< Mathayo 18 >

1 Muda huo huo wanafunzi wakaja kwa Yesu na kumwambia, “Ni nani aliye mkubwa katika ufalme wa mbinguni?”
Lukumbi lwenulo vawuliwa vamhambili Yesu, vakamkota, “Yani mweavimvaha Muunkosi wa kunani kwa Chapanga?”
2 Yesu akamwita mtoto mdogo, akamweka katikati yao,
Yesu amkemili mwana mmonga na akamyimika pagati yavi,
3 na kusema, “Kweli nawaambieni, msipotubu na kuwa kama watoto wadogo hamtaweza kuingia katika ufalme wa Mungu.
Kangi akajova, “Nikuvajovela chakaka, ngati mwing'anamuka lepi na kuvya ngati vana vadebe, katu nakuyingila muunkosi wa kunani kwa Chapanga.
4 Hivyo yeyote ajishushaye kama mtoto mdogo, mtu kama huyo ni mkuu katika ufalme wa mbinguni.
Mundu yeyoha mweakujihelesa pahi ngati mwana, mwenuyo ndi mvaha munkosi wa kunani kwa Chapanga.
5 Na yeyote ampokeaye mtoto mdogo kwa jina langu anipokea mimi.
Mundu yeyoha mweakumpokela mwana mmonga ngati uyu paliina langu, akunipokela nene.”
6 Lakini yeyote asababishaye mmoja kati ya wadogo hawa wanaoniamini kuasi, itakuwa vizuri kwa mtu huyo jiwe kuu la kusagia likafungwa shingoni mwake, na kuzamishwa kilindini mwa bahari.
“Mundu yeyoha mweakumbudisa mmonga pagati ya vadebe vevisadika vabudayi, ngayivii mbanga akungiwa liganga livaha la kuyagila muhingu na kujwigiswa pagati ya nyanja yivaha.
7 Ole kwa dunia kwa sababu ya wakati wa kukwazwa! kwa kuwa haina budi kwa nyakati hizo kuja, lakini ole kwake kwa mtu yule nyakati hizo zitakuja kwa ajili yake!
Valachikolela vandu va mulima ndava ya kuyokisa vangi vagwai. Mabudisa genago yikugagana gahumila, nambu alachikolela mundu yula mweakugabudisa.”
8 kama mkono wako au mguu wako ukikusababishia kukwazika, ukate na uutupe mbali na wewe. Ni vizuri zaidi kwako wewe kuingia kwenye uzima ukiwa bila mkono au kilema, kuliko kutupwa kwenye moto wa milele ukiwa na mikono yote au miguu yote. (aiōnios g166)
“Ngati chiwoko chaku amala chigendelu chaku chikubudisa, chidumulai na kutaga kutali, Mbanga veve kuyingila kuwumi changali chiwoko chimonga amala chigendelu chimonga kuliku veve kuyingila kumotu wa magono goha wangajimika kuni uvi na mawoko gavili amala magendelu gavili. (aiōnios g166)
9 Kama jicho lako likikukwaza, uling`oe na ulitupe mbali na wewe. Ni vizuri zaidi kwako wewe uingie kwenye uzima na jicho moja, kuliko kutupwa kwenye moto wa milele ukiwa na macho yote. (Geenna g1067)
Lihu laku lakakubudisa, ulitupula na ulitaga kutali. Mbanga veve kuyingila muwumi wa magono goha gangali mwishu kuni uvi na lihu limonga kuliku kuvya na mihu gavili na kutagwa kumotu wa magono goha wangali mwishu wangajimika kuni uvi na mihu gaku gavili.” (Geenna g1067)
10 Tazameni kwamba msije mkamdharau mmoja wa wadogo hawa. Kwa maana nawambieni kuwa mbinguni kuna malaika wao siku zote wakiutazama uso wa Baba yangu aliye mbinguni.
“Mjiyangalila mkoto kuvavevesa mmonga wa vadebe ava. Nikuvajovela vamitumu vavi kunani kwa Chapanga magono goha vavi palongolo ya Dadi wangu.
