< Mathayo 20 >

1 Kwa maana ufalme wa mbinguni unafanana na mmliki wa shamba, aliyeamka asubuhi na mapema ili kuajiri wafanyakazi katika shamba lake la mizabibu.
Kumdogoilyo utemi nuakilunde ukimpyananu muntu nukete umugunda, nai wiandiie ukedaudau nsoko akuaika anyamilimo mumugunda wakwe nuamizabibu.
2 Baada ya kuwa amekubaliana na wafanyakazi dinari moja kwa kutwa, aliwatuma kwenda katika shamba lake la mizabibu.
Nae igombya neanyamilemo dinalu ing'wi kumung'wi, wikaayuma ende kumugunda nua mezabibu.
3 Alienda tena baada ya masaa matatu hivi na aliona wafanyakazi wengine wakiwa wamesimama bila kazi katika eneo la soko.
Nai akeile masaa ataatu wikenda hange uu wikaaona itumi angiza aeimekule akeeze agila anga mulemo pake awiza kisoko.
4 Akawaambia, 'Ninyi pia, nendeni katika shamba la mizabibu, na chochote kilicho halali nitawapa.' Hivyo wakaenda kufanya kazi.
Wikaaila, ''Nunyenye gwa, longoli mumugunda nuamuzabibu, hange kehi nemutakile kumupa Uuu ekalongola kitumia umulemo.
5 Akaenda tena baada ya masaa sita na tena katika saa ya tisa, na alifanya hivyo hivyo.
Wikalongola hange naakela masaa mutandatu muma saa nemutandatu, wikituma uulukulu.
6 Mara nyingine tena mnamo saa kumi na moja, alienda na kuwakuta watu wengine wamesimama bila kazi. Aliwaambia, 'kwanini mmesimama hapa bila kazi yoyote kwa siku nzima?
Nkua yedu hange naepikile saa ikumi neleng'wi akenda nukuahanga eantu neangiza imekile akeze angila anga mulemo. Wikaaila, ''kuneke mumehile apa nuagile anga mulemo wehi kuluhiku lehi?
7 Wakamwambia, kwasababu hakuna mtu yeyote aliyetuajiri. Akawaambia, 'Nanyi ninyi pia nendeni katika shamba la mizabibu.'
Ika muila kunsoko kutile umuntu wehi nukupee umulemo. Wika aila nunyenye gaa lungoli mumugunda nua mezabibu.
8 Wakati wa jioni ulipofika, mwenye shamba la mizabibu alimwambia msimamizi wake, 'Waite wafanyakazi na uwalipe mishahara, kwa kuanza na wa mwisho hadi wa kwanza.'
Imatungo ampinde napikile, umuhola mugunda nua mezabibu wikamuila umemeeli wakwe, ''Itange eitumi wape ekinyamulimo, kandiilya nua musho sunga nua nguandyo.
9 Walipokuja wale walioajiriwa saa kumi na moja, kila mmoja wao alipokea dinari.
Nae ekiza awa nae aikilwe saa kumi ne ng'wi, kelaung'wi ausengiiye dinali.
10 Walipokuja wafanyakazi wa kwanza, walifikiri kuwa watapokea zaidi, lakini walipokea pia kila mmoja dinari moja kila mtu.
Nae ekiza eitumi ang'wandyo, aeasigike kena akupegwa kukele, kuite ekasingiilyegua kela ung'wi dinali ing'wi kela umuntu.
11 Baada ya kupokea malipo yao, walimlalamikia mmiliki wa shamba.
Nae ikasingiilya dunyamulimo kao, ikamisusumelya umukola mugunda.
12 Wakasema, 'Hawa wafanyakazi wa mwisho wametumia saa moja tu katika kufanya kazi, lakini umewalinganisha na sisi, sisi tumebeba mzigo kwa siku nzima na kuungua na joto.'
Ikalunga, ''Ee eitumi neampelo aeitumiile isaa Ing'wi udu muitumi mulemo kuite waempyania nusese use kukenkile imeligo kuluhuku lelinukupya mpasui.
13 Lakini mwenye shamba akajibu na kusema kwa mmoja wao, 'Rafiki, sikutenda jambo baya. Je! hatukukubaliana na mimi kwa dinari moja?
Kuite umuhola nuugunda wihesusha nukulunga kung'wi wao, muhumbe miane, singa nutumile anga ubii.
14 Pokea kile kilicho halali yako na uende zako. Ni furaha yangu kuwapa hawa wafanyakazi walioajiriwa mwisho sawa sawa na wewe.
Itee? singa aelugombilyene nunene kudinali eng'wi?
15 Je! Si haki kwangu kufanya kile ninachotaka na mali zangu? Au jicho lako ni ovu kwa sababu mimi ni mwema?
Itee singa taine leung'wane kutuma anga nendilwe ninsao yane? Ang'wi iliho lako ibe nsoho une nemuza?
16 Hivyo wa mwisho atakuwa kwanza na wa kwanza wa mwisho''
Unu nua mwisho ukutula wang'wendyo nuyu nua ng'wandyo ukutula wa mwisho.
17 Yesu alipokuwa akipanda kwenda Yerusalem, aliwachukuwa wanafunzi wake kumi na mbili pembeni, na njiani akawaambia,
U Yesu nauhunankila kena kuyelusalemu awahoile iamanyisigwa akwe ikumi nuubiili kumpelo, numunzila wikaaila.
