< Mathayo 13 >

1 Katika siku hiyo Yesu aliondoka nyumbani na kukaa kando ya bahari.
Acuna mhnüp üng, Jesuh im üngkhyüh cit lü tuilia kama jah mthei khaia ngawki.
2 Umati mkubwa ulikusanyika kwa kumzunguka, aliingia ndani ya mtumbwi na kukaa ndani yake. Umati wote walisimama kando ya bahari.
Ani ngbum lawki khyangpäe nung u se ta Jesuh mlawnga khana kai lü a ngaw üng, khyangpäe cun tuili kama ngdüikie.
3 Kisha Yesu alisema maneno mengi kwa mifano, Alisema, “Tazama, mpanzi alienda kupanda.
Jesuh naw msuimcäpnake am ngthu pyen lü, “Ahlana mci saw khaia khyang mat citki.”
4 Alipokuwa akipanda baadhi ya mbegu zilianguka kando ya njia na ndege walikuja wakazidonoa.
Acukba a phuh hü üng, mci avang lama kya se khae naw ami ei u.
5 Mbegu zingine zilianguka juu ya mwamba, ambapo hazikupata udongo wa kutosha. Ghafla zilichipuka kwa sababu udongo haukuwa na kina.
Avang lunga danak, nglei a ngceknaka kya se akjanga cawt lawki.
6 Lakini jua lilipo chomoza zilichomwa kwa sababu hazikuwa na mizizi, na zilikauka.
Khaw so law lü ngling law se, apya am vekia kya lü ngjaiei päihki.
7 Mbengu zingine zilianguka kati ya miti yenye miiba. Miti yenye miiba ilirefuka juu ikaisonga.
Mci avang nghlinga ksunga kya se nghling naw saü law lü a jah yaiin.
8 Mbegu zingine zilianguka kwenye udongo mzuri na kuzaa mbegu, zingine mara mia moja zaidi, zingine sitini na zingine thelathini
Cunsepi, mci avang ngleia dawnaka kya se daw lü, avang aphya, avang khyukip, avang thumkipa ngtheipai lawki.
9 Aliye na masikio na asikie.
Aupi a ngjaknak vai a nghnga veki naw ngja se” a ti.
10 Wanafunzi walikuja na kumwambia Yesu, “Kwa nini unazungumza na makutano kwa mifano?”
Acunüng axüisaw he Jesuha veia law u lü, “Khyang he am na ngthuei üng ivaia msuimcäpnake na jah sumeiki ni?” ti lü ami kthäh u.
11 Yesu alijibu kuwaambia, “Mmepewa upendeleo wa kufahamu siri za ufalme wa mbinguni, bali kwao hawajapewa.
Jesuh naw, “Nangmi cun Khankhaw Pea küia mawng ksingnak ka ning jah mtheh päng ni, amimi üng ta am jah mtheh nawng” a ti.
12 Lakini yeyote aliyenacho, kwake yeye ataongezewa zaidi, na atapata faida kubwa. Ilasiye nacho hata kile alichonacho atanyang'anywa.
Takia khyang üng a tak law dämdäm vaia petsih vai. I pi am taki üng a tak naküt pi hutei be vai.
13 Hivyo naongea nao kwa mifano kwa sababu ingawa wanaona, wasione kweli. Na ingawa wanasikia wasisikie wala kufahamu.
Ami veia msuimcäpnak am ngthu ka pyen hin teng kyaw u lü pi am hmu u, ngai kyaw u lü pi am ngjakya u.
14 Unabii wa Isaya umetimia kwao, ule usemao, “Msikiapo msikie, lakini kwa namna yoyote hamtaelewa; wakati mwonapo muweze kuona, lakini kwa namna yeyote ile msijue.
Acunakyase sahma Hesajah naw Hina khyang he naw ngai lü ngaikie, cunüngpi am ngjakya u; teng lü tengkie, cunüngpi am hmu u,
15 Na mioyo ya watu hawa imekuwa giza, ni vigumu kusikia, na wamefumba macho yao, ili wasiweze kuona kwa macho yao, au kusikia kwa masikio yao, au kufahamu kwa mioyo yao, hivyo wangenigeukia tena, na ningewaponya.'
Isetiüng ami mlung nghlangkia kyase, ami nghnga naw am ngja ti, ami mik naw am hmu ti. Ami mik naw hmu lü, ami nghnga naw a ngjak vai sü ta, ami mlung üng ngjakya khaie sü, acunüng ka veia nghlat law be u se, ka jah mdaw be vai sü” a pyen khawi.
16 Bali macho yenu yamebarikiwa, kwa kuwa yanaona, na masikio yenu kwa kuwa yanasikia.
Nangmi ta nami mik naw hmuh lü nami nghnga naw ngja se nami kam daw ve.
