< Mathayo 15 >

1 Ndipo Mafarisayo na waadishi walikuja kwa Yesu kutoka Yerusalemu. Na kusema,
Tedaj so k Jezusu prišli pisarji in farizeji, ki so bili iz Jeruzalema, rekoč:
2 “Kwa nini wanafunzi wanayahalifu mapokeo ya wazee? Kwa kuwa hawanawi mikono yao wanapokuwa wanakula chakula.''
»Zakaj tvoji učenci prestopajo izročila starešin? Kajti kadar jedo kruh, si ne umijejo svojih rok.«
3 Yesu akawajibu na kuwaambia, “Nanyi kwa nini mnaihalifu sheria ya Bwana kwa ajili ya mapokeo yenu?
Toda odgovoril jim je in rekel: »Zakaj vi prav tako s svojim izročilom prestopate Božjo zapoved?
4 Kwa kuwa Mungu alisema, 'Mheshimu baba yako na mama yako; na 'Asemaye uovu kwa baba yake na mama yake, hakika atakufa.'
Kajti Bog je zapovedal, rekoč: ›Spoštuj svojega očeta in mater‹ in: ›Kdor preklinja očeta ali mater, naj življenje konča s smrtjo.‹
5 Lakini ninyi husema, 'Kila amwambiaye baba yake na mama yake, '“Kila msaada ambao angepata kutoka kwangu sasa ni zawadi kutoka kwa Mungu,'''
Toda vi pravite: ›Kdorkoli bo rekel svojemu očetu ali svoji materi: ›To je dar, s čimerkoli bi ti mogoče imel korist od mene, ‹
6 “Mtu huyo hana haja ya kumuheshimu baba yake. Katika namna hii mmelitangua neno la Mungu kwa ajili ya mapokeo yenu.
in ne spoštuje svojega očeta ali svoje matere, bo prost. Tako ste s svojim izročilom naredili Božjo zapoved brez učinka.
7 Enyi wanafiki, ni vema kama Isaya alivyo tabiri juu yenu aliposema,
Vi hinavci, Izaija je dobro prerokoval o vas, rekoč:
8 'Watu hawa wananiheshimu mimi kwa midomo yao, lakini mioyo yao iko mbali nami.
›Ti ljudje se s svojimi usti bližajo k meni in me spoštujejo s svojimi ustnicami, toda njihovo srce je daleč od mene.‹
9 Wananiabudu bure, kwa sababu wanafundisha mafundisho yaliyo maagizo ya wanadamu.”'
Toda zaman me obožujejo, učeč nauke človeških zapovedi.«
10 Ndipo akawaita makutano na kuwaambia,” Sikilizeni na mfahamu
In poklical je množico ter jim rekel: »Poslušajte in razumite:
11 Hakuna kitu kiingiacho mdomoni mwa mtu na kumfanya najisi. Bali, kile kitokacho kinywani, hiki ndicho kimfanyacho mtu kuwa najisi.''
›Ni to, kar gre v usta, [kar] omadežuje človeka, temveč to, kar prihaja iz ust, to omadežuje človeka.‹«
12 Ndipo wanafunzi wakamwendea na kusema na Yesu, “Je!, Unafahamu Mafarisayo walipolisikia lile neno walikwazika?”
Tedaj so prišli njegovi učenci in mu rekli: »Ali veš, da so bili farizeji, potem ko so slišali to govorjenje, užaljeni?«
13 Yesu aliwajibu na kusema, “Kila mmea ambao Baba yangu wa mbinguni hajaupanda utang'olewa.
Toda odgovoril je in rekel: »Vsaka rastlina, ki je ni vsadil moj nebeški Oče, bo izkoreninjena.
14 Waacheni pekee, wao ni viongozi vipofu. Kama mtu kipofu atamuongoza kipofu mwenzake, wote wawili wataanguka shimoni.”
Pustite jih pri miru. Slepi voditelji slepih so. Če pa slepi vodi slepega, bosta oba padla v jarek.«
15 Petro akajibu na kumwambia Yesu,” Tuelezee mfano huu kwetu,
Potem je odgovoril Peter in mu rekel: »Pojasni nam to prispodobo.«
16 Yesu akajibu, ''Nanyi pia bado hamuelewi?
Jezus pa je rekel: »Ali ste tudi vi še vedno brez razumevanja?
17 Ninyi hamuoni kuwa kila kiendacho mdomoni hupitia tumboni na kwenda chooni?
Ali še vedno ne razumete, da karkoli vstopi pri ustih, gre v trebuh in je vrženo ven, v zunanje stranišče?
18 Lakini vitu vyote vitokavyo mdomoni hutoka ndani ya moyo. Ndivyo vitu vimtiavyo mtu unajisi.
Toda te besede, ki izvirajo iz ust, prihajajo iz srca in te omadežujejo človeka.
19 Kwa kuwa katika moyo hutoka mawazo mabaya, uuaji, uzinzi, uasherati, wizi, ushuhuda wa uongo, na matusi.
Kajti iz srca izvirajo zle misli, umori, zakonolomstva, prešuštva, tatvine, kriva pričevanja, bogokletja.
20 Haya ndiyo mambo yamtiayo mtu unajisi. Lakini kula bila kunawa mikono hakumfanyi mtu kuwa najisi.”
To so stvari, ki omadežujejo človeka, toda jesti z neumitimi rokami človeka ne omadežuje.«
21 Ndipo Yesu akatoka mahali pale na akajitenga kuelekea pande za miji ya Tiro na Sidoni.
Potem je Jezus odšel od tam in odšel v tirske in sidónske kraje.
