< Mathayo 10 >
1 Yesu akawaita wanafunzi wake kumi na wawili pamoja na kuwapa mamlaka juu ya pepo wachafu, kuwakemea na kuwafukuza na kuponya aina zote za maladhi na aina zote za magonjwa.
Yesu avakemili pamonga vawuliwa vaki kumi na vavili, akavapela uhotola wa kuvinga mizuka na kulamisa utamu ndalindali.
2 Majina ya mitume kumi na wawili ni haya. La kwanza simeoni (ambaye pia anaitwa Petro), na Andrea kaka yake, Yakobo mwana wa Zebedayo, na Yohana kaka yake:
Mahina ga vamitumi vaki kumi na vavili vala ndi aga: Kutumbula Simoni mweikemiwa Petili na Andelea mlongo waki na Yakobo mwana wa Zebedayo, na Yohani mlongo waki,
3 Philipo, na Bartelemayo, Thomaso, na Mathayo mtoza ushuru, Yakobo mwana wa Alfayo, na Tadeo,
vangi ndi Filipi na Batolomei na Tomasi na Matei mtola kodi na Yakobo mwana wa Alufayo na Tadei,
4 Simoni mkananayo, na Yuda iskariote, ambaye alimsaliti.
Simoni mweavi mundu wa kukengelela mulima waki na Yuda Isikalioti, mwenuyu ndi mweamng'anamukili Yesu.
5 Hawa kumi na wawili Yesu aliwatuma. Naye aliwaelekeza akisema “Msiende sehemu wanakoishi wamataifa na msiingie kwenye miji ya wasamalia.
Yesu avatumili kumi na vavili avo na kuvapela uhotola uwu, “Mkoto kuhamba kwa vandu vangali Vayawudi, mewa mkoto kuyingila kumiji ya Vasamaliya.
6 Badala yake, mwende kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israel.
Nambu mhamba kwa vandu va Isilaeli vevayagili ngati limbelele.
7 Na mnapokwenda, hubirini na kusema, ufalme wa mbinguni umekaribia.'
Pemwihamba mvakokosela aga, ‘Unkosi wa kunani kwa Chapanga uvi papipi!’
8 Ponyeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma na fukuzeni pepo. Mmepokea bure, toeni bure.
Mvalamisa vatamu, muvayusa vandu vevafwili, muvanyambisa vevavi na mabudi, mvinga mizuka. Mupatili waka muwusa waka.
9 Msichue dhahabu, almasi au shaba kwenye pochi zenu.
Mkoto kugega zahabu amala feza amala shaba mumahaku ginu.
10 Usichukue mkoba katika safari yenu, au nguo za ziada, viatu au fimbo, kwa kuwa mfanyakazi anastahili chakula chake.
Mewawa mkoto kugega lihaku la lugendu amala magwanda gavili, amala champali amala mkongojo, mhengalihengu iganikiwa kupewa chakulya.”
11 Mji wowote au kijiji mtakachoingia, tafuteni ambaye anastahili na mkae pale mpaka mtakapoondoka.
“Pemwiyingila pamuji wowoha, amala muchijiji chochoha mulonda mundu mweigana kuvapokela kunyumba yaki, ndi mumgendela na mtama kwa mwenuyu mbaka pemwiwuka pandu apo.
12 Mtakapoingia katika nyumba salimieni,
Pamuyingila panyumba muvajambusa vakolonjinji.
13 endapo nyumba inastahili, amani yenu ibaki pale, lakini kama nyumba haistahili, amani yenu iondoke pamoja nanyi.
Ngati vandu va nyumba yeniyo vavapokili nyenye, jambusa yeniyo ya uteke yati yitama bahapo. Nambu ngati vavapokili lepi, jambusa yinu yati yikuvawuyila mwavene.
14 Na kwa wale wasiowapokea ninyi au kusikiliza maneno yenu, wakati mnaondoka kwenye nyumba au mji huo, jipanguseni mavumbi ya nyayo zenu mahali hapo.
Ngati vakolo nyumba, vabeli kuvapokela amala kuvayuwanila malovi ginu, hinu pemwiwuka munyumba yeniyo amala muji wenuwo muvakung'undila lububu lwa mumagendelu ginu kulangisa kuvya vene vavabeli nyenye.
15 Kweli ninawaambia, itakuwa ya kustahimili zaidi miji ya Sodoma na Gomorah siku ya hukumu kuliko mji huo.
Nikuvajovela chakaka, pa ligono la uhamula yati yivya mbanga kwa miji ya Sodoma na Gomola kuliku muji wenuwo.”
