< Mathayo 11 >
1 Ikawa baada ya Yesu kumaliza kuwaelekeza wanafunzi wake kumi na wawili aliondoka plae kwenda kufundisha na kuhubiri katika miji yao,
In pripetilo se je, ko je Jezus končal z naročanjem svojim dvanajsterim učencem, [da] je odšel od tam, da uči in oznanja v njihovih mestih.
2 na Yohana akiwa gereszani aliposikia akiwa juu ya matendo ya Kristo, alituma ujumbe kupitia wanafunzi wake,
Potem ko je Janez v ječi slišal Kristusova dela, je poslal dva izmed svojih učencev
3 na wakamuuliza, “Wewe ni yule ajaye, au kuna mwingine tunapaswa kumtazamia?”
in [ta dva] sta mu rekla: »Ali si ti tisti, ki naj bi prišel ali naj pričakujemo drugega?«
4 Yesu akajibu na kusema kwao “Nendeni mkamtaarifu Yohana yale mnayoyaona na yale mnayoyasikia.
Jezus je odgovoril in jima rekel: »Pojdita in Janezu ponovno izpričajta te stvari, ki jih slišita in vidita:
5 Watu wasioona wanapata kuona, viwete wanatembea, wakoma wanatakaswa, watu wasiosikia wanasikia tena, watu waliokufa wanafufuliwa kupata uhai, na watu wahitaji wanahubiriwa habari njema.
›Slepi prejemajo svoj vid in hromi hodijo, gobavi so očiščeni in gluhi slišijo, mrtvi so obujeni in revnim se oznanja evangelij.
6 Na amebarikiwa yule asiyeona shaka juu yangu.
In blagoslovljen je tisti, ki v meni ne bo pohujšan.‹«
7 Pindi watu hawa walipoondoka, Yesu alianza kusema na umati juu ya Yohana, “Ni nini mlikwenda kuona katika jangwa tete likitikiswa na upepo?
Ko sta odšla, je Jezus začel množicam govoriti glede Janeza: »Kaj ste odšli gledat ven v divjino? Trst, ki se maje z vetrom?«
8 Lakini nini mlikwenda kuona mtu aliyevaa mavazi mololo? Hakika, wale wavaao mavazi mololo hukaa katika nyumba za wafalme.
Toda kaj ste šli ven, da bi videli? Moža, oblečenega v mehka oblačila? Glejte, tisti, ki nosijo mehka oblačila, so v kraljevih hišah.
9 Lakini mliondoka kuona nini-Nabii? Ndiyo, nawaambia, na zaidi ya Nabii.
Toda kaj ste šli ven, da bi videli? Preroka? Da, povem vam in več kakor preroka.
10 Huyu ndiye aliyeandikiwa, 'Tazama, namtuma mjumbe wangu mbele ya uso wako, ambaye ataandaa njia yako mbele yako.
Kajti ta je tisti, o katerem je pisano: ›Glejte, pošljem svojega poslanca pred tvojim obrazom, ki bo pripravil tvojo pot pred teboj.‹
11 Mimi nawaambia kweli, kati ya waliozaliwa na wanawake hakuna aliye mkuu kuliko Yohana Mbatizaji. Lakini aliye mdogo katika ufalme wa mbinguni ni mkubwa kuliko yeye.
Resnično, povem vam: ›Med temi, ki so rojeni iz žensk, ni bil obujen večji kakor Janez Krstnik, vendar kdor je v nebeškem kraljestvu najmanjši, je večji kakor on.‹
12 Toka siku za Yohana Mbatizaji mpaka sasa, ufalme wa Mbinguni ni wa nguvu, na watu wenye nguvu, huuchukua kwa nguvu.
In od dni Janeza Krstnika do sedaj nebeško kraljestvo trpi nasilje in nasilni ga zavzemajo s silo.
13 Kwa kuwa manabii na sheria, ikamelcuwa wakitabiri mpaka kwa Yohana.
Kajti vsi preroki in postava so prerokovali do Janeza.
14 Na kamamko tayari kukubali, huyu ni Eliya, yule ajaye.
In če boste to sprejeli, to je Elija, ki je moral priti.
15 Aliye na masikio ya kusikia na asikie.
Kdor ima ušesa, da sliši, naj posluša.