22 Tazama akaja mwanamke Mkanani kutoka pande hizo. Akapaza sauti akisema, ''Nihurumie, Bwana, Mwana wa Daudi; binti yangu anateswa sana na pepo.''
In glej, ženska iz Kánaana je prišla iz teh istih krajev ter vpila k njemu, rekoč: »Usmili se me, oh Gospod, ti Davidov Sin. Moja hči je boleče nadlegovana od hudiča.«
23 Lakini Yesu hakumjibu neno. Wanafunzi wake wakaja wakimsihi, wakisema, ''Muondoe aende zake, maana anatupigia kelele.''
Toda on ji ni odgovoril niti besede. In prišli so njegovi učenci ter ga rotili, rekoč: »Pošlji jo proč, ker vpije za nami.«
24 Yesu aliwajibu na kusema, Sikutumwa kwa mtu yeyoye isipokuwa kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.''
Toda odgovoril je in rekel: »Nisem poslan [k nikomur], razen k izgubljenim ovcam Izraelove hiše.«
25 Lakini alikuja na kuinama mbele yake, akisema, ''Bwana nisaidie.''
Potem je prišla in ga oboževala, rekoč: »Gospod, pomagaj mi.«
26 Alimjibu na kusema, “Siyo vema kuchukua chakula cha watoto na kuwatupia mbwa,”
Toda odgovoril je in rekel: »Ni primerno vzeti kruha otrokom in ga vreči psom.«
27 Akasema, “Ndiyo, Bwana, hata hivyo mbwa wadogo hula chakula kiagukacho mezani mwa Bwana wao.”
Ona pa je rekla: »Res je, Gospod, vendar psi jedo od drobtinic, ki padajo z mize njihovih gospodarjev.«
28 Ndipo Yesu akajibu na akisema “Mwanamke, imani yako ni kubwa. Na ifanyike kwako kama utakavyo.” Na binti yake alikuwa ameponywa katika wakati huo.
Tedaj je Jezus odgovoril in ji rekel: »Oh žena, velika je tvoja vera, zgodi naj se ti, kakor hočeš.« In njena hči je bila ozdravljena od točno tiste ure.
29 Yesu aliondoka mahali pale na kwenda karibu na bahari ya Galilaya. Kisha alienda juu ya mlima na kuketi huko.
In Jezus je odšel od tam ter prišel v bližino Galilejskega morja in odšel na goro ter se tam usedel.
30 Kundi kubwa likaja kwake. Na kumletea viwete, vipofu, bubu, vilema na wengine wengi, waliokuwa wagonjwa. Waliwaweka katika miguu ya Yesu na akawaponya.
In k njemu so prišle velike množice, ki so imele s seboj tiste, ki so bili hromi, slepi, nemi, pohabljeni ter mnoge druge in polagali so jih k Jezusovim stopalom in jih je ozdravil,
31 Nao umati wakashangaa walipoona mabubu wakiongea, na vilema wakifanywa wazima, viwete wakitembea, na vipofu wakiona. Walimsifu Mungu wa Israeli.
do take mere, da se je množica čudila, ko so videli nemega spregovoriti, pohabljenega biti zdravega, hromega hoditi in slepega videti. In slavili so Izraelovega Boga.
32 Yesu akawaita wanafunzi wake na kusema, “Nimewaonea huruma umati, kwa sababu wamekuwa nami kwa siku tatu bila kula kitu chochote. Sitawaaga waende kwao bila kula, wasije wakazimia njiani.”
Potem je Jezus svoje učence poklical k sebi in rekel: »Sočutje imam do množice, ker že tri dni vztrajajo z menoj in nimajo nič za jesti; in ne bom jih poslal proč tešče, da na poti ne oslabijo.«
33 Wanafunzi wake wakamwambia, “Ni wapi tunaweza kupata mikate ya kutosha hapa nyikani kushibisha umati mkuwbwa hivi?”
In njegovi učenci so mu rekli: »Od kod naj imamo v divjini tako veliko kruha, za nasičenje tako velike množice?«
34 Yesu akawaambia, “Mna mikate mingapi?” Wakasema, “Saba, na samaki wadogo wachache.”
In Jezus jim reče: »Koliko hlebov imate?« Rekli so: »Sedem in nekaj majhnih rib.«
35 Yesu akawaamuru umati uketi chini.
In velel je množici, naj séde na tla.
36 Aliitwaa ile mikate saba na samaki, na baada ya kushukuru, akaimega na kuwapa wanafunzi. Wanafunzi wakawapa umati.
In vzel je sedem hlebov in ribe ter se zahvalil in jih razlomil ter dal svojim učencem, učenci pa množici.
37 Watu wote wakala na kutosheka. Na wakakusanya mabaki ya vipande vya chakula vilivyosalia vipande vipande, vilijaa vikapu saba.
In vsi so jedli ter bili nasičeni in pobrali so od ostankov obeda, kar je ostalo, sedem polnih košar.
38 Wote waliokula walikuwa wanaume elfu nne bila wanawake na watoto.
In teh, ki so jedli, je bilo štiri tisoč mož, poleg žensk in otrok.
39 Kisha Yesu akauaga umati waende zao na akaingia ndani ya mashua na kwenda sehemu za Magadani.
In odpustil je množico ter stopil na ladjo in prišel v magadánske kraje.

< Mathayo 15 >