'Sumpe ba beleki njo ba luwera, ukalele kuwa manimani kukasika ku wentanzi.'
9 Walipokuja wale walioajiriwa saa kumi na moja, kila mmoja wao alipokea dinari.
Linu ba beleki ba bahirwa ke nako yehola ichita ikumi ni yonke ha chiba sika, umwi ni wumwi na hora isheleni limwina.
10 Walipokuja wafanyakazi wa kwanza, walifikiri kuwa watapokea zaidi, lakini walipokea pia kila mmoja dinari moja kila mtu.
Linu ba beleki babezi intanzi nabo chiba keza, ba bali kuzeza kuti muba lihiwe mangi, kono nabo chaba wana isheleni limwina.
11 Baada ya kupokea malipo yao, walimlalamikia mmiliki wa shamba.
Ha chiba tambula ituwelo zabo, niba bilela kaza nfumwe webu.
12 Wakasema, 'Hawa wafanyakazi wa mwisho wametumia saa moja tu katika kufanya kazi, lakini umewalinganisha na sisi, sisi tumebeba mzigo kwa siku nzima na kuungua na joto.'
Chiba wamba kuti, 'bana babeleki bama manimani ba babeleka bulyo ihola imwina, kono wabaliha iswana niyetu, iswe twa beleka ni kulemenwa izuba lyonse kamwi ni kahisite.'
13 Lakini mwenye shamba akajibu na kusema kwa mmoja wao, 'Rafiki, sikutenda jambo baya. Je! hatukukubaliana na mimi kwa dinari moja?
Kono nfumwe wewa cho wamba kuzumwi wabo bantu chati, 'Mulikani kakwina buvi buna ku chita. Kena kuti wa zuminzana name ka kuku liha isheleni liimwina?
14 Pokea kile kilicho halali yako na uende zako. Ni furaha yangu kuwapa hawa wafanyakazi walioajiriwa mwisho sawa sawa na wewe.
Kohinde bulyo chako zwehateni uli yendeze mwinzila yako. Na lika kuliha ba beleki ba hirwa manainizo sina bulyo mukwi kalile kwako.
15 Je! Si haki kwangu kufanya kile ninachotaka na mali zangu? Au jicho lako ni ovu kwa sababu mimi ni mwema?
Kana kakuni yelele kuti ni tende muni sakila ku chita ni ziluwantu zangu? Kapa liinso lyako linifwila muuna kakuli ni lukisa zangu?'
16 Hivyo wa mwisho atakuwa kwanza na wa kwanza wa mwisho''
Cho bulyo bama manimani kababe be ntanzi mi bentanzi kababe bama manimani.”
17 Yesu alipokuwa akipanda kwenda Yerusalem, aliwachukuwa wanafunzi wake kumi na mbili pembeni, na njiani akawaambia,
Aho Jesu ha bali kukaya kwa Jerusalema, cho hinda ba bena ikumi ni bobele kwimbali, imi munzila cho wamba kubali nati,
18 ''Tazama tunaelekea Yerusalemu, na Mwana wa Adamu atatiwa katika mikono ya wakuu wa makuhani na waandishi. Watamhukumu kifo
“Mu bwene, tukaya kwa Jerusalema, imi Mwan'a Muntu mwa hewe mumanza aba kulwana ba mapulisita ni ba ñoli. Ka ba muatwile ifu
19 na watamtoa kwa watu wa mataifa ili kumdhihaki, kumchapa na kumsulibisha. Lakini katika siku ya tatu atafufuka.''
imi ka hewe kubantu feela kuti ba mushubule, ba mushupe, ni ku mukokotela. Kono mwi zuba lya butatu mwa buswe.
20 Kisha mama wa wana wa Zebedayo alikuja kwa Yesu na wana wake. Alipiga magoti mbele yake na kumwomba kitu kutoka kwake.
Linu inyina wa bana ba mitangana ba Zebediya chowiza nabo kwa Jesu. Cho fukama habusu bwakwe ni ku mukumbila chimwi chintu.
21 Yesu akamwambia, “Unataka nini?” Akamwambia, ''Amuru kuwa hawa wanangu wawili wakae, mmoja mkono wako wa kulia na mmoja mkono wako wa kushoto katika ufalme wako.''
Jesu choti kwali, “Chinzi cho suni?” Chato kwali, “Layele kuti aba bana bangu bobele ba bamitangana bekale, umwina abe kwi yanza lyako lye chilyo imi zumwi kwiyanza lyako lye chi nzohoto mu muuso wako.”
