< Mathayo 15 >
1 Ndipo Mafarisayo na waadishi walikuja kwa Yesu kutoka Yerusalemu. Na kusema,
Vafalisayu vangi na vawula va malagizu vakahika kuhuma ku Yelusalemu, vakamhambila Yesu vakamkota,
2 “Kwa nini wanafunzi wanayahalifu mapokeo ya wazee? Kwa kuwa hawanawi mikono yao wanapokuwa wanakula chakula.''
“Ndava kyani vawuliwa vaku vitopesa lepi mawuliwu ga vagogo vitu? Visamba lepi chabwina mawoko kwakona kulya chakulya!”
3 Yesu akawajibu na kuwaambia, “Nanyi kwa nini mnaihalifu sheria ya Bwana kwa ajili ya mapokeo yenu?
Yesu akayangula, “Ndava kyani nyenye mwidenya mihilu ya Chapanga, ndava ya kulanda mawuliwu ginu?”
4 Kwa kuwa Mungu alisema, 'Mheshimu baba yako na mama yako; na 'Asemaye uovu kwa baba yake na mama yake, hakika atakufa.'
Chapanga amali kujova, uvatopesa dadi waku na nyina waku, na mweampela likoto dadi waki amala nyina waki yikumgana akomiwa.
5 Lakini ninyi husema, 'Kila amwambiaye baba yake na mama yake, '“Kila msaada ambao angepata kutoka kwangu sasa ni zawadi kutoka kwa Mungu,'''
Nambu nyenye mwijova, mundu mweakumjovela dadi waki amala nyina waki kuvya, chochoha chenihotola kukutangatila, nimuwusili Chapanga,
6 “Mtu huyo hana haja ya kumuheshimu baba yake. Katika namna hii mmelitangua neno la Mungu kwa ajili ya mapokeo yenu.
iganikiwa lepi kumtangatila dadi waki amala nyina waki. Chenichi ndi chemdenya amuli ya Chapanga kwa kugalanda mawuliwu ginu!
7 Enyi wanafiki, ni vema kama Isaya alivyo tabiri juu yenu aliposema,
“Nyenye mwemkujikita kuvya vandu vabwina! Isaya alotili chakaka, ndava yinu, peajovili malovi aga!
8 'Watu hawa wananiheshimu mimi kwa midomo yao, lakini mioyo yao iko mbali nami.
‘Chapanga ijova, vandu ava vakunitopesa kwa malovi ndu, nambu mitima yavi yivii kutali na nene.
9 Wananiabudu bure, kwa sababu wanafundisha mafundisho yaliyo maagizo ya wanadamu.”'
Kunigundamila kwavi ndi waka, ndava mambu geviwula ndi malagizu ga vandu ndu.’”
10 Ndipo akawaita makutano na kuwaambia,” Sikilizeni na mfahamu
Kangi Yesu aukemili msambi wa vandu akaujovela, “Myuwanila na kumanya malovi genikuvajovela!
11 Hakuna kitu kiingiacho mdomoni mwa mtu na kumfanya najisi. Bali, kile kitokacho kinywani, hiki ndicho kimfanyacho mtu kuwa najisi.''
Chindu chechikumyingisa mundu uhakasa palongolo ya Chapanga lepi chechiyingila mumlomo, nambu ndi chila chechikumuhuma mundu mumlomo.”
12 Ndipo wanafunzi wakamwendea na kusema na Yesu, “Je!, Unafahamu Mafarisayo walipolisikia lile neno walikwazika?”
Kangi vawuliwa vaki vakamhambila, vakamjovela, “Wu, umanyili kuvya Vafalisayu vayomili pevayuwini malovi gaku?”
13 Yesu aliwajibu na kusema, “Kila mmea ambao Baba yangu wa mbinguni hajaupanda utang'olewa.
Nambu mwene akavayangula, “Mbeyu yeyoha angamija Dadi wangu mweavi kunani, yati yitupuliwa.
14 Waacheni pekee, wao ni viongozi vipofu. Kama mtu kipofu atamuongoza kipofu mwenzake, wote wawili wataanguka shimoni.”
Mvaleka vene! Vene ndi vangalola, vachilongosi wa vangalola, na ngalola akamlongosa ngalola muyaki, voha vavili yati vidumbukila muligodi.”
15 Petro akajibu na kumwambia Yesu,” Tuelezee mfano huu kwetu,
Petili akajova, “Utidandaulila luhumu wenuwo.”
16 Yesu akajibu, ''Nanyi pia bado hamuelewi?
Yesu akajova, “Hati nyenye mwakona mwangagamanya ago?
17 Ninyi hamuoni kuwa kila kiendacho mdomoni hupitia tumboni na kwenda chooni?
Wu, mwihotola lepi kumanya chechiyingila mumlomo chihamba mulileme na chiumiswa kuvala kundindima?
18 Lakini vitu vyote vitokavyo mdomoni hutoka ndani ya moyo. Ndivyo vitu vimtiavyo mtu unajisi.
Nambu mambu gegihumila mumlomo gihuma mumtima, genago ndi gegakumkita mundu akotoka kuyidakiliwa palongolo ya Chapanga.
19 Kwa kuwa katika moyo hutoka mawazo mabaya, uuaji, uzinzi, uasherati, wizi, ushuhuda wa uongo, na matusi.
Ndi mumtima gihuma maholo na ukomaji na ugoni na ukemi na kuyiva na malovi ga udese na maligu.
20 Haya ndiyo mambo yamtiayo mtu unajisi. Lakini kula bila kunawa mikono hakumfanyi mtu kuwa najisi.”
Genago ndi gegakumkita mundu kuvya mhakasa palongolo ya Chapanga. Nambu kulya chakulya changasamba nakumuyingisa mundu uhakasa.”