11 (Zingatia: Maneno yanayoonekana kama ya msitari wa 11, “Kwa kuwa Mwana wa Adamu alikuja kuokoa kile kilichokuwa kimepotea” hayakuonekana katika nakala bora za kale).
Ndava muni Mwana wa Mundu abwelili kusangula chechiyagili.”
12 Mnafikiri nini? Ikiwa mtu ana kondoo mia moja, na mmoja wao akapotea, je hatawaacha tisini na tisa ya mlimani na kwenda kumtafuta mmoja aliyepotea?
“Mwihololela wuli? Ngati mundu avi na mambelele miya yimonga, limbele limonga lakayagai. Wu, nakugaleka mambelele tisini na tisa pachitumbi, kuhamba kulonda limonga lelikayagili?
13 Na akiisha kumpata, kweli nawaambieni, anamfurahia kuliko wale tisini na tisa wasiopotea.
Ngati aliwene, nikuvajovela chakaka yati akulihekelela neju lenilo kuliku gala tisini na tisa gangayaga.
14 Vivyo hivyo, siyo mapenzi ya Baba yenu wa mbinguni kuwa mmoja wa wadogo hawa aangamie.
Mewawa, Dadi winu mweavi kunani, nakugana mmonga wa vadebe ava ayaga.”
15 Kama ndugu yako akikukosea, nenda, kamwonyeshe dosari iliyopo kati yako na yeye akiwa pekee yake. Kama akikusikiliza, utakuwa umemrejesha ndugu yako.
“Mlongo waku akakuhokela umhambila ukamlangisa cheakuhokili muvi mwavene. Akakuyuwana ndi umpati kavili mlongo waku.
16 Lakini kama hatakusikiliza, mchukue ndugu mmoja au wawili zaidi pamoja nawe, kwa kuwa kwa vinywa vya mashahidi wawili au watatu kila neno linaweza kuthibitishwa.
Ngati nakukuyuwanila, hamba na mundu yungi mmonga amala vavili muni kwa malovi ga vandu vavili amala vadatu lijambu loloha limaliswa ngati Mayandiku Gamsopi chegijova.
17 Na kama akipuuza kuwasikiliza, liambie kanisa jambo hilo, kama akipuuza vilevile kulisikiliza kanisa, basi na awe kama mtu wa mataifa na mtoza ushuru.
Ngati akabela kuvayuwana venavo, uwujovela msambi wa vandu vevakumsadika Kilisitu, ngati akuvayuwanila lepi avo, kwa veve ndi avya ngati vandu vangammanya Chapanga na vevitola kodi.”
18 Kweli nawaambieni, chochote kile mtakachokifunga duniani na mbinguni kitafungwa. na chochote mtakachokifungua duniani na mbinguni kitafunguliwa.
“Nikujovela chakaka, chemwibesa pamulima, yati chibesewa kunani kwa Chapanga, mewawa chechiyidakiliwa pamulima yati chiyidakiliwa kunani kwa Chapanga.
19 Tena nawaambieni kwamba kama watu wawili kati yenu wakikubaliana juu ya jambo lolote duniani waliombalo, hilo Baba yangu wa mbinguni atalifanya.
Nijova kangi, vavili pagati yinu vakayidakilana pamulima ndava ya lijambu loloha la kumuyupa Chapanga, Dadi wangu wa kunani yati akuvahengela lijambu lenilo.
20 Kwa kuwa wawili au watatu wakikusanyika pamoja kwa jina langu, Mimi niko katikati yao.
Ndava muni popoha pamuvi vavili amala vadatu kwa liina langu, nene nivii penapo pagati yavi.”
21 Tena Petro akaja na kumwambia Yesu, “Bwana, ni mara ngapi ndugu yangu akinikosea nami nimsamehe? Hata mara saba?”
Kangi Petili akamhambila Yesu, akamkota “Bambu, wu, mlongo wangu akanibudilayi, nimulekekesa mala yilinga? Amala mala saba?”
22 Yesu akamwambia, “Sikuambii mara saba, lakini hata sabini mara saba.
Yesu akayangula, “Nijova lepi nga mala saba, nambu sabini mala saba.”
