< Mathayo 13 >

1 Katika siku hiyo Yesu aliondoka nyumbani na kukaa kando ya bahari.
Tisti dan je pa izšel Jezus iz hiše, in sedel je pri morji.
2 Umati mkubwa ulikusanyika kwa kumzunguka, aliingia ndani ya mtumbwi na kukaa ndani yake. Umati wote walisimama kando ya bahari.
In zbere se pri njem mnogo naroda, toliko, da stopi v ladjo in sede; in vse ljudstvo je stalo na bregu.
3 Kisha Yesu alisema maneno mengi kwa mifano, Alisema, “Tazama, mpanzi alienda kupanda.
In pripoveda jim v prilikah mnogo, govoreč: Glej, izšel je sejalec sejat.
4 Alipokuwa akipanda baadhi ya mbegu zilianguka kando ya njia na ndege walikuja wakazidonoa.
In ko je sejal, padlo je nekaj zrnja poleg ceste; in priletele so tice in so ga pozobale.
5 Mbegu zingine zilianguka juu ya mwamba, ambapo hazikupata udongo wa kutosha. Ghafla zilichipuka kwa sababu udongo haukuwa na kina.
Drugo je pa padlo na skalnata tla, kjer ni imelo mnogo zemlje; in precej je pognalo, ker ni imelo globoke zemlje.
6 Lakini jua lilipo chomoza zilichomwa kwa sababu hazikuwa na mizizi, na zilikauka.
Ko je pa vzšlo solnce, ovenelo je; in ker ni imelo korenine, usahnilo je.
7 Mbengu zingine zilianguka kati ya miti yenye miiba. Miti yenye miiba ilirefuka juu ikaisonga.
Drugo je pa padlo v trnje; in trnje je zraslo in ga udušilo.
8 Mbegu zingine zilianguka kwenye udongo mzuri na kuzaa mbegu, zingine mara mia moja zaidi, zingine sitini na zingine thelathini
Drugo je pa padlo na dobro zemljo, in dajalo je sad, nekaj po sto, nekaj pa po šestdeset, a nekaj po trideset.
9 Aliye na masikio na asikie.
Kdor ima ušesa, da sliši, naj sliši!
10 Wanafunzi walikuja na kumwambia Yesu, “Kwa nini unazungumza na makutano kwa mifano?”
Pa pristopijo učenci in mu rekó: Za kaj jim v prilikah govoriš?
11 Yesu alijibu kuwaambia, “Mmepewa upendeleo wa kufahamu siri za ufalme wa mbinguni, bali kwao hawajapewa.
On pa odgovorí in jim reče: Vam je dano, da spoznate skrivnosti nebeškega kraljestva, njim pa ni dano.
12 Lakini yeyote aliyenacho, kwake yeye ataongezewa zaidi, na atapata faida kubwa. Ilasiye nacho hata kile alichonacho atanyang'anywa.
Kajti kdor ima, dalo mu se bo, in preveč mu bo; kdor pa nima, odvzelo mu se bo tudi to, kar ima.
13 Hivyo naongea nao kwa mifano kwa sababu ingawa wanaona, wasione kweli. Na ingawa wanasikia wasisikie wala kufahamu.
Za to vam govorim v prilikah, ker tisti, kteri vidijo, ne vidijo, in tisti, kteri slišijo, ne slišijo, in ne umejo.
14 Unabii wa Isaya umetimia kwao, ule usemao, “Msikiapo msikie, lakini kwa namna yoyote hamtaelewa; wakati mwonapo muweze kuona, lakini kwa namna yeyote ile msijue.
In na njih se izpolnjuje prerokovanje Izaija, ktero pravi: "S sluhom boste slišali, in ne boste umeli; in z očmi boste gledali, in ne boste videli.
15 Na mioyo ya watu hawa imekuwa giza, ni vigumu kusikia, na wamefumba macho yao, ili wasiweze kuona kwa macho yao, au kusikia kwa masikio yao, au kufahamu kwa mioyo yao, hivyo wangenigeukia tena, na ningewaponya.'
Kajti temu ljudstvu je srce okamenelo, in z ušesi težko slišijo, in očí svoje so zatisnili: da ne bi kedaj z očmi videli, in z ušesi slišali, in s srcem umeli in se spreobrnili, in bi jih ozdravil."
