< Mathayo 13 >
1 Katika siku hiyo Yesu aliondoka nyumbani na kukaa kando ya bahari.
The same day, Jesus having gone out of the house, sat by the sea-side;
2 Umati mkubwa ulikusanyika kwa kumzunguka, aliingia ndani ya mtumbwi na kukaa ndani yake. Umati wote walisimama kando ya bahari.
but so great a multitude flocked about him, that he went into a bark, and sat down there, while all the people stood on the shore.
3 Kisha Yesu alisema maneno mengi kwa mifano, Alisema, “Tazama, mpanzi alienda kupanda.
Then he discoursed to them of many things in parables.
4 Alipokuwa akipanda baadhi ya mbegu zilianguka kando ya njia na ndege walikuja wakazidonoa.
The sower, said he, went out to sow; and, in sowing, some seeds fell by the way-side, and the birds came and picked them up:
5 Mbegu zingine zilianguka juu ya mwamba, ambapo hazikupata udongo wa kutosha. Ghafla zilichipuka kwa sababu udongo haukuwa na kina.
some fell on rocky ground, where they had but little earth: these sprang up the sooner, because the soil had no depth:
6 Lakini jua lilipo chomoza zilichomwa kwa sababu hazikuwa na mizizi, na zilikauka.
but after the sun had beat upon them, they were scorched, and having no root, withered away.
7 Mbengu zingine zilianguka kati ya miti yenye miiba. Miti yenye miiba ilirefuka juu ikaisonga.
Some fell among thorns, and the thorns grew up, and choked them.
8 Mbegu zingine zilianguka kwenye udongo mzuri na kuzaa mbegu, zingine mara mia moja zaidi, zingine sitini na zingine thelathini
Others fell into good ground, and yielded increase, some a hundred, some sixty, some thirty fold.
9 Aliye na masikio na asikie.
Whoever has ears to hear, let him hear.
10 Wanafunzi walikuja na kumwambia Yesu, “Kwa nini unazungumza na makutano kwa mifano?”
Then the disciples addressed him, saying, Why do you speak to them in parables?
11 Yesu alijibu kuwaambia, “Mmepewa upendeleo wa kufahamu siri za ufalme wa mbinguni, bali kwao hawajapewa.
He answering, said to them, Because it is your privilege, and not theirs, to know the secrets of the Reign of Heaven.
12 Lakini yeyote aliyenacho, kwake yeye ataongezewa zaidi, na atapata faida kubwa. Ilasiye nacho hata kile alichonacho atanyang'anywa.
For to him that has, more shall be given, and he shall abound; but from him that has not, even that which he has shall be taken.
13 Hivyo naongea nao kwa mifano kwa sababu ingawa wanaona, wasione kweli. Na ingawa wanasikia wasisikie wala kufahamu.
For this reason I speak to them in parables; because they seeing, see not; and hearing, hear not, nor regard;
14 Unabii wa Isaya umetimia kwao, ule usemao, “Msikiapo msikie, lakini kwa namna yoyote hamtaelewa; wakati mwonapo muweze kuona, lakini kwa namna yeyote ile msijue.
insomuch that this prophecy of Isaiah is fulfilled in them, "You will indeed hear, but will not understand; you will look, but will not perceive.
15 Na mioyo ya watu hawa imekuwa giza, ni vigumu kusikia, na wamefumba macho yao, ili wasiweze kuona kwa macho yao, au kusikia kwa masikio yao, au kufahamu kwa mioyo yao, hivyo wangenigeukia tena, na ningewaponya.'
For this people's understanding is stupefied, their ears are deafened, and their eyes they have closed; lest seeing with their eyes, hearing with their ears, and apprehending with their understanding, they should reform, and I should reclaim them."
16 Bali macho yenu yamebarikiwa, kwa kuwa yanaona, na masikio yenu kwa kuwa yanasikia.
But blessed are your eyes, because they see; and your ears, because they hear.
17 Hakika nawaambia manabii wengi na watu wenye haki walikuwa na hamu ya kuyaona mambo yale myaonayo, na hawakuweza kuyaona. Walitamani kusikia mambo yale mnayosikia, hawakuyasikia.
For, indeed, I say to you, that many prophets and righteous men have desired to see the things which you see, but have not seen them; and to hear the things which you hear, but have not heard them.
18 . Sasa sikilizeni mfano wa mpanzi.
Understand you, therefore, the parable of the sower.
19 Wakati yeyote asikiapo neno la ufalme na asilifahamu, ndipo mwovu huja na kukinyakua kilichokwisha kupandwa ndani ya moyo wake. Hii ni mbegu ile iliyopandwa kando ya njia.
When one hears the doctrine of the Reign, but considers it not, the evil one comes, and snatches away that which was sown in his heart. This explains what fell by the way-side.
20 Yeye aliyepandwa katika miamba ni yule asikiaye neno na kulipokea haraka kwa furaha.
That which fell on rocky ground, denotes him who, hearing the word, receives it at first with pleasure;
21 Bado hana mizizi ndani yake, ila huvumilia kwa kitambo kifupi. Wakati matatizo au mateso yanapotokea kwa sababu ya neno hujikwaa ghafla.
yet, not having it rooted in his mind, retains it but a while; for when trouble or persecution comes, because of the word, instantly he relapses.