17 Hakika nawaambia manabii wengi na watu wenye haki walikuwa na hamu ya kuyaona mambo yale myaonayo, na hawakuweza kuyaona. Walitamani kusikia mambo yale mnayosikia, hawakuyasikia.
Akcanga ka ning jah mthehki, sahma khawkän ja Pamhnama khyang he naw nami hmuh hin hmuh hlü u lü pi am hmuh khawh u, nami ngjak hin ngja hlü u lü pi am ngja hüt u.
18 . Sasa sikilizeni mfano wa mpanzi.
Acunakyase, mciksaw msuimcäpnak üng pyen hlü hin ngai lü ngthei ua.
19 Wakati yeyote asikiapo neno la ufalme na asilifahamu, ndipo mwovu huja na kukinyakua kilichokwisha kupandwa ndani ya moyo wake. Hii ni mbegu ile iliyopandwa kando ya njia.
Khankhaw Pea mawng ngthu ngja lü am ngjakyaki cun lama khana kyaki mci am tängki ni. Khawyaipa naw law lü a mlung k’uma sawnglin cun a lawheiin pet.
20 Yeye aliyepandwa katika miamba ni yule asikiaye neno na kulipokea haraka kwa furaha.
Lunga khana kyaki mci cun ngthu ngja lü jekyainak am a ngjak ja dokhameiki.
21 Bado hana mizizi ndani yake, ila huvumilia kwa kitambo kifupi. Wakati matatizo au mateso yanapotokea kwa sababu ya neno hujikwaa ghafla.
Acunüngpi am phungpya mahkia kyase khawvei am kham. Acun ngthua phäh khuikhatnak ja mkhuimkhanak apha law üng pyaiei beki.
22 Aliyepandwa kati ya miti ya miiba, huyu ni yule alisikiaye neno lakini masumbuko ya ulimwengu na udaganyifu wa utajiri hulisonga lile neno lisije likazaa matunda. (aiōn g165)
Nghling hmua kyakia mci cun Mhnama ngthu ngja kyawki, khawmdeka cäicingnak ja bawimangnak naw a mhleia phäh a ngthu ngjak cun kpyeh se, am ngtheipai lü veeiki. (aiōn g165)
23 Aliyepandwa kwenye udongo mzuri, huyu ni yule asikiaye neno na kulifahamu. Huyu ni yule azaaye matunda na kuendelea kuzaa moja zaidi ya mara mia, nyingine sitini, nyingine thelathini.''
Ngleia dawnak üng kyakia mci cun ta ngthu ngja lü ngjakyaki: acunüng ngtheipaikie, avang aphya, akhäk khyukip ja amsah thumkipa ngtheipai bekie” a ti.
24 Yesu aliwapa mfano mwingine. Akisema, “Ufalme wa mbinguni unafananishwa na mtu aliye panda mbengu nzuri katika shamba lake
Msuimcäpnak akce a jah mtheh betü ta, “Khankhaw Pe cun a loa mci kdaw sawki khyang mat am tängki ni.
25 Lakini watu waliposinzia, adui wake akaja pia akapanda magugu katikati ya ngano kisha akaenda zake.
Khyang he ami ih k'um mthan mat üng, ye naw law lü mci kdawa ksunga mci kse saw lü akcea citinki.
26 Baadaye ngano ilipoota na kutoa mazao yake, ndipo magugu yalitokea pia.
Cang pyo law lü a vuipai law üng, mphyaw pi ngdang lawki.
27 Na watumishi wa mwenye shamba walikuja wakamwambia, 'Bwana, hukupanda mbengu nzuri katika shamba lako? Imekuwaje sasa lina magugu?
A mpyae naw law u lü amahpaa veia, “Angvai aw, na lo üng mcikdaw va na saw am niki aw? Hawia khyüh hina mphyawe po lawki he ni? ti lü a kthäh.
28 Akawaambia, Adui ametenda hili.' Watumishi walimwambia, “Kwa hiyo unataka twende tukayang'oe?”
Lomah naw, “Yee naw ahikba ami pawh ni” a ti. A mpyae naw lomah üng cit lü kami jah phukin vai aw? ami ti.
29 Mwenye shamba akisema, 'Hapana, wakati mnayang'oa magugu mtang'oa pamoja na ngano.
Lomah naw, “Kaa, mphyaw nami phuk üng cangkdaw pi nami phuksih khai ni.”
30 Yaacheni yakue pamoja mpaka wakati wa mavuno. Wakati wa mavuno nitasema kwa wavunaji, 'Kwanza yang'oeri magugu na yafungeni matita matita na kuyachoma, lakini kusanyeni ngano katika ghala langu.''''