16 Bali macho yenu yamebarikiwa, kwa kuwa yanaona, na masikio yenu kwa kuwa yanasikia.
Blagor pa vašim očém, da vidijo, in vašim ušesom, da slišijo.
17 Hakika nawaambia manabii wengi na watu wenye haki walikuwa na hamu ya kuyaona mambo yale myaonayo, na hawakuweza kuyaona. Walitamani kusikia mambo yale mnayosikia, hawakuyasikia.
Kajti resnično vam pravim, da so mnogi preroki in pravični želeli videti, kar vi vidite, in niso videli; in slišati, kar vi slišite, in niso slišali.
18 . Sasa sikilizeni mfano wa mpanzi.
Čujte torej vi priliko o sejalcu!
19 Wakati yeyote asikiapo neno la ufalme na asilifahamu, ndipo mwovu huja na kukinyakua kilichokwisha kupandwa ndani ya moyo wake. Hii ni mbegu ile iliyopandwa kando ya njia.
Vsakemu, kdor besedo o kraljestvu sliši, pa je ne ume, pride hudoba, in ukrade, kar je posejano v srcu njegovem; ta je, ki je posejan poleg ceste.
20 Yeye aliyepandwa katika miamba ni yule asikiaye neno na kulipokea haraka kwa furaha.
Ki je pa posejan na skalnatih tléh, ta je, kdor besedo sliši in jo precej z veseljem sprejema;
21 Bado hana mizizi ndani yake, ila huvumilia kwa kitambo kifupi. Wakati matatizo au mateso yanapotokea kwa sababu ya neno hujikwaa ghafla.
Ali nima korenine v sebi, nego je nestanoviten. Ko pa nastane stiska ali preganjanje za voljo besede, pohujšuje se precej.
22 Aliyepandwa kati ya miti ya miiba, huyu ni yule alisikiaye neno lakini masumbuko ya ulimwengu na udaganyifu wa utajiri hulisonga lile neno lisije likazaa matunda. (aiōn g165)
Ki je pa posejan v trnji, ta je, kdor besedo sliši; ali skrb tega svetá in ničemurnost bogastva uduší besedo, in brez sadú ostane. (aiōn g165)
23 Aliyepandwa kwenye udongo mzuri, huyu ni yule asikiaye neno na kulifahamu. Huyu ni yule azaaye matunda na kuendelea kuzaa moja zaidi ya mara mia, nyingine sitini, nyingine thelathini.''
Ki je pa posejan na dobro zemljo, ta je, kdor besedo sliši in umé; kdor torej rodí sad, in donaša nekteri po sto, nekteri pa po šestdeset, a nekteri po trideset.
24 Yesu aliwapa mfano mwingine. Akisema, “Ufalme wa mbinguni unafananishwa na mtu aliye panda mbengu nzuri katika shamba lake
Predloží jim drugo priliko, govoreč: Nebeško kraljestvo je podobno človeku, kteri je posejal dobro seme na njivi svojej.
25 Lakini watu waliposinzia, adui wake akaja pia akapanda magugu katikati ya ngano kisha akaenda zake.
Ko so pa ljudjé spali, prišel je njegov sovražnik, in posejal je kukolj po pšenici, in odšel.
26 Baadaye ngano ilipoota na kutoa mazao yake, ndipo magugu yalitokea pia.
Ko je pa zrastla trava in je donesla sad, pokaže se tudi kukolj.
27 Na watumishi wa mwenye shamba walikuja wakamwambia, 'Bwana, hukupanda mbengu nzuri katika shamba lako? Imekuwaje sasa lina magugu?
Pa pridejo hišnega gospodarja hlapci in mu rekó: Gospod! nisi li dobrega semena posejal na svojej njivi? Odkod se je pa vzel kukolj?
28 Akawaambia, Adui ametenda hili.' Watumishi walimwambia, “Kwa hiyo unataka twende tukayang'oe?”
On jim pa reče: Sovražnik človek je to storil. Hlapci mu pa rekó: Hočeš li, da gremo in ga izplevemo?
29 Mwenye shamba akisema, 'Hapana, wakati mnayang'oa magugu mtang'oa pamoja na ngano.
On pa reče: Ne! da ne bi kedaj, trgaje kukolj, izrovali ž njim vred pšenice.