22 Aliyepandwa kati ya miti ya miiba, huyu ni yule alisikiaye neno lakini masumbuko ya ulimwengu na udaganyifu wa utajiri hulisonga lile neno lisije likazaa matunda. (aiōn )
That which fell among thorns, denotes that hearer in whom worldly cares, and deceitful riches, choke the word, and render it unfruitful. (aiōn )
23 Aliyepandwa kwenye udongo mzuri, huyu ni yule asikiaye neno na kulifahamu. Huyu ni yule azaaye matunda na kuendelea kuzaa moja zaidi ya mara mia, nyingine sitini, nyingine thelathini.''
But that which fell into good soil, and bore fruit, some a hundred, some sixty, some thirty fold, denotes him, who not only hears and considers, but obeys the word.
24 Yesu aliwapa mfano mwingine. Akisema, “Ufalme wa mbinguni unafananishwa na mtu aliye panda mbengu nzuri katika shamba lake
Another parable he proposed to them, saying, The kingdom of heaven may be compared to a field, in which the proprietor has sown good grain:
25 Lakini watu waliposinzia, adui wake akaja pia akapanda magugu katikati ya ngano kisha akaenda zake.
but while people were asleep, his enemy came, and sowed darnel among the wheat, and went off.
26 Baadaye ngano ilipoota na kutoa mazao yake, ndipo magugu yalitokea pia.
When the blade was up, and putting forth the ear, then appeared also the darnel.
27 Na watumishi wa mwenye shamba walikuja wakamwambia, 'Bwana, hukupanda mbengu nzuri katika shamba lako? Imekuwaje sasa lina magugu?
And the servants came, and said to their master, Sir, you sowed good grain in your field; whence, then, has it darnel?
28 Akawaambia, Adui ametenda hili.' Watumishi walimwambia, “Kwa hiyo unataka twende tukayang'oe?”
He answered, An enemy has done this. They said, Will you, then, that we weed them out?
29 Mwenye shamba akisema, 'Hapana, wakati mnayang'oa magugu mtang'oa pamoja na ngano.
He replied, No, lest in weeding out the darnel, you tear up the wheat.
30 Yaacheni yakue pamoja mpaka wakati wa mavuno. Wakati wa mavuno nitasema kwa wavunaji, 'Kwanza yang'oeri magugu na yafungeni matita matita na kuyachoma, lakini kusanyeni ngano katika ghala langu.''''
Let both grow together until the harvest; and in the time of harvest, I will say to the reapers, first gather the darnel, and make them into bundles for burning; then carry the wheat into my barn.
31 Kisha Yesu aliwatolea mfano mwingine. Akasema, “Ufalme wa mbinguni unafanana na mbegu ya haradali ambayo mtu aliichukua na kuipanda katika shamba lake.
Another similitude he proposed to them, saying, The kingdom of heaven is like a grain of mustard seed, which a man planted in his field;
32 Mbegu hii kwa hakika ni ndogo kuliko mbegu zingine zote. Lakini imeapo huwa kubwa kuliko mimea yote ya bustani, huwa mti, kiasi kwamba ndege wa angani huja na kujenga viota katika matawi yake.”
for though it is the smallest of seeds, when grown, larger than any herb, and becomes a tree, so that the birds of the air take the shelter in its branches.
33 Akawaambia mfano mwingine tena.”Ufalme wa mbinguni ni kama chachu ile iliyo twaliwa na mwanamke na kuichanganya kwa vipimo vitatu kwa unga mpaka viumuke.
Another similitude he gave them: The kingdom of heaven is like leaven, which a woman mingled in three measures of meal, till the whole was leavened.
34 Hayo yote Yesu aliyasema kwenye umati kwa mifano. Na pasipo mifano hakusema chochote kwao.
All these similitudes Jesus spoke to the people; for he taught them only by similitudes;
35 Hii ilikuwa kwamba kile kilichokwisha semwa kupitia kwa nabii kiweze kutimia, pale aliposema, “Nitafumbua kinywa changu katika mifano. Nitasema mambo yale yaliyokuwa yamefichwa tangu misingi ya ulimwengu”.
in this verifying the word of the Prophet, "I will discourse in parables; I will utter things concerning which, all antiquity has been silent."
36 Kisha Yesu aliwaacha makutano na kwenda nyumbani. Wanafunzi wake walimwendea na kusema, “Tufafanulie mfano wa magugu ya shambani.''
Then Jesus, leaving the multitude, retired to the house, where his disciples accosted him, saying, Explain to us the parable of the darnel in the field.
37 Yesu alijibu na kusema, “Apandae mbegu nzuri ni Mwana wa Adamu.
Jesus answering, said to them, He who sowed the good seed is the Son of Man.