22 Lakini Yesu akajibu na kusema, “Haujui kile unachoomba. Je! Unaweza kukinywea kikombe ambacho nitakinywea?” wakamwambia, “Tunaweza.”
Kono Jesu cho mwitaba ni kuwamba kuti, “Kawizi cho kwete ku kumbila. Kana u yelela kunywina muchi nywinso chente ni nywine hahanu?” Chi ba mwitaba kuti, “tuwola.” Cho wamba kuti, “Ikumbya inkomoki yangu mu munywine mo.
23 Akawaambia, “Kikombe changu hakika mtakinywea. Lakini kukaa mkono wangu wa kulia na mkono wangu wa kushoto si jukumu langu kuwapa, lakini ni kwa wale ambao wamekwisha kuandaliwa na Baba yangu.”
Kono za kwikala kwiyanza lyangu lya chilyo ni yanza lyangu lye chinzohoto kahena njeme yo yelela ku kuziha, kono ka zibe njiza bana balukisezwe kuba Tayo.”
24 Wanafunzi wengine kumi waliposikia hivyo, wakahuzunishwa sana na wale ndugu wawili.
Linu bamwi balutwana ba bena ikumi habazuwa bulyo, chiba nyelelwa muntu ni mwanche.
25 Lakini Yesu aliwaita mwenyewe na kuwaambia, “Mnafahamu ya kuwa watawala wa mataifa huwatiisha, na wakuu wao hutekeleza mamlaka juu yao.
Kono Jesu choba sumpila kumbali yakwe, ni kuba wambila kuti, “Mwizi kuti bayendisi be chichaba ba sebelisa ku lyatilila bamwi imi mane bantu bamazimo ba lyatilila tota.
26 Lakini isiwe hivyo kwenu. Badala yake, yeyote atakayetaka kuwa mkubwa miongoni mwenu lazima awe mtumishi wenu.
Kono sanzi kubi mweyo inzila mukati kanu. Ni ha mubonabulyo, yense yo lakaza kuba mukando mukati kanu abe muhikana wenu.
27 Na atakaye kuwa wa kwanza miongoni mwenu lazima awe mtumishi wenu.
Hape yense yo lakaza kuba wentanzi abe muhikana wenu,
28 Kama vile Mwana wa Adamu hakuja kutumikiwa, bali kutumika, na kutoa uhai wake kuwa ukombozi kwa wengi.”
Sina hakwina kuti Mwan a Muntu kena abezili ku sebelezwa, kono kusebeleza, kono nikuha buhalo bwakwe chitabelo ku bantu bonse.”
29 Wakati wakitoka Yeriko, umati mkubwa ulimfuata.
Habali kuzwa kwa Jerico, ikunga ikando ni chi lyamwi chilila.
30 Na waliwaona vipofu wawili wameketi kando ya barabara. Waliposikia kuwa Yesu alikuwa anapita, walipaza sauti na kusema, “Bwana, Mwana wa Daudi, utuhurumie.”
Imi kubena bakwame bobele babali ku fwile meenso ba bekele kwi mbali yamukwakwa. Linu haba zuwa kuti Jesu abali kuhita, chi batabeleza kaku huweleza, “Simwine, Mwan'a Daafita, utufwile inse.”
31 Lakini umati ukawakemea, na kuwaambia nyamazeni. Hata hivyo, wao wakapaza sauti zaidi na kusema, “Bwana, Mwana wa Daudi, utuhurumie.”
Ikunga chilyaba nyaza ni ku bawambila kuti batontole, kono abo nji balila cha kuhuweleza kuti “Simwine, Mwan'a Daafita, utufwile inse.”
32 Kisha Yesu alisimama na aliwaita na kuwauliza, “Mnataka niwafanyie nini?”
Linu Jesu, cho zimana nasa nyanganyi ni ku basumpa ni kuta kuti, “Chinzi chi mulakaza kuti ni mitendele?”
33 Wakamwambia, “Bwana kwamba macho yetu yafumbuliwe.”
Chi ba wamba kuti, “Simwine, kuti meenso eetu eyaluke.”
34 Basi Yesu, akiwa amevutwa na huruma, akayagusa macho yao, mara hiyo, wakapokea uwezo wa kuona na wakamfuata.
Linu Jesu, cho bafwila inse, cho bawonda ha meenso abo. Pona haho chiba bone ni ku mwichilila.