30 Yaacheni yakue pamoja mpaka wakati wa mavuno. Wakati wa mavuno nitasema kwa wavunaji, 'Kwanza yang'oeri magugu na yafungeni matita matita na kuyachoma, lakini kusanyeni ngano katika ghala langu.''''
Pustite, naj raste oboje skupaj do žetve; in v čas žetve porečem koscem: Poberite najprej kukolj, in povežite ga v snope, da ga sežgem; pšenico pa spravite v žitnico mojo.
31 Kisha Yesu aliwatolea mfano mwingine. Akasema, “Ufalme wa mbinguni unafanana na mbegu ya haradali ambayo mtu aliichukua na kuipanda katika shamba lake.
Predloží jim drugo priliko, govoreč: Nebeško kraljestvo je podobno gorušičnemu zrnu, ktero je človek vzel, in posejal na njivi svojej,
32 Mbegu hii kwa hakika ni ndogo kuliko mbegu zingine zote. Lakini imeapo huwa kubwa kuliko mimea yote ya bustani, huwa mti, kiasi kwamba ndege wa angani huja na kujenga viota katika matawi yake.”
Ktero je res najdrobneje od vseh semen: kedar pa zraste, veče je od zelišč, in postane drevo, da prileté tice nebeške in se nastanjujejo po vejah njegovih.
33 Akawaambia mfano mwingine tena.”Ufalme wa mbinguni ni kama chachu ile iliyo twaliwa na mwanamke na kuichanganya kwa vipimo vitatu kwa unga mpaka viumuke.
Pové jim drugo priliko: Nebeško kraljestvo je podobno kvasu, kterega je žena vzela in primesila trem mericam moke, dokler se vse ne skvasi.
34 Hayo yote Yesu aliyasema kwenye umati kwa mifano. Na pasipo mifano hakusema chochote kwao.
Vse to je govoril Jezus ljudém v prilikah, in brez prilike jim ni govoril;
35 Hii ilikuwa kwamba kile kilichokwisha semwa kupitia kwa nabii kiweze kutimia, pale aliposema, “Nitafumbua kinywa changu katika mifano. Nitasema mambo yale yaliyokuwa yamefichwa tangu misingi ya ulimwengu”.
Da se izpolni, kar je rečeno po preroku, kteri pravi: "V prilikah bom odprl usta svoja; pripovedal bom skrivnosti od začetka sveta."
36 Kisha Yesu aliwaacha makutano na kwenda nyumbani. Wanafunzi wake walimwendea na kusema, “Tufafanulie mfano wa magugu ya shambani.''
Tedaj razpustí Jezus ljudstvo, in pride domú. Pa pristopijo k njemu učenci njegovi, govoreč: Razloži nam priliko o kukolji na njivi.
37 Yesu alijibu na kusema, “Apandae mbegu nzuri ni Mwana wa Adamu.
On pa odgovorí in jim reče: Sejalec dobrega semena je sin človečji.
38 Shamba ni ulimwengu; na mbegu nzuri, hawa ni wana wa ufalme. Magugu ni wana wa yule mwovu, na adui aliye zipanda ni ibilisi.
Njiva je pa svet; a dobro seme, ti so sinovi kraljestva; kukolj so pa sinovi hudobije.
39 Na mavuno ni mwisho wa ulimwengu, na wavunaji ni malaika. (aiōn g165)
Sovražnik, kteri ga je posejal, je hudič; žetev je pa konec svetá; a kosci so angelji. (aiōn g165)
40 Kama vile magugu yanavyo kusanywa na kuchomwa moto, hivyo ndivyo itakavyo kuwa mwisho wa ulimwengu. (aiōn g165)
Kakor se torej kukolj pobira, in v ognji sežiga, tako bo na koncu tega sveta. (aiōn g165)
41 Mwana wa Adamu atatuma malaika wake, na kukusanya kutoka katika ufalme wake mambo yote yaliyosababisha dhambi na wale watendao maasi.
Sin človečji bo poslal angelje svoje, in pobrali bodo vsa puhujšanja iz kraljestva njegovega in tiste, kteri delajo krivico,
42 Watawatupa wote katika tanuru la moto, ambako kutakuwa na kilio na kusaga meno.
In vrgli jih bodo v ognjeno peč: tam bo jok in škripanje z zobmí.
