< Mathayo 14 >
1 Kwa wakati huo, Herode alisikia habari juu ya Yesu.
Husala ezyo, Uherode ahevwezye ihabari ya Yesu.
2 Akawaambia watumishi wake, “Huyu ni Yohana Mbatizaji amefufuka kutoka katika wafu. Kwa hiyo nguvu hizi zipo juu yake.”
Abhawozya ahoyi bhakwe, “Ono yu Yohana Umozyaji azyoshele afume whazimu. Eshi engovo ezyo zili hukwakwe.”
3 Kwa kuwa Herode alikuwa amemkamata Yohana akamfunga na kumtupa gerezani kwa sababu ya Herodia, mke wa Filipo kaka yake.
Afwatanaje u Herode ali anemile u Yohana apinya na hutaje mwijela husababu ya Herodia, oshe wa Filipo okolo wakwe.
4 Kwa kuwa Yohana alimwambia, “Si halali kumchukua yeye kuwa mke wake.”
Afwatanaje u Yohana amozezye, “Sagashinza ahumweje umwene abhe shee wakwe.”
5 Herode angemwua lakini aliwaogopa watu kwa sababu walimwona Yohana kuwa nabii.
U Herode andiagojile ila ahogope abhantu husababu bhanolile u Yohana aje kuwe.
6 Lakini wakati siku ya kuzaliwa Herode ilipofika binti wa Herodia alicheza katikati ya watu na kumpendeza Herode.
Ila isala ninsiku zya papwe u Herode lwazyafiha umwale wa Herode ahanjile pakasi ya bhantu nahasongwezye u Herode.
7 Katika kujibu kili aliahidi kwa kiapo kwamba atampa chochote atakachoomba.
Katika ajibu shila shasobhe zezye hundapo aje anzahupele shoshonti shanzalabhe.
8 Baada ya kushauriwa na mama yake, alisema, “Nipe mimi hapa katika kombe kichwa cha Yohana Mbatizaji.”
Baada yashauliwe nu maye wakwe, ayanjile, “Mpele ane epa pikombe itwe lya Yohana Umozi.”
9 Mfalme alikuwa na sikitiko kwa maombi ya binti, lakini kwa ajili ya kiapo chake, kwa sababu ya wote waliokuwa chakulani pamoja naye aliamuru kwamba inapaswa ifanyike.
Umwene ali na masikitiho humalawo gamwale, ila kwa ajili yindapo zyakwe, afwatanaje wonti bhabhaleho pashalye pamo numwene ayanjile aje lifanyishe.
10 Alituma Yohana aletwe kutoka gerezani
Atumile u Yohana aletwe afume whigeleza,
11 ili akatwe kichwa chake na kikaletwa juu ya sinia na akapewa binti na akakipeleka kwa mama yake.
ili atemwe itwe lyakwe na litemwe pamwanya yisinia na apewe umwale na alitwale whamaye wakwe.
12 Kisha wanafunzi wake wakaja kuuchukua ule mwili na kuuzika, baada ya hili walienda kumwambia Yesu.
Tena abhanafunzi bhakwe bhenza awheje gula ombele na syele, baada yeli bhabhalile humozye u Yesu.
13 Naye Yesu aliposika haya, akijatenga kutoka mahali pale akapanda ndani ya mashuka akaenda sehemu iliyotengwa. Wakati umati ulipo fahamu alikokuwa, walimfuata kwa miguu kutoka mijini.
Nape Uyesu lwahevwa ega, ajitenga afume isehemu ela azubha mukasi yimashua abhala esehemu yijitenjile. Umuda empoga lwayanya whali, bhafwatile lwimanama afume humijini.
14 Kisha Yesu alikuja mbele yao akauona umati mkubwa. Akawaonea huruma na kuponya magonjwa yao.
Tena u Yesu ahenzele whilongolela lyawo alola empoga ingosi. Abhalolela enkombo na hubhaponyle impongo zyawo.
15 Jioni ilipotimia, wanafunzi wakaja kwake na kusema, “Hii ni sehemu ya jangwa, na siku tayari imepita. Watawanyishe makutano ili waende vijijini wakanunue chakula kwa ajili yao.
Ishalyabhela yakamiliha, abhanafunzi bhahenza hukwakwe na yanje, “Ene sehemu yijangwa ni siku tayari lishilile. Bhatabhanye amakutano ili bhabhale muvijiji ni bhakale ishalye kwa ajili yawo.
16 Lakini Yesu akawaambia, ''Hawana haja ya kwenda zao. Wapeni ninyi chakula”
Ila Yesu ayanjile, “Sagabhali ni haja yabhalebhewo. Bhapeli amwe ishalye”
17 Wakamwambia, ''Hapa tunayo mikate mitano na samaki wawili tu.”''
Bhamozya, “Epa tilinago amabumunda gasanu neswe zebhele tu.”'
18 Yesu akasema, “Ileteni kwangu.”
U Yesu ayanga, “Galeti huline.”
