< Mathayo 18 >
1 Muda huo huo wanafunzi wakaja kwa Yesu na kumwambia, “Ni nani aliye mkubwa katika ufalme wa mbinguni?”
Gene mobhago bhaajiganywa gubhaajendelenje a Yeshu, gubhabhushiyenje, “Gani ali jwankulungwa Muupalume gwa Kunnungu?”
2 Yesu akamwita mtoto mdogo, akamweka katikati yao,
A Yeshu gubhanshemile mwana jumo, gubhannjimishe pakati jabhonji,
3 na kusema, “Kweli nawaambieni, msipotubu na kuwa kama watoto wadogo hamtaweza kuingia katika ufalme wa Mungu.
gubhashite, “Kweli ngunakummalanjilanga, nkatendebhukanje nibha malinga bhana, ngu, nkajinjilanga Muupalume gwa Kunnungu.”
4 Hivyo yeyote ajishushaye kama mtoto mdogo, mtu kama huyo ni mkuu katika ufalme wa mbinguni.
Jojowe akwiinyegaya nibha malinga aju mwanaju, jwenejo shaabhe jwankulungwa Muupalume gwa Kunnungu.
5 Na yeyote ampokeaye mtoto mdogo kwa jina langu anipokea mimi.
Jojowe akumposhela mwana jumo malinga jweneju kwa ligongo lyangu nne, anamboshela nne.
6 Lakini yeyote asababishaye mmoja kati ya wadogo hawa wanaoniamini kuasi, itakuwa vizuri kwa mtu huyo jiwe kuu la kusagia likafungwa shingoni mwake, na kuzamishwa kilindini mwa bahari.
Jojowe shannebhye jumo jwa bhashokonji bhaangulupalinga nne, mbaya akatabhilwe liganga likulungwa nnukoi nileshelwa pa shilindili sha mashi.
7 Ole kwa dunia kwa sababu ya wakati wa kukwazwa! kwa kuwa haina budi kwa nyakati hizo kuja, lakini ole kwake kwa mtu yule nyakati hizo zitakuja kwa ajili yake!
Ole gwenunji bhandu bha pa shilambolyo kwa ligongo lya ilokoli. Ilokoli shiikoposhele, ikabheje ole gwakwe jwene shaikumbuyejo.
8 kama mkono wako au mguu wako ukikusababishia kukwazika, ukate na uutupe mbali na wewe. Ni vizuri zaidi kwako wewe kuingia kwenye uzima ukiwa bila mkono au kilema, kuliko kutupwa kwenye moto wa milele ukiwa na mikono yote au miguu yote. (aiōnios )
“Monaga nkono eu lukongono lwenu lunnebhyaga, nnukate na nnjae kwataliya. Mbaya nnjinjile mugumi gwa pitipiti nni gwangali nkono eu lukongono, nngalingana na leshelwa pa moto gwa pitipiti nni na makono na makongono genu ganaabhili. (aiōnios )
9 Kama jicho lako likikukwaza, uling`oe na ulitupe mbali na wewe. Ni vizuri zaidi kwako wewe uingie kwenye uzima na jicho moja, kuliko kutupwa kwenye moto wa milele ukiwa na macho yote. (Geenna )
Liyo lyenu linnebhyaga, nnikolotole na kulijaa kwataliya. Mbaya nnjinjile mugumi gwa pitipiti nni na shongo, nngalingana leshelwa pa moto gwa ku Jeanamu nni na meyo genu ganaabhili. (Geenna )
10 Tazameni kwamba msije mkamdharau mmoja wa wadogo hawa. Kwa maana nawambieni kuwa mbinguni kuna malaika wao siku zote wakiutazama uso wa Baba yangu aliye mbinguni.
“Mwiteiganje! Nnannyegayanje jumo jwa bhashokonjibha. Ngunakummalanjilanga, ashimalaika bhabhonji kunnunguko mobha gowe pubhalinginji tome na Atati bha Kunnungu.
11 (Zingatia: Maneno yanayoonekana kama ya msitari wa 11, “Kwa kuwa Mwana wa Adamu alikuja kuokoa kile kilichokuwa kimepotea” hayakuonekana katika nakala bora za kale).
