< Mathayo 11 >

1 Ikawa baada ya Yesu kumaliza kuwaelekeza wanafunzi wake kumi na wawili aliondoka plae kwenda kufundisha na kuhubiri katika miji yao,
Jisua'n hi rilnangei hih a ruoisi sômleinik ngei kôm a pêk suolechu, ma mun hah a mâka, male a revêla khopuingeia minchu rang le thurchi misîr rangin a se zoia.
2 na Yohana akiwa gereszani aliposikia akiwa juu ya matendo ya Kristo, alituma ujumbe kupitia wanafunzi wake,
Baptispu John'n Jisua sintho ngei hah jêl ina a lei rietin chu, a ruoisingei senkhat Jisua kôm a tîra.
3 na wakamuuliza, “Wewe ni yule ajaye, au kuna mwingine tunapaswa kumtazamia?”
Jisua kôm han, “Ni ril roh, ‘John'n a juong rangpu a ti hah nini mo?’ Aninônchu mi dang kin la sabei rang mo?” tiin an rekela.
4 Yesu akajibu na kusema kwao “Nendeni mkamtaarifu Yohana yale mnayoyaona na yale mnayoyasikia.
Jisua'n an kôm, “Se nôk ungla, neinun nin mu le nin riet ngei hih John kôm va ril roi:
5 Watu wasioona wanapata kuona, viwete wanatembea, wakoma wanatakaswa, watu wasiosikia wanasikia tena, watu waliokufa wanafufuliwa kupata uhai, na watu wahitaji wanahubiriwa habari njema.
mitcho ngeiin an mu thei zoi, kholrangeiin an lôn thei zoi, vun ri saloitak ngei minthieng ani zoi, kuorsêtngei khom an riet thei zoi, athi ngei minring nôk ani zoi, inriengngei kôm Thurchi Sa misîr ani zoi.
6 Na amebarikiwa yule asiyeona shaka juu yangu.
Tutu ku chungroia mulungokchâna neiloi ngei chu satvur an ni!” tiin a ani thuon ngeia.
7 Pindi watu hawa walipoondoka, Yesu alianza kusema na umati juu ya Yohana, “Ni nini mlikwenda kuona katika jangwa tete likitikiswa na upepo?
John ruoisingei hah an se nôkin chu, Jisu a'n lokongei kôm han John chungroi a misîra: “John kôm ramchâra nin se lâihan imo mu rangin nin sabei ha? Phâivuo'n sûlngei asêm minkûm hah mo?
8 Lakini nini mlikwenda kuona mtu aliyevaa mavazi mololo? Hakika, wale wavaao mavazi mololo hukaa katika nyumba za wafalme.
Imo en rangin nin se? Mi puon innêmngei leh invo mo? Ma anga ânvo ngâi mingei chu rêng-ina kêng an om ngâi!
9 Lakini mliondoka kuona nini-Nabii? Ndiyo, nawaambia, na zaidi ya Nabii.
Ni ril roi, imo en rangin nin se? Dêipu mo? Ani tatak, aniatachu, dêipu nêka lien uol ok nin mu hi te.
10 Huyu ndiye aliyeandikiwa, 'Tazama, namtuma mjumbe wangu mbele ya uso wako, ambaye ataandaa njia yako mbele yako.
John chungroi rang hi kêng Pathien Lekhabu'n, ‘Pathien'n ki tîrlam no motona na lampui mo-ong rangin tîr ki tih,’ a lei ti hah ani.
11 Mimi nawaambia kweli, kati ya waliozaliwa na wanawake hakuna aliye mkuu kuliko Yohana Mbatizaji. Lakini aliye mdogo katika ufalme wa mbinguni ni mkubwa kuliko yeye.
Adiktakin nangni ki ti, Baptispu John nêka lien uol tute lân zir ngâi mak ngei. Hannirese, invân Rêngrama a chintakpu khom John nêkin chu alien uol ani.
12 Toka siku za Yohana Mbatizaji mpaka sasa, ufalme wa Mbinguni ni wa nguvu, na watu wenye nguvu, huuchukua kwa nguvu.
Baptispu John'n a thurchi a misîr lâi renga aviensûn tena invân Rêngram chu rangrâta doina ngei atuong ngâia, mi tukdullien ngeiin ma ram hah lâk rang an pût ngâi.
13 Kwa kuwa manabii na sheria, ikamelcuwa wakitabiri mpaka kwa Yohana.
Dêipungei murdi le Moses Balam chong han John juong om dênin, Rêngram Thurchi an misîra;
14 Na kamamko tayari kukubali, huyu ni Eliya, yule ajaye.
an thurchi misîr nin iem nuomin chu, a juong rang chongphuonga lei om chu, John hih Elijah ani.
15 Aliye na masikio ya kusikia na asikie.
Hanchu, kuor nin dônin chu rangai roi!
16 Nikilinganishe na nini kizazi hiki? Ni mfano wa watoto wanaocheza maeneo ya sokoni, wanaokaa na kuitana
“Atûn lâia thoitharngei hih ile mo ki mintêk rang? Nâipangngei bazar muna insungngei angin an ni, pâl khatin pâl dangngei an mi-ieaka,
17 na kusema, 'Tuliwapigia zomari na hamkucheza. Tuliomboleza, na hamukulia.'
