< Mathayo 17 >

1 Siku sita baadaye Yesu aliwachukua pamoja naye Petro, na Yakobo, na Yohana nduguye, na akawachukua mpaka juu ya mlima mrefu wao wenyewe.
Mazuba a mana iyanza ni limwina chinga amana Jesu chahinda Pitorosi ni Jakobo, ni Joani mwa chakwe, mi caba ntwala he lundu li nyemukite abo bene.
2 Alibadilishwa mbele yao. Uso wake ukang'aa kama jua, na nguo zake zilionekana zenye kung'aa kama nuru.
Ca sanduka ha hasu bwabo. Vuluvi bwakwe cibwa sanduka ku benya sina izuba, zizwato zakwe cizasanduka sina iboni.
3 Tazama, pale walitokea Musa na Eliya wakiongea naye.
Mubone cikwa boneka Mushe ni Eliia niba wambola naye.
4 Petro akajibu na kumwambia Yesu, “Bwana, ni vema kwetu sisi kuwepo mahali hapa. Kama ukitamani, nitajenga hapa vibanda vitatu - kimoja chako, na kimoja kwa ajili ya Musa, na kimoja kwa ajili ya Eliya.”
Pitorosi ce taba, kwa Jesu. “Simwine, kambe kuwolekaa. Nitwe kala ha hanu halotu kuhitiliza. Haiba usaka, linu ime nina zaka zitomba zo tatwe chimwi cibe cako, chimwi ca Mushe, ni chimwi ca Eliia.”
5 Wakati anaongea, tazama wingu jeupe likawatia kivuli, na tazama, ikatokea sauti toka kwenye wingu, ikisema, “Huyu ni Mwanangu mpendwa ninayependezwa naye. Msikilizeni yeye.”
Ha ba kwete kusi wamba, hamulole, muzunde we kope licena ciweza kuba wumba cikwa zwa izwi libali kuzwila mwikope ci, lyati. “Uzu nji Mwanangu inisuni kuhitiliza, ini kantwa, Mu muzuwe.”
6 Wanafunzi waliposikia hayo, wakaanguka kifudifudi na wakaogopa sana.
Balutwana bazuwa, ciba suha nikuwa ca bulubi.
7 Kisha Yesu akaja akawagusa na kusema, “Inukeni wala msiogope.”
Linu Jesu ceza ni kuba kwata cati, “Mubuke musiye kutiya.”
8 Nao wakainua nyuso zao juu lakini hawakumwona mtu isipokuwa Yesu pekee.
Linu ci ba buka kono kena baba boni mutu konji Jesu yeke.
9 Na walipokuwa wakishuka mlimani, Yesu akawaagiza, akasema, “Msitoe habari ya maono hayo mpaka Mwana wa Adamu atakapofufuka kutoka katika wafu.”
Haba suka hasi kuzwa he lundu, Jesu caba laya “kuti kanji ba wambili mutu mane nanga yeke ziba bona konji Mwana Muntu caka buka kuva fwile.”
10 Wanafunzi wake wakamwuliza, wakisema, “Ni kwanini waandishi wanasema kuwa Eliya atakuja kwanza?
Balutwana ciba buza “cizi bañoli havati kuti Eliia eze lwe tazi?”
11 Yesu akawajibu na kusema, “Eliya atakuja kweli na atarudisha mambo yote.
Jesu cetava niku wamba kuti, kuwamba vuniti, “Elia mweze za boze zintu muzi be kalile.
12 Lakini naawaambieni ninyi, Eliya amekwisha kuja, lakini hawakumtambua. Badala yake, walimfanyia mambo watakayo wao. Na hivyo ndivyo Mwana wa Adamu atakavyoteswa katika mikono yao.”
Kono nimi ta kuti, Elia ca vezite kale, kono kana vava mwizivi civa panga zose zivava kusaka. Mwi zila iswana, Mwana Muntu mwa nyandiswe mu mayaza avo”.
13 Ndipo wanafunzi wakatambua kuwa alikuwa akiongea habari za Yohana Mbatizaji.
Valutwana vakwe civa lemuha kuti uwamba Joani yo koloveza.
14 Walipofika katika umati wa watu, mtu mmoja alimwendea, akapiga magoti mbele zake, na kumwambia,
Cinga vasika hakunganine batu, muntu ceza kwali, ca fukama havusu vwakwe, naco kuti,
15 “Bwana, umhurumie mwanangu, maana amekuwa na kifafa na kuteseka sana. Kwa kuwa mara nyingi huanguka motoni au kwenye maji.