Pabha Mwana juka Mundu ashinkwiya kwaatapulanga bhandu bhaobhilenje.
12 Mnafikiri nini? Ikiwa mtu ana kondoo mia moja, na mmoja wao akapotea, je hatawaacha tisini na tisa ya mlimani na kwenda kumtafuta mmoja aliyepotea?
Nkubhonanga bhuli? Mundu akolaga ngondolo makumi kumi, anng'obhaga jumo, shatende bhuli? Anakwiileka ngondolo makumi tisha na tisha ila pa shitumbi, nikwenda kunnoleya aobhile jula.
13 Na akiisha kumpata, kweli nawaambieni, anamfurahia kuliko wale tisini na tisa wasiopotea.
Kweli ngunakummalanjilanga, ampataga apinga kwinonyela kupunda makumi tisha na tisha yangaobha ila.
14 Vivyo hivyo, siyo mapenzi ya Baba yenu wa mbinguni kuwa mmoja wa wadogo hawa aangamie.
Nneyo peyo, Ainabhenunji bha Kunnungu bhakaapinga aobhe nkali jumo jwa bhashokonjibha.
15 Kama ndugu yako akikukosea, nenda, kamwonyeshe dosari iliyopo kati yako na yeye akiwa pekee yake. Kama akikusikiliza, utakuwa umemrejesha ndugu yako.
“Mpwenu annebhelaga, munjendele nkanneye nninginji mmabhilipe. Ampilikanaga mumpatile mpwenu.
16 Lakini kama hatakusikiliza, mchukue ndugu mmoja au wawili zaidi pamoja nawe, kwa kuwa kwa vinywa vya mashahidi wawili au watatu kila neno linaweza kuthibitishwa.
Akampilikane, nnjende naka mundu jumo eu bhabhili na mmayene, nkupinga kwa ukong'ondelo gwa bhandu bhabhili eu bhatatu, monaga lipali lilobhe limanyishe nimala.
17 Na kama akipuuza kuwasikiliza, liambie kanisa jambo hilo, kama akipuuza vilevile kulisikiliza kanisa, basi na awe kama mtu wa mataifa na mtoza ushuru.
Akaapilikanilanje bhanganyabho, mwaalugulilanje bhandu bha nnikanisha. Na monaga akaapilikanilanje, mumone malinga bhandu bhakakwaamanyanga a Nnungu eu bhakamula koli.
18 Kweli nawaambieni, chochote kile mtakachokifunga duniani na mbinguni kitafungwa. na chochote mtakachokifungua duniani na mbinguni kitafunguliwa.
“Kweli ngunakummalanjilanga, shoshowe shishintabhanje pa shilambolyo, shishitabhwe kunnungu, na shoshowe shishinngopolanje pa shilambolyo shishigopolwe kunnungu.
19 Tena nawaambieni kwamba kama watu wawili kati yenu wakikubaliana juu ya jambo lolote duniani waliombalo, hilo Baba yangu wa mbinguni atalifanya.
Kweli ngunakummalanjilanga kabhili, bhabhili bhenunji pa shilambolyo bhalaganangaga shoshowe sha juga, Atati bhali kunnungu shibhaatendelanje.
20 Kwa kuwa wawili au watatu wakikusanyika pamoja kwa jina langu, Mimi niko katikati yao.
Pabha popowe pubhaimananga bhandu bhabhlili eu bhatatu kwa ligongo lyangu nne, nne mbali pamo na bhanganyabho.”
21 Tena Petro akaja na kumwambia Yesu, “Bwana, ni mara ngapi ndugu yangu akinikosea nami nimsamehe? Hata mara saba?”
Kungai a Petili gubhaajendele a Yeshu, gubhaabhushiye, “Bhuli Mmakulungwa, mpwanga anebhele palingwa ninneshelele? Nkali pa shabha?”
22 Yesu akamwambia, “Sikuambii mara saba, lakini hata sabini mara saba.
A Yeshu gubhaajangwile, “Ngaalugula mala shabhape, ikabhe nkali makumi shabha mala shabha.
23 Kwa sababu hiyo ufalme wa mbinguni ni sawa na mfalme fulani aliyetaka kusahihisha hesabu kutoka kwa watumwa wake.
Pabha Upalume gwa Kunnungu unalandana naka mpalume jumo atendile eshabhu ika ntumishi jwakwe.
