< Mathayo 17 >
1 Siku sita baadaye Yesu aliwachukua pamoja naye Petro, na Yakobo, na Yohana nduguye, na akawachukua mpaka juu ya mlima mrefu wao wenyewe.
Insiku sita pamande u Yesu abhajile wonti nu Petro, nu Yakobo, nu Yohana uholo wakwe, na abhega hadi humwanya yigamba itali bhewo bhene.
2 Alibadilishwa mbele yao. Uso wake ukang'aa kama jua, na nguo zake zilionekana zenye kung'aa kama nuru.
Ageusiwa whilongolela lyawo isola yakwe yan'gaa hansi isenya, na menda gakwe yaloleshe gagang'aa hansi umwanga.
3 Tazama, pale walitokea Musa na Eliya wakiongea naye.
Enya, pala bhaloleshe u Musa nu Eliya bhayanga nawo.
4 Petro akajibu na kumwambia Yesu, “Bwana, ni vema kwetu sisi kuwepo mahali hapa. Kama ukitamani, nitajenga hapa vibanda vitatu - kimoja chako, na kimoja kwa ajili ya Musa, na kimoja kwa ajili ya Eliya.”
U Petro ajibule na humozye u Yesu, “Gosi, shinza hulite abhe penepa. Nkesho unyonywa, imbazenje ivyegu vitatu sheka shaho, na sheka kwa ajili ya Musa, na sheka kwa ajili ya Eliya.”
5 Wakati anaongea, tazama wingu jeupe likawatia kivuli, na tazama, ikatokea sauti toka kwenye wingu, ikisema, “Huyu ni Mwanangu mpendwa ninayependezwa naye. Msikilizeni yeye.”
Isala yayangaga, enya ibhengo izelu lyabhabheha inzunda, na enya, yafumile isauti afume humabhengo, iyanga, “Oyo mwanawane uganwe wiganwa nawo. Mwivwi umwene.”
6 Wanafunzi waliposikia hayo, wakaanguka kifudifudi na wakaogopa sana.
Abhanafunzi lwabhahevwa ego, bhagwiye shigubama na bhahogope hani.
7 Kisha Yesu akaja akawagusa na kusema, “Inukeni wala msiogope.”
Tena u Yesu ahenza na hubhaguse na yanje, “Woshi wala mugaje ahogope.”
8 Nao wakainua nyuso zao juu lakini hawakumwona mtu isipokuwa Yesu pekee.
Nape bhahinuye isola zyawo humwanya ila sagabhanolile umuntu ila u Yesu mwene.
9 Na walipokuwa wakishuka mlimani, Yesu akawaagiza, akasema, “Msitoe habari ya maono hayo mpaka Mwana wa Adamu atakapofufuka kutoka katika wafu.”
Na lwabhahihaga mwigamba, u Yesu abhalajizya, ayanga, “Musahafumye infumi zimaono ega hadi umwana wa Adamu lwaizyoha afume whazimu.”
10 Wanafunzi wake wakamwuliza, wakisema, “Ni kwanini waandishi wanasema kuwa Eliya atakuja kwanza?
Abhanafunzi bhakwe bhamozelezya, bhayanga, “Yenu asimbi bhayanga aje u Eliya ayihenza kwanza?
11 Yesu akawajibu na kusema, “Eliya atakuja kweli na atarudisha mambo yote.
U Yesu abhajibu na yanje, “U Eliya ayihenza lyoli na wezye amambo ganti.
12 Lakini naawaambieni ninyi, Eliya amekwisha kuja, lakini hawakumtambua. Badala yake, walimfanyia mambo watakayo wao. Na hivyo ndivyo Mwana wa Adamu atakavyoteswa katika mikono yao.”
Ila ihumbawozya amwe, u Eliya ayenzele tayali ila sagabhamenye. Badala yakwe, bhamombeye amambo gabhawhanza abhene. Nesho shesho umwana wa Adamu shanzayembwe katika inyobhe zyawo.”
13 Ndipo wanafunzi wakatambua kuwa alikuwa akiongea habari za Yohana Mbatizaji.
Epo abhanafunzi bhagundula aje ayanga habari zya Yohana umozi.
14 Walipofika katika umati wa watu, mtu mmoja alimwendea, akapiga magoti mbele zake, na kumwambia,
Lwabhafiha pakasi yempoga ya bhantu, umunt weka amaliye, akhama amafugamo whilongolela lyakwe, na humozye,
15 “Bwana, umhurumie mwanangu, maana amekuwa na kifafa na kuteseka sana. Kwa kuwa mara nyingi huanguka motoni au kwenye maji.
“Gosi, ukhowoshele umwana wane, kwa sababu aliningwa nayembe hani. Afwatanaje hahinji agwa mmoto au mmenze.
