< Mathayo 2 >
1 Baada ya Yesu kuzaliwa katika Bethelehem ya Uyahudi katika siku za mfalme Herode, watu wasomi kutoka mashariki ya mbali walifika Yerusalemu wakisema,
जवय हेरोद राजा व्हता. तवय यहूदीयातील प्रांतमा बेथलहेम गावमा येशुना जन्मनंतर, दखा पुर्व दिशाकडतीन ज्योतिषी येरूशलेमले ईसन ईचार-पुस करू लागनात.
2 “Yuko wapi yeye ambaye aliyezaliwa Mfalme wa Wayahudi? Tuliiona nyota yake mashariki nasi tumekuja kumwabudu.”
“यहूदीसना राजा जन्मना तो कोठे शे? कारण आम्हीन पुर्व दिशाले तारा दखीसन त्याले नमन कराले येल शेतस.”
3 Pindi Mfalme herode aliposikia haya alifadhaika, na Yerusalemu yote pamoja naye.
हेरोद राजानी जवय हाई ऐकं तवय तो अनं पुरं यरूशलेम घाबरी गयं.
4 Herode akawakusanya wakuu wa makuhani wote na waandishi wa watu, naye akawauliza, “Kristo atazaliwa wapi?”
तवय त्यानी लोकसना मुख्य याजक, अनी शास्त्रीसले बलाईसन ईचारं की, ख्रिस्तना जन्म कोठे व्हणार शे?
5 Wakamwabia, “Katika Bethelehemu ya Uyahudi, kwa kuwa hivi ndivyo ilivyoandikwa na nabii,
त्यासनी त्याले सांगं, “यहूदीयाना बेथलहेम गावमा” कारण संदेष्टासनाद्वारा असच लिखेल शे, की.
6 Nawe Bethelehemu, katika nchi ya Yuda, si mdogo miongoni mwa viongozi wa Yuda, kwa kuwa kutoka kwako atakuja mtawala atakayewachunga watu wangu Israeli.”
“हे यहूदाना प्रदेश बेथलहेम? तु यहुदाना सर्व सरदारसमा कनिष्ठ शे; अस अजिबात नही? कारण मना इस्त्राएल लोकसले संभाळी असा सरदार तुनामातीन निंघी.”
7 Hivyo Herode aliwaita wale wasomi kwa siri na kuwauliza ni wakati gani hasa nyota ilikuwa imeonekana.
तवय ज्योतिषीसले हेरोद राजानी गुपचुप बलाईसन तारा दखावानी येळ नीट ईचारी लिधी.
8 Akawatuma Bethelehem, akisema, “Nendeni kwa uangalifu mkamtafute mtoto aliyezaliwa. Wakati mtakapomwona, nileteeni habari ili kwamba mimi pia niweze kuja na kumwabudu.”
त्यासले बेथलहेमले धाडतांना सांगं, “तुम्हीन जाईसन त्या बाळबद्दल नीट ईचारपुस करा, शोध लागी तवय माले बी निरोप द्या, म्हणजे मी पण ईसन त्याले नमन करसु.”
9 Baada ya kuwa wamemsikia mfalme, waliendelea na safari yao, na nyota ile waliyokuwa wameiona mashariki iliwatangulia hadi iliposimama juu ya mahali mtoto aliyezaliwa alipokuwa.
राजानं बोलनं ऐकीसन त्या तठेन निंघनात त्यासनी जो तारा पुर्व दिशाले दखेल व्हता, जठे ते बाळ व्हतं. त्या जागावर जाईसन पोहचत नही तोपावत त्यासनापुढे चालना.
10 Wakati walipoiona nyota, walifurahi kwa furaha kuu mno.
त्या ताराले दखीसन त्या भलताच खूश व्हयनात.
11 Waliingia nyumbani na kumuona mtoto aliyezaliwa na Mariamu mama yake. Walimsujudia na kumwabudu. Walifungua hazina zao na kumtolea zawadi za dhahabu, uvumba, na manemane.
जवय त्या घरमा गयात, तवय बाळले त्यानी माय मरीया जोडे त्यासनी दखं. अनं त्यासनी त्याना पाया पडीसन त्याले नमन करं, त्यासनी त्यासन्या थैल्या सोडीसन त्यानामाईन सोनं, ऊद, गंधरस, हाई त्याले अर्पण करं.
12 Mungu aliwaonya katika ndoto wasirudi kwa Herode, hivyo, waliondoka kurudi katika nchi yao kwa njia nyingine.
मंग सपनमा परमेश्वर कडतीन त्यासले सूचना भेटनी की, हेरोद राजाकडे परत जावानं नही, म्हणीसन त्या दूसरी वाटतीन त्यासना देशमा निंघी गयात.
