< Mathayo 19 >
1 Ilitokea wakati Yesu alipomaliza maneno hayo, akaondoka Galilaya, na akaenda mpakani mwa Yudea mbele ya mto Jordani.
Jesuh ngthu a pyen päng ja Kalile üngka naw cit lü Jordan mliktuia caye Judah khawa citki.
2 Umati mkubwa ukamfuata, na akawaponya huko.
Khyangpänu naw läk law u se Jesuh naw acuia a jah mdaw be.
3 Mafarisayo wakamjia, wakamjaribu, wakamwambia, “Je ni halali kwa mtu kumwacha mke wake kwa sababu yoyote?”
Pharise he a veia law u lü ami mhnüteinak am, “Khyang mat naw a khyu ia phäha pi ni se a hlüeia kcün üng a hawih vai hin mi thum üng nglawiki aw?” ti lü ami kthäh.
4 Yesu akajibu na kusema, “Hamkusoma, kwamba yeye aliyewaumba mwanzo aliwaumba mume na mke?
Jesuh naw, “Akcüka jah mhnünki naw kpami ja nghnumi a jah mhnün ti hin am nami khe khawikie aw?”
5 Na tena akasema, 'Kwa sababu hiyo mwanaume atamwacha baba yake na mama yake na kuungana na mke wake, nao wawili watakuwa mwili mmoja?'
Pamhnam naw ‘Kpami naw a nu ja pa jah ceh ta lü a khyua vei ngdawn se nghngih xawi cun mtisa mata kya law khai xawi’ a ti.
6 Hivyo siyo wawili tena, bali mwili mmoja. Basi, kile alichokiunganisha Mungu, mtu yeyote asikitenganishe.”
Acunkäna, nghngiha am ni ti ni, mata kyaki. Acunakyase, Pamhnam naw a jah lu hlin khawsawm cun khyang naw käh jah mtai se,” a ti.
7 Wakamwambia, “Sasa kwa nini Musa alituamuru kutoa hati ya talaka na kumwacha?”
Pharise he naw, “Am ani üng ivaia Mosi naw ngkyanaka kca pe u lü hawih vaia a jah mtheh ni,” ami ti.
8 Akawaambia, “Kwa ugumu wenu wa mioyo Musa aliwaruhusu kuwaacha wake zenu, lakini tangu mwanzo haikuwa hivyo.
Jesuh naw, “Nami mlungmthin nghlang lü mtheh am ngja uki se, Mosi naw nami khyu nami hawih vaia a ning jah mtheh ni. Cunüngpi a jah mhnünceng üng acukba am ni” a ti.
9 Nawaambieni, kwamba yeyote atayemwacha mke wake, isipokuwa kwa sababu ya uzinzi, na akamwoa mwingine, amezini. Na mwanaume atakayemwoa mke aliyeachwa amezini.”
Acunüng Jesuh naw, “Ka ning jah mthehki, aupi a khyu kpami kce am käh bäühma ni se akcea phäha hawih lü, khyu mah beki cun mkhyeki ni, acuna nghnumi khyu na beki pi mkhyekatki ni,” a ti.
10 Wanafunzi wakamwambia Yesu, “Kama ndivyo ilivyo kwa mume na mkewe, siyo vizuri kuoa.”
Acunüng axüisaw he naw, “Acukba ani üng ta am khyu mah üng ni a daw hlü bawk ve,” ami ti.
11 Lakini Yesu akawaambia, “Si kila mtu anaweza kupokea mafundisho haya, bali ni kwa wale tu walioruhusiwa kupokea.
Jesuh naw, “Ahina ngthu cun khyang naküt naw am ngaisim u. Acunüngpi, ngaisim khai hea a jah xü naw ni a mi ngaihsim hlü ve.
12 Kwa vile wapo matowashi waliozaliwa tokea tumboni mwa mama zao. Na vilevile kuna matowashi waliofanywa na watu. Na kuna matowashi waliojifanya matowashi kwa ajili ya ufalme wa mbinguni. Awezaye kupokea mafundisho haya na ayapokee.”
Avang cun a nua puk'um üngka naw käh khyuca mah khai hea a jah mhnün, avang cun khyang naw käh khyuca mah khaia ami jah pyang, avange cun Khankhaw Pea phäh animät käh khyuca mah khai hea nghnüneikie, aupi khyuca mah khaia tängki naw ngaisim se,” a ti.
13 Kisha akaletewa baadhi ya watoto wadogo ili awawekee mikono juu yao na kuomba, lakini wanafunzi wake wakawakemea.
Jesuh naw Hnasenea khana a kut mtaih lü a jah ktaiyü pet vaia a veia jah lawpüi u se, axüisaw he naw ami jah ksenak.
14 Bali Yesu akasema, “Waruhusuni watoto wadogo, wala msiwakataze kuja kwangu, kwa maana ufalme wa mbinguni ni wa watu kama wao.
Jesuh naw, “Hnasene ka veia law u se, käh jah mah ua, Khankhaw Pe cun amimia mäiha phäh ni,” a ti.
15 Naye akaweka mikono yake juu yao, na kisha akaondoka pale.
Jesuh naw hnasenea khana a kut mtaih lü acunkäna akcea citki.
