< Mathayo 19 >
1 Ilitokea wakati Yesu alipomaliza maneno hayo, akaondoka Galilaya, na akaenda mpakani mwa Yudea mbele ya mto Jordani.
Yesu peamali kujova malovi ago, akawuka kumkoa wa ku Galilaya na kuhamba kumuji wa Yudea kumwambu ya mfuleni Yoludani.
2 Umati mkubwa ukamfuata, na akawaponya huko.
Msambi uvaha wa vandu wamlandili kwenuko, mwene akavalamisa.
3 Mafarisayo wakamjia, wakamjaribu, wakamwambia, “Je ni halali kwa mtu kumwacha mke wake kwa sababu yoyote?”
Hinu pagati ya Vafalisayu vangi vakambwelela vakamulinga kumkota, “Wuli, ndi chabwina mgosi kumleka mdala waki ndava ya chindu chochoha chila?”
4 Yesu akajibu na kusema, “Hamkusoma, kwamba yeye aliyewaumba mwanzo aliwaumba mume na mke?
Yesu akavayangula, “Wu, mwangasoma mu Mayandiku Gamsopi kuvya Chapanga mweawumbili mundu kutumbula kadeni, amuwumbili mundu mgosi na mdala?
5 Na tena akasema, 'Kwa sababu hiyo mwanaume atamwacha baba yake na mama yake na kuungana na mke wake, nao wawili watakuwa mwili mmoja?'
Kangi akajova, ‘Ndava yeniyo, mgosi yati akumleka dadi waki na nyina waki na kuwungana na mdala waki, ndi voha vavili yati vivya higa yimonga.’
6 Hivyo siyo wawili tena, bali mwili mmoja. Basi, kile alichokiunganisha Mungu, mtu yeyote asikitenganishe.”
Ndava yeniyo, ndi lepi kavili vavili, nambu higa yimonga. Cheachiwunganishi Chapanga mundu akoto kuchipangulana.”
7 Wakamwambia, “Sasa kwa nini Musa alituamuru kutoa hati ya talaka na kumwacha?”
Nambu Vafalisayu vakamkota, “Ndava kyani, Musa atilagazili yihotoleka mgosi kumpela mdala waki balua na kumleka?”
8 Akawaambia, “Kwa ugumu wenu wa mioyo Musa aliwaruhusu kuwaacha wake zenu, lakini tangu mwanzo haikuwa hivyo.
Yesu akayangula, “Musa avalekekisi ndava ya kutopa kwa mitima yinu. Nambu nakuvya chenicho kutumbula Chapanga peawumbili mulima.
9 Nawaambieni, kwamba yeyote atayemwacha mke wake, isipokuwa kwa sababu ya uzinzi, na akamwoa mwingine, amezini. Na mwanaume atakayemwoa mke aliyeachwa amezini.”
Nikuvajovela, mundu yeyoha mweakumleka mdala waki na kugega mdala yungi ikita ugoni nambu ndu ndava ya ukemi ihotola kumleka.”
10 Wanafunzi wakamwambia Yesu, “Kama ndivyo ilivyo kwa mume na mkewe, siyo vizuri kuoa.”
Vawuliwa vaki vakamjovela, “Ngati mambu ga mgosi na mdala waki ndi ago, mbanga kukotoka kugega.”
11 Lakini Yesu akawaambia, “Si kila mtu anaweza kupokea mafundisho haya, bali ni kwa wale tu walioruhusiwa kupokea.
Yesu akavajovela, “Lepi voha vevihotola kuyidakila lilovi lenili, nambu vala vevahotwisi na Chapanga.
12 Kwa vile wapo matowashi waliozaliwa tokea tumboni mwa mama zao. Na vilevile kuna matowashi waliofanywa na watu. Na kuna matowashi waliojifanya matowashi kwa ajili ya ufalme wa mbinguni. Awezaye kupokea mafundisho haya na ayapokee.”
Muni gavi mambu ndalindali gegihenga vagosi vakotoka kugega, vavi vevavelikiwi kahumbi kapecha, vangi ndava vahengiwi na vandu kuvya vakahumbi kapecha na vangi vigega lepi ndava ya Unkosi wa kunani kwa Chapanga. Mweihotola kuyidakila lilovi lenilo ayidakilayi.”
13 Kisha akaletewa baadhi ya watoto wadogo ili awawekee mikono juu yao na kuomba, lakini wanafunzi wake wakawakemea.
Kangi vandu vamletili Yesu vana vadebe muni avavikila mawoko na kuvayupila. Nambu vawuliwa vaki vakavahakalila vandu vala.
14 Bali Yesu akasema, “Waruhusuni watoto wadogo, wala msiwakataze kuja kwangu, kwa maana ufalme wa mbinguni ni wa watu kama wao.
Nambu Yesu akavajovela, “Muvaleka vana ava vabwela kwa nene, na mkoto kuvabesa, muni Unkosi wa kunani kwa Chapanga ndi wa vandu ngati vana venava.”
15 Naye akaweka mikono yake juu yao, na kisha akaondoka pale.
Hinu Yesu peamali kuvavikila mawoko muni avamotisa, ndi akawuka pandu penapo.