13 Baada ya kuwa wameondoka, malaika wa Bwana alimtokea Yusufu katika ndoto na kusema, “Inuka, mchukue mtoto na mama yake na mkimbilie Misri. Bakini huko mpaka nitakapowaambia, kwa kuwa Herode atamtafuta mtoto ili amwangamize.
ज्योतिषी लोके जावानंतर प्रभुना दूतनी योसेफले सपनमा दर्शन दिसन सांगं, “ऊठ, बाळले अनी त्यानी मायले लिसन मिसर देशमा पळी जाय, मी तुले सांगस नही तोपावत तु तठेच ऱ्हाय.” कारण बाळले मारासाठे हेरोद त्याना शोध कराव शे?
14 Usiku huo Yusufu aliamka na kumchukua mtoto na mama yake na kukimbilia Misri.
मंग तो ऊठना अनं रातमाच बाळले अनी त्यानी मायले लिसन मिसर देशमा पळी गया.
15 Aliishi huko hadi Herode alipo kufa. Hii ilitimiza kile Bwana alichokuwa amenena kupitia nabii, “Kutoka Misri nimemwita mwanangu.”
अनी हेरोद मरस पावत त्या तठेच ऱ्हायनात, “मी मना पोऱ्याले मिसर देशमातीन बलायेल शे.” जे प्रभुने संदेष्टासनाद्वारा सांगेल व्हतं, ते पुरं व्हवाले पाहिजे म्हणीसन अस व्हयनं.
16 Kisha Herode, alipoona kuwa amedhihakiwa na watu wasomi, alikasirika sana. Aliagiza kuuawa kwa watoto wote wa kiume waliokuwa Bethelehemu na wote katika eneo lile ambao walikuwa na umri wa miaka miwili na chini yake kulingana na wakati aliokuwa amekwisha thibitisha kabisa kutoka kwa wale watu wasomi.
ज्योतिषीसनी आपले फसाडं म्हणीसन हेरोद भलता संतापना अनं जी माहिती ज्योतिषीसपाईन नीट ईचारी लेयल व्हती, तिना प्रमाणे बेथलहेम अनी आस-पासना सर्व गावसमा ज्या दोन वरीसना अनी त्यानापेक्षा कमी वयना पोऱ्या व्हतात, त्या सर्वासले त्यानी शिपाई धाडीसन मारी टाकं.
17 Ndipo lilipotimizwa lile neno lililonenwa kwa kinywa cha nabii Yeremia,
यिर्मया संदेष्टानाद्वारे जे सांगेल व्हतं; त्या येळले ते पुर्ण व्हयनं ते अस;
18 “Sauti ilisikika Ramah, kilio na maombolezo makubwa, Raheli akiwalilia watoto wake, na alikataa kufarijiwa, kwa sababu hawapo tena.”
रामा गावमा रडानं अनं आक्रोशसना शब्द ऐकाले वनात. राहेल तिना पोऱ्यास करता भलती रडी ऱ्हायनी शे, त्या ऱ्हायनात नहीत म्हणीसन तिनं समाधान व्हई नही ऱ्हायनं.
19 Herode alipo kufa, tazama malaika wa Bwana alimtokea Yusufu katika ndoto huko Misri na kusema,
मंग हेरोद राजा मरानंतर, प्रभुना दूत मिसर देशमा योसेफले सपनमा दर्शन दिसन बोलना.
20 “Inuka mchukue mtoto na mama yake, na mwende katika nchi ya Israeli kwa maana waliokuwa wakitafuta uhai wa mtoto wamekufa.”
ऊठ, बाळले अनी त्याना मायले लिसन इस्त्राएल देशमा निंघी जाय, कारण ज्या बाळले माराले दखी राहींता, त्या मरी जायेल शेतस.
21 Yusufu aliinuka, akamchukua mtoto pamoja na mama yake, na wakaja katika nchi ya Israeli.
तवय तो झोपमाईन ऊठना बाळले अनी त्यानी मायले लिसन इस्त्राएल देशमा वना;
22 Lakini aliposikia kuwa Arikelau alikuwa anatawala Yuda mahali pa baba yake Herode, aliogopa kwenda huko. Baada ya Mungu kumuonya katika ndoto, aliondoka kwenda mkoa wa Galilaya
पण अर्खेलाव हाऊ त्याना बाप हेरोदना जागावर यहूदीयामा राज्य करी, ऱ्हाईंता हाई ऐकीसन योसेफ तठे जावाले भ्यायना अनं सपनमा सुचना भेटनी त्याना प्रमाणे तो गालील प्रांतमा निंघी गया.
23 na alienda kuishi katika mji uitwao Nazareti. Hili lilitimiza kile kilichokuwa kimekwisha kunenwa kwa njia ya manabii, kwamba ataitwa Mnazareti.
अनं नासरेथ नावना गावले जाईसन ऱ्हाईना, ते यानाकरता की त्याले नासोरी म्हणतीन; हाई जे संदेष्टासद्वारे सांगेल व्हतं, ते पुरं व्हई.