< Mathayo 17 >
1 Siku sita baadaye Yesu aliwachukua pamoja naye Petro, na Yakobo, na Yohana nduguye, na akawachukua mpaka juu ya mlima mrefu wao wenyewe.
ifighono ntanda ye fikilile, Uyesu akavatoola UPeteli, uYakovo nu Yohani unuuna. Akaluta navoope ku kudunda ikitali, vakijekela.
2 Alibadilishwa mbele yao. Uso wake ukang'aa kama jua, na nguo zake zilionekana zenye kung'aa kama nuru.
Ye vali pala, UYesu akanduka pamaaso ghaave. Ku maaso akava ivalatika hwene lijuva nagha menda ghaake ghakava mavalafu fiijo hwene lijuva nagha menda ghaake ghakava mavalafu fiijo hwene lumuli.
3 Tazama, pale walitokea Musa na Eliya wakiongea naye.
Unsiki ghughuo, vakasetuka avavili avalongosi uMoose nu Eliya, vijova nu Yesu.
4 Petro akajibu na kumwambia Yesu, “Bwana, ni vema kwetu sisi kuwepo mahali hapa. Kama ukitamani, nitajenga hapa vibanda vitatu - kimoja chako, na kimoja kwa ajili ya Musa, na kimoja kwa ajili ya Eliya.”
Pe uPeteli akam'buula uYesu akati, 'Ghwe Mutwa, lunono usue tukalaghe bahaapa! Nave ukeliile, nijenda ifyeve fitatu. Kimo kiive kyako, kimonga kya Moose, ikingi kiive kya Eliya.'
5 Wakati anaongea, tazama wingu jeupe likawatia kivuli, na tazama, ikatokea sauti toka kwenye wingu, ikisema, “Huyu ni Mwanangu mpendwa ninayependezwa naye. Msikilizeni yeye.”
UPeteli ye ajiighe ijova, lolagha, ilifunde lino livalatika likiisa, likavapulikila. Pe likapulikika ilisio kuhuma mu lifunde liiti. 'Uju ghwe Mwanango umughanike ghwango juno inkeliile, mupulikisyaghe umwene!'
6 Wanafunzi waliposikia hayo, wakaanguka kifudifudi na wakaogopa sana.
Avakuvulanisivua vala ye vapuliike isio, vakoghopa kyongo, vakakupama.
7 Kisha Yesu akaja akawagusa na kusema, “Inukeni wala msiogope.”
UYesu akaveela pa veene, akavabasia, akavavuula akati, “Ima, muleke pikwoghopa!
8 Nao wakainua nyuso zao juu lakini hawakumwona mtu isipokuwa Yesu pekee.
Ye vikwimamka, vilola, navakwamwagha umuunhu ujunge, looli ju Yesu mwene.
9 Na walipokuwa wakishuka mlimani, Yesu akawaagiza, akasema, “Msitoe habari ya maono hayo mpaka Mwana wa Adamu atakapofufuka kutoka katika wafu.”
Ye vali mu kidunda vikwika, uYesu akavavuula akati, “Namungampangilaghe muunhu sino musivwene, kuhanga unsiki ghuno une ne Mwana ghwa Muunhu nisyuka kuhuma ku vafue.
10 Wanafunzi wake wakamwuliza, wakisema, “Ni kwanini waandishi wanasema kuwa Eliya atakuja kwanza?
avavulanisivua vaake vakamposia vakati, “Ongo avavulanusi va ndaghilo sa Moose viiti, aliisa taasi uEliya, uKilisite ye akyale kukwisa.
11 Yesu akawajibu na kusema, “Eliya atakuja kweli na atarudisha mambo yote.
UYesu akavamula, akati, 'se seene, aliisa taasi uEliya, kuuti anosie sooni.
12 Lakini naawaambieni ninyi, Eliya amekwisha kuja, lakini hawakumtambua. Badala yake, walimfanyia mambo watakayo wao. Na hivyo ndivyo Mwana wa Adamu atakavyoteswa katika mikono yao.”
Neke nikuvavuula niiti, uEliya alisile, avaanhu navakankagwile, vakam'bombela sino vakighanile aveene. Enendiiki, na juune ne Mwana ghwa Mulunhu fye kyavikumusia.” Pepano avavulanisivua vala vakankagwile, vakam'bombela sino vakighanile aveene. Enendiiki, na juune ne Mwana ghwa Muunhu fye kyavikumhumusia.”
13 Ndipo wanafunzi wakatambua kuwa alikuwa akiongea habari za Yohana Mbatizaji.
pepano avavulanisivua vala vakalutang'hania kuuti uYesu aveele ijova imhola sa Yohani uMwofughi.
14 Walipofika katika umati wa watu, mtu mmoja alimwendea, akapiga magoti mbele zake, na kumwambia,
Yevafikila mukipugha kya vaanhu, umuunhu jumo akamulutila, akafughama pavulongolo pa mwene, na pikumbula,
15 “Bwana, umhurumie mwanangu, maana amekuwa na kifafa na kuteseka sana. Kwa kuwa mara nyingi huanguka motoni au kwenye maji.