16 Nilimleta kwa wanafunzi wako, lakini hawakuweza kumponya.
Inetile wha bhanafunzi bhaho, ila sagabhawe/i/ye huponye.
17 Yesu akajibu akisema, “Enyi Kizazi kisichoamini na kilichoharibika, nitakaa pamoja nanyi mpaka lini? Nitavumiliana nanyi hata lini? Mlete hapa kwangu.”
U Yesu ajibu ayanga, “Amwe ishizazi shasagashiwheteha na shishinanjishe naikhula pamo namwa hadi ndii? Imbajivwanye namwe hadi ndii? Neti epa huline.”
18 Yesu alimkemea, na pepo akamtoka. Kijana aliponywa tangu saa ile.
U Yesu akhalipiye, na impepo yafumile. Usahala aponwa afume isala yeyela.
19 Kisha wanafunzi wakamjia Yesu kwa siri na kumwuliza, “Kwanini hatukuweza kumfukuza?”
Tena abhanafunzi bhamaliye u Yesu hu siri na humozelezye, “Yenu sagatawezizye uhudigizye?”
20 Yesu akawaambia, “Kwa sababu ya imani yenu ndogo. Kweli nawaambieni, kama mtakuwa na imani hata ndogo kama punje ya mbegu ya haradali, mtaweza kuuambia mlima huu, hama kutoka hapa uende kule, nao utahama na hakutakuwa na kitu chochote cha kushindikana kwenu.
U Yesu abhawozya, “Kwa sababu ulweteho lwenyu dodo. Lyoli ihumbawozya, nkesho munzabhe nulweteho hata udodo hansi ipunje yimbeyu yiharadali mubhawezye huliwozye igamba eli, sama afume epa, ubhale hula, nape libhasame na saguhabhabhe na hantu hohonti haha bhashindihane humwenyu.
21 (Zingatia: Maneno ya msitari wa 21 “Lakini, aina hii ya pepo haiwezekani kutoka, ila kwa maombi na Kufunga” hayaonekani katika nakala bora za kale).
(Simisizya: Amazu gimusitari wi 21 “Ila, iayina ene yimpepo sigiwezehana afume, ila hunsayo na galile” Sagagaloleha humasamizyo aminza gihale).
22 Wakati wakiwa bado Galilaya, Yesu akawaambia Wanafunzi wake, “Mwana wa Adamu atatiwa mikononi mwa watu.
Isala zyabhali bado Hugalilaya, u Yesu abhawozya abhanafunzi bhakwe, “Umwana wa Adamu abhabheshwe munyobhe zya bhantu.
23 Na watamwua, na siku ya tatu atafufuka.” Wanafunzi walihuzunika sana.
Na bhanzahugoje, ni siku lya tatu ayizyoha.” Abhanafunzi bhazugumiye hani.
24 Nao walipofika Kapenaumu, watu wakusanyao kodi ya nusu shekeli wakamwendea Petro na kusema, “Je mwalimu wenu hulipa kodi ya nusu shekeli?”
Nape lwabhafiha Hukapernaumu, abhantu bhabhawonganya ikodi yinusu shekeli bhamalila u Petro na yanje, “Aje umwalimu wenyu alipa ikodi yinusu shekeli?”
25 Akasema, “Ndiyo” Lakini Petro alipoingia ndani ya nyumba, Yesu akaongea na Petro kwanza na kusema, “Unafikiria nini Simon? Wafalme wa dunia, hupokea kodi au ushuru kutoka nani? Kwa wale wanaowatawa kutoka kwa wageni?
Ayanga, “Ee” Ila u Petro lwayinjila mukasi yinyumba, u Yesu ayanga nu Petro kwanza na yanje, “Usebhelelanshi Simoni? Amwene bhense, bhaposhela ikodi au uwushuru afume whananu? Whabhala bhahubhatabhala afume wha bhajenu?
26 Na wakati Petro aliposema, “Kutoka kwa wageni” Yesu akamwambia, hivyo watawaliwa wameondolewa katika ulipaji.
Ni sala u Petro lwayangaga, “Afume whajenu” U Yesu amozya esho bhabhatabhalwa bhefiwilwe kati alipe.
27 Lakini tusije tukawafanya watoza ushuru wakatenda dhambi, nenda baharini, tupa ndoano, na umtwae yule samaki ajaye kwanza. Baada ya kuufungua mdomo wake, utakuta mle shekeli moja. Ichukue na uwape watoza ushuru kwa ajili yangu na wewe.
Ila tisabhawombe asonkolezya ikodi bhawombe imbibhi bhala mbahari taga udobhani na uyeje ila eswe yewhenza kwanza. Baada ya hugule ilomu lyakwe ubhahuyaje omo asonkolezya ikodi kwa ajili yane na we.