38 Shamba ni ulimwengu; na mbegu nzuri, hawa ni wana wa ufalme. Magugu ni wana wa yule mwovu, na adui aliye zipanda ni ibilisi.
The field is the world; the good seed are the sons of the kingdom; and the darnel are the sons of the evil one;
39 Na mavuno ni mwisho wa ulimwengu, na wavunaji ni malaika. (aiōn )
the enemy who sowed them is the devil. The harvest is the conclusion of this state; and the reapers are the angels. (aiōn )
40 Kama vile magugu yanavyo kusanywa na kuchomwa moto, hivyo ndivyo itakavyo kuwa mwisho wa ulimwengu. (aiōn )
As, therefore, the darnel is gathered and burnt, so shall it be at the conclusion of this state. (aiōn )
41 Mwana wa Adamu atatuma malaika wake, na kukusanya kutoka katika ufalme wake mambo yote yaliyosababisha dhambi na wale watendao maasi.
The Son of Man will send his angels who shall gather out of his kingdom all seducers and iniquitous persons,
42 Watawatupa wote katika tanuru la moto, ambako kutakuwa na kilio na kusaga meno.
and throw them into the burning furnace: weeping and gnashing of teeth shall be there.
43 Ndipo watu wenye haki watakapong'aa kama jua katika Ufalme wa Baba yao. Yeye aliye na masikio na sikie.
Then shall the righteous shine like the sun in the kingdom of their Father. Whoever has ears to hear let him hear.
44 Ufalme wa mbinguni ni kama hazina iliyofichwa shambani. Mtu akaiona na kuificha. Katika furaha yake akaenda kuuza vyote alivyokuwa navyo, na kulinunua shamba.
Again, the kingdom of heaven is like treasure hid in a field, which, when a man has discovered, he conceals the discovery, and for joy thereof, sells all that he has, and buys that field.
45 Tena, ufalme wa mbinguni ni kama mtu anayefanya biashara atafutaye lulu yenye thamani.
Again, the kingdom of heaven is like a pearl extremely precious, which a merchant, in quest of fine pearls,
46 Wakati alipoiona ile yenye thamani, alienda akauza kila kitu alichokuwa nacho na akainunua.
having found, sold all that he had, and purchased it.
47 Ufalme wa mbinguni ni kama nyavu iliyo ndani ya bahari, na kwamba hukusanya viumbe vya kila aina.
Again, the kingdom of heaven is like a sweep-net cast into the seam which incloses fish of every kind.
48 Ulipojaa wavuvi waliuvuta ufukweni. Kisha wakakaa chini wakakusanya vitu vyema ndani ya vyombo, lakini visivyo na thamani vilitupwa mbali.
When it is full, they draw it ashore, and gather the good into vessels, but throw the useless away.
49 Itakuwa namna hii katika mwisho wa dunia. Malaika watakuja na kuwatenga watu waovu kutoka miongoni mwa wenye haki. (aiōn )
So it shall be at the conclusion of this state. The angels will come and separate the wicked from among the righteous, (aiōn )
50 Na kuwatupa ndani ya tanuru ya moto, ambako kutakuwa na maombolezo na kusaga meno.
and throw them into the burning furnace. Weeping and gnashing of teeth shall be there.
51 Mmefahamu mambo yote haya? Wanafunzi walimjibu, ''Ndiyo.''
Jesus said, Do you understand all these things? They answered, Yes, Master.
52 Kisha Yesu akawambia, ''Kila mwandishi ambaye amekuwa mwanafunzi wa ufalme anafanana na mwenye nyumba atoaye katika hazina yake vitu vipya na vya kale.''
He added, Every scribe, therefore, instructed for the Reign of Heaven, is like a householder, who brings out of his storehouse new things and old.
53 IkawaYesu alipomaliza mifano yote hiyo, akaondoka katika sehemu hiyo.
And after he had finished these similitudes, he departed thence.
54 Kisha Yesu akafika katika mkoa wake na akawafundisha watu katika sinagogi. Matokeo yake ni kuwa walishangaa na kusema, “Ni wapi mtu huyu alipopata hekima hii na miujiza hii?
Jesus being come into his own country, taught the inhabitants in their synagogue; and they said with astonishment, Whence has this man this wisdom, and this power of working miracles?
55 Mtu huyu siyo mwana wa seremala? Mariamu siyo mamaye? Na ndugu zake siyo Yakobo, Yusuph, Simoni na Yuda?
Is not this the carpenter's son? Is not his mother called Mary? And do not his brothers, James, and Joses, and Simon, and Judas,
56 Na dada zake tunao hapa petu? Basi mtu huyu ameyapata wapi haya yote?”.
and all his sisters, live amongst us? Whence, then, has he all these things?
57 Aliwachukiza. Lakini Yesu aliwambia, “Nabii hakosi kuwa na heshima isipokuwa kwao na katika nchi yao.
Thus they were offended at him. But Jesus said to them, A prophet is no where disregarded, except in his own country, and in his own family.
58 Na hakuweza kufanya miujiza mingi kwa sababu hawakuwa na imani naye.
And he did not many miracles there, because of their unbelief.