21 Ndipo Yesu akatoka mahali pale na akajitenga kuelekea pande za miji ya Tiro na Sidoni.
Yesu awukili pandu penapo akahamba kutama kumuji wa Tilo na Sidoni.
22 Tazama akaja mwanamke Mkanani kutoka pande hizo. Akapaza sauti akisema, ''Nihurumie, Bwana, Mwana wa Daudi; binti yangu anateswa sana na pepo.''
Mau mmonga Mkanani wa mulima wenuwo ambwelili na kuywanga neju, “Bambu Mwana wa Daudi, unihengela lipyana! Msikana wangu ing'ahiswa na mzuka.”
23 Lakini Yesu hakumjibu neno. Wanafunzi wake wakaja wakimsihi, wakisema, ''Muondoe aende zake, maana anatupigia kelele.''
Nambu Yesu ayangwili lepi, hinu vawuliwa vaki vakamhambila, vakamjovela, “Mjovela awuka lola akutilanda kuni iywanga.”
24 Yesu aliwajibu na kusema, Sikutumwa kwa mtu yeyoye isipokuwa kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.''
Yesu akayangula, “Nitumwili ndu kwa mulima wa Isilaeli, vevavi ngati limbelele leliyagili.”
25 Lakini alikuja na kuinama mbele yake, akisema, ''Bwana nisaidie.''
Nambu mau yula akabwela akamfugamila, akajova “Bambu, unitangatila.”
26 Alimjibu na kusema, “Siyo vema kuchukua chakula cha watoto na kuwatupia mbwa,”
Yesu akamyangula “Chabwina lepi kutola chakulya cha vana na kutagila mabwa.”
27 Akasema, “Ndiyo, Bwana, hata hivyo mbwa wadogo hula chakula kiagukacho mezani mwa Bwana wao.”
Hinu mau yula akayangula, “Chakaka, Bambu, nambu hati mabwa gilya masigalilu gegigwa pahi pameza ya bambu wavi.”
28 Ndipo Yesu akajibu na akisema “Mwanamke, imani yako ni kubwa. Na ifanyike kwako kama utakavyo.” Na binti yake alikuwa ameponywa katika wakati huo.
Penapo ndi Yesu akayangula, “Mau veve, sadika yaku yivaha! Uhengewa ngati chaugana.” Msikana waki akalama lukumbi lulalula.
29 Yesu aliondoka mahali pale na kwenda karibu na bahari ya Galilaya. Kisha alienda juu ya mlima na kuketi huko.
Yesu akawuka penapo akahamba mumhana wa nyanja Galilaya, akakwela pachitumbi, akatama pahi.
30 Kundi kubwa likaja kwake. Na kumletea viwete, vipofu, bubu, vilema na wengine wengi, waliokuwa wagonjwa. Waliwaweka katika miguu ya Yesu na akawaponya.
Msambi wa vandu vambwelili vamletili vevagogodili higa na vangalola na vangajova pamonga na vangi vamahele vevagogodili magendelu vana matamu, vakavavika palongolo ya magendelu gaki, mwene akavalamisa
31 Nao umati wakashangaa walipoona mabubu wakiongea, na vilema wakifanywa wazima, viwete wakitembea, na vipofu wakiona. Walimsifu Mungu wa Israeli.
Msambi wa vandu ukakangasa neju pavaweni vangajova vijova, vevagogodili higa vilama vevagogodili magendelu vigenda na vangalola vilola, vandu vakamulumba Chapanga wa Isilaeli.
32 Yesu akawaita wanafunzi wake na kusema, “Nimewaonea huruma umati, kwa sababu wamekuwa nami kwa siku tatu bila kula kitu chochote. Sitawaaga waende kwao bila kula, wasije wakazimia njiani.”
Yesu avakemili vawuliwa vaki na kuvajovela, “Nikuvahengela lipyana vandu ava ndava vatamii pamonga na nene magono gadatu, nivii lepi na chindu chakulya. Nangagana vawuka na njala, muni vakotoka kuinduka munjila.”
33 Wanafunzi wake wakamwambia, “Ni wapi tunaweza kupata mikate ya kutosha hapa nyikani kushibisha umati mkuwbwa hivi?”
Vawuliwa vaki vakamjovela, “Penapa palukongolo tipata koki chakulya cha kuyukuta msambi woha wa vandu?”
34 Yesu akawaambia, “Mna mikate mingapi?” Wakasema, “Saba, na samaki wadogo wachache.”
Yesu akavakota, “Mabumunda gavi galinga?” Vakamyangula “Saba na tusomba tudebe.”
35 Yesu akawaamuru umati uketi chini.
Yesu akalagiza vandu vatama pahi.
36 Aliitwaa ile mikate saba na samaki, na baada ya kushukuru, akaimega na kuwapa wanafunzi. Wanafunzi wakawapa umati.
Akatola mabumunda gala saba na tusomba tudebe tula, akalolokesa kunani kwa Chapanga, akamsengusa Chapanga, akavimetula, akavapela vawuliwa vaki, navene vakavagavila vandu.
37 Watu wote wakala na kutosheka. Na wakakusanya mabaki ya vipande vya chakula vilivyosalia vipande vipande, vilijaa vikapu saba.
Voha vakalya na kuyukuta. Kangi vakayola masigalilu ga hipandi na kumemesa madengu saba.
38 Wote waliokula walikuwa wanaume elfu nne bila wanawake na watoto.
Vandu vevalili vavi vagosi elufu mcheche changavalanga vadala na vana.
39 Kisha Yesu akauaga umati waende zao na akaingia ndani ya mashua na kwenda sehemu za Magadani.
Ndi Yesu akavalaga vandu vala, akayingila muwatu, akahamba kumuji wa Magadani.