< Mathayo 2 >

1 Baada ya Yesu kuzaliwa katika Bethelehem ya Uyahudi katika siku za mfalme Herode, watu wasomi kutoka mashariki ya mbali walifika Yerusalemu wakisema,
Nae watugwa u Yesu mkisale ka Bethelehemu a Uyahudi mumahiku ang'wa mutemi Herode, eantu nia manyi kupuma kilya na kuli ikapika ku Yerusalemu ikalunga.
2 “Yuko wapi yeye ambaye aliyezaliwa Mfalme wa Wayahudi? Tuliiona nyota yake mashariki nasi tumekuja kumwabudu.”
Ukolipi uyu nutugilwe umutemi wa Ayahudi? Aza kuina nzota akwe kukilya nusese kapika kumukulya.
3 Pindi Mfalme herode aliposikia haya alifadhaika, na Yerusalemu yote pamoja naye.
Matungo nu Herode aewija inkani izi akaambwa masigo makulu, i Yerusalemu ihi palung'wi nung'wenso.
4 Herode akawakusanya wakuu wa makuhani wote na waandishi wa watu, naye akawauliza, “Kristo atazaliwa wapi?”
Herode akailingiila iakulu ihi nawa neetunza inkani ya antu, akaakolya, “u Kilisto ukutugwa pee?”
5 Wakamwabia, “Katika Bethelehemu ya Uyahudi, kwa kuwa hivi ndivyo ilivyoandikwa na nabii,
Akamuila, “ukutugwa ku Bethelehemu a Uyahudi, kunsoko uu aeyandikilwe nianyakidagu,
6 Nawe Bethelehemu, katika nchi ya Yuda, si mdogo miongoni mwa viongozi wa Yuda, kwa kuwa kutoka kwako atakuja mtawala atakayewachunga watu wangu Israeli.”
Nue Bethelehemu, ihi ang'wa Yuda, singa wimunino muatongeeli ang'wa Yuda, kunsoko kupuma kitalako uzile mkulu nuziadima iantu ane Israeli.”
7 Hivyo Herode aliwaita wale wasomi kwa siri na kuwauliza ni wakati gani hasa nyota ilikuwa imeonekana.
Herode akaitanga iamanyi ankani kenkunku akaakolya ite matungo kelukulu inzota ai ezigela.
8 Akawatuma Bethelehem, akisema, “Nendeni kwa uangalifu mkamtafute mtoto aliyezaliwa. Wakati mtakapomwona, nileteeni habari ili kwamba mimi pia niweze kuja na kumwabudu.”
Akaatuma alongole ku Bethelehemu, akalunga, longoli kiisa uende mumuetume ung'wana nutugilwe. Matungo angamamuona, ulete inkani nunene nihuma kuza kumukulya.”
9 Baada ya kuwa wamemsikia mfalme, waliendelea na safari yao, na nyota ile waliyokuwa wameiona mashariki iliwatangulia hadi iliposimama juu ya mahali mtoto aliyezaliwa alipokuwa.
Nai amija umtemi, ikalongoleka numuhinzo wao, ni nzota iyo naeamiine kukilya ikaatongeela ikimika migulya apo nung'wana utugiwe.
10 Wakati walipoiona nyota, walifurahi kwa furaha kuu mno.
Nai amiona inzota ikalowa ikulu.
11 Waliingia nyumbani na kumuona mtoto aliyezaliwa na Mariamu mama yake. Walimsujudia na kumwabudu. Walifungua hazina zao na kumtolea zawadi za dhahabu, uvumba, na manemane.
Ikingila mnyumba ikamuona ung'wana nutugilwe nu Mariamu unyinya wakwe. Ikamiloelya nukumukulya. Ikatungula imaintu nimaza naiatite ikamupa.
12 Mungu aliwaonya katika ndoto wasirudi kwa Herode, hivyo, waliondoka kurudi katika nchi yao kwa njia nyingine.
Itunda akaahugulya kukeela ndoti kusuka kung'wa Herode, kululo, ikahega kusuka kihe ao kukeela nzila ngiza.
