< Mathayo 12 >

1 Wakati huo Yesu alienda siku ya sabato kupitia mashambani. Wanafunzi wake walikuwa na njaa na wakaanza kuyavunja masuke na kuyala.
Amo galu, Yesu da Sa: bade esoga gagoma sagai soge amo ganodini lalu. Ea ado ba: su dunu da ha: iba: le, gagoma oso faili nanu.
2 Lakini Mafarisayo walipoona hayo, wakamwambia Yesu “Angalia wanafunzi wako wanavunja sheria wanatenda siku yasiyo yuhusiwa siku ya Sabato''
Amo hou ba: beba: le, Fa: lisi dunu da Yesuma amane sia: i, “Ba: ma! Dia ado ba: su dunu da Sa: bade eso sema wadela: sa!”
3 Lakini Yesu akawaambia, “Hamjasoma jinsi Daudi aliyoyafanya, wakati alipokuwa na njaa, pamoja na watu aliokuwa nao?
Yesu da bu adole i, “Dilia da Da: ibidi amola ea na: iyado ilia ha: iba: le hamoi amohame idibala: ?
4 Namna alivyoingia ndani ya nyumba ya Mungu na kula mikate ya wonyesho, ambayo ilikuwa siyo halali kwake kuila na wale aliokuwa nao, ila halali kwa Makuhani?
E da Gode Ea diasu ganodini golili sa: ili, agi ga: gi amo da Godema i dagoi, e amola ea fa: no bobogesu dunu da lale mai dagoi. Musa: goe agi ga: gi da sema bagade galu. Gobele salasu dunu fawane nasu.
5 Bado hamjasoma katika sheria, kwamba katika siku ya Sabato Makuhani ndani ya hekalu huinajisi Sabato, lakini hawana hatia?
Dilia Gode Sia: Dedei Buga hame idibala: ? Gobele salasu dunu da Sa: bade eso huluane Debolo Diasu ganodini Sa: bade Sema wadela: sa. Be amo da wadela: i hou hame.
6 Lakini nasema kwenu kuwa aliye mkuu kuliko hekalu yuko hapa.
Na da dilima sia: sa! Debolo Diasu ea hou baligisu Dunu da wali guiguda: esala.
7 Kama mngalijua hii ina maanisha nini; nataka rehema na siyo dhabihu; msingaliwahukumu wasio na hatia,
Gode Sia: da agoane dedei diala, ‘Na da ohe gobele salasu hou hame, be asigi gogolema: ne olofosu hou fawane hanasa!’ Dilia da amo sia: dawa: i ganiaba, dilia da dunu ida: iwane Ema hame fofada: la: loba.
8 Kwa kuwa Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato.”
Bai Dunu Egefe da Sa: bade eso amoma Hina esala.”
9 Kisha Yesu akatoka pale akaenda katika sinagogi lao.
Amo soge yolesili, Yesu da ilia sinagoge diasu ganodini golili sa: i.
10 Tazama kulikuwa na mtu aliyepooza mkono. Mafarisayo wakamuuliza Yesu, wakisema. “Je, ni halali kuponya siku ya Sabato?” ili kwamba waweze kumshitaki kwa kutenda dhambi.
Dunu afae amo ea lobo lologoi dialu amo diasu ganodini esalebe ba: i. Dunu eno ilia da Yesu dafama: ne ado ba: musa: dawa: beba: le, amane sia: i, “Sa: bade eso amoga, dunu da uhinisu hou hamosea, e da ninia Sema wadela: sala: ?”
11 Yesu akawaambia, “Nani kati yenu, ambaye ikiwa ana kondoo mmoja, na huyu kondoo akaanguka ndani ya shimo siku ya sabato, hatamshika na kumtoa kwa nguvu ndani ya shimo?
Yesu da bu adole i, “Dilia da Sa: bade esoga sibi da uli dogoi ganodini dafasea, adi hamoma: bela: ? Sibi ea eda da bu hiougili gadoma: bela: ? Dafawane! E da fidimu!
12 Je, ni kipi chenye thamani, zaidi kwani, si zaidi ya kondoo! Kwa hivyo ni halali kutenda mema siku ya Sabato.''
Be dunu ea esalusu da sibi ea esalusu amo baligi dagoi. Amaiba: le, ninia Sema amo ganodini, Sa: bade esoga hawa: hamosu noga: iwane hamomu da defea.”
13 Kisha Yesu akamwambia yule mtu,” Nyoosha mkono wako” Akaunyoosha, na ukapata afya, kama ule mwingine.
Amalalu, Yesu da lobo lologoi dunuma amane sia: i, “Dia lobo moloma!” Amalalu, ea lobo molole, ea lobo bu ida: iwane, ea lobo eno defele ba: i.