“Mutwa, unsanhile umwanango, ulwakuva alinikivasi na pipumuka kyongo. Ulwakuva kakinga ighwela pamwoto nambe mumalenga.
16 Nilimleta kwa wanafunzi wako, lakini hawakuweza kumponya.
Nimuletile kuvavulanisivua vako, looli navaghwesisie pikunsosia.
17 Yesu akajibu akisema, “Enyi Kizazi kisichoamini na kilichoharibika, nitakaa pamoja nanyi mpaka lini? Nitavumiliana nanyi hata lini? Mlete hapa kwangu.”
u Yesu akamula akati, “Umue kikolo kinonakikumwitika kange kinokinangike, nikukala palikimo numue mpaka liighi? nikugudilanila numue mpaka lighi? mumulete apa kulyune.”
18 Yesu alimkemea, na pepo akamtoka. Kijana aliponywa tangu saa ile.
U Yesu akadalikila, ni lipepo likamuma. usoloka akasosevua kuhuma unsiki ghula.
19 Kisha wanafunzi wakamjia Yesu kwa siri na kumwuliza, “Kwanini hatukuweza kumfukuza?”
Pa uluo avavulanisivua vakamwisila u Yesu khu vusyefu na kukumposia,”Na kiiki tukakunilue kukudagha?”
20 Yesu akawaambia, “Kwa sababu ya imani yenu ndogo. Kweli nawaambieni, kama mtakuwa na imani hata ndogo kama punje ya mbegu ya haradali, mtaweza kuuambia mlima huu, hama kutoka hapa uende kule, nao utahama na hakutakuwa na kitu chochote cha kushindikana kwenu.
U Yesu akavavuula,”Ulwakuva ulwitiko lwinu luudebe. Kyang'haani nikuvavula, ndavule muva nhu lwitiko nambe ludebe heene meeke sa mbeju isa haradali, muwesia pikukivula ikidunda iiki, vuuka kuhuma apa ulute kuula, nhi kyene kiivuka kange na piiva nhi khinu kyekyoni kiila ikya kusiting'ana kulyumue. Gadilila: Amasio agakidebe ughwa 21
21 (Zingatia: Maneno ya msitari wa 21 “Lakini, aina hii ya pepo haiwezekani kutoka, ila kwa maombi na Kufunga” hayaonekani katika nakala bora za kale).
“Looli, ilipepo iili naliingahume, looli khu nyifunyo na kudinda”naghivoneka mhu nakala inofu isa kali).
22 Wakati wakiwa bado Galilaya, Yesu akawaambia Wanafunzi wake, “Mwana wa Adamu atatiwa mikononi mwa watu.
Unsiki ghunovajighe khu Galilaya, u Yesu akavavuula Avavulanisivua va mwene,”u Mwana ghwa Adamu ivikua mumavoko gha vaanu.
23 Na watamwua, na siku ya tatu atafufuka.” Wanafunzi walihuzunika sana.
Kange vikumbuda, nhi kighono ikya vutatu isyuka.”Avavulanisivua vakasukunile fijo.
24 Nao walipofika Kapenaumu, watu wakusanyao kodi ya nusu shekeli wakamwendea Petro na kusema, “Je mwalimu wenu hulipa kodi ya nusu shekeli?”
Na veene yevafilkile khu Kapenaumu, avaanhu vanovikong'ania ikodi ija kivalilo shekeli vakamulutila u Petro na kuuti,”Vuuli m'bulanisi ghwinu ihomba ikodi ija kivalilo shekeli?”
25 Akasema, “Ndiyo” Lakini Petro alipoingia ndani ya nyumba, Yesu akaongea na Petro kwanza na kusema, “Unafikiria nini Simon? Wafalme wa dunia, hupokea kodi au ushuru kutoka nani? Kwa wale wanaowatawa kutoka kwa wageni?
Akati, “Ena”Looli u Petro ye ingile munkate mhu nyumba, u Yesu akajova nhu Petro ulwakwasia na kuuti,”Ghusagha kiiki Simon? Avatua va iisi, vikwupila ikodi nambe uvushuru kuhuma uveni? Khu vaala kuhuma kuvaghesia?
26 Na wakati Petro aliposema, “Kutoka kwa wageni” Yesu akamwambia, hivyo watawaliwa wameondolewa katika ulipaji.
Nhu nsiki u Petro akati, “Kuhuma khu vaghesia “u Yesu akam'bula, pa uluo avatemi vavusivue mhu vuhombaji.
27 Lakini tusije tukawafanya watoza ushuru wakatenda dhambi, nenda baharini, tupa ndoano, na umtwae yule samaki ajaye kwanza. Baada ya kuufungua mdomo wake, utakuta mle shekeli moja. Ichukue na uwape watoza ushuru kwa ajili yangu na wewe.
Ulwene kyande tulavapelela avasongesia songo vahoke amkole, luta kulisumbe, utosie indovano, isamaki jino kyande jiiva nhasi kulovua utoole. Isamaki ijio ung'amalule umulomo ghwake, ghukujaagha indalama jimo. Indalama ijio utoole uvapeele avasongesia songo uhombele isongo une nuuve.