19 Kisha Yesu akauamuru umati kukaa chini ya nyasi. Akachukuwa mikate mitano na samaki wawili. Akatazama juu mbinguni, akabariki na kumega mikate akawapa wanafunzi. Wanafunzi wakaupatia umati.
Tena u Yesu ayiwozya empoga akhale pansi yimasole. Ayega amabumunda gasanu neswe zebhele. Ayenya humwanya, asaya nabudulanye amabumunda abhapela abhanafunzi. Abhanafunzi bhayipela empoga.
20 Wakala wote na kushiba. Kisha wakavikusanya vipande vyote vya chakula na kujaza vikapu kumi na mbili.
Bhalya wonti bhihuta. Tena bhavikusanya ivipande vyonti vishalye nameme iviseje kumi navibhele.
21 Wale waliokula walikadiriwa kuwa wanaume elfu tano bila ya kusehabu wanawake na watoto.
Bhala bhabhaliye bhabhakadiliya aje abhalume elfu zisanu bila yabhazye abhashe na bhana.
22 Mara moja aliwaamuru wanafunzi waingie ndani ya mashua, wakati huo yeye akawaaga umati waende zao.
Mara heka abhawozya abhanafunzi bhinjile mukasi yimashuwa, isala ezyo umwene abhalaga empoga bhabhaje bhewo.
23 Baada ya kuwaaga umati kwenda zao, akapanda juu mlimani kuomba pekee yake. Wakati ilipokuwa jioni alikuwa huko pekee yake.
Lwabhalaga empoga bhabhala bhene, azubha pamwanya yigamba apute mwene. Isala lwayali yilyabhela alihoho mwene.
24 Lakini sasa mashua ilipokuwa katikati ya bahari ukiyumbayumba kwa sababu ya mawimbi, kwani upepo ulikuwa wa mpisho.
Ila eshi imashua lwayali pahati yibahari yayumbaga husababu yimawimbi kwani inkongu yali yimpisho.
25 Katika usiku wa zamu ya nne Yesu aliwakaribia, akitembea juu ya maji.
Katika uusiku wi zamu ya nne u Yesu abhasojeleye ajenda pamwanya yemenze.
26 Wakati wanafunzi wake walipomwona akiitembea juu ya bahari, walihofu na kusema, “Ni mzuka,'' na kupaaza sauti katika hali ya uoga.
Isala abhanafunzi bhakwe lwabhanola ajenda pamwanya yi bahari, bhahogope nayanje, “Yuzimu ka,” na zuvye isauti katika ihali yiwoga.
27 Yesu akawaambia mara moja, akisema, “Jipeni moyo! ni mimi! msiogope.”
U Yesu abhawozya heka, ayanga, “Jipelaji umoyo! Nene! mugajihogope.”
28 Petro alimjibu kwa kusema, “Bwana, kama ni wewe, niamuru nije kwako juu ya maji.''
U Petro anjibu whayanje, “Gosi, nkesho wewe, mbozye enenze huliwe pamwanya yimenze.”
29 Yesu akasema, “Njoo.'' Hivyo Petro akatoka ndani ya mashua na akatembea juu ya maji kwenda kwa Yesu.
U Yesu ayanga, “Enza.” Esho Upetro afuma mukasi yimashua na ajenda pamwanya yimenze abhale wha Yesu.
30 Lakini Petro alipoona mawimbi, aliogopa, na kuanza kuzama, chini, akaita sauti na kusema, “Bwana, niokoe!''
Ila u Petro lwalola amawimbi, ahogope, na whande adwine, pansi, akwizya husauti nayanje, “Gosi, nokole!”
31 Haraka Yesu akanyoosha mkono wake akamnyanyua Petro, na kumwambia, “Wewe mwenye imani ndogo, kwa nini ulikuwa na mashaka?”
Digana Yesu anyosya inyobhe yakwe amosya u Petro, na humozye, “Awe wilweteho udodo, yenu ulinamashaka?”
32 Ndipo Yesu na Petro walipoingia katika mashua, upepo ulikoma kuvuma.
Epo u Yesu nu Petro bhahinjiye mumashua, inkongu yaleshile avugule.
33 Wanafunzi mashuani wakamwabudu Yesu na kusema, “Kweli wewe ni Mwana wa Mungu.”
Abhanafunzi mmashua bhansayile u Yesu na yanje, “Lyoli awe wamwana wa Ngolobhi.”
34 Na walipokwisha kuvuka, walifika katika nchi ya Genesareti.
Na lwabhafwemela, bhafishile panse yi Genesareti.
35 Na watu katika eneo lile walipomtambua Yesu, walituma ujumbe kila sehemu za kando, na kuleta kila aliyekuwa mgonjwa.
Na bhantu bhi sehemu ela lwabhamanya u Yesu, bhatumile uujumbe kila sehemu zipembeni nahunete kila wabhinile.
36 Walimsihi kwamba waweze kugusha pindo la vazi lake, na wengi walioligusa waliponywa.
Bhamozezye aje bhawezye aguse ikunjo limwenda gwakwe, na bhinji bhabhagubile bhaponilwe.