“Simwine, fwile mwanangu inse, ulwala vutuku vwa kuzuminina unyanda maswe. Hamwi uwilinga mu mulilo kapa mu mezi.
16 Nilimleta kwa wanafunzi wako, lakini hawakuweza kumponya.
Niva muletete kuva lutwana vako, niva kangwa ku muhoza.”
17 Yesu akajibu akisema, “Enyi Kizazi kisichoamini na kilichoharibika, nitakaa pamoja nanyi mpaka lini? Nitavumiliana nanyi hata lini? Mlete hapa kwangu.”
Jesu cetava cati, “Murahi usa zumini utenda zi fosahele, Kani kale nanwe inako ikumahi? Mulete kunu kwangu.”
18 Yesu alimkemea, na pepo akamtoka. Kijana aliponywa tangu saa ile.
Jesu cakalimela luhuho lubilala. Muhwile cahola mwi nako yeyo.
19 Kisha wanafunzi wakamjia Yesu kwa siri na kumwuliza, “Kwanini hatukuweza kumfukuza?”
Balutwana ba Jesu chiveza kaku liwungula ku vamwi niku vuza, “cizi hatwa kangwa ku zwisa luhuho luvilala?”
20 Yesu akawaambia, “Kwa sababu ya imani yenu ndogo. Kweli nawaambieni, kama mtakuwa na imani hata ndogo kama punje ya mbegu ya haradali, mtaweza kuuambia mlima huu, hama kutoka hapa uende kule, nao utahama na hakutakuwa na kitu chochote cha kushindikana kwenu.
Jesu ca wamba kuvali, “kakuli mwina itumelo inini. Ni mi wambila vuniti vwizwile, hamuva nitumelo sina itanga yamasitete, muwola kuwambila ilundu, “zwaho uyende kuna,” muliyende ka kwina cense cili kanise.
21 (Zingatia: Maneno ya msitari wa 21 “Lakini, aina hii ya pepo haiwezekani kutoka, ila kwa maombi na Kufunga” hayaonekani katika nakala bora za kale).
Kono ulu luhuho lubilala kalu zwi feela haisi ca kulapela wa kuli nyima zilyo.”
22 Wakati wakiwa bado Galilaya, Yesu akawaambia Wanafunzi wake, “Mwana wa Adamu atatiwa mikononi mwa watu.
Niva sina mwa Galilea, Jesu ca wambila va lutwana vakwe, “Mwana muntu mwa tambikwe muma yaza abatu.
23 Na watamwua, na siku ya tatu atafufuka.” Wanafunzi walihuzunika sana.
Mi muva mwi haye, mi mwi zuba lyabutatu mwa vuswe kuba fwile.” Mi ikulo zaba lutwana vakwe ciza coka luli.
24 Nao walipofika Kapenaumu, watu wakusanyao kodi ya nusu shekeli wakamwendea Petro na kusema, “Je mwalimu wenu hulipa kodi ya nusu shekeli?”
Chinga vasikna mwa Kapenauma, mukwame yo bona zamutelo nicha buza Pitorosi mane muruti wenu mane ulihanga mutelo?
25 Akasema, “Ndiyo” Lakini Petro alipoingia ndani ya nyumba, Yesu akaongea na Petro kwanza na kusema, “Unafikiria nini Simon? Wafalme wa dunia, hupokea kodi au ushuru kutoka nani? Kwa wale wanaowatawa kutoka kwa wageni?
Chati, “Eni” ulihanga. Kono Pitorosi cha yenda muzubo, Jesu cha wamba lwetanzi, “iwe uhupula vule Simoni? Masimwine be kanda va tambula mitelo izwa kubani? Kubazwa kule kamba kubatu bave kala navo?”
26 Na wakati Petro aliposema, “Kutoka kwa wageni” Yesu akamwambia, hivyo watawaliwa wameondolewa katika ulipaji.
Pitorosi chinge taba kuti, kubatu “bazwakule,” Jesu cha mucho kuti “batu be chinsi kaba zumininwe kuliha mutelo.
27 Lakini tusije tukawafanya watoza ushuru wakatenda dhambi, nenda baharini, tupa ndoano, na umtwae yule samaki ajaye kwanza. Baada ya kuufungua mdomo wake, utakuta mle shekeli moja. Ichukue na uwape watoza ushuru kwa ajili yangu na wewe.
Kanji tuleteli yo lola zamitelo chivi, Yende kwi wate, kasohele kashuto kako mu mezi, Hinde iswi ye tazi wi yalule mulomo wayo mowane isheleni, uka itambike yobona zamitelo muchisa changu ni chako.”

< Mathayo 17 >