14 Lakini Mafarisayo wakatoka njena wakapanga jinsi ya kumwangamiza walienda nje kupanga kinyume chake. Walikuwa wakitafuta jinsi ya kumuua.
Amalalu, Fa: lisi dunu da yolesili asili, fofada: ne, Yesu medomusa: ilegesu.
15 Yesu alipoelewa hili aliondoka hapo. Watu wengi walimfuata, na akawaaponya wote.
Be amo medole legemu hou nababeba: le, Yesu da amo sogebi yolesiagai. Dunu bagohame da Ema fa: no bobogei. Amalalu, Yesu da dunu ilia olo huluane uhinisisi dagoi.
16 Aliwaagiza wasije wakamfanya afahamike kwa wengine,
E da ilima amo hou eno dunuma mae olelema: ne sia: i.
17 kwamba itimie ile kweli, iliyokuwa imesemwa na nabii Isaya, akisema,
Amo hou hamoiba: le, musa: balofede dunu Aisaia ea sia: da didili hamoi dagoi ba: i.
18 Tazama, mtumishi wangu niliyemchagua, mpendwa wangu, katika yeye nafsi yangu imependezwa. Nitaweka Roho yangu juu yake, na atatangaza hukumu kwa Mataifa.
Aisaia da musa: amane sia: i, “Na hawa: hamosu dunu Na ilegei, amo ba: ma! E da na dogolegeidafa! Na da Na A: silibu Ema imunu. Na da dunu fifi asi gala huluane ilima fofada: musa: misunu. E da ilima amo hou olelemu.
19 Hatahangaika wala kulia kwa nguvu; wala awaye yote kusikia sauti yake mitaani.
E da sia: ga hame gegemu, hame wele sia: mu. E da logoga sia: olelemusa: ha: giwane hame sia: mu.
20 Hatalivunja tete lililochubuliwa; hatazima utambi wowote utoao moshi, mpaka atakapoleta hukumu ikashinda.
E da saga: baea: i da hame fimu. Hanu ea lalu gona: su da usimusa: ba: sea, E da amo hame haba: domu. E da mae yolesili hawa: hamonanumu. Moloidafa hou da doaga: beba: le fawane yolesimu.
21 Na Mataifa watakuwa na ujasiri katika jina lake.
Dunu fifi asi gala da Ea hou lalegaguiba: le, ilia da hobea misunu hou dafawane hamoma: beyale dawa: mu.”
22 Mtu fulani kipofu na bubu, aliyepagawa na pepo aliletwa mbele ya Yesu. Akamponya, pamoja na matokeo ya kwamba mtu bubu alisema na kuona.
Ilia da dunu afae amo ea dogo ganodini wadela: i a: silibu da aligila sa: iba: le si dofoi amola sia: hamedei gala, amo Yesuma oule misi. Yesu da amo dunu uhinisi dagoi. Amalalu, e da bu ba: i amola bu sia: baoui.
23 Makutano wote walishangaa na kusema,”Yaweza mtu huyu kuwa mwana wa Daudi?”
Dunu huluane da amo hou ba: beba: le bagadewane fofogadigi. Ilia da amane adole ba: i, “Amabela: ? Amo dunu da Da: ibidi Egefela: ?”
24 Lakini pindi Mafarisayo waliposikia muujiza huu, walisema, “Huyu mtu hatoi pepo kwa nguvu zake mwenyewe isipokuwa kwa nguvu za Belzebuli, mkuu wa pepo.
Be Fa: lisi dunu da amo hou nababeba: le, amane sia: i, “E da Bilisibale, wadela: i a: silibu ea hina, amo ea gasaga, Fio liligi fadegasa.”
25 “Lakini Yesu alifahamu fikra zao na kuwaambia, “Kila ufalme uliogawanyika wenyewe huharibika, na kila mji au nyumba inayogawanyika yenyewe haitasimama.
Yesu da ilia asigi dawa: su dawa: beba: le, amane sia: i, “Dunu fi da afafasea, amo fi da wadela: mu. Moilai fi o sosogo fi amola da afafasea, dafamu.
26 Ikiwa Shetani, atamwondoa Shetani, basi anajipinga katika nafsi yake mwenyewe.
Sa: ida: ne ea fi gilisisu afae da ea fi dunu eno amoma gegene, sefasisia, Sa: ida: ne ea fi da afafae dagoi amola hedolo dafai dagoi ba: mu.
27 Ni namna gani ufalme wake utasimama? Na kama natoa pepo kwa nguvu za Belizabuli, wafuasi wenu huwatatoa kwa nija ya nani? Kwa ajili ya hili watakuwa mahakimu wenu.