24 Alipoanza kusahihisha hesabu, mtumwa moja akaletwa kwake ambaye alikuwa anamdai talanta elfu kumi.
Eshabhu ikatandubheje, gubhapeleshelwe mundu jumo alongwaga ligambo mmbiya yaigwinji.
25 Kwa kuwa hakuwa na njia ya kulipa, bwana wake aliagiza auzwe, mke wake pamoja na watoto wake na kila kitu alichokuwa nacho, na malipo yafanyike.
Jwene mundujo akakweteje shindu sha lipa, bhakulungwa bhakwe gubhaamulishe aushwe jwenejo na akagwe na ashibhanagwe na indu yowe yaakwete, nkupinga lipila ligambo lila.
26 Hivyo mtumwa alianguka, akapiga magoti mbele yake, akisema, 'Bwana, uwe na uvumilivu pamoja nami, na nitakulipa kila kitu.'
Bhai, ntumishi jula gwabhatindibhalile, nigwashite, ‘Nnindile shininnipe ligambo lyenu lyowe.’
27 Hivyo bwana wa yule mtumwa, kwa kuwa alisukumwa sana na huruma, alimwachilia na kumsamehe deni hilo
Bhakulungwa bhala gubhammonele shiya ntumishi jula, gubhanneshelele ligambo lila, gubhanneshile aijabhulile.
28 Lakini mtumwa yule alitoka na kumpata mmoja kati ya watumwa wenzake, aliyekuwa anamdai denari mia. Alimvuta, akamkaba kooni, na kumwambia, 'Nilipe kile ninachokudai.'
“Ntumishi jula gwajabhwile, gwanng'imene ntumishi nnjakwe annongaga ligambo lya mmbiya makumi kumi. Gubhankamwile, nikunkida pa nngulo alinkuti, ‘Unipe inguulonga!’
29 Lakini yule mtumwa mwenzake alianguka na kumsihi sana, akisema, 'Uwe na uvumilivu nami, na nitakulipa.'
Ntumishi nnjakwe jula akuntindibhalilaga nikunshondelesheya, alinkuti ‘Nninde shininnipe yowe’.
30 Lakini mtumwa yule wa kwanza alikataa. Badala yake, alienda na kumtupa gerezani, mpaka atakapo mlipa kile anachomdai.
Ikabheje jwanngakunda, gwapite kuntabha kuligelesha mpaka pushalipe ligambo lyowe.
31 Na walipoona watumwa wenzake kile kilichotokea. Walisikitishwa sana. Walikuja na kumwambia bwana wao kila kitu kilichotokea.
“Bhai, bhatumishi ajakwenji bhakaibhonanjeje itendeshe gubhainginikenje kwa kaje, nigubhapite kwatashiyanga bhakulungwa bhabhonji gakoposhele.
32 Ndipo yule bwana wa mtumwa yule alimwita, na kumwambia, 'Ewe mtumwa mwovu, nilikusamehe wewe deni langu lote kwa sababu ulinisihi sana.
Bhakulungwa bhala gubhanshemile ntumishi jula, gubhammalanjlile, ‘Ugwe ujwanyata ntima! Gwashinkunyuga nikuleshelele, gunikuleshelele ligambo lyako lyowe.
33 Je! Haukutakiwa kuwa na huruma kwa mtumwa mwenzio, kama mimi nilivyokuhurumia wewe?
Bhuli, ikapinjikweje ugwe kummonnela shiya ntumishi nnjako malinga shinikubhonele shiya nne?’
34 Bwana wake alikasirika na kumkabidhi kwa wale watesaji mpaka atakapolipa kiasi chote alichokuwa anadaiwa.
“Bhai, bhakulungwa bhala gubhatumbele kaje, nigubhampeleshe akapotekwe mpaka pushalipe ligambo lyowe.
35 Hivyo ndivyo Baba yangu wa Mbinguni atakavyowafanyia, kama kila mmoja wenu hatamsamehe ndugu yake kutoka moyoni mwenu.”
A Yeshu gubhashite, Atati bhali kunnungu shibhantendelanje nneyo peyo monaga mundu akanneshelele mpwakwe mpaka muntima.”