< Mathayo 17 >

1 Siku sita baadaye Yesu aliwachukua pamoja naye Petro, na Yakobo, na Yohana nduguye, na akawachukua mpaka juu ya mlima mrefu wao wenyewe.
Niwa ba tie vi tanne a, Yesu ka nji Bitru u Yakubu, U Yohana vayi ma, hi ni kiekle ngbluri baba kimba.
2 Alibadilishwa mbele yao. Uso wake ukang'aa kama jua, na nguo zake zilionekana zenye kung'aa kama nuru.
Iheme a kasran ni shishimba. Shishima ka shan na rji u ikpi wa a sru'a baka kpan njlan (lulu) me.
3 Tazama, pale walitokea Musa na Eliya wakiongea naye.
U ba krli to Musa mba Iliya ba ki tre ni wu.
4 Petro akajibu na kumwambia Yesu, “Bwana, ni vema kwetu sisi kuwepo mahali hapa. Kama ukitamani, nitajenga hapa vibanda vitatu - kimoja chako, na kimoja kwa ajili ya Musa, na kimoja kwa ajili ya Eliya.”
Bitru a saa nda hla ni Yesu, “Baci a bi ni tawu wa kie he niwa. U tie kpa yime mi tie bru tra-iri ni wu u ri ni Musa, uri ni Iliya.
5 Wakati anaongea, tazama wingu jeupe likawatia kivuli, na tazama, ikatokea sauti toka kwenye wingu, ikisema, “Huyu ni Mwanangu mpendwa ninayependezwa naye. Msikilizeni yeye.”
Ahe ni mi si tre me u kpalu u kpan ma aye ka ba gbrjime krjutie u lan ri ye rji ni kpaa nda tre, “I wayi ahi vrenmu wa mison wu kpukpo me, ndi ni ngri ni wua. Wawu yi”.
6 Wanafunzi waliposikia hayo, wakaanguka kifudifudi na wakaogopa sana.
Wa Mrli koh ma ba wo trea ba kpon sisri naa kukru ni shishi ni meme.
7 Kisha Yesu akaja akawagusa na kusema, “Inukeni wala msiogope.”
U Yesu a ye nda kpyre mba nda tre “Wlu nde din na tie sisri na”
8 Nao wakainua nyuso zao juu lakini hawakumwona mtu isipokuwa Yesu pekee.
U ba nzuya nda na to ndio ri na se wawu Yesu yi megyen
9 Na walipokuwa wakishuka mlimani, Yesu akawaagiza, akasema, “Msitoe habari ya maono hayo mpaka Mwana wa Adamu atakapofufuka kutoka katika wafu.”
Ba si grji ni ngblu a u Yesu ka mha ba nda tre “Na hla nhranyi ni ndio ri na se Ivren ndi tashme ni mbe”
10 Wanafunzi wake wakamwuliza, wakisema, “Ni kwanini waandishi wanasema kuwa Eliya atakuja kwanza?
Mrli koh maa ba mye, “Wa ni tu ngye mba mala bi atawura ba tre nda hi gbigbi ndu Iliya ye ni mumla?”
11 Yesu akawajibu na kusema, “Eliya atakuja kweli na atarudisha mambo yote.
Yesu a saa nda tre “Iliya nige njanji nda nji ikpyi ba k'maye wawuu.
12 Lakini naawaambieni ninyi, Eliya amekwisha kuja, lakini hawakumtambua. Badala yake, walimfanyia mambo watakayo wao. Na hivyo ndivyo Mwana wa Adamu atakavyoteswa katika mikono yao.”
U mi hla yiwu, Iliya a ye' ye. U bana towu na. Niva ani he to kia, ba' tie kpye wa sron mba son a. Ani he ni nkon bi kimayi Ivren Ndi ngame ni tie ya ni wo mba.
13 Ndipo wanafunzi wakatambua kuwa alikuwa akiongea habari za Yohana Mbatizaji.
Ni kiyi mrli koh maa baka to nda si tre ni tu' Yohana u tie batisma.
14 Walipofika katika umati wa watu, mtu mmoja alimwendea, akapiga magoti mbele zake, na kumwambia,
Wa baye ri ni bubu u shubia, indi ri kaye niwu, a kukhwu ni shishima nda tre,
15 “Bwana, umhurumie mwanangu, maana amekuwa na kifafa na kuteseka sana. Kwa kuwa mara nyingi huanguka motoni au kwenye maji.
“Baci, wo yimu ni tu vrenmu vrenlon, ani ku nkpyinkpi nda ni tie ya kpukpome. E azi ku ni lu ni ma.