Na da Bilisibale amo ea gasaga Fio liligi fadegale fasisia, dilia fa: no bobogesu dunu da nowa ea gasaga amo liligi fadegasala: ? Amaiba: le dilima fa: no bobogesu dunu ilia hou, da dilia hou da giadofai amo olelesa.
28 Na kama natoa pepo kwa nguvu za Roho wa Mungu, basi ufalme wa Mungu umekjua kwenu.
Be Na da Gode Ea A: silibu amo Ea gasaga Fio liligi fadegale fasisa galea, defea, Gode Ea Hinadafa Hou da doaga: i dagoi, amo dawa: ma.
29 Na mtu atawezaje kuingia ndani ya nyumba ya mwenye nguvu na kuiba, bila kumfunga mwenye nguvu kwanza? Ndiyo atakapoiba mali yake kutoka ndani ya nyumba.
Dunu da gasa bagade dunu ea liligi samogemusa: dawa: sea, e da hidadea gasa bagade dunu ea lobo la: gili, amo fa: no ea diasu golili sa: ili, ea liligi samogesa.
30 Yeyote asiye kuwa pamoja nami yuko kinyume changu, naye asiye kusanya pamoja nami huyo hutawanya.
Nowa dunu da Namagai hame esalea, e da Nama ha lai agoane. Nowa da Na sibi hame gilisisia, e da Na sibi afagogosa.
31 Kwa hiyo nasema kwenu, kila dhambi na kufuru watu watasamehewa, ila kumkufuru Roho Mtakatifu hawatasamehewa.
Amaiba: le, wadela: i hou huluane amola lasogole sia: huluane, Gode da gogolema: ne olofomu. Be dunu da Gode Ea A: silibu Hadigidafa gala Ema ha lale lasogole sia: sea, amo Gode da hame gogolema: ne olofomu.
32 Na yeyote asemaye neno kinyume cha Mwana wa Adamu, hilo atasamehewa. Lakini yeyote asemaye kinyume na Roho Mtakatifu, huyo hatasamehewa, katika ulimwengu huu, na wala ule ujao (aiōn g165)
Nowa da Dunu Egefema lasogole sia: sea, bu fofada: sea, ea hou da gogolema: ne olofoi dagoi ba: mu. Be Gode Ea A: silibu Hadigidafa gala Ema lasogole sia: sea, gogolema: ne olofosu da hame ba: mu. Wali osobo bagade eso amola fa: no misunu eso huluane ganodini, gogolema: ne olofosu hamedafa ba: mu. (aiōn g165)
33 Ama ufanye mti kuwa mzuri na tunda lake zuri, au uuharibu mti na tunda lake, kwa kuwa mti hutambulika kwa tunda lake.
Ifa ida: iwane gala da dulu ida: iwane legesa. Wadela: i ifa da dulu wadela: i gala legesa. Dunu da ifa ea dulu ba: sea, ilia da amo ifa ea hou dawa: sa.
34 Nyinyi kizazi cha nyoka, nyie ni waovu, mnawezaje kusema mambo mazuri? Kwa kuwa kinywa hunena kutoka katika akiba ya yaliyomo moyoni.
Dilia wadela: i sania fi! Dilia hou da wadela: iba: le, ida: iwane sia: habodane sia: ma: bela? Dunu ilia lafidili sia: da hidadea ilia dogoga maha.
35 Mtu mwema katika akiba njema ya moyo wake hutoka mema, na mtu mwovu katika akiba ovu ya moyo wake, hutoa kilicho kiovu.
Dunu ida: iwane gala da ida: iwane ligisisu amoga liligi ida: iwane olelesa. Be wadela: i dunu da wadela: i ligisisu amoga wadela: i liligi olelesa.
36 Nawaambia kuwa katika siku ya hukumu watu watatoa hesabu ya kila neno lisilo na maana walilosema.
Na dilima sia: sa. Fofada: su Eso doaga: sea, dunu huluane ilia lafidili udigili sia: i huludafa amoba: le Na da fofada: mu.
37 Kwa kuwa kwa maneno yako utahesabiwa haki na kwa maneno yako utahukumiwa.”
Dilia sia: sia: beba: le, fofada: sea, Fofada: su Dunu da dili mogili da wadela: le hamoi, mogili da hou ida: iwane hamoi, amane ilegemu.”
38 Kisha baadhi ya waandishi na Mafarisayo walimjibu Yesu wakisema” Mwalimu, tungependa kuona ishara kutoka kwako.”
Amalalu, Sema olelesu dunu amola Fa: lisi dunu da Yesuma amane sia: i, “Olelesu! Di da gasa bagade dawa: digima: ne olelesu hamoma!”