16 Angalia, ninawatuma kama kondoo katikati ya mbwa mwitu, kwa hiyo iweni na werevu kama nyoka na wapole kama njiwa.
“Hinu nene nikuvatuma nyenye ngati limbelele pagati ya libwa la mudahi. Mvya na luhala ngati liyoka na muvya ngolongondi ngati ngunda.
17 Muwe waangalifu na watu, watawapeleka kwenye mabaraza, na watawapiga kwenye masinagogi.
Mujiyangalila na vandu, muni vakuvatakila nyenye mumabanji ga mihalu na valavatova mchapilu munyumba zavi za kukonganekela Vayawudi.
18 Na mtaletwa mbele ya wakuu na wafalme kwa ajili yangu, kama ushuhuda kwao na kwa mataifa.
Yati vakuvapeleka palongolo ya vachilongosi na vankosi ndava ya nene, penapo muhotola kuvajovela vandu malovi gangu na vandu vangali Vayawudi.
19 Pindi watakapowashutumu, msiwe na wasiwasi jinsi gani au nini cha kuongea, kwa kuwa kitu cha kusema mtapewa kwa wakati huo.
Hinu vakavatakila nyenye mumabanji ga mihalu, mkoto kung'ahika kuholelela tijova kyani, ndava muni yati mwipewa gakujova lukumbi peluhika.
20 Kwa kuwa sio ninyi mtakaoongea, lakini Roho wa Baba yenu ataongea ndani yenu.
Muni nyenye lepi mwemjova, nambu Mpungu wa Dadi winu yati wijova mugati yinu.”
21 Ndugu atamwinukia ndugu yake kumwua, na baba kwa mtoto wake. Watoto watainuka dhidi ya wazazi, na kuwasababishia kifo.
“Mlongo alamgotola mlongo waki akomiwa na dadi alamgotola mwana waki, mewawa vana yati vakuvang'anamukila vadadi na vanyina vavi na kuvakoma.
22 Nanyi mtachukiwa na kila mtu kwa sababu ya jina langu. Lakini yeyote atakayevumilia mpaka mwisho mtu huyo ataokolewa.
Vandu voha vakuvayomela ndava nyenye mukunisadika nene. Nambu mweisindimala mbaka pamwishu yati isanguliwa.
23 Pindi wanapowatesa katika mji huu, kimbilieni mji unaofuata, kwa kweli ninawaambia, hamtakuwa mmekwenda kwenye miji yote ya Israeli kabla ya mwana wa Adam hajarudi.
Vandu vakavavinga kumuji umonga mjumbila pamuji wungi. Nikuvajovela chakaka, mwakona kumala mumiji yoha ya Isilaeli kwakona Mwana wa Mundu kubwela.”
24 Mwanafunzi si mkuu kuliko mwalimu wake, wala mtumwa aliye juu ya Bwana wake.
“Muwuliwa akumpita lepi muwula waki, mewawa na mtumisi akumpita lepi mkulu waki.
25 Inatosha kwa mwanafunzi kwamba awe kama mwalimu wake, na mtumishi kama Bwana wake. Ikiwa wamemwita Bwana wa nyumba Belzabuli, ni kwa kiasi gani zaidi watawakashifu wa nyumba yake!
Yikola muwuliwa kuvya ngati muwula waki, mewawa na mvanda kuvya ngati mkulu waki. Ngati vamkemili mkulu mkolo nyumba Belizebuli, wu, yati vakuvakemela lepi vandu vangi va lukolo lwenulo mahina gahakau neju?”
26 Hivyo basi msiwahofu wao, kwa kuwa hakuna jambo ambalo halitafunuliwa, na hakuna lililofichika ambalo halitajulikana.
“Hinu mkoto kuvayogopa vandu muni chindu chochoha chechigubikwi yati chigubukuliwa na chindu chochoha chechifiyiki yati chifiyuliwa.
27 Kile ninachowaambia gizani, mkiseme nuruni, na mnachokisikia kwa ulaini masikioni mwenu, mkitangaze mkiwa juu ya nyumba.
Genikuvajovela nyenye muchitita, mulijovai mululangasa na lijambu lemwayuwini pachinunu, mulikokosa pavandu.