13 Baada ya kuwa wameondoka, malaika wa Bwana alimtokea Yusufu katika ndoto na kusema, “Inuka, mchukue mtoto na mama yake na mkimbilie Misri. Bakini huko mpaka nitakapowaambia, kwa kuwa Herode atamtafuta mtoto ili amwangamize.
Nai akondya kuhega, malaika akamuzeela Yusufu kukeela ndoti akalunga, “Uka, muhole ung'wana nu nyinya wakwe mumankeele ku Misri. Musige kuko mpaka ninzemuila kunsoko u Herode wenda ukumupenza amubulage.
14 Usiku huo Yusufu aliamka na kumchukua mtoto na mama yake na kukimbilia Misri.
Utiku wuwo u Yusufu akauka akamuhola ung'wana nu nyinya wakwe ikamankiila ku Misri.
15 Aliishi huko hadi Herode alipo kufa. Hii ilitimiza kile Bwana alichokuwa amenena kupitia nabii, “Kutoka Misri nimemwita mwanangu.”
Akikie kuko mpaka u Herode ikasha. Iko naikilingiligwe numunyakidagu, “Kupuma ku Misri numitangile ung'waane.”
16 Kisha Herode, alipoona kuwa amedhihakiwa na watu wasomi, alikasirika sana. Aliagiza kuuawa kwa watoto wote wa kiume waliokuwa Bethelehemu na wote katika eneo lile ambao walikuwa na umri wa miaka miwili na chini yake kulingana na wakati aliokuwa amekwisha thibitisha kabisa kutoka kwa wale watu wasomi.
Kululo u Herode, akalunga kina iantu awa niahugu antendela ubi, akalaka. Akalagiilya kubulagwa ehi iang'enya niagoha ku Bethelehemu niatite miaka ibiile ni pihe apang'wanso kunsoko aiwakondya kulinga kukeela antu ao niamanyi ankani.
17 Ndipo lilipotimizwa lile neno lililonenwa kwa kinywa cha nabii Yeremia,
Ingi nailakondigwa ulukani naeluligitigwe kukeela mnyakidagu Yeremia,
18 “Sauti ilisikika Ramah, kilio na maombolezo makubwa, Raheli akiwalilia watoto wake, na alikataa kufarijiwa, kwa sababu hawapo tena.”
Luli lukigela ku Ramah, kilelo nikinyauwai kikulu, u Raheli akazealila iana akwe, hangi akahita kupumbuligwa, kunsoko ikutile singaaziziona hangi.”
19 Herode alipo kufa, tazama malaika wa Bwana alimtokea Yusufu katika ndoto huko Misri na kusema,
U Herode naiwasha, umalaika akamuhanga u Yusufu kukeela ndoti kuko ku Misri akalunga,
20 “Inuka mchukue mtoto na mama yake, na mwende katika nchi ya Israeli kwa maana waliokuwa wakitafuta uhai wa mtoto wamekufa.”
“Uka muhole ung'wana nunyinya wakwe, mlongole mihe a Israeli kunsoko awa naienda upenza upanga wa ng'wana akuza.”
21 Yusufu aliinuka, akamchukua mtoto pamoja na mama yake, na wakaja katika nchi ya Israeli.
U Yusufu akauka akamuhola ung'wana nu nyinya wakwe, ikolongola mihe a Israeli.
22 Lakini aliposikia kuwa Arikelau alikuwa anatawala Yuda mahali pa baba yake Herode, aliogopa kwenda huko. Baada ya Mungu kumuonya katika ndoto, aliondoka kwenda mkoa wa Galilaya
Ingi gwa nae wija kina Arikelau ae mutemi Yuda pang'wa tata wakwe u Herode. Akogopa kulongola kung'wanso. Matungo ni Tunda nae wamuhugula kukeela mundoti, akahega akalongola mukisali ka Galilaya.
23 na alienda kuishi katika mji uitwao Nazareti. Hili lilitimiza kile kilichokuwa kimekwisha kunenwa kwa njia ya manabii, kwamba ataitwa Mnazareti.
Hangi akalongola kikie mukisali nikitangwa Nazareti. Ike aekekondaniye iko naikiligitigwe kukeela nzila aanyakedagu, kina ukitangwa Mnazareti.

< Mathayo 2 >