16 Nilimleta kwa wanafunzi wako, lakini hawakuweza kumponya.
Mi nji wu ye ni mrli koh me, u bana toh den wu na”
17 Yesu akajibu akisema, “Enyi Kizazi kisichoamini na kilichoharibika, nitakaa pamoja nanyi mpaka lini? Nitavumiliana nanyi hata lini? Mlete hapa kwangu.”
Yesu saa nda tre, “Bi hamma ni nkponji u ni bi nzan wa ba k'ma kpyi sran a mi zi he niyi hi ni tanyi? Mi zi vu sron niyi hi ni tonyi? Nji wu yemu wa.
18 Yesu alimkemea, na pepo akamtoka. Kijana aliponywa tangu saa ile.
Yesu a kpa nha ni brji shango a wa ka rju donwu u vren kafe si ni nton kima.
19 Kisha wanafunzi wakamjia Yesu kwa siri na kumwuliza, “Kwanini hatukuweza kumfukuza?”
U mrli koh maa ba ye ni Yesu ni yoybi nda tre, “Ahi ngye mba tie u kiena toh zu brji a na?
20 Yesu akawaambia, “Kwa sababu ya imani yenu ndogo. Kweli nawaambieni, kama mtakuwa na imani hata ndogo kama punje ya mbegu ya haradali, mtaweza kuuambia mlima huu, hama kutoka hapa uende kule, nao utahama na hakutakuwa na kitu chochote cha kushindikana kwenu.
Yesu a hla ni bawu, “Ahe ni tu tsitsa sron mbi. E mi hla yiwu njanjimu ndi, bitie he ni kponji sron wa andi tsa (fyi) meyi to wlo su' bi hla ni ngblu yi, 'cbi rju (di) wa hi ni wamu, u ani c'bi hi u ikpye riri me na nnayi wo na.
21 (Zingatia: Maneno ya msitari wa 21 “Lakini, aina hii ya pepo haiwezekani kutoka, ila kwa maombi na Kufunga” hayaonekani katika nakala bora za kale).
U bi brji yi na rju na hamma ni vu nyu mba tie aduwa.
22 Wakati wakiwa bado Galilaya, Yesu akawaambia Wanafunzi wake, “Mwana wa Adamu atatiwa mikononi mwa watu.
Ba he ni Galili u Yesu a hla ni mrli koh maa, “Ba ka Ivren Ndi nno ni wo' ndi.
23 Na watamwua, na siku ya tatu atafufuka.” Wanafunzi walihuzunika sana.
U ba wuu, u nivi u tra ani tashme” mrli koh maa ba ka'tie whie me.
24 Nao walipofika Kapenaumu, watu wakusanyao kodi ya nusu shekeli wakamwendea Petro na kusema, “Je mwalimu wenu hulipa kodi ya nusu shekeli?”
Wa baye ri ni Kapanahum a, bi kpa bhan inghama shekel baye ni Bitru nda tre, “Mala (Baci) bi a ni han bhan ignhama shekel a?”
25 Akasema, “Ndiyo” Lakini Petro alipoingia ndani ya nyumba, Yesu akaongea na Petro kwanza na kusema, “Unafikiria nini Simon? Wafalme wa dunia, hupokea kodi au ushuru kutoka nani? Kwa wale wanaowatawa kutoka kwa wageni?
A tre “e” U wa Bitrus a ye ni koh a, Yesu a tre niwa nda hla ndi, “A ngye mba hi mre me sima? Bi chu ngbungblu ba kpa bhan mba ni ba nha? Rji ni mrli mba kaa rji ni ba ri?
26 Na wakati Petro aliposema, “Kutoka kwa wageni” Yesu akamwambia, hivyo watawaliwa wameondolewa katika ulipaji.
Bitru a saa wu “Rji ni bari” Yesu ka tre, “Ka mrli ba bana han bhan na”
27 Lakini tusije tukawafanya watoza ushuru wakatenda dhambi, nenda baharini, tupa ndoano, na umtwae yule samaki ajaye kwanza. Baada ya kuufungua mdomo wake, utakuta mle shekeli moja. Ichukue na uwape watoza ushuru kwa ajili yangu na wewe.
U ni ndu ta na yo bi kpa bhan ba tie latre na, hi ni nne, ndi ta ngron ri yomi ndi gbi lambe wa ngron vu ni mumla rju. U ti bwu nyu ma u toh shekel ri. Cuu ka nno bi kpa bhan ba u nyu mu ni wu”

< Mathayo 17 >