“Cang ah veia ani nghngih veei yüm ni se. Cang ah law üng mphyawe cun jah phu ma lü mei üng jah mkhih vai ja, cange cun jah at hnga u lü, ka kheia ami tak vaia cangk'at he üng ka jah mtheh khai,” ti lü a pyen.
31 Kisha Yesu aliwatolea mfano mwingine. Akasema, “Ufalme wa mbinguni unafanana na mbegu ya haradali ambayo mtu aliichukua na kuipanda katika shamba lake.
Jesuh naw msuimcäpnak akce a jah mtheh betü cun, “Khankhaw Pe cun khyang naw anca ui cehpüi lü a loa a phuha mäi ni,”
32 Mbegu hii kwa hakika ni ndogo kuliko mbegu zingine zote. Lakini imeapo huwa kubwa kuliko mimea yote ya bustani, huwa mti, kiasi kwamba ndege wa angani huja na kujenga viota katika matawi yake.”
Anca ui cun mciui naküt üng akdik säiha kya lü pi a cawt law üng, kpue naküt kthaka ngbaü lawki. A thinga thawn law se khae naw pi law u lü, a kpyang üng ngbu tuhei law khawikie,” a ti.
33 Akawaambia mfano mwingine tena.”Ufalme wa mbinguni ni kama chachu ile iliyo twaliwa na mwanamke na kuichanganya kwa vipimo vitatu kwa unga mpaka viumuke.
Msuimcäpnak mat a jah mtheh betü cun, “Khankhaw Pe cun nghnumi mat naw nghngen lo lü khai tawng kthum üng kcaw se, khai kphawm lawki üng tängki ni,” a ti.
34 Hayo yote Yesu aliyasema kwenye umati kwa mifano. Na pasipo mifano hakusema chochote kwao.
Jesuh naw msuimcäpnak am khyangpäe üng ngthu jah mthehki; msuimcäpnaka kaa i am pyen.
35 Hii ilikuwa kwamba kile kilichokwisha semwa kupitia kwa nabii kiweze kutimia, pale aliposema, “Nitafumbua kinywa changu katika mifano. Nitasema mambo yale yaliyokuwa yamefichwa tangu misingi ya ulimwengu”.
Sahma naw a pyen khawi, “Msuimcäpnak am amimia veia ngthu ka pyen khai; khawmdek mhnünmceng üngka naw khyüngthupe ka jah mtheh khai,” ti aküm lawnaka kyaki.
36 Kisha Yesu aliwaacha makutano na kwenda nyumbani. Wanafunzi wake walimwendea na kusema, “Tufafanulie mfano wa magugu ya shambani.''
Jesuh naw khyangpä cun akcea jah ceh ta lü im k’uma lut se, axüisaw he a veia law u lü, “Loa mphyawa mawng msuimcäpnaka suilam i ni, jah mtheha” ami ti.
37 Yesu alijibu na kusema, “Apandae mbegu nzuri ni Mwana wa Adamu.
Jesuh naw, “Mcikdaw sawki cun Khyanga Capa ni.”
38 Shamba ni ulimwengu; na mbegu nzuri, hawa ni wana wa ufalme. Magugu ni wana wa yule mwovu, na adui aliye zipanda ni ibilisi.
Lo cun khawmdek ni, mcikdawe cun Khankhaw Pea ca hea kya u lü, mphyawe cun Khawyama ca he ni.
39 Na mavuno ni mwisho wa ulimwengu, na wavunaji ni malaika. (aiōn g165)
Mphyaw sawki ye cun Khawyam ni. Cang ah kcün cun khawmdeka päihnaka mhnüp ni, cang atkie cun khankhawngsä he ni. (aiōn g165)
40 Kama vile magugu yanavyo kusanywa na kuchomwa moto, hivyo ndivyo itakavyo kuwa mwisho wa ulimwengu. (aiōn g165)
Acukba mphyawe jah mcun lü mei üng ami jah mkhiha mäiha, akcün päih law üng thawn law khai. (aiōn g165)
41 Mwana wa Adamu atatuma malaika wake, na kukusanya kutoka katika ufalme wake mambo yote yaliyosababisha dhambi na wale watendao maasi.
Khyanga Capa naw a khankhawngsä he jah tüih law se, acun he naw a Khankhaw Pe üng khyang he jah mkhyekatsakie ja akse pawhkie avan cun jah mkhäm khai,
42 Watawatupa wote katika tanuru la moto, ambako kutakuwa na kilio na kusaga meno.
Kyap u lü ami mnicui hakyet khai hea mulai mei kdäi üng jah xawt law khaie.
43 Ndipo watu wenye haki watakapong'aa kama jua katika Ufalme wa Baba yao. Yeye aliye na masikio na sikie.
Acunüng Pamhnam ca he ta khawnghngia deikhanga mäiha ami Paa Khankhaw Pea kdeikhang khaie. Na nghnga a ve üng ngjaa!