23 Kwa sababu hiyo ufalme wa mbinguni ni sawa na mfalme fulani aliyetaka kusahihisha hesabu kutoka kwa watumwa wake.
Ndava yeniyi ndi Unkosi wa kunani kwa Chapanga uwanangana na mkulu mmonga mweaganili kuhenga mvalangu wa madeni na vatumisi vaki.
24 Alipoanza kusahihisha hesabu, mtumwa moja akaletwa kwake ambaye alikuwa anamdai talanta elfu kumi.
Peatumbwili kuvalanga, vamletili mundu mweadaiwayi mashonga elufu kumi.
25 Kwa kuwa hakuwa na njia ya kulipa, bwana wake aliagiza auzwe, mke wake pamoja na watoto wake na kila kitu alichokuwa nacho, na malipo yafanyike.
Mundu mwenuyo avi lepi na chindu cha kulipa, mkulu waki akahamula, aguliswai ngati mvanda mwene na mdala waki na vana vaki na vindu vyeavili navyu muni valipa lideni.
26 Hivyo mtumwa alianguka, akapiga magoti mbele yake, akisema, 'Bwana, uwe na uvumilivu pamoja nami, na nitakulipa kila kitu.'
Hinu, mtumisi yula. Akagwa pahi, akafugama, akajova, unilindila nene yati nikukulipa lideni loha!
27 Hivyo bwana wa yule mtumwa, kwa kuwa alisukumwa sana na huruma, alimwachilia na kumsamehe deni hilo
Mkulu yula akamhengela lipyana akamlekekesa lideni lila akamleka ahamba.
28 Lakini mtumwa yule alitoka na kumpata mmoja kati ya watumwa wenzake, aliyekuwa anamdai denari mia. Alimvuta, akamkaba kooni, na kumwambia, 'Nilipe kile ninachokudai.'
“Nambu mundu yula pawukili, akakonganeka na mtumisi muyaki mweamdayayi mashonga gadebe. Akamkamula akamdodoyola hingu, akumjovela ‘Nilipa lideni laku!’
29 Lakini yule mtumwa mwenzake alianguka na kumsihi sana, akisema, 'Uwe na uvumilivu nami, na nitakulipa.'
Mtumisi muyaki akafugama, akajova, niyupa, ‘Unilindila nene yati nikukulipa lideni laku loha!’
30 Lakini mtumwa yule wa kwanza alikataa. Badala yake, alienda na kumtupa gerezani, mpaka atakapo mlipa kile anachomdai.
Nambu mwene angayidakila, ndi akamusopa muchifungu mbaka peilipa lideni lila.
31 Na walipoona watumwa wenzake kile kilichotokea. Walisikitishwa sana. Walikuja na kumwambia bwana wao kila kitu kilichotokea.
Hinu, vatumisi vayaki pavawene lijambu lelahumalili vakaviniswa mtima, vakahamba kumjovela mkulu wavi kulivala lijambu lelahengiki.
32 Ndipo yule bwana wa mtumwa yule alimwita, na kumwambia, 'Ewe mtumwa mwovu, nilikusamehe wewe deni langu lote kwa sababu ulinisihi sana.
Kangi mkulu yula akamkemela mtumisi mwenuyo, akamjovela, ‘Veve ndi mtumisi mhakau neju! Nikulekekisi lideni laku loha pewaniyupili.
33 Je! Haukutakiwa kuwa na huruma kwa mtumwa mwenzio, kama mimi nilivyokuhurumia wewe?
Wu, yakuganili lepi veve kumlekekesa mtumisi muyaku ngati chenikulekekisi nene?’
34 Bwana wake alikasirika na kumkabidhi kwa wale watesaji mpaka atakapolipa kiasi chote alichokuwa anadaiwa.
Hinu mkulu yula akamema ligoga, akamgotola kwa vang'aisa muchifungu mbaka peilipa lideni laki loha.”
35 Hivyo ndivyo Baba yangu wa Mbinguni atakavyowafanyia, kama kila mmoja wenu hatamsamehe ndugu yake kutoka moyoni mwenu.”
“Na dadi wangu mweavi kunani yati akuvahengela mewawa ngati kila mmonga winu akumlekekesa lepi mlongo waki kwa mtima waki woha.”

< Mathayo 18 >