28 Msiwaogope wale ambao wanaua mwili lakini hawana uwezo wa kuua roho. Badala yake, mwogopeni yule ambaye awezaye kuangamiza mwili na roho kule kuzimu. (Geenna )
Mkoto kuvayogopa vala vevikoma higa, nambu nakuhotola kukoma mpungu. Mbanga neju kumuyogopa yula mweihotola kukoma higa pamonga na mpungu mumotu wa magono goha wangajimika. (Geenna )
29 Je kasuku wawili hawauzwi kwa senti ndogo? Hata hivyo hakuna anayeweza kuanguka chini bila Baba yenu kufahamu.
Mayeluyelu gavili gegiguliswa kwa lishonga limonga lidebe. Nambu hati limonga lihotola lepi kugwa pandima changagana Dadi winu.
30 Lakini hata idadi ya nywele zenu zimehesabiwa.
Nambu kwa upandi winu, mwene amanyili mvalangu wa mayunju goha ga mitu yinu.
31 Msiwe na hofu, kwa kuwa mnathamani zaidi kuliko kasuku wengi.
Hinu mkoto kuyogopa, muni nyenye mwitopeswa neju kuliku mayeluyelu gamahele.”
32 Hivyo basi kila mmoja atakaye nikiri mbele za watu, nami pia nitamkiri mbele ya Baba yangu aliye mbinguni.
“Kila mundu mweakuniyidakila nene palongolo ya vandu, na nene yati nikumyidakila palongolo ya Dadi wangu mweavi kunani.
33 Lakini yeye atakaye nikana mbele za watu, nami pia nitamkana mbele ya Baba yangu aliye mbinguni.
Nambu mundu yeyoha mweakunibela nene palongolo ya vandu, na nene yati nikumbelela palongolo ya Dadi wangu mweavi kunani.”
34 Msifikiri kwamba nimekuja kuleta amani duniani. Sikuja kuleta amani, lakini upanga.
“Mkoto kuhololela ngati nibweli kuleta uteke pamulima. Nibweli lepi kuleta uteke nambu ngondo.
35 Kwa kuwa nilikuja kumweka mtu apingane na baba yake, na binti dhidi ya mama yake, na mkwe dhidi ya mama mkwe wake.
Muni nivaletili mpechenganu pagati yinu, mwana na dadi waki, msikana na nyina waki na mkamwana na nayala waki.
36 Adui wa mtu watakuwa wale wa nyumbani mwake.
Na vamakoko va mundu, ndi vala va panyumba yaki.”
37 Yeye ambaye anampenda baba au mama zaidi kuliko mimi huyo hanistahili. Na yeye anayempenda kijana au binti zaidi kuliko mimi huyo hanistahili.
“Mwene mweakumgana neju dadi amala nyina waki kuliku nene, iganikiwa lepi kuvya muwuliwa wangu. Mewawa mundu yeyoha mweakumgana neju msongolo amala msikana waki kuliku nene, iganikiwa lepi kuvya muwuliwa wangu.
38 Yeye ambaye hatabeba msalaba na kunifuata mimi hanistahili.
Mundu angagega msalaba waki mwene na kunilanda nene, iganikiwa lepi kuvya wangu.
39 Yeye atakayetafuta maisha atayapoteza. Lakini yeye atakayepoteza maisha kwa ajili yangu atayapata.
Mundu mweikamulila wumi waki yati akuuyagisa, nambu mundu mweakuuyagisa wumi waki ndava ya kunisadika nene yati akugapata.”
40 Yeye atakayewakaribisha amenikaribisha mimi, na yeye atakayenikaribisha mimi amemkaribisha yeye aliyenituma mimi.
“Mundu mweavapokela nyenye, akunipokela nene, mundu mweakunipokela nene, akumpokela yula mweanitumili.
41 Na yeye atakayemkaribisha nabii kwa sababu ni nabii atapokea thawabu ya nabii. Na yeye atakayemkaribisha mwenye haki kwa sababu ni mtu wa haki atapokea thawabu ya mtu wa haki.
Mundu mweakumpokela mlota wa Chapanga, ndava mlota wa Chapanga yati ipokela njombi ya ulota wa Chapanga. Mewawa Mundu mweakumpokela mundu mbwina palongolo ya Chapanga, ndava mundu mbwina yati ipokela njombi ya mundu mbwina.
42 Yeyote atakayempatia mmoja wa wadogo hawa, hata kikombe cha maji ya kunywa ya baridi, kwa sababu yeye ni mwanafunzi, kweli ninawaambia, yeye hawezi kukosa kwa njia yeyote thawabu yake.”
Nikuvajovela chakaka, mundu yeyoha mweakumpela mmonga pagati ya vandu ava vangamanyikana chikombi cha manji gasisimu ndava mulanda wangu, chakaka ikosa lepi njombi yaki.”