16 Tazama mtu mmoja akaja kwa Yesu na kusema, “Mwalimu, ni kitu gani kizuri ninachotakiwa kufanya ili nipate kuwa na uzima wa milele?” (aiōnios )
Khyang mat law lü, “Saja aw, khankhawa angsäi xünnak ka yah vaia akdaw i ja ka pawh kawm?” ti se, (aiōnios )
17 Yesu akamwambia, “Kwa nini unaniuliza ni kitu gani kizuri? Kuna mmoja tu aliye mwema, lakini kama ukitaka kupata uzima, shika sheria za Mungu.”
Jesuh naw, “I dawki ti ivai na na kthähki ni? Dawki ta mat däk ni a ve. Angsäi xünnak na yah hlü üng ngthumkhäne jah läklama” a ti.
18 Yule mtu akamwuliza, “Ni sheria zipi?” Yesu akasema, “Usiue, usizini, usiibe, usishuhudie uongo,
Cawngpyang naw, “Ia ngthumkhäne ni? a ti. Jesuh naw, “Khyang käh na hnim vai, khyanga khyuca käh na mkhyekatnak vai, käh na mpyuk vai, käh na hleihlak vai,”
19 waheshimu baba yako na mama yako, na mpende jirani yako kama nafsi yako.”
Na nu ja na pa na jah leisawng vai, namät naw namät na jawngnaka mäiha na impei loceng na jawngnak vai,” a ti,
20 Mtu yule akamwambia, “Mambo yote hayo nimeyatii. Bado ninahitaji nini?
Cawngpyang naw, “Ahin he cun ka dikca üngkhyüh ka jah läk päih ni, i ka pawh ham khai ni?” a ti.
21 “Yesu akamwambia, “Kama ukitaka kuwa mkamilifu, nenda, ukauze ulivyo navyo, na uwape maskini, na utakuwa na hazina mbinguni. Kisha njoo unifuate.”
Jesuh naw, “Na kümkawi vai na ngai üng, cit lü na tak naküt jawi lü sih mpyaki he üng ngui na jah yet vai. Acunüng khana na khawh vai ve khai, acunkäna na läk law kawpi,” a ti.
22 Lakini kijana yule aliposikia yale Yesu aliyomwambia, akaondoka kwa huzuni, kwa sababu alikuwa na amemiliki mali nyingi.
Cawngpyang naw acun a ngjak üng, pukse lü akcea citeiki. Isetiüng ani cun bawimangkia kyaki.
23 Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Kweli nawaambieni, ni vigumu kwa mtu tajiri kuingia katika ufalme wa mbinguni.
Acunüng Jesuh naw axüisaw he üng, “Akcanga ka ning jah mthehki, bawimangki hin Khankhaw Pe a luh vai aktäa küi ve,”
24 Tena nawaambieni, ni rahisi kwa ngamia kupita katika tundu la sindano, kuliko kwa mtu tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.”
Bawimangki Pamhnama Khaw a luha kthaka ta sanghngüksaü mpyüma nghnga khuia a luh vai jä bawki ni,” a ti.
25 Wanafunzi waliposikia hivyo, wakashangaa sana na kusema, “Ni yupi basi atakayeokoka?”
Axüisawe naw ami ngjak üng aktäa müncan u lü, “Acunüng u naw küikyannak yah khawh khai ni?” ti lü ngthähkie.
26 Yesu akawatazama na kusema, “Kwa wanadamu hilo haliwezekani, lakini kwa Mungu yote yanawezekana.”
Jesuh naw jah teng lü, “Ahin cun khyanga phäha i am thawn thei lü pi Pamhnama phäha am thawn theiki am ve” a ti.
27 Kisha Petro akamjibu na kumwambia, “Tazama, tumeacha vyote na kukufuata wewe. Ni kitu gani tutakachopata?”
Acunüng Pita naw, “Tenga ahmäi naküt hawih lü kami ning läk lawki, kami ning läk law phäha i kami ngmangnak khai ni?” a ti.
28 Yesu akawaambia, “Kweli nawaambieni, yeye aliyenifuata mimi, katika uzao mpya wakati Mwana wa Adam atakapoketi katika kiti cha enzi cha utukufu wake, ninyi pia mtaketi juu ya viti kumi na viwili vya enzi, kuwahukumu makabila kumi na mawili ya Israeli.
Jesuh naw, “Akcanga ka ning jah mthehki, Tuha Khyanga Capa amäta hlüngtainak ja a bawingawhnak üng a ngawh law üng, nami na läk hlükie pi bawingawhnak xaleinghngih üng ngaw hnga u lü, Isarel paca xaleinghngih nami jah uk khai,”
29 Kila mmoja wenu aliyeacha nyumba, kaka, dada, baba, mama, watoto, au shamba kwa ajili ya jina langu, atapokea mara mia na kuurithi uzima wa milele. (aiōnios )
Aupi keia ngminga phäh a ima pi kyase, a bena cinae pi kyase, a nu pa pi kyase, a ca hea pi kyase, a khawmdeka pi kyase, jah ceh taki cun acun kän cima aphya kthaka yah be lü, angsäi xünnak pi yah khai. (aiōnios )
30 Lakini wengi walio wa kwanza sasa, watakuwa wa mwisho, na walio wa mwisho watakuwa wa kwanza.
Acunsepi akmae hnu u lü akhnuae ma law khaie,” ti lü a jah mtheh.