18 ''Tazama tunaelekea Yerusalemu, na Mwana wa Adamu atatiwa katika mikono ya wakuu wa makuhani na waandishi. Watamhukumu kifo
Gozi kuunaikela kuyelusalemu, nu Ng'wana wang'wa Adamu uhukwa mumikono aakulu aakuhani neaandeki. Akumulamuila ensha.
19 na watamtoa kwa watu wa mataifa ili kumdhihaki, kumchapa na kumsulibisha. Lakini katika siku ya tatu atafufuka.''
Hange akamupunya kuantu ne amahi nsoko kumumela, kumukua nukumutumbeka. Kuite uluhiku laka taatu ukuiuka.
20 Kisha mama wa wana wa Zebedayo alikuja kwa Yesu na wana wake. Alipiga magoti mbele yake na kumwomba kitu kutoka kwake.
Hange uia nua ng'wana wang'wa Zebedayo ae uzile kung'wa Yesu niana akwe. Wikatungama ntongeela akwe nukulompa kentu kupuma kung'waakwe.
21 Yesu akamwambia, “Unataka nini?” Akamwambia, ''Amuru kuwa hawa wanangu wawili wakae, mmoja mkono wako wa kulia na mmoja mkono wako wa kushoto katika ufalme wako.''
U Yesu wika nuila, ''utakile ntuni? Wikamuiila, ''Lunga kena iana ane neabiiliikie, ung'wi kumohono wako nua hegoha hange ung'wi kumokono wako nua kekema nuuitemi wako''
22 Lakini Yesu akajibu na kusema, “Haujui kile unachoomba. Je! Unaweza kukinywea kikombe ambacho nitakinywea?” wakamwambia, “Tunaweza.”
Kuite u Yesu wihasusha nululunga, ''singauine eke nukulompa. Itee? Uhumilene kung'wela ekekole nekung'wela? ekamuila''Kuuhuma''
23 Akawaambia, “Kikombe changu hakika mtakinywea. Lakini kukaa mkono wangu wa kulia na mkono wangu wa kushoto si jukumu langu kuwapa, lakini ni kwa wale ambao wamekwisha kuandaliwa na Baba yangu.”
Aaaila, ekehole kane mukuhingwela. Kuite kikie umukono wane nua kulela numokono wane nuakekema singa anga nene kumupa, kuite kuawa neanoneeigwe nutata wane''.
24 Wanafunzi wengine kumi waliposikia hivyo, wakahuzunishwa sana na wale ndugu wawili.
Eamanyisigwa neangeza ikuminaeigule uu, iha ambwa ukea nea luna ao neabiili.
25 Lakini Yesu aliwaita mwenyewe na kuwaambia, “Mnafahamu ya kuwa watawala wa mataifa huwatiisha, na wakuu wao hutekeleza mamlaka juu yao.
Kuite u Yesu wikaitanga ung'wenso nukuaile, ''Muleugile kena eahumu nea mihe amuduile, nea hulu ao ituma uuhumi kitalao.
26 Lakini isiwe hivyo kwenu. Badala yake, yeyote atakayetaka kuwa mkubwa miongoni mwenu lazima awe mtumishi wenu.
Kuite ileke kutula uu kitulanyu kuleka ite, wehi nakulowa kutula mukulu nulalanyu kusinjawatule mutumi wanyu.
27 Na atakaye kuwa wa kwanza miongoni mwenu lazima awe mtumishi wenu.
Nunyu nukulula wang'wendyo kusinja watu mitumi wanyu.
28 Kama vile Mwana wa Adamu hakuja kutumikiwa, bali kutumika, na kutoa uhai wake kuwa ukombozi kwa wengi.”
Anga uu ung'wana nuang'wa Adamu singa ae uzitumilwa inge kituma, nukupunya uupanga wakwe kutule ukomoli waantu duu.''
29 Wakati wakitoka Yeriko, umati mkubwa ulimfuata.
Imatungo naeapumile kuyeliko, iimbe ikulu lekamityata.
30 Na waliwaona vipofu wawili wameketi kando ya barabara. Waliposikia kuwa Yesu alikuwa anapita, walipaza sauti na kusema, “Bwana, Mwana wa Daudi, utuhurumie.”
Hange ika aona apoku abiili ikie mumpelompelo anzila. Naeigule kena Uyesu ukukela, ekitanta mduli ekalunga, ''Mukulu, Ng'wana wang'wa Daudi ukugeze.''
31 Lakini umati ukawakemea, na kuwaambia nyamazeni. Hata hivyo, wao wakapaza sauti zaidi na kusema, “Bwana, Mwana wa Daudi, utuhurumie.”
Kuite iumbe likaakenda nukuaila kulagi. Ata uu, neanso ekahulya unduli kukile nukulunga '' Mukulu Ng'wana wang'wa Daudi kugoze.''
32 Kisha Yesu alisimama na aliwaita na kuwauliza, “Mnataka niwafanyie nini?”
Hange u Yesu wikenuka wikailanga nukuaholya mutakile numulendele ulee?
33 Wakamwambia, “Bwana kwamba macho yetu yafumbuliwe.”
Ikamuila, ''Mukulku kena emiho itu apelye.
34 Basi Yesu, akiwa amevutwa na huruma, akayagusa macho yao, mara hiyo, wakapokea uwezo wa kuona na wakamfuata.
Inge u Yesu wikalutwe nuukea, wika maambaemiho ao, inge uu ekasingiilya uhumi wakuona hange ikanityata.

< Mathayo 20 >