44 Ufalme wa mbinguni ni kama hazina iliyofichwa shambani. Mtu akaiona na kuificha. Katika furaha yake akaenda kuuza vyote alivyokuwa navyo, na kulinunua shamba.
Khankhaw Pe cun loa thupa khawhthem üng tängki ni. Khyang mat naw acuna khawh cun hmu lü thup beki naw, jekyai lü a tak naküt va jawi lü a yah lawa ngui am acuna lo cun a khyäih.
45 Tena, ufalme wa mbinguni ni kama mtu anayefanya biashara atafutaye lulu yenye thamani.
Acunkäna, Khankhaw Pe cun aphu küiki lungtaü kdaw sui hü lü kunpanki khyang mat veki.
46 Wakati alipoiona ile yenye thamani, alienda akauza kila kitu alichokuwa nacho na akainunua.
Acuna lungtaü a hmuh üng a tak naküt jawi päih lü acuna lungtaü cun a khyäih am tängki ni.
47 Ufalme wa mbinguni ni kama nyavu iliyo ndani ya bahari, na kwamba hukusanya viumbe vya kila aina.
Khankhaw Pe cun ngvai am pi tängki ni. Ngaksui avang naw tuia ami ngvai ami vawih üng nga amjüküm ng’awki.
48 Ulipojaa wavuvi waliuvuta ufukweni. Kisha wakakaa chini wakakusanya vitu vyema ndani ya vyombo, lakini visivyo na thamani vilitupwa mbali.
Ngvai cun nga beei se kawnga kaih u lü nga cun ami ngawh sawa phyäihkie: nga kdawe cun cä üng jah xawn u lü, am dawkia ngakse naküt cun ami jah xawtin.
49 Itakuwa namna hii katika mwisho wa dunia. Malaika watakuja na kuwatenga watu waovu kutoka miongoni mwa wenye haki. (aiōn g165)
Acukba akcüna päih law üng thawn law khai: khankhawngsä he naw law u lü khyang ngsungpyunea ksunga khyangkae cun jah xü khai. (aiōn g165)
50 Na kuwatupa ndani ya tanuru ya moto, ambako kutakuwa na maombolezo na kusaga meno.
Kyap lü ami mnicui hakyet khai hea, mulai meikdäia jah xawtin vai” a ti.
51 Mmefahamu mambo yote haya? Wanafunzi walimjibu, ''Ndiyo.''
Jesuh naw, “Ahin he hin nami jah ngjakyaki aw?” ti se, “Ä, kami ngjakyaki ni” ami ti.
52 Kisha Yesu akawambia, ''Kila mwandishi ambaye amekuwa mwanafunzi wa ufalme anafanana na mwenye nyumba atoaye katika hazina yake vitu vipya na vya kale.''
Jesuh naw, “Acunakyase Khankhaw Pea mawng mtheiki thum mthei he naküt cun immahpa naw a im k’uma ka khawh akthai ja akphyüm a cümnak üngka naw loki am tängki ni,” a ti.
53 IkawaYesu alipomaliza mifano yote hiyo, akaondoka katika sehemu hiyo.
Jesuh naw acuna msuimcäpnake a jah mtheh päng üng, acuna hnün hawih lü,
54 Kisha Yesu akafika katika mkoa wake na akawafundisha watu katika sinagogi. Matokeo yake ni kuwa walishangaa na kusema, “Ni wapi mtu huyu alipopata hekima hii na miujiza hii?
A hminak mlüha cit beki. Sinakoka k’uma jah mtheimthang se ngja lü müncan ngenkie. “Ahina themngvainak müncankse pawhnaka johit hin hawia a jah yah ni?” ami ti.
55 Mtu huyu siyo mwana wa seremala? Mariamu siyo mamaye? Na ndugu zake siyo Yakobo, Yusuph, Simoni na Yuda?
Imksaa ca am ni mä? A nu pi Marih, a benae pi Jakuk, Josep, Sihmon ja Judah ami ti am nikie mä?
56 Na dada zake tunao hapa petu? Basi mtu huyu ameyapata wapi haya yote?”.
A cinae am pi ahia awmki he am ni mä? Hawia ka hin naw ahikba johit hin a jah yah hü ni? ami ti.
57 Aliwachukiza. Lakini Yesu aliwambia, “Nabii hakosi kuwa na heshima isipokuwa kwao na katika nchi yao.
Acukba Jesuh cun ami ma. Jesuh naw, “Sahma cun hnün naküt üng leisawngkie ni, a hminak a khaw ja a imbunga ni am leisawngnak a yah khawi,” a ti.
58 Na hakuweza kufanya miujiza mingi kwa sababu hawakuwa na imani naye.
Am jumkiea kyase acuia müncankse i am pawh.

< Mathayo 13 >