43 Ndipo watu wenye haki watakapong'aa kama jua katika Ufalme wa Baba yao. Yeye aliye na masikio na sikie.
Tedaj se bodo zasvetili pravični kakor solnce v svojega očeta kraljestvu. Kdor ima ušesa, da sliši, naj sliši!
44 Ufalme wa mbinguni ni kama hazina iliyofichwa shambani. Mtu akaiona na kuificha. Katika furaha yake akaenda kuuza vyote alivyokuwa navyo, na kulinunua shamba.
Zopet je nebeško kraljestvo podobno skritemu zakladu na polji, kterega je človek našel in skril; in od veselja svojega je šel in je prodal vse, kar je imel, in kupil je tisto polje.
45 Tena, ufalme wa mbinguni ni kama mtu anayefanya biashara atafutaye lulu yenye thamani.
Zopet je nebeško kraljestvo podobno človeku kupcu, kteri je iskal lepih biserjev.
46 Wakati alipoiona ile yenye thamani, alienda akauza kila kitu alichokuwa nacho na akainunua.
In ko je našel en dragocen biser, šel je, prodal vse, kar je imel, in ga je kupil.
47 Ufalme wa mbinguni ni kama nyavu iliyo ndani ya bahari, na kwamba hukusanya viumbe vya kila aina.
Zopet je nebeško kraljestvo podobno saku, kteri se je vrgel v morje, in je zajel od vsakega rodú.
48 Ulipojaa wavuvi waliuvuta ufukweni. Kisha wakakaa chini wakakusanya vitu vyema ndani ya vyombo, lakini visivyo na thamani vilitupwa mbali.
In ko se je napolnil, izvlekli so ga na kraj in so sedli, in kar je bilo dobro, pobrali so v posode, a kar je bilo slabo, vrgli so proč.
49 Itakuwa namna hii katika mwisho wa dunia. Malaika watakuja na kuwatenga watu waovu kutoka miongoni mwa wenye haki. (aiōn g165)
Tako bo na koncu sveta. Angelji pojdejo, in odločili bodo hudobne izsred pravičnih. (aiōn g165)
50 Na kuwatupa ndani ya tanuru ya moto, ambako kutakuwa na maombolezo na kusaga meno.
In vrgli jih bodo v ognjeno peč; tam bo jok in škripanje z zobmí.
51 Mmefahamu mambo yote haya? Wanafunzi walimjibu, ''Ndiyo.''
Jezus jim reče: Ste li vse to umeli? Rekó mu: Dà, Gospod!
52 Kisha Yesu akawambia, ''Kila mwandishi ambaye amekuwa mwanafunzi wa ufalme anafanana na mwenye nyumba atoaye katika hazina yake vitu vipya na vya kale.''
On jim pa reče: Za to je vsak pismar, kteri se je naučil kraljestva nebeškega, podoben človeku gospodarju, kteri prinaša iz zaklada svojega novo in staro.
53 IkawaYesu alipomaliza mifano yote hiyo, akaondoka katika sehemu hiyo.
In zgodí se, ko Jezus te prilike končá, odide odtod.
54 Kisha Yesu akafika katika mkoa wake na akawafundisha watu katika sinagogi. Matokeo yake ni kuwa walishangaa na kusema, “Ni wapi mtu huyu alipopata hekima hii na miujiza hii?
In prišedši v domovino svojo, učil je v njih shajališči, da so se zavzemali in so govorili: Odkod temu ta modrost in močí?
55 Mtu huyu siyo mwana wa seremala? Mariamu siyo mamaye? Na ndugu zake siyo Yakobo, Yusuph, Simoni na Yuda?
Ali ni ta tesarjev sin? ali se ne imenuje mati njegova Marija, in bratje njegovi Jakob in Judej in Simon in Juda?
56 Na dada zake tunao hapa petu? Basi mtu huyu ameyapata wapi haya yote?”.
In niso li vse sestre njegove pri nas? Odkod torej temu vse to?
57 Aliwachukiza. Lakini Yesu aliwambia, “Nabii hakosi kuwa na heshima isipokuwa kwao na katika nchi yao.
In pohujševali so se nad njim. Jezus jim pa reče: Prerok ni brez častí, razen v domovini svojej, in na domu svojem.
58 Na hakuweza kufanya miujiza mingi kwa sababu hawakuwa na imani naye.
In ni storil ondej mnogo čudežev, za voljo njih nevere.

< Mathayo 13 >