16 Nikilinganishe na nini kizazi hiki? Ni mfano wa watoto wanaocheza maeneo ya sokoni, wanaokaa na kuitana
Toda s kom bom primerjal ta rod? Podoben je otrokom, ki sedijo po trgih in kličejo svojim rojakom
17 na kusema, 'Tuliwapigia zomari na hamkucheza. Tuliomboleza, na hamukulia.'
ter govorijo: ›Piskali smo vam, pa niste plesali; objokovali smo vam, pa niste žalovali.‹
18 Kwa kuwa Yohana alikuja bila kula mkate au kunywa mvinyo, na wakawa wanasema, 'Ana pepo.'
Kajti Janez je prišel, niti ni jedel, niti ni pil, pa pravijo: ›Hudiča ima.‹
19 Mwana wa Adamu alikuja akila na kunywa na wakasema 'Angalia, ni mtu mlaji na mlevi, rafiki wa watoza ushuru na wenye dhambi!' Lakini hekima inadhihirishwa kwa matendo yake.''
Sin človekov je prišel in jé in pije, pa pravijo: ›Glejte, požrešen človek in vinski bratec, prijatelj davkarjev in grešnikov.‹ Toda modrost je opravičena po svojih otrocih.«
20 Yesu alianza kuikemea miji ambamo baadhi ya matendo yake ya ajabu yalitendeka, kwa sababu walikuwa hawajatubu,
Tedaj je začel oštevati mesta, v katerih je bila storjena večina njegovih mogočnih del, ker se nista pokesala:
21 Ole wako, Kolazini, Ole wako Bethsaida! Kama matendo makuu yangetendeka Tiro na Sidoni yale yaliyotendeka hapa, wangekuwa wametubu zamani kwa kuvaa magunia na kujipaka majivu.
»›Gorje ti, Horazín! Gorje ti, Betsajda! Kajti če bi se mogočna dela, ki so bila storjena v vama, storila v Tiru in Sidónu, bi se že davno pokesala v vrečevini in pepelu.‹
22 Lakini itakuwa uvumilivu kwa Tiro na Sidoni siku ya hukumu kuliko kwako.
Toda povem vam: ›Bolj znosno bo na dan sodbe za Tir in Sidón, kakor vama.
23 Wewe, Kapernaum, unadhani utainuliwa hadi mbinguni? Hapana utashushwa hadi chini kuzimu. Kama kwa Sodoma kungefanyika matendo makuu, kama yalifanyika kwako, ingekuwepo hadi leo. (Hadēs )
In ti, Kafarnáum, ki si bil vzvišen do neba, boš priveden navzdol do pekla; kajti če bi se mogočna dela, ki so bila storjena v tebi, zgodila v Sódomi, bi preostala do današnjega dne.‹ (Hadēs )
24 Bali nasema kwako kwamba itakuwa rahisi kwa nchi ya Sodoma kusimama siku ya hukumu kuliko wewe.
Toda povem ti: ›Da bo na dan sodbe bolj znosno za sódomsko deželo kakor zate.‹«
25 Katika muda huo Yesu alisema, “Nakusifu wewe, Baba, Bwana wa Mbingu na Nchi, kwa sababu uliwaficha mambo haya wenye hekima na ufahamu, na kuyafunua kwa wasio na elimu, kama watoto wadogo.
Ob tistem času je Jezus odgovoril in rekel: »Zahvaljujem se tebi, oh Oče, Gospodar neba in zemlje, ker si te stvari skril pred modrimi in razsodnimi, razodel pa si jih otročičem.
26 Baba kwa kuwa ilikupendeza hivyo machoni pako.
Točno tako, Oče, kajti tako se je zdelo dobro v tvojih očeh.
27 Mambo yote yamekabidhiwa kwangu kutoka kwa Baba. Na hakuna amjuaye Mwana isipokuwa Baba, na hakuna amjuaye Baba isipokuwa Mwana, na yeyote ambaye Mwana ana hamu ya kumfunulia.
Vse stvari so mi izročene od mojega Očeta in noben človek ne pozna Sina, razen Očeta, niti noben človek ne pozna Očeta, razen Sina in tega komurkoli ga bo Sin razodel.
28 Njoni kwangu, nyinyi nyote mnaosumbuka na mnaolemewa na mzigo mzito, nami nitawapumzisha.
Pridite k meni vsi vi, ki se trudite in ste težko obremenjeni in dal vam bom počitek.
29 Jitieni nira yangu na mjifunze kutoka kwangu, kwa kuwa mimi ni mnyenyekevu na mpole wa moyo na mtapata pumziko la nafsi zenu.
Vzemite nase moj jarem in se učite od mene, ker sem krotak in ponižen v srcu, in našli boste počitek svojim dušam.
30 Kwa kuwa nira yangu ni laini na mzigo wangu ni mwepesi.
Kajti moj jarem je udoben in moje breme je lahko.«