‘Inneina miringhoi nangni kin tum pea, aniatachu, lâm mak cheia! Chûlna la kin tho khomin chap mak chei!’
18 Kwa kuwa Yohana alikuja bila kula mkate au kunywa mvinyo, na wakawa wanasema, 'Ana pepo.'
John a juong lâihan bu a ngêia, uain nêk maka, mitinin, ‘Ama chu ramkhori sûr kêng an tia!’
19 Mwana wa Adamu alikuja akila na kunywa na wakasema 'Angalia, ni mtu mlaji na mlevi, rafiki wa watoza ushuru na wenye dhambi!' Lakini hekima inadhihirishwa kwa matendo yake.''
Miriem Nâipasal chu a juonga, a sâka, a nêka, mitinin, ‘Hi mi hih en ta u! Bu mudupa le uain mudupa, sum rusuongngei leh midikloi ngei malpa so!’ an tia. Nikhomrese, Pathien vârna chu adik iti a mara han minlangin aom ani,” a tia.
20 Yesu alianza kuikemea miji ambamo baadhi ya matendo yake ya ajabu yalitendeka, kwa sababu walikuwa hawajatubu,
Jisua'n sininkhêl a thona khopuingeia mingei han an nunsienangei renga inhei mak ngeia, masikin ha khopuingei hah a ngo ngeia.
21 Ole wako, Kolazini, Ole wako Bethsaida! Kama matendo makuu yangetendeka Tiro na Sidoni yale yaliyotendeka hapa, wangekuwa wametubu zamani kwa kuvaa magunia na kujipaka majivu.
“Korazin, nu chungroi arik bah na! Bethsaida, khom nu chungroi arik bah na! Nangnia sininkhêl sina omngei hah Tyre le Sidon'a lei sin nisenla chu, ma taka mingei han an nunsiena ngei renga an inhei minlangnân thoilapuon insilin ruvuta an inbuolna sôt atih zoi!
22 Lakini itakuwa uvumilivu kwa Tiro na Sidoni siku ya hukumu kuliko kwako.
Adiktakin nangni ki ril, Roijêk Nikhuon chu Pathien'n nangni nêkin chu Tyre le Sidon mingei chunga mulungjûrpuina minlang uol atih!
23 Wewe, Kapernaum, unadhani utainuliwa hadi mbinguni? Hapana utashushwa hadi chini kuzimu. Kama kwa Sodoma kungefanyika matendo makuu, kama yalifanyika kwako, ingekuwepo hadi leo. (Hadēs g86)
Nangma, Capernaum rang khom! nangma nethenin invân dênin indomsâng rang nu nuom mini? Meidîla vôrpai nîng ni tih! Nu sûnga sininkhêl sina omngei hah Sodom'a lei sin nisenla chu aviensûn tena hin la om tit atih! (Hadēs g86)
24 Bali nasema kwako kwamba itakuwa rahisi kwa nchi ya Sodoma kusimama siku ya hukumu kuliko wewe.
Nang ki ril, Roijêk Nikhuon chu Pathien'n nangma nêkin chu Sodom chunga mulungjûrpuina minlang uol atih!” a tia.
25 Katika muda huo Yesu alisema, “Nakusifu wewe, Baba, Bwana wa Mbingu na Nchi, kwa sababu uliwaficha mambo haya wenye hekima na ufahamu, na kuyafunua kwa wasio na elimu, kama watoto wadogo.
Ma zora lâihan Jisua'n, “Pa, invân le pilchung Pumapa! mivâr, mitheingei kôma ni ip hah mi inmôlngei kôm ni minlang sikin no kôm râisânchong ki ril.
26 Baba kwa kuwa ilikupendeza hivyo machoni pako.
Ani, Pa, ma anga hongni rang hah nu lungdo tak ani.
27 Mambo yote yamekabidhiwa kwangu kutoka kwa Baba. Na hakuna amjuaye Mwana isipokuwa Baba, na hakuna amjuaye Baba isipokuwa Mwana, na yeyote ambaye Mwana ana hamu ya kumfunulia.
“Neinunngei murdi ka Pa'n ni pêk zoi. Pa tiloiin chu tutên Nâipasal hah riet mak ngei, male Nâipasal tiloiin chu tutên Pa khom riet mak ngei, Nâipasalin ân phuongna ranga a thang ngeia tiloiin chu.
28 Njoni kwangu, nyinyi nyote mnaosumbuka na mnaolemewa na mzigo mzito, nami nitawapumzisha.
“Nangni, puok rik pêla sôlngei, nin rêngin ko kôm hong ungla, keima'n inngamna nangni pêk ki tih.
29 Jitieni nira yangu na mjifunze kutoka kwangu, kwa kuwa mimi ni mnyenyekevu na mpole wa moyo na mtapata pumziko la nafsi zenu.
Ki ringkol lâk ungla pêl roi, male ko kôm inchû roi, ratha han nuninnêm tak le rangâiinchîn tak ki ni sikin; inngamna man nin tih.
30 Kwa kuwa nira yangu ni laini na mzigo wangu ni mwepesi.
Ki ringkol nangni ke pêk rang chu apêl ahoia, ku puok khom ajânghiei ani,” a tia.

< Mathayo 11 >