39 Lakini Yesu alijibu na kuwaambia, “Kizazi kiovu na cha zinaa kinatafuta ishara. Lakini hakuna ishara itakayotolewa kwao isipokuwa ile ishara ya Yona nabii.
Yesu E bu adole i, “Wadela: i fi amola dabua fawane molole ogogosu fi ilia da dawa: digima: ne olelesu hogosa. Be Na da dawa: digima: ne olelesu dilima hame imunu. Youna fawane ea dawa: digima: ne olelesu dawa: ma!
40 Kama vile nabii Yona alivyokuwa ndani ya tumbo la samaki mkubwa kwa siku tatu mchana na usiku, hivyo ndivyo Mwana wa Adam atakavyo kuwa ndani ya moyo wa nchi kwa siku tatu mchana na usiku.
Youna da eso udiana amola gasi udiana, menabo bagade ea hagomo ganodini dialu. Amo defele, Dunu Egefe da osobo ea dogo ganodini eso udiana amola gasi udiana dialumu.
41 Watu wa Ninawi watasimama mbele ya hukumu pamoja na kizazi cha watu hawa na watakihukumu. Kwa kuwa walitubu kwa mahubiri ya Yona, na tazama, mtu fulani mkuu kuliko Yona yuko hapa.
Fofada: su Eso doaga: sea, Ninife dunu da dilima fofada: mu. Bai ilia da Youna ea sia: nababeba: le, gogosiane, Godema sinidigi. Be Dunu waha esala, da Youna ea hou baligi dagoi.
42 Malkia wa kusini atainuka kwenye hukumu pamoja na watu wa kizazi hiki na kukihukumu. Alikuja toka miisho ya dunia kuja kusikia hekima ya Selemani, na tazama, mtu fulani mkuu kuliko Selemani yupo hapa.
Fofada: su Eso doaga: sea, Siba soge hina bagade uda da wa: legadole, dilima fofada: mu. E da Soloumane ea bagade dawa: su sia: nabima: ne, badilia soge amodili misi. Be Soloumane ea hou baligisu Dunu da waha esala.
43 Wakati pepo mchafu amtokapo mtu, hupita mahali pasipo na maji akitafuta kupumzika, lakini hapaoni
Wadela: i a: silibu da dunu ea dogoga gadili ahoasea, e da iwilaga udigili golamu soge hogola ahoa. Be hame ba: sa.
44 Kisha husema, 'nitarudi kwenye nyumba yangu niliyotoka.' Arudipo hukuta ile nyumba imesafishwa na iko tayari.
Amasea e da amane sia: sa, ‘Na da na musa: diasuga bu hagimu!’ Sia: beba: le, bu doaga: sea, ea diasu gelabai amola noga: le doga: i dagoi ba: sa.
45 Kisha huenda na kuwaleta wengine roho wachafu saba walio wabaya zaidi kuliko yeye, huja kuishi wote pale. Na hali yake ya mwisho huwa mbaya kuliko ya kwanza. Hivyo ndivyo itakavyo kuwa kwa kizazi hiki kiovu.
Amaiba: le, e da bu gadili asili, a:silibu eno fesuale gala, ilia hou da ea wadela: i hou baligisa, amo lidili, ilia gilisili ganodini fila sa: imu. Amaiba: le goe dunu ea hou da bagade baligili bu wadela: mu. Waha dunu fi esala da amo hou ilima doaga: i dagoi ba: mu.”
46 Wakati Yesu alipokuwa akizungumza na umati tazama, mama yake na ndugu zake walisimama nje, wakitafuta kuongea naye.
Yesu da dunu huluanema sia: nanoba, Ea: me amola eya huluane da misini, Ema sia: musa: gadili lelu.
47 Mtu mmoja akamwambia, “Tazama mama yako na ndugu zako wamesimama nje, wanatafuta kuongea nawe”.
Dunu afae da Yesuma amane sia: i, “Dia: me amola Diaeya da Dima sia: musa: gadili lela.”
48 Lakini Yesu alijibu na kumwambia aliyemjulisha, “Mama yangu ni nani? Na ndugu zangu ni akina nani?”
Be Yesu E bu adole i, “Na: me amola Naeya da nowala: ?”
49 Naye alinyoosha mkono wake kwa wanafunzi na kusema, “Tazama, hawa ni mama na ndugu zangu!
Amalu, E da Ea ado ba: su dunuma lobosogole amane sia: i, “Na: me amola Naeya da goea.
50 Kwa kuwa yeyote afanyae mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni, mtu huyo ndiye ndugu yangu, dada yangu na mama yangu”.
Nowa da Na Hebene Ada Ea hanai hou nabawane hamosea, amo da Naeya, Na aba amola Na: me esala.”

< Mathayo 12 >