16 Tazama mtu mmoja akaja kwa Yesu na kusema, “Mwalimu, ni kitu gani kizuri ninachotakiwa kufanya ili nipate kuwa na uzima wa milele?” (aiōnios )
Mundu mmonga amhambili Yesu akamkota, “Muwula, nikita chindu kiki chabwina nivyaa na wumi wa magono goha?” (aiōnios )
17 Yesu akamwambia, “Kwa nini unaniuliza ni kitu gani kizuri? Kuna mmoja tu aliye mwema, lakini kama ukitaka kupata uzima, shika sheria za Mungu.”
Yesu akamyangula, “Ndava kyani ukunikota lijambu la bwina? Avi mmonga ndu mweavi mbwina. Ngati wigana kuvya na wumi wa magono goha, uyidakila mihilu.”
18 Yule mtu akamwuliza, “Ni sheria zipi?” Yesu akasema, “Usiue, usizini, usiibe, usishuhudie uongo,
Mundu yula akamkota, “Mihilu yoki?” Yesu akamyangula, “Ukoto kukoma, kukita ugoni, kuyiva, kujova udese,
19 waheshimu baba yako na mama yako, na mpende jirani yako kama nafsi yako.”
vatopesayi dadi waku na nyina waku na umgana muyaku ngati cheukujigana wamwene.”
20 Mtu yule akamwambia, “Mambo yote hayo nimeyatii. Bado ninahitaji nini?
Msongolo yula akamjovela, “Genago goha nigalandili, hinu nihenga kyani neju?”
21 “Yesu akamwambia, “Kama ukitaka kuwa mkamilifu, nenda, ukauze ulivyo navyo, na uwape maskini, na utakuwa na hazina mbinguni. Kisha njoo unifuate.”
Yesu akamjovela, “Ngati wigana kuvya chakaka mundu mbwina, uhamba ukagulisa vindu vyaku vyoha. Mashonga ago goha uvapela vangangu na veve yati ukujivikila vindu vyamahele kunani kwa Chapanga, kangi ubwela unilandayi.”
22 Lakini kijana yule aliposikia yale Yesu aliyomwambia, akaondoka kwa huzuni, kwa sababu alikuwa na amemiliki mali nyingi.
Hinu msongolo yula peayuwini malovi gala, akahamba kuni avi ngolongondi neju ndava muni avi na vindu vyamahele aganili lepi kuvilekelesa.
23 Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Kweli nawaambieni, ni vigumu kwa mtu tajiri kuingia katika ufalme wa mbinguni.
Kangi Yesu akavajovela vawuliwa vaki, “Nikuvajovela chakaka, ndi yinonopa mkolo vindu vyamahele kuyingila muunkosi wa kunani kwa Chapanga.
24 Tena nawaambieni, ni rahisi kwa ngamia kupita katika tundu la sindano, kuliko kwa mtu tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.”
Nikuvajovela kavili yati yiyeyuka kwa hinyama ngati ngamiya kuholota palibowo la sindanu, kuliku mweavi na vindu vyamahele kuyingila muunkosi wa kunani kwa Chapanga.”
25 Wanafunzi waliposikia hivyo, wakashangaa sana na kusema, “Ni yupi basi atakayeokoka?”
Vawuliwa vala pevayuwini malovi ago vakakangasa neju, vakamkota Yesu, “Hinu ndi yani mweihotola kusanguliwa?”
26 Yesu akawatazama na kusema, “Kwa wanadamu hilo haliwezekani, lakini kwa Mungu yote yanawezekana.”
Yesu akavalolokesa, akavajovela “Lijambu lenili lihotoleka lepi kwa mundu, nambu kwa Chapanga mambu goha gihotoleka.”
27 Kisha Petro akamjibu na kumwambia, “Tazama, tumeacha vyote na kukufuata wewe. Ni kitu gani tutakachopata?”
Petili akayangula “Lola,” Tete tileki kila chindu ndava ya kukulanda. Yati tipata kyani?
28 Yesu akawaambia, “Kweli nawaambieni, yeye aliyenifuata mimi, katika uzao mpya wakati Mwana wa Adam atakapoketi katika kiti cha enzi cha utukufu wake, ninyi pia mtaketi juu ya viti kumi na viwili vya enzi, kuwahukumu makabila kumi na mawili ya Israeli.
Yesu akavajovela, “Nikuvajovela chakaka, paitama Mwana wa Mundu pachigoda cha ukulu waki, pamulima wa mupya. Mewawa na nyenye mwemunilandili yati mwitama na nene muvigoda kumi na hivili na kuvahamula makabila kumi na gavili ga Isilaeli.
29 Kila mmoja wenu aliyeacha nyumba, kaka, dada, baba, mama, watoto, au shamba kwa ajili ya jina langu, atapokea mara mia na kuurithi uzima wa milele. (aiōnios )
Mundu yeyoha mwaalekili nyumba amala mlongo waki amala mlumbu amala dadi amala nyina waki amala vana vaki amala migunda yaki ndava ya nene. Yati ipokela mala miya na kuhala wumi wa magono goha wangali mwishu. (aiōnios )
30 Lakini wengi walio wa kwanza sasa, watakuwa wa mwisho, na walio wa mwisho watakuwa wa kwanza.
Nambu vamahele vevavi va kutumbula yati vivya va mwishu na vevavi va